Sheikh pole sana inanibidi nikupe pole, najua roho inakuuma ila unastahamili, basi ujue na mitume walipata mitihani hiyo hiyo na wengine walishindwa ila usichoke hiyo ndio kazi tuloachiwa na mitume
Uwazimu tupu! TENA wana wake wao wanaji fanya WAJUAJI kweli! Kwani hawa MaFala hawa jui Biblia ni STORY BOOK ilio TUNGWA na Wazungu? TENA juzi tuu! 411 years ago! Ati tafauti sha baina ya Ishmail na Isaaq? WaJinga WaFrika! As long Mzungu ame andika, WaFrika wana fikiri ni 'god's word' !
Mungu anisamehe lkn kuna manabii wauongo na ni yeye,,mpaka mtoto mdogo wakike kaa shapotea mungu amuokoe uyu mtoto,,na mbn ni familia tuu ndio watumishi apo😮😮
Allah akutangulie sheikh Ramadhan kwa kujitoleya hivi ndivyo vipindi vya kuangalia yafaa tumjuwe mwenyezi mungu atuongoze njia iliyo nyooka siyo ya wale walio kasirikiwa wala ya wale walio poteya🤲
Ubarikiwe ishallah kwa sababu wamepotea kweli kweli mpaka wamevunja mipaka ya mungu hâta yesu hakujidai kua yéyé nimjukuu wa mungu subuhana Allah mungu ya wawokoe ishallah
Da shekhe ramadhan kama ulivosema utochoka kwenda apo mpaka aujue uislamu mungu amuongoze yeye na watu wake wawe waislamu inshaalah mungu akulipe shekhe shekhe ramadhan kuria bila ya hesabu na akupe pepo pamoja na mtume muhamad ww pamoja na familia yako inshaalah nakufatilia sana shekhe wangu from tanzania 🇹🇿
Inna Lilahi Wa Inna Ilaihi Rajiun, Allah awaongoze kwenye haki na waijue haki na Allah awaonyeshe shari waijue shari na waweze kuiepuka Allah Ummah Amiin
Hhhmmmm kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe uislam hautokubeba mbinguni ndugu hata ukristo hautotubeba mbinguni sema sisi wote tutabebwa na matendo yetu ndugu
Innalillahi wa innaillahi rajjiun ukweli huu n msiba mkubwa sana haki, mwenyezi mungu awaongoze wallahy, Sababu cjui huyu mzee aliwafanyaje hawa watu, yani hakuna hata mwenye nafuu haki yani woote akili zao zimelala
Wacha upuzi YESU Chrito alirudi mara ya pili ni kuja kuhukumu Si basi uanzebkutuchoma sisi wenye dhambi Mkikosa kazi maanake si kutumia ukristo vibaya😢😢😢
Nyinyi wote MUNGU alirudi sasa hivi mnaenda jehanam nyote Kwa sababu mmeyasahau kuyatenda mapenzi ya mwenyezi MUNGU mmeanza kupi ga maandiko Dini itawapeleka wapi??
Huyu mtu kazaliwa(by another woman) not Mary...wazee wa hicho kijiji walimwona akikua..kwa nini wasijitokeze waongee...why didn't this yesu start his work kitambo?,mbona hajui mambo yanayotendeka countrywide ama worldwide...Jesus that we read about in the Bible knew everything na fikra za watu waliomzingira.huyu wa saa hii hajui anything.hawa wamama wana mabwana wako sawa kichwani ama mabwana zao ni mazuzu?..aki niko na maswali mengi kichwani.
Yani kenya aki ukikufa n pressure au stress ni we umejitakia mwenyewe,eti nuhu mjenga safina 🤣🤣🤣🤣🤣oh Allah okoa watu wko kabla waangamie,am great full to be Amuslim hii ujinga hautaii ona kw waislamu utapigwa bakora ushangae
wewe bwana ramadhan, unatumia maandiko vibaya na isivyo takikana.You are creating your own contradictions from the bible which is very wrong if we were to look at the quran keenly it has a thousand to a thousand clear contradictions which cannot even be explained.Secondly you are looking for week and amature christians so that you can bully them with fear and lies.tafuta watu waliosoma bibilia wakabobea baba, dont ride on the glory of killing a sick lion. The same way umeisoma quran ukaielewa pia tafuta walisoma bibilia na wakaielewa kwasababu kwa maoni yangu, bibilia hauijui hata kidogo waisoma kama gazeti kwa kupachika maoni yako.wewe naona waelewa quran bakia kwa quran....wacha wanao ielewa bibilia wakusaidie kuielewa....these coversations are one sided and not fruitfull at all...ningependa kusikia mtu akiichambua biblia vile unavyoichambua qurani so tafuta ligi yako achana na watoto wangali wanakunywa maziwa.....it is like a full grow beaded man playing football with a grade 2 kid then going through the villege claiming "tumewaweza"...swali ni umeweza nani?
Huyu mpuuzi sana, nach yetu Tanzania haijatokana na tanzia kama alivosema, Tanzania imetokana na muungano WA Tanganyika na Zanzibar, ikapatikana Herufi zenye neno TANZANIA, wawe makini wasipotoshe watu kwakutaja nchi yetu, naipenda TANZANIA yangu.
Mnayumbishwa na mpumbavu wakati Yesu anaingia sinagogi uisilamu haukuepo .sinagogi. au msikiti ulikua makutaniko wawayahudi sasa kwaakilizenu Muhammed alikuako kwenye hilo sinagogi
Yesu mwenyewe akasema watajitokeza wengi nyakati za mwisho na kujiita yesu,huyu anavaa kupigwa burukenge sana,eti yesu amerudi Mara ya pili,alisema atarudi Kama mwizi nyinyi ni pumbavu sana
Duh Kaka ebu wahubiri hao maake tafsiri zao na maelezo yao hayaendani. Sasa Yesu huyo asulubiwe afufuke ndio tutaamini. Alisimama mkono wa kuume lini huyu jamani
🤣🤣🤣 nacheka kama mazur ila hii dunia ina mamb jmn. Shukran sana shekh Rama na wenzak endeleen kuizindua dunia ukwel na uongo utajipambanua kwa wenye akili In Sha Allah