Wallaahi sheikh wangu Allah akulipe kheyr umeshafikisha ujumbe huna dimma mbele ya Allah watu wa serikali wanajulikana wanauogopa mfumo Kristo ulioshika hatamu Tanzania nzima mimi naamini kama Rais atatoa tamko la kuzuia uchafu huu kwa nafasi yake hakuna atakaethubutu lakini ni mtihani tuwaachie mizigo yao
Ishini kulingana nanyakati sasa ivi ulimwengu wautandawazi nyimbo hazitapigwa kwenye tv na redio vp kuhusu smart phone hawataangalia kwenye tv sawa je kwenye cmu pia mtazuia? Mkitaka kuliweza hili nawashauri mpige marufuku cmu kuuzwa Wala kutumika zenjy Dunia yautandawaz huwezi kushindana nayo
@@joycedimoso8648tatizo siyo wakati ila wanatembea uchi wanaharibu maadili, leo mashoga na malaya wote wa Afrika Mashariki wamejaa Zanzibar, wanapanga mageto kufirana nje nje yani ni hatari zaidi ya hatari, kwa huo ushenzi wanaoufanya huku hiyo Dar inasubiri... wadada kutoka Dar na maeneo mbalimbali wanatembea nusu uchi kwa ajili ya kujilengesha kwa wazungu.
Wote hao wapigwe marufuku kuingia Zanzibar kuanzia Diamond na harmonize na hawara zao, Mwijaku, babalevo, gigy money, wema sepetu, whozu, lulu diva, shilole na mahawara zao na wengine wote wenye tabia chafu wasikaribishwe tena Zanzibar wapewe marufuku kuingia,
Usiogope sema haki halafu hata wanamziki wasikaribishwe ikulu inakuaje wanamziki wanakwenda ikulu namuomba rais wanamziki niwatu wabaya wstaiharibu jsmii
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo huyo Sheikh, Haswa hao wanaojiita wasanii na watu maarufu kutoka bara ndiyo wanakuja Zanzibar kufanya maasi na uchafu wao huo na kuvaa nusu uchi, Kwakweli wanatuharibia vijana wetu, Mie naomba Serikali ya Zanzibar isiwakaribishe tena hao wasanii kutoka bara wenye maadili mabaya pamoja na huyo binti wa kizanzibari Zuchu na hawara yake Diamond.
Ikiwa mnaweka sharia ktk nchi lazima Raia awe na kitambulisho ataweza kupata huduma za serika halafu raia ananyimwa kwa makusudi hamumpi. Halafu mnategemea hao wataweza kusimamia maadili ya Zanzibar? Wakati vitambulisho vya Mzanzibari wanapewa machangudoa wanaokuja kujiuza .
@@TunauzaSimu-fn2ff ndio nikasema hawezi kusimamia km alivosema brodher hapo juu mana vitu simple tuu ni kurudisha yale ya zamani na mrejeshaji ni serikali na msimamiaji ni serikali sheikh na jamii kazi yao kutoa taarifa tuu laa sio hivo basi tutakauka mate kwa kusema na hawezi kusimamia hilo chezea Muungano ww
Serikali inakwepa jukumu lake,wao ndio waliokula kiapo kuilinda katiba ya Znz,tumuulize Mh.Rais kwa mujibu wa katiba ya Znz hapo Unguja bar zilitakiwa zisidi ngap?jee! Sasa hivi zipo ngapi?,jee! Mwinyi huyajui yanayoendelea CCM mkoa pale Amani?,kuna kila aina ya uchafu unaofanyika pale,jee sio wewe mwenye mamlaka ya Zanzibar kwa sasa?nani wa kuyazuia hayo kama sio wewe!!,leo unashindwa hata kuitetea katiba ulioiapia!!
Mimi namuunga mkono huyo ndugu yetu alichosema. Naishi nje pia lakini napenda sana kutazama filamu za Tanzania na yale watu binafsi wayawekayo kwenye mitandao ya kijamii. Kwa kweli inasikitisha sana. Yaonyesha watu wamesahau kabisa mila na tamaduni zetu. Watu hujionyesha uchi bila hata ya aibu. Twawatayarishaje watoto wetu kuwa raia bora iwapo waendelea kuona mambo kama haya kila siku! Serikali ni lazima ziingilie kati jambo hili ili kuweza kudhibiti kutokea kwa mambo kama haya, tafadhali. Ahsante.
Mashaa'lLah tabarak al Rahman JazzakalLah khairan akhui yangu 👍💯 kiukweli maneno uliyoyasema hakuna anaethubutu kuyaongelea hayo kiukweli Uliyoyasema ni maneno ya AlLah Azza wa jaalLah!!!❤❤❤❤
Ndgu yangu ndimi.Maadili ni maadili hakuna cha mtanganyika wala m znz,kwani zamani hata bara wanawake walikuwa wakitembea uchi no ni kuiga mila na desturi za watu wa magharibi wasio na maadili.Maana hata wazungu wenye maadili hawavai hivyooo.Mimi nafanya kazi na wazungu wenye dini mbona hawaendi uchi ni utovu.Sikiliza hata hotuba za trump amekemea mambo hayaaa hayaaa ushoga,uvaaji ovyo nk.Lakini dunia ukikemea hayo unaonekana huna maana.Magufuli alikemea sanaaa upuuzi huu.Ni mambo ya kipuuzi kabisa.Ungemsikia juzi museveni nae anakemea hayaa hayaaa.Ni self discipline tuu imepotea hasa kwa aina hii ya vijana wa sasa hviii na kuiga mambo ya kishoga shoga na usagaji ndio balaaa linaanzia hapo.
Alhamdulillah. Allah akulipe kheri zako kwa ujasiri ulousema. Na umalaya pia umezidi madanguro yamezidi. Jamaa zake wa bara ndio walojaa znz hakuna ustaarab kabisa.
Hakika sheiykh umefikisha. Allah Azidi kukuongoza. Zanzibar Imeharibika inaikimbiza Tanganyika kwa upotevu wa maadili. Kila rais zanzibar ni Muislam. Mawaziri wakuu wa mikoa hadi chini ni waislam lkn hujifanya Uovu uliopo znzbar hawauoni kwa kuhofia Ajira yao. Amri Inatoka tz bara. Jipangeni kumjibu Allah.
Sahihi kabisa sheikh wetu umefikisha vilivyo na viongozi wakae chini kulitatua hili tatizo maan vijana wengi sas wameharibika sana na hii sanaa ya Muziki.Nafikili wangeondoa tu maan haina faida yeyote kwa jamii zaidi ya kuharibu vijana
Kweli hilo lishughulikiwe kiingozi asimame imara kwakweli wanaume zama hizi ndio wanajistiri mno ila wanawake wao ndio matangazi yakila kitu ipigwe marfuk tusiwasikilize wazungu wasemavyo ety haki za binaadam hizo ni njama zao tu za kupotosha watu
Kweli dada na safari ya skuli au madrasa inaanza nyumbani na sie tuanze na kwa sie wenyewe tuwache muweka ma help me kwanza na kujipamba tukitoka tuwache na mchanganyiko na kujitowa haya khasa katika siasa vyama vyote vinawashirikisha vibaya wanawake
Alhamdullillah umefukisja Shekh ata uku bara natamani tungepata wakutisea kama wewe maadil yamealibika sana sana umefikisha Shekh nasi ni shahidi kwa hilo
Anachokizungumza mzee ni sahihi utamskia rais anawaagiza masheikh suala la kukemea maadili wakati anajua kwamba yeye anayo nguvu kubwa ya kuondosha uovu kwa mikono yake na kwa mdomo wke.
Mashallah ❤❤❤❤❤❤ Shukran Mh Rais Dr Hussein mwinyi umejibu vizuri sanaaa safiiii kabisaaaaa sahihiiiiiiiiiiiii.media mitandao etc zote na wazee na kila mtu ktk jamiiiii wanawajibu wa kuongozana na kuelewesha jamiiiii ❤❤❤❤ sio serikali peke yake .
Subhanallah , hakuna anaepinga hilo kwamba kila mmoja anao wajibu wa kukumbusha, lakini mtume SAW amesema kuna njia tatu za kuzuwia uovu isitendeke , Njia ya kwanza kuzuwia kwa mkono wako, Njia ya pili kukemea kama uwezo wa kuzuwia huna kama mzee wangu alivyofanya hapo . Na njia ya tatu ni ys kuchukia ingawa huko kuchukia ni udhaifu wa imani. Hivyo rais kama kiongozi mkuu wa nchi hana njia ya kukwepa sababu yeye leo akitamka tu kuanzia leo marufuku muziki Zanzibar akimaliza kutamka tu tayari Zanzibar itaanza kupiga hatua maana amri itakuaimetoka kinachofata ni utekelezaji , ukituletea mziki ni kichapo tu kila mmoja atakaa kwa heshima na adabu,
@@NaglaSaid-jn1xo Hana Nia ya hayo aloyasema Allah atuongoze sote maana haiwi harusi tu ya mtoto wake alivyo vishwa utupu na video kurushwa kwenye you tube na sasa imekuwa fashion siyo yeye tu hapana sote tunajisahau siku hizi Allah atusaidie sote kuwacha
Usimsifu bure yeye ni uli amri atanabahishwa kajitetetea tu hapo aonekane kama anataka kuyafanya yule dada alokuwa akisema khabari za ushoga na mengine wakiwemo mauwaji mbona hatujasikia wahusika kupandishww mahakamani
Ni kweli muwongo hana nia ya maadili hata chembe kajitowa tu kimaso aonekane kama nae hafurahuwi mwanawe siku ya harusi Subhanallah nguo alovishwa machuchu yakionekana haaa asitudanganye na kama ana Nia kweli basi mabaa yalojaa amani na miziki ayapige marufuku hatutaki sanaa za uharibifu
Sanaa hiyo unayosema ndiyo viongozi wanategemea wasanii ili kuwashawishi wananchi kukusanyika kwenye mikutano yao, " vigumu sana kwao sasa" kuwakataza! 😂
Sahihi kabisa piga marufuku zuia kabisa najua watajitokeza wengi kusema mnakiuka haki za binaadamu ubaguzi waambueni sawa hatutaki hiyo laana ni aibu mungu atunusuru yani hata hayawani hafanyi hayo
Na wageni wasio na dababu za kuishi Zanzibar waondoke kuna raia wanaishi wala hawana kazi wala sio wafanya biashara wanazurura tu...sisi tupo mchi za Arabuni huku lakin huwez kuta mtu anazurura akiwa hana kazi na ukigundulika unashikwa na police vipi kuhusu Zanzibar?????❤❤❤
Nilisema na mimi km serikali haingilii kati mashekhe mate yataganda na serikali hii ya mapinduzi hakuna litakalokua 😅 naona majibu ya Rais yy kishajitoa anakwambia tiktok hawezi kuchukua khatua mambo yataendelea km kawa