Ikiwa bado haijafahamika sababu za Karim Shaaban mkazi wa Chanika Kwangware, kudaiwa kuwanywesha sumu wanae watatu na wawili kati yao kufariki, aliyekuwa mkewe Zubeda Ngwale amesema walitengana baada ya kuzidiwa na madeni.
Karim anadaiwa kuwachukuwa wanae hao Aprili 21 mwaka huu nyumbani kwa bibi yao, kwa ajili siku ya Sikukuu ya Idd el Fitr na kwenda nao kwake ambako aliwapa juisi ambayo inayodaiwa kuwa na sumu.
Amesema canzo cha kutengana ni kutokana na madeni mengi aliyokuwa nayo kuanzia kwenye vikoba na kausha damu.
29 сен 2024