Mkisema wamemtoa kwenye dini yake inakuwa mnakosea:yeye kwani alilazimishwa kuingia wislam au mtu unaga analazimishwa kuingia ukiristo:jibu hapana mtu ni Matakwa yake:
Barnabar kuhusu wewe na yammi, nadhan ni utakuwa msanii wa Kwanza uliye weza kuwa na busara Kwa matatizo kama haya yaliyokukuta na mama mkwe wako atambue ata kama syo mziki usingeweza kumuoa mke wako,,, alikupendea nyotaaa baba we kuwa tu na busara na uaminifu wala usiwasikilize hawa wapemben
Ninyi wenyewe msio wanamuziki mnaongeza wanawake kila uchwao na hamfuati taratibu za dini yenu mnaweka matabaka kwa wake zenu mara nyingi mnaongeza wake na uwezo wa kuwahudumia hamna
Wamekutoa dini yako wajue km Uislam ruhsa wake wa 4 sasa watulie n akuwakomesha uongeoa bila kupenda ili akili ziwakae sawa yaani unapomtoa mtu kwenye dini yake basi mu9nyeshe matendo ya dini uliyomuingiza lkn wao kutwa kukaa uchi kukatika mitandaoni unafikiri wanakufunza nn km sio kukuharibia thawàbu zako😂😂😂
@@IssaMbaru-qw6ug sawa ila sio sheria kama waislam inajulikana ni 4 ila wakristu ni 1 sema kuna kuvunja sheria ndo maana inayokea 2 au 3 ila iyo sio sheria ya wakrist "sad truth" 😢
@@IssaMbaru-qw6ugAcha uongo wako wewe ni mnafiki wa kiwango cha phd, wakristo wanaoa wake 2,3,4 kwa ndoa ipi? ndoa yetu ni moja tu mpaka kifo sio kama nyinyi ndoa zote 4 ni halali 😂😂 kwetu ndoa halali ni moja TU sema wakristo wanaishi na wanawake zaidi ya mmoja 2,3,4,5 _100 sio wanaoa mke zaidi ya mmoja huo ni uongo wako 😂😂😂 mkristo hana ruhusa wala uhalali wa kuoa wanawake wengi NEVER
@@DM.2200 Mkristo having wanawake wengi ndoa yetu ni moja tu, angesema wanaishi na wanawake wengi sawa tungemuelewa sio wanaoa ajue kutofautisha kuishi na kuoa ndio maana wao wanaoa wake 4 kwa ndoa halali ila sisi hakuna ndoa ya wake wengi kwa halai NEVER kwetu kuoa ni mke mmoja tu ndio halali hata aishi na wanawake 200 mke wake halali atabakia kuwa mmoja tu
😂😂😂😂jamani watu kwenye coment wanamakasiriko wengine hawajaoa wengine hawajaolewa hawajui mume anauma au mke anauma nyie acheni kitu kinaitwa muhabat mie nitulie2 muendelee na makasiriko siku mkiolewa au mkaoa mtaelewa2😂😂😂 maskini siku mkichitw mtaelwa siku ykulia kwenu inakaribia 😭😭😭
oooh safi sana ukristo ndo dini waislam wengi saizi wanakimbilia makanisani na kwa manabiii kupata uponyaji sioni wakristo wakikimbilia kw misikiti yenu 😅😅😅😅😅😅😅
We mbwa unamjuwa wew tukalie kmy bwanaaa wee vp kujisemea Wanacham we zangu kwani huyo barnaba alikuwa amelll wakat Biray anaenda kumsilimisha bas tunyamazie wew kama hawna chakuongea bora ukae kmya t