Тёмный

MAMA YAKE HAJI MANARA AZUNGUMZIA NDOA YA MWANAE KUOA MKE YANGA/AMSHUSHUA NUGAZ 

Bona Tv
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 51 тыс.
50% 1

Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MAMA YAKE HAJI MANARA AZUNGUMZIA NDOA YA MWANAE KUOA MKE YANGA/AMSHUSHUA NUGAZ
#BonaTV #Exclusive

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 76   
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Mashallah mama manara umependeza sana ❤🇹🇿🇨🇭
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 года назад
Mama saut yake nzur ma sha allah
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
I wish all mother's to live long life by the grace of God,I lost mine in 1994,now am a mother of 3 but still whenever I remember my mom,tears flows down on my cheek's it hurts so much😭😭😭😭😭😭
@severinemabirika2249
@severinemabirika2249 3 года назад
Be strong ,your mom left you in agony but look how God has given you joy...mother of 3 !! What a blessing and allow me to guess ,one of your kids has been named after your mom's name ,if that's so then your mom still lives amongst you not in physical form but spiritually...and if God hasn't blessed with a she-baby ,one day God will and don't forget to name her after your mom's name ....stay blessed and pray for your beloved mom
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
@@severinemabirika2249 thanks. indeed among my 3 kids I only have 1girl,my last born,she 8 at class 3,she doesn't have my mom's name because I married a Musilim husband her name is ILHAM also I gave her a Christian name FARAJA but she has that look,from hair to toe she took everything frm her granmaa and each time I look at her I feel so,so blessed.
@hamidahamdun3646
@hamidahamdun3646 3 года назад
Mama manara na mama wa mashabiki wote wasimba, mama mzuri, mama mwenye busara zake. Tunakupenda wana simba sababu kaka manara ni dam dam na simba
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Mashalaah Mama mwenye busara zake
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 3 года назад
Ma shaa Allah
@omaryabdala6494
@omaryabdala6494 3 года назад
Mnyonge mnyongeni lekin haki yake mpeni mom manara una busara mno jmn na ume damshi
@alshabje7185
@alshabje7185 3 года назад
Mama Haji hongera mama usijali kutukanwa uko msemo ukisa mtii wenye matunda daima hupopolewa kaza moyo wewe ni mama 👍🤲🙌♥️💋💐
@mariamstephano5892
@mariamstephano5892 3 года назад
Hongera mama unaheshima sana
@ashamaganga8215
@ashamaganga8215 3 года назад
Mama umependeza mashaallah kumbe Kaka kakulanda weyeeeeee
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 3 года назад
MASHAALAH 💖💕💓💗💞💝❣💟💙💚💛💜💥💌
@jimmycroud1027
@jimmycroud1027 3 года назад
Inshallah mama yetu mungu akubalik kwa busara zako mama🙏
@darumod5266
@darumod5266 3 года назад
Uko vizur mama
@darumod5266
@darumod5266 3 года назад
Shukrani mama
@moodychanday9220
@moodychanday9220 3 года назад
Kuwa na Mama raha 😢😢 namlilia wa kwangu. R. I. P 😢😢
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
tuko wengi😭😭😭😭
@uwangabechantal720
@uwangabechantal720 3 года назад
Pore sana mung akutie nguvu
@sophicatesalim9757
@sophicatesalim9757 3 года назад
Mungu awarehemu mama zetu
@uwangabechantal720
@uwangabechantal720 3 года назад
@@sophicatesalim9757 pore sana tuzidi kuaombea wapumuzike salma mung anamakusudi yake tusimuraum
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 года назад
Kumuombea dua ndio jambo jema zai
@aliabass9392
@aliabass9392 3 года назад
Hongera sana mama Yaji manara
@joycemmbaga8182
@joycemmbaga8182 3 года назад
Umedamshi sana
@naimaseif7615
@naimaseif7615 3 года назад
MASHAALLAH
@rahemaally274
@rahemaally274 3 года назад
Kweli kabisa dada yangu waambie ukweli matusi yanauma sana
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
Mama hongera
@aishahemedi7869
@aishahemedi7869 3 года назад
Mashaallah mama
@zukrabuethi5068
@zukrabuethi5068 3 года назад
Njia rahisi na salama ya ASILIA kumaliza tatizo la kiba100. - Kama wewe ni kijana au baba na umekuwa na changamoto ya kiba100, na umesha tumia vitu vingi kumaliza changamoto hii bila mafanikio, basi ninahabali njema kwako 🤩 - Hii sio changamoto inayo weza kutatuliwa hospital bali unahitaji kutambua chanzo cha tatizo hili kwako, kama ni la kuzaliwa nalo au limetokana na mabadiliko ya mwenendo wa maisha yako. - Kama lakuzaliwa nalo jibu ni kuwa unahitaji pacha wako kufurahia tendo, kama sio unahitaji kutambua aina ya vyakula na kutumia kisha kufanya zoezi la kuboresha msuli wako na kwa muda wa siku 15 mpaka 60 ukizingatia unamaliza tatizo hili. - kama wewe upo na changamoto hii, basi usisite kuwasiliana nami WhatsApp au sms ama kwa kupiga simu, kisha nami nitakupa tiba kamili na ya asilia isio na madhara baadae kumaliza changamoto hii. - Mawasoliano yetu Number- 0659982160.
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 3 года назад
Sasa itakuwaje ndoa hapo tena
@khadijanajath7417
@khadijanajath7417 3 года назад
Maashallaah mama wa khajj...
@idrissaothman5692
@idrissaothman5692 3 года назад
Nakupenda mama
@radhiaoman2454
@radhiaoman2454 3 года назад
Mama ni mrembo sana
@mendoramasaki3567
@mendoramasaki3567 3 года назад
Safi sana mama
@darpmchome3538
@darpmchome3538 3 года назад
Kupewa jenzi sio ndio kuhama chama mama kama we unavyo ipenda Simba hata mkwe wako naye anaipenda Yanga
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Mashallah
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 года назад
Hongera sana mama
@hatibusozi622
@hatibusozi622 3 года назад
Mama mkazamwanao abaki yanga msimshawishi kua simba mtakua hamkumtendea hak
@gracerosi6179
@gracerosi6179 3 года назад
Jaman manara kumbe mamaake manara nimdogo iv unahak yakulinga
@zainabhakizimana6990
@zainabhakizimana6990 3 года назад
No 1
@zainabcherobon
@zainabcherobon 3 года назад
Mama amepambwa na nani jamani ungekuja nkakupamba vizuri.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 3 года назад
Make up nyingi
@ibrahimalbusaidy8136
@ibrahimalbusaidy8136 3 года назад
Nice beautiful mum
@pilirwambo3418
@pilirwambo3418 3 года назад
Mama mpole wallai
@tatuamidu40
@tatuamidu40 3 года назад
Kumbe haji anafanana na mama ake
@zukrabuethi5068
@zukrabuethi5068 3 года назад
IFAHAMU PID na tiba zake -haya ni maambukiz I ktk via vya uzazi -ni ugonjwa hatar unao wapata wanawake DALILI ZAKE 1.Kuwashwa sehem za siri 2.kutokwa na uchaf uken 3.kutokwa na harufu mbaya uken 4. Maumiv makal I chin ya kitovu. 5.uke kuwa lain 6.maumiv wakati wa tendo 7.kutokwa na majimaji uken 8.maumivu wakati wa kukojoa. 9.homa, uchovu.,kizunguzungu MADHARA YAKE ugumba, Kansa ya shingo ya kizazi na aibu TIBA ZAKE Watsapp/piga 0659982160
@ashamagembe8089
@ashamagembe8089 3 года назад
Umekosea kubandika kope mpenzi mama yake hajji
@jimmycroud1027
@jimmycroud1027 3 года назад
Wew inakuusu nn achen ushamba bhana wa utopolo wenu
@jimmycroud1027
@jimmycroud1027 3 года назад
@@ashamagembe8089 ww unantuletea utopolo
@ashamagembe8089
@ashamagembe8089 3 года назад
@@jimmycroud1027 👍
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 года назад
Kweli Kama zinamkosesha raha
@jimmycroud1027
@jimmycroud1027 3 года назад
@@shangwekamando2599 ww znakuusu nn c uweke na ww nyie ndo wale wale
@salmaomary979
@salmaomary979 3 года назад
Siipend iyo kauli et heshima yako
@thabitmohamed8744
@thabitmohamed8744 3 года назад
Muambie uyo mwanao nae aache kutukana watu nae atatukanwa tuu
@jimmycroud1027
@jimmycroud1027 3 года назад
Wew acha upimbi ww lin manara alimtukana mtu muctuletee uchiz wetu umu kwenye shuuli yetu
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Ovyoooooo, kakutukana Lin unataka kik boya weee
@fettymkiny5680
@fettymkiny5680 3 года назад
Inatakiwa ujifunze kupitia hii shereh ..kila kitu wamegaramia yanga ...kwamba mpira sio ugomvi ni utani ...na ajira yake n kuwakera yanga na kuiongelea simba
@fettymkiny5680
@fettymkiny5680 3 года назад
@Simon Charles iyo roporopo ndo iliyomsaidia ad akaajiriwa kuwa msemaji jitahid naww kuropoka unaweza fkiliwa ata kuwa mc wa familia yako
@jacklinemwanga1691
@jacklinemwanga1691 3 года назад
@@fettymkiny5680 😂😂😂
@dorislema1814
@dorislema1814 3 года назад
mama kapga makeup uzee wote kwisha
@ayshakayeko2043
@ayshakayeko2043 3 года назад
Hahahaaaa umeonaee mpaka macho yamekuwa madogo
@cleopakamanga7889
@cleopakamanga7889 3 года назад
Haa
@severinemabirika2249
@severinemabirika2249 3 года назад
Mnafundisha nn watoto? Mwandishi; mama heshima yako? Mama; marahaba Nn maana yake?
@kisesamwilima6952
@kisesamwilima6952 3 года назад
Kwa kweli hata mimi sielewi, najaribu kupuuzia ila yanakera, hii 'heshima yako' imetokea wapi?
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 года назад
@@kisesamwilima6952 mi mwenyewe siwaelewi Haya mapimbi
@rahmaadam9957
@rahmaadam9957 3 года назад
@@shangwekamando2599 labda kaona mama ni mdogo sana
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 3 года назад
Mama mrembo
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 года назад
Kweli mama ni mrembo hilo halina ubishi pamoja na umri wake anaita mbaya!!
@zuuzuundotterz4032
@zuuzuundotterz4032 3 года назад
😂
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 3 года назад
Mashallah mama
Далее
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн
Cook with Wema Sepetu - S05E05 Didah Shaibu
8:07
Просмотров 141 тыс.
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37