Тёмный
No video :(

Makonda Awasweka Ndani Waliouza Nyumba ya Mjane Kimagumashi 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Makonda Awaweka Ndani Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Опубликовано:

 

6 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@akimmbwego797
@akimmbwego797 6 лет назад
NAZANI SIKU MOJA UTAPATA UWAZIRI........ME NAKUOMBEA SANA UWE MRISI WA LUKUVI INSHAALLAH
@yasinshaban4933
@yasinshaban4933 6 лет назад
Big up, najiuliza sana juu ya uwezo wako mkubwa sana wa uelewa wako my RC makonda "Piga kaz mdogo wangu"
@alicegeorge1796
@alicegeorge1796 6 лет назад
Mungu akuweke miaka 100 we baba kazi yako sio bure iko siku utalipwa kwa Mungu usipozimia moyo ...kwani Mungu huwa anambariki na mumlinda MTU anaepigania haki za wengine hata Bible inasema ukishugulikia ya wenzio na Mungu anashugulikia yako...Nakuombea kwa Mungu akuinue Mara dufu na kila ulifanyalo usiwe mkia ukawe kichwa pia Mungu akawapige upofu wale wote wanaokufikiria mabaya big up Baba...we love huu😘
@raphaelnjangaje1739
@raphaelnjangaje1739 6 лет назад
hao wenye vieti safi ndiyo walio tufikisha hapa. nakukubali sana kiongozi wangu
@abdulmillanzi7355
@abdulmillanzi7355 6 лет назад
Upo vizuri Mkuu Wangu wa Mkoa
@marymary2090
@marymary2090 6 лет назад
Well done Makonda for fighting for poor people. Yes some of them in the bank they work with gangsters that is for sure.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 6 лет назад
mungu akukinge daima makonda umri wauongozi uzidishiwe kaka wazazi wako walisema ulikua bora toka mtoto mungu aendelee kukufanya bora hadi uzeeni
@cr7ronald468
@cr7ronald468 6 лет назад
Kampen kinondon
@mzeewamadodoso1816
@mzeewamadodoso1816 6 лет назад
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Mungu akubariki Makonda you are the super Leader
@sheshetv2549
@sheshetv2549 6 лет назад
Ishaallah mungu atakulipa ..Fanya kaxi mkuu sisi wananchi tuko pamoja na wewe..Hongera sana Makonda
@sallykanze
@sallykanze 6 лет назад
Pongezi sana mh.makonda kwa kazi yako nzuri u were born to serve the nation,God will help u
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 6 лет назад
safi sana muheshimiwa Kwa maamuzi yako mazuri sana
@reenycolor2085
@reenycolor2085 6 лет назад
Asante Mh Makonda Mungu akubariki kwa kazi ya mikono yako🙏🏿
@thomasmhindi1469
@thomasmhindi1469 6 лет назад
agzo nililolickia kuhusu kuingilia mahakama mheshiwa halikugusi kweli ,,,kw mfano umesema n pamoja na kutengua agzo LA mahakama,,, nnakupenda makonda heb liangalie na hlo liskupe dosari mheshimiwa theGreat RC
@donaldsamwel683
@donaldsamwel683 6 лет назад
Hongera sana uonevu ulizidi inchi hii,ubarikiwe wewe mh.Makonda ni mfano wa kuigwa kwa viongozi vijana.
@mussamussamussa8444
@mussamussamussa8444 6 лет назад
Kwa uongozi uliotukuka mungu akubariki sana kwa kuwakomboa wanyonge ukweli nchi yetu alikufa kabisa mungu azidi kuwatia nguvu uongozi wa awamu ya 5
@dadapaul2533
@dadapaul2533 6 лет назад
Hongera sana kaka makonda ama kweli unatenda haki mungu azidi kukupigania zaidi maana unatenda mema mnooo nakubali usemi was dady is camping soon nakukubali sana
@roseemmanuel4492
@roseemmanuel4492 6 лет назад
Mungu Akupe Maisha Marefu Mh Makonda Uzidi Kuwasaidia Watu.
@dharesfadhil2236
@dharesfadhil2236 6 лет назад
Am from kenya but nimependa kazi yako.mungu akulinde
@janethmkoba2689
@janethmkoba2689 6 лет назад
Mungu aendelee kukutunza mh makonda
@reonaldmsenga73
@reonaldmsenga73 6 лет назад
Safi sana,clouds hawatumii akir sioni msingi wa msimamo wao bali ni roho mbaya tu
@summanelson5523
@summanelson5523 6 лет назад
Safi sana sana. Wamezidi kuonea watu wasiojua sheria.
@rosemwakisu9024
@rosemwakisu9024 6 лет назад
Mungu akulinde mweshimiwa tunakukubari sn tu
@petermtweve1468
@petermtweve1468 6 лет назад
Big up mheshimiwa makonda. Work hard
@elineymachambua9508
@elineymachambua9508 6 лет назад
mungu akulinde
@leilainnocent6532
@leilainnocent6532 6 лет назад
Nakupenda sana Makonda ♥️ Tunamshukuru Mungu kwa kutupa kiongozi makini.
@tumainmatokeo586
@tumainmatokeo586 6 лет назад
makonda unapaswa kuhamishiwa makao makuu dodoma.tunaibiwa mpaka hakuna mfano.Namuomba jpm asikuache dar akulete dom.
@tumainmatokeo586
@tumainmatokeo586 6 лет назад
makonda unapaswa kuhamishiwa makao makuu dodoma.tunaibiwa mpaka hakuna mfano.Namuomba jpm asikuache dar akulete dom.
@kesiaomari2173
@kesiaomari2173 6 лет назад
Mkuu wa mkowa Paul usizani una sahidia wa Tanzania tu la hasha bali unafundisha watu wengi uzalendo na namna ya ku chapa kazi kwa bidii. Mimi nina jifunza kila siku kutoka kwako na Viongozi wengine wazuri including mzee wa kazi Magufili na waziri Mkuu. Asante
@devothayun1586
@devothayun1586 6 лет назад
Mungu akubariki,, Mungu akulinde,, akupe maisha marefu, hata kama hutolipwa dunian basi mbinguni utalipwa Insha Allah
@nancymohamedy6411
@nancymohamedy6411 6 лет назад
Daah watu noma sana kwenye utapeli mokonda na magufuli oyeeee kwa kuwanyoosha
@thomasmhindi1469
@thomasmhindi1469 6 лет назад
Hongera makonda
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 лет назад
Waliokuwa wanakuulizia vyeti nahisi alishafariki.MUNGU akubariki sana kwa kusaidia wanyonge.
@christinasangu8040
@christinasangu8040 6 лет назад
njoo Tuijenge inchi 😀😀walishafariki😀
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 лет назад
Christina Sangu ndio walifariki wewe bado unawaona tena.😃😃😃maana ilikuwa sio mihemuko hiyo mwisho wa siku wamebaki kuwa km kina nabii Tito.Nework hazisomi.
@christinasangu8040
@christinasangu8040 6 лет назад
njoo Tuijenge inchi 😂😂😂😂😂
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 лет назад
walikuwa wajinga tu, Ila sasa wamekuwa werevu, hakuna haka ya vyeti kwa MTU kwwnye uelewa mkubwa na ubunifu ktk kazi Wa namna hii. this guy, is a gold standard ki utendaji
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 лет назад
Wilson Kaseha kabisa bro ni ujinga kweli.
@maulidimsingwa3263
@maulidimsingwa3263 6 лет назад
Kwa anae mchukia huyu mh makonda nafikiri apimwe akili,huyu niwakumuombea mungu apewe uwazili tena wa ardhi,kuna watu wamedhurumu sana maskini,da makonda njoo tanga kuna watu wamedhurumiwa nyumba zao,mashamba,aisee mwenyezi mungu akupe umri mrefu.
@christinamonyi4275
@christinamonyi4275 6 лет назад
Good rc makonda god bless you.
@jumannehassan6214
@jumannehassan6214 6 лет назад
safi sana makonda
@neemajavan4125
@neemajavan4125 6 лет назад
Mungu akubariki
@zakiamaungazakia720
@zakiamaungazakia720 6 лет назад
Shikamoo maguful kwa kukiona kichwa hiki makonda Allah akusimamie mkuuu
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 лет назад
Ameen
@shau78
@shau78 6 лет назад
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu.
@jacquilinemahumbi5950
@jacquilinemahumbi5950 6 лет назад
Anza n Mungu maliza name M ungu Paul bashite
@fatumafashiondesigner1461
@fatumafashiondesigner1461 6 лет назад
Safi sana huyu kaka makonde
@jumannehassan6214
@jumannehassan6214 6 лет назад
big up makonda rais wa dar eslaama
@birthaaugustin8331
@birthaaugustin8331 6 лет назад
Mungu akuzidishie hekima na busara Rc makonda
@salamasaidi7363
@salamasaidi7363 6 лет назад
hongera sana Rc makonda unatetea wanyonge hata sisi tumedhulumiwa tutakuja kukuona tunakupenda sana asante
@ndikumagengeeric971
@ndikumagengeeric971 6 лет назад
safi saana! aje hata Burundi kwetu atusafishie
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 6 лет назад
NDIKUMAGENGE Eric kwenu kazi ipo bro duuh😎😎😎
@engibertmzaula9461
@engibertmzaula9461 5 лет назад
hongera sana Mheshimiwa Makonda,,mm binafs nakukubali sana 100%100% mheshimiwa
@kastorymarko3179
@kastorymarko3179 6 лет назад
Makonda nakupenda sana
@abubakarimwasumilwe7293
@abubakarimwasumilwe7293 6 лет назад
Nakupenda sana mkuu. pigs kazi
@erickmkosha3126
@erickmkosha3126 6 лет назад
sisi watanzania hatuna cha kukulipa mungu atakulipa tunakuombea makonda
@saidimwisi5303
@saidimwisi5303 6 лет назад
Saidi mwis safi sana makonda gunga kabisa majizi hayo
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 лет назад
Safi sana
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 лет назад
Safi sana mungu akupe nguvu zaidi
@davidwambura5915
@davidwambura5915 6 лет назад
umependeza sana kuvaa jezi ya chadema
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 6 лет назад
Dar,matapeliwengi sanaa
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 6 лет назад
Great
@mussachuo250
@mussachuo250 6 лет назад
Natamani uwe mkuu wetu wa mkoa wa Pwani maana huku kuna madudu.
@zuhuraally171
@zuhuraally171 6 лет назад
Mungu akusimamie mkuu wetu wa mkoa
@uyu9454
@uyu9454 6 лет назад
Chuma hicho KCB IMEINGIZWA KWENYE MATATIZO NA WATENDAJI WAKE WASIOMJUA KAMANDA MAKONDA
@uyu9454
@uyu9454 6 лет назад
Shauri zao
@jifunzekuhusuwewe7475
@jifunzekuhusuwewe7475 6 лет назад
Nakukubali mkuu
@kenethmagwila1425
@kenethmagwila1425 6 лет назад
Aise Mkuu wamkoa Makonda saloot sana tna sana ww ndie aje hatumtegemei mwingne mtetez wawanyonge
@nurdinchelsea3297
@nurdinchelsea3297 6 лет назад
Kaka umehamia chadema? Mana hyo suti yako nika kama zile
@kakafranc8913
@kakafranc8913 6 лет назад
Hiv ndiyo inavyotakiwa maana walizowea kututapeli kila kukicha
@isumaiyamohamed3808
@isumaiyamohamed3808 6 лет назад
Kila la kheri katika utendaji wako wa kazi
@iddmsham196
@iddmsham196 6 лет назад
safi mkuu
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
Yani mkuu sijuwe tutowe duwa gani mungu mkubwa awe pamoja nawe
@stephanokanyika6988
@stephanokanyika6988 6 лет назад
we ni kichwa makonda wahachee wanao beza utendaji wako piga kazi makonda
@josephinedavid3072
@josephinedavid3072 6 лет назад
BABA YANGU NA MUNGU WANGU, TULINDIE HUYU RC WETU
@hamismabula2307
@hamismabula2307 6 лет назад
siku zote wenye upeo Wa kuona mbali walishangazwa na waluokuwa wanakupiga vita eti oooh vyeti!!! vyeti ndo nn bwana watu tunataka tuone kazi inatendwa. angalieni huyu Mh, ameweza kutekeleza na kusimamia mambo meengi sana kuliko RC yeyote je nini basi tunskitaka? Mh, rais anatambua watu Wa kufanya nao kazi
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 лет назад
cwezegi kujikomba mpk nakufa
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 6 лет назад
huyu jamaa hana chet feck ukimsikiliza ni zaidi ya chet original
@jacquilinemahumbi5950
@jacquilinemahumbi5950 6 лет назад
Othman Shahib kukosa Cheti so kukosa maarifa Mungu n zaidi na nmuwezeshaji
@radhiasalum833
@radhiasalum833 6 лет назад
watimue kaka
@dachjunior4766
@dachjunior4766 6 лет назад
MATAPELI wakubwa nyie mwapaswa kabisa kuchukuliwa hatua ... HEADING mloandika ni TOFAUTI kabisa na CONTENT ... yaani mmeona hiyo ndo namna ya kupata viewers wengi ama ...
@nazaletmwampungu1120
@nazaletmwampungu1120 6 лет назад
wewe ni kiongozi was watu
Далее
ВОТ ЧТО МЫ КУПИЛИ НА ALIEXPRESS
11:28
Просмотров 604 тыс.
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 25 млн
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Просмотров 5 тыс.