Tangazaji linafahamu linachokifanya, kusema mipasho badala ya taarabu naamini ni kutokana na uzawa katika lg. Kwa kuamini kwamba anawasiliana na wazawa wa lg ndiyo maana anaitumia lg apendavyo bila kuathiri ujumbe kulingana na mkutadha. Hongera tangazaji u mahiri vya kutosha kwenye kazi yako
Samahani maryam rashid wacha ujinga kusema ni washenzi hiyo ni kujionesha udhafu wako lkn sishangai mngazija ni mfano wa chumvi hasifiwi lkn ni mstaarabu na humfikii
@@shubebunyesi542 kwa Ubora (UFASAHA) wakutumia lugha,pili Kwa Uwingi Wa Watu Wanaohongea lugha ya Kifaransa D R Congo Iko Juu sana,Nchi ya pili Ila Sio kwa Uwingi bali ni kwa Ubora (UFASAHA) Wakusema Kifaransa ni GABON.
aise..hata hapo aliposema ewaaa🤣 inaonekana hilo neno ni la luga yake kwa namna alivolitamka ila lipo kwenye kiswahili pia kuonesha namna ulivoelewa kilichozungumzwa
Wouuu j'odare.ca ma grande vous avez bien.chanter.tu.es bon.voice et tu es bien habiller.comme une famme africaine bisous ma chrie je t' aime bcp.ma grande sister
Kama hujui ni kwamba chimbuko la watu wa Comoros walitoka tz maeneo ya Pwani, ni wahamiaji tu visiwa vilikuwa havina wakazi. Tofauti ya lugha ni matokeo ya kutenganishwa kwa muda mrefu maneno yanaevolve. Ila kiuchumi wako nyuma sana
Ukimaliza kuona hii interview tafuta nyimbo ya wawili wapendanao ilioimbwa na msanii Ndjemaa zaoumwana tsizo toka Comoros, na kurudiwa kwa kiswahili na HammerQ. Naamini utaipenda sana ni kama watu wa Tanga.
Niki ngazija lugha yao. Waswahili na wagazija ni wanna wamjomba na shangazi, hawa watanzania wakutoka baraa hawaijui historia hii, ukienda zanzibar pemba mombasa wangazija wingi wanaishi huko . Historia iko kwanzia kale.
Kulingana na wataalamu wa lugha ya Kiswahili Kingazija (Comoros) kinahisabiwa Ni moja katika lahaja ( dialects) za Kiswahili. Wao ni katika taifa la Waswahili.
Shkomor au kingazija ni lahaja ya kiswahili kama zilivyo kimvita, kiunguja, kimtang'ata nakadhalika. Wanachoongea ni aina ya kiswahili kama ambavyo watu wa Pemba, Mombasa, Tanga, Comoros na wengineo wanavyoongea.