Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
Wamama tulee watoto wetu tulio watafuta leba tumuombe MUNGU atupe Uzima angalau wajitegemee hata mama angekuwa na watoto wengi ila mtoto wa kambo lazima amubaguwe kwani moyo huwa hautaki ila anajitahidi sana kuulazimisha hiyo ni nature ya shetani kwa mama 😭😭😭wa pili
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢