@@kamarhelokumbe mwenzetu ukiwa na shida unamlilia samia pole sana ndugu yangu maana bibilia inasema amelaaniwa amtumainiae mwanadamu amfanyae mwanadamu kuwa kinga yake moyoni mwako umemwacha mungu ndugu yangu ukimtegemea mwanadamu utatumika kufanya maovu ya kila aina kisa umfulahishe mwanadamu na mwisho wako utakuwa mchungu kama shubili
Kiongozi wangu pole sana mungu akulinde na Shari zao hao wasenge wanashindwa kujibu hoja wanatesa watu wasio na hatia. Damu wanayoimwaga itawagharimu siku 1. Waache waendelee kumwaga damu ili haki ipatikane.
Pole mamy,iko cku kama Kenya,Gashagwa saa hii njee,, katiba KWANZA hp Tz,hii utekaji wasojulikana,likwamaa, police,ndoo wa unguu mtu,hp Tz, katiba KWANZA,
Hamna kitu hapo siasa now zimebadilikaf fanyeni zile za kuwasaidia wananchi Kwa maelezo mtangazaji anasema aliokotwa na boda boda akatupwa boda boda alimpeleka mpka dsm hizi siasa hizo mama muislam muogope mungu pia
Mh sio kweliii. Ila izo sehem ulizopigwa naweza nikiahisi kweli kwasababu ndizo sehem zao za kupigia watu chini za nyayo za miguu viganjani mwa mikono na katika viungo vya mwili 🤔
Mwongo mnapangana ili mchafue hali ya hewa mnawaonea polis ila mjue polis nao niwatu hivi kweĺi polis wàtumie gari la polisi mchana wakati vituoni kumejaa
Nauliza tu mtu kama kakosea si apelekwe kwenye vyombo vya sheria ashitakiwe sasa kupiga watu kuumiza na kuua yote haya kulinda nafasi za watu mnajichukulia laana na vizazi vyenu hakika nasema
Unakitambaa usoni lkn umeona kisiki pale kwenye mteremko ..... Mm naona umekuwa mtu mzima na unawatu wanakutegemea sana , achana na siasa uchwara unazeeka na upumbavu wako .
Mnawaonea polis hao wahuni tu kwanini watumie gari la polis wakijua watajulikana wangetumia gari yoyote iaiyo na namba pt wahuni wanqbandika namaba za polisi wananncĥì tuzinduke kila tukio baya polisi hapana kwanza umetekwa kienyeji
@@dicksonkilupa2258 we SI wale unapenda mteremko pambana nduguu na ridhika na unachokipata Dunia Haina usawa popote palee ukitaka haki ni lazima ufe ukaipate mbinguni
Msio na akili ndio mnasapoti uwongo wa huyu mama janja janja ya Chadema imegundulika. Huyu mama alifumaniwa na mume wa watu wkt yy ana mume pia.We mama acha uzinifu kiislamu unamdhulumu mumeo ziko picha zako mahali ulikofumaniwa Gesti hakuna cha pori wala msitu.Yote hayo unayoyasema umeandikiwa na Mbowe na Myika.
Mmmm ulitumwa mnayataka mimi nisike ugali na wanangu nihangaike na vitenge kisa vina picha ya raisi mmmm napenda kuishi mwenzangu na ukichoma unapata faida gani