Mwanao karidhia kuishi hivyo hivyo angekuwa anajitambua asingekubali kuishi na mwanaume bila kunyolea posa na kufunga ndoa ....kwa hiyo ni makosa ya mwanao🤗🤗🤗na ndoa hailazimishwi...
Sasa Barnaba anakosa gani?mama kimbo wapaswa kumuongelesha au kumlaumu mwanao Raya na si Barnaba maana Raya amekwenda kuishi kwa Barnaba yeye mwenyewe ilhali hajaolewa nani hapo wa kulaumiwa?Barnaba au Raya?
Wewe unaongea umevaa barnaba atamuoa raya wakiwa wamevua na utaaibika mchana kweupe lazima barnaba atamuoa huyo raya tena kwa ndoa ndio utajua usiusemee moyo wa mtu kwenye mapenzi maana huju hisia za mtu mbuzi wewe
Mcristo na mwislam hakuna ndoa mpaka mmoja amfute mwenzie,na hata wazazi wakitanzania hawana msimamo uwezi mwacha mtoto akakae na bwana bila ndoa Tz bwana Bora mtoto ukae kwenu kuliko kuamia uko .
Amjali nini wakati hakumjali, na huyo mkwe alitegemea mtoto amlee hayo maisha ya zamani Sasa ivi mtoto ajimudu akiwa nayaziada atampatia mzazi lakini si lazima
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🎬💥💥🎬💥🎬*
We mama huna akili hayo mambo ni yakifamilia sasa umeyaweka wazi unamtangazia nani we mama fara kweli unataka ujue Ili iweje si ushajua shida hapo ni dini TU huna lolotena una roho mbaya na wewe unaonekana ndio kikwazo kwa Binti Yako kwani alifungwa kamba bintiako si kaenda mwenyewe povu ra nini sasa kwenye mitandao hujierewi unatafuta umaarufu kiki za kijinga kwenda
@@dalilambalilaki3762 nikweli lakini hayo mambo ni mambo ya kifamili je ingekua hamna mitandao angesemie wapi kama mkweo umeshibdwa kuita wazee na kwenda kuongea nae i.
Mimi mbona naona ni swali kaulizwa ktk interview?Au nakosea?Interview hii inahusu nini?Basi na huyo aliyeitisha hii interviw ni ovyo,asingetakiwa alete kwenye mtandao
ANZA KUJIUKUMU WEWE NA FAMILIA YAKO NA MAJIRANI ZAKO USISAHAU MARAFIKI HAKUNA MKAMILIFU KAZI YA KUHUKUMU WACHIA MUNGU JE WEWE NI MKAMILIFU?? KWELI NYANI HAONI KUNDULE 🚶♀️
Hpna siungi mkono hoja,kama ww muslim kasome suratl kaf,allah alipo muambia mtume wao wana dini yao nasi tunadini yetu,hatupaswi kushare jmn tusiogope kuisema haki dunia tunapita,na hii alama tutaikuta,sema haki japo chungu