Maashaallah tabarakallah. Kakibu kwwnye Dini ya haki kipenzi. Mwarim wetu Ramazani. Allah akulinde na kilashali hakupe Afya na hakupe sababuya manenoyahaki unayoyafikisha watu warudi kwa uislam Diniwalozaliwa nayo🤲
Huyo mdada kama kasilimu kwer na hajaolewa, m natafuta mke shehe Ramadan, nipo Tanzania 🇹🇿, nina miaka minne tangu nisilimu, jina Lang la dini naitwa Ramadan pia.........
Shk sio lazima luqa ya kiarabu .tumia mtu luqa yake .tumia hekma.badaye kirabu.unatumia kiarabu mtu ajui..ya nini..ata adani tumieni kiswahili...unatumia kiarabu watu ajui ..jamani ya nini.unaweza kumia chini na mtu ni muafrica? No.
Simple question. Yesu ata rusi hiyo tuma kubaliyana wote . Aki rudi kuna kenisa. Zaidi ya Mia mskiti kila fasi. Dhunia. Ni makiti - 1. Sasa ata ingia. Kagi sda Roman sanatı and more and is only 1 men . Ask yourself??
Wacha kudangaya wale awasomi biblia ,yesu wa kolohani na yesu wa biblia ni watu wawili tofauti yesu wa biblia Mathayo2-1 yesu wa kolohani alizaliwa ualabununi chini ya mtende kolhani 19-19
Ni kwer yesu ni njia ya kwenda kwa Mungu, sio yesu tu, mitume wote ni njia ya kwenda kwa Mungu. Ukimkataa YESU hutoboi, ukimkataa mohamad, Musa, Ibrahim, NUHU, luti n.k. hutoboi mjomba,,,,, shida yenu mnamuabudu YESU nyie ni wanafik. Marko 7:6-7,8,9
Waislamu hawakashifu dini ya kikristo ispokuwa tunawaelimishaa na niwajibu kwetu sisi wanaadamu kumjuaa na kumuabudu mungu Ambae anaestahiki pekee kuabudiwa Kwa haki ,ila nyinyi munachanganya dawa na hatuwezi kuwaona watu wanakunywa sumu ety tuwaache lazima tuwasaidie ,😂😂 yaani mtu anakunywa petrol anaona ndio dawaa utamuachia anywee ? Na wakati unajua sio dawa?
Bwana Yesu alisema mtu asipokaa katika neno lake, mvua na pepo na mafuriko vitakuja na kumsomba. Waislamu huwa wanawavuta wakristo wasiojua kitu yaani wa jina tu iwe ni wachungaji au waumini wa kawaida. Lakini wakristo wanawavuta waislamu wenye kujua dini yao iwe ni viongozi au waumini wa kawaida. Mungu ameruhusu kila anaejiita mkristo huku hajakaa katika neno, haijaifahamu kweli inayomweka huru, basi hakuna nguvu ya kumzuia kusombwa na upepo wa uislamu. Bwana Yesu aliweka wazi kusema tawi lolote lisilokaa katika neno lake, litakatwa, na wadanganyaji watalichukua na kulifukutia kwenye jehanamu - Yohana 15:1-8. Kupotoka kwa wakristo kimafundisho ndicho kinachowaukuza uislamu, na kubainika kwa uongo mwingi na tabia mbaya ya Muhamad ndiko kunakoukomesha uislamu.
Elimu nayo haibagui inafaa kupewa kila mtu ambaye hana, infact elimu inafaa kupewa mtu mwenye hajui, mwenye anajua na bado anaenda kinyume na maandiko hana haja ya kupewa elimu coz anajua lkn anafanya kusudi tu
Hhhhh Allahu Akbar Asanti sana bro....ungejua mtu aliotajwa kwa tabia nzuri katika Ardhi nzima ni Muhammad na ni wakristo wenu yaani wanasayansi....Wewe unaongea nini???
Ukisema Muhammad ana tabia mbaya maana yake haujasoma vitabu vya Mungu ukafahamu maandiko . Wakristo msomeni Muhammad Kisha ndio mujue yeye ni nani na ana nafasi Gani na yeye ana uhusiani Gani na yesu.
Tatzo mashekhe wengi hawajui bibilia kwaio inakua ngumu sana kumvaaa mkiristo kumkomvis mpk kuuwelewa uislam.......shekhe ramadhan Allah amekuletea ili kua mkomboz....Allah akupe umri mrefu na akutie nguvu sana...tunakupenda sana❤❤❤❤
Bwana Yesu alisema mtu asipokaa katika neno lake, mvua na pepo na mafuriko vitakuja na kumsomba. Waislamu huwa wanawavuta wakristo wasiojua kitu yaani wa jina tu iwe ni wachungaji au waumini wa kawaida. Lakini wakristo wanawavuta waislamu wenye kujua dini yao iwe ni viongozi au waumini wa kawaida. Mungu ameruhusu kila anaejiita mkristo huku hajakaa katika neno, haijaifahamu kweli inayomweka huru, basi hakuna nguvu ya kumzuia kusombwa na upepo wa uislamu. Bwana Yesu aliweka wazi kusema tawi lolote lisilokaa katika neno lake, litakatwa, na wadanganyaji watalichukua na kulifukutia kwenye jehanamu - Yohana 15:1-8. Kupotoka kwa wakristo kimafundisho ndicho kinachowaukuza uislamu, na kubainika kwa uongo mwingi na tabia mbaya ya Muhamad ndiko kunakoukomesha uislamu.
Yesu anafundisha amri 10, anafundisha mke mmoja, anafundisha ubatizo, anafundisha kuwa yeye ni njia kweli na uzima, anafundisha yeye ndiye atakayefufua waamninifu siku ya mwisho, anafundisha yeye ni wa kwanza na wa mwisho, Anasema alikuja duniani akiwa kama mtu, huku asili yake ni ya uungu. Anasema yeye ndiye kuhani Mkuu na ndiye mwankondoo wa Mungu aondoae dhambi za ulimwengu. Yesu hajawahi kufundisha kushika ijumaa, kubusu jiwe jeusi ili kusamehewa dhambi, Hajawahi kufundisha kuwa Mungu anasikia kiarabu tu. hajawahi kufundisha kusafisha pua kwa sababu shetani analala kwenye pua n.k. Ni kweli waislamu wanawake wanavaa mavazi ya kujisitiri, lakini ndg ujue kuwa wakristo wasiovaa mavazi ya kujisitiri hao ni feki na walitabiriwa kuwepo kama ambavyo wanawake waislamu wengi wapo ambao huvaa bila kujisitiri. Kwa hiyo tatizo hapo si mafundisho, bali kukengeuka kwa hao wavaao uchi na kufanya machukizo mengi tu. @@saphinalutaha9077
@@willymwaipaja6783 acha ngojera leta maandko na ndomana nasema hauna elim haujui ata Mana ya busu busu ni ishara ya upendo sio kufutiwa dhambi haya yesu alisema msali sku gan
@@willymwaipaja6783 soma uialam uelewe ndo uje kubishana wap Qur'an imesema mungu anaskia lugha moja na ni andko gan limesema kuweka maji pumuan ni kumuondoa shetan soma Kwanza tafuta elim Kwanza acha ushabik
@@willymwaipaja6783 Sasa mbona yesu aliwatawadhisha wanafunzi wake akasema asie fanya hivyo hana shirika nae Swali je unatawadha ? Unasujudu? Au ndio mna macho lakini hamuoni mna masikio lakini hamsikii