Тёмный
No video :(

Mambo (10 ) Muhimu Ambayo Lazima Uyaache Ili Ufanikiwe - SEHEMU YA KWANZA 

Joel Nanauka
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 79 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 119   
@jeremiahkafyulilo3758
@jeremiahkafyulilo3758 4 месяца назад
Daa umebadirisha maisha yangu asanteeee
@leylasuleyman1136
@leylasuleyman1136 3 года назад
Joel mm tatizo langu nataka vitabu shida yangu kubwa sana
@user-ub8xt5dj8b
@user-ub8xt5dj8b 11 месяцев назад
Hongera kwa somo
@merryhussen2775
@merryhussen2775 4 года назад
kwakweli njinsi ya kusevu pesa nashidwa kabisa naeza tunza mwezi mmoja badae nazitumia unanisaidiaje
@mosesfrancis8495
@mosesfrancis8495 Год назад
Hakika 👊
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 4 месяца назад
Nani anaiangalia hii tena leo 15/04/2024..?
@aidankazoba6699
@aidankazoba6699 5 лет назад
Nimefikisha miezi mitatu sasa tokea nimeanza committment kubwa sana maishani mwangu. Bila shaka kwa kipindi kilichobakia cha miezi mitatu naona ni kifupi zaidi maana hapa ndipo palipokuwa na changamoto sana.!
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 лет назад
Thanx bro.....umenibadilisha sana kifikra....Mungu akubariki.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
erick Msallenge nashukuru sana Eric tuendelee kujifunza
@drkatole8007
@drkatole8007 6 лет назад
Asante sana kiongozi kwa masomo nimeyatumia nianza kuona mabadiliko mabo 10 malizia sehem ya pili asante sana.
@luciewajesus731
@luciewajesus731 5 лет назад
Nimeghairi sana mambo na majuto ikawa mjuku bali nashukuru nina mabadiliko, ninamatumai kufanya vema zaidi, zote uliyoyasema ni kweli mwalimu wangu 😍😍❤🙏
@fabianfedias86
@fabianfedias86 2 года назад
Safi sana kaka umenisaidia sana
@amosbinmahona9947
@amosbinmahona9947 6 лет назад
Bro umenisaidia sana najiona mbali kutoka kuuza mahindi ya kuchoma mpaka kumili daladala hiace si mchezo maana kuna watu wanakatisha tamaa.
@devothapeter7600
@devothapeter7600 6 лет назад
asante sana kaka Joel umenibadilisha kifikira mungu azidi kukubariki
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 года назад
Tunahitaji vitabu vyako..
@danlaizer9557
@danlaizer9557 6 лет назад
Barikiwa sana kaka Joel mungu akupe hekima ya kufundisha watu bureee
@vilucks2832
@vilucks2832 6 лет назад
SHUKRANI SANA KAKA me nahitaji vitabu chako nitapata vp
@ezekielmwasamboma9953
@ezekielmwasamboma9953 4 года назад
Nimejifunza kitu muhimu sana kupitia mafundisho yako! Really I'm unique! Maoni ya watu hayapaswi Ku dictate my destiny! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
@castosanga7806
@castosanga7806 3 года назад
Daaa nimekuelwa
@racheltanzania3198
@racheltanzania3198 5 лет назад
Vitu unavyo ongea ndo vipo kweny maisha yang kabisa asante kwa kunipa muongozo.
@anastaziarutatina8739
@anastaziarutatina8739 6 лет назад
Ni jinsi gani mtu anaweza kuepuka kujutia makosa ya zaman.Asante sana kwa msomo yako aisee.
@elvisnzovu1869
@elvisnzovu1869 5 лет назад
Asante bro, kwa mafundisho yako
@kidemimsuya4198
@kidemimsuya4198 4 года назад
Nimeelewa
@festofabian285
@festofabian285 3 года назад
Uko vizuri
@loympangala4330
@loympangala4330 6 лет назад
Mi pia nilipanga kuweka akiba but mpaka now cjafanikiwa
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Loy Mpangala pole sana anza leo
@ablysonco8850
@ablysonco8850 5 лет назад
Ghairisha...kughairisha...mambo ya mcng/ muhm.
@ellynkwama8603
@ellynkwama8603 6 лет назад
Asante kwa elimu nzuri uliyoitoa.
@gervassimbeye4697
@gervassimbeye4697 5 лет назад
Shukrani kwa ujumbe mzuri
@superiusmuhamba2043
@superiusmuhamba2043 5 лет назад
Safi sana Joel kuna mambo mengi umenigusa. Napenda sana presentation zako kweli unajiandaa na zina mantiki. Mungu akubariki sana
@user-uv8ci5lg9e
@user-uv8ci5lg9e 6 лет назад
Asnt kk mungu akuzidishie love u
@iragibarumi8435
@iragibarumi8435 6 лет назад
Thanks so much. Umenifanya. Nijitambue nzaidi
@yasintamwallongo6187
@yasintamwallongo6187 6 лет назад
Thanks God bless you
@cars0070
@cars0070 6 лет назад
Bro ur nimekusomakiundani zaidi thenks
@shabanhamis8465
@shabanhamis8465 6 лет назад
nakubar sana
@molegend2672
@molegend2672 6 лет назад
Elimu ya bureeee
@iddosanga9749
@iddosanga9749 6 лет назад
nic wrk
@shd12m55
@shd12m55 6 лет назад
Toka ni subscribe channel yako hakyamungu naanza kubadilka kisaikolojia ndoto yangu ni kuwa mwanamuziki mkubwa sana ila toka nikatishwe tamaa na jamaa mmoja hv pale times fm niliachana kabisa na harakati hizo zilizo ktk moyo wangu ila najihisi kuzaliwa upya toka nianze kutazama video zako naomba ucjeniacha njia panda thanks bro
@erastobefoodproducts
@erastobefoodproducts 5 лет назад
Ubarikiwe Sana Kaka endelea na huduma hiyo nzuri,naendelea kujifunza mengi kupitia wewe kakika hicho ndo kipaji chako kakika,,usiwasikilize mockers people🙏
@aishajeshemtengea9884
@aishajeshemtengea9884 6 лет назад
Thanx kaka nimejifunza
@mariammasatu4785
@mariammasatu4785 6 лет назад
Thanx bro ubarikiwe sna
@omarramadhani767
@omarramadhani767 6 лет назад
dah bro uko sawa ú mad me cry tupatie contact yk mz
@marthasaranga4725
@marthasaranga4725 6 лет назад
Huu ugonjwa umenipotezea muda sana ''people's opinion!Hiki nilihitaji kujifunza tangu zamani!Haya mambo 10 ni kama umetumwa kwangu.Sijuti kufahamu huu uchochoro.
@aronijuma1913
@aronijuma1913 5 лет назад
No word Salute you bro
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 года назад
Bless you always
@reganleonard582
@reganleonard582 5 лет назад
duh,somo limelielewa ,axante aisee
@norbertsam5430
@norbertsam5430 6 лет назад
Superb bro!
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 года назад
Thanks my mentor
@Unknow9473
@Unknow9473 6 лет назад
mungu akubariki Sana kaka
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
🔨🙏
@liliancharles7111
@liliancharles7111 3 года назад
Thx god bres u
@shiksshiks8494
@shiksshiks8494 6 лет назад
Life changer!!😘😘shukraaan
@maryamkhatau4038
@maryamkhatau4038 5 лет назад
Umenena sahihi kaka Mimi nimedhulumiwa na ndugu zangu Wa damu lakini nimeogopa lawama kuwapeleka mahakamani japo najua kuwa nipo kwenye haki na nikifungua kesi nashinda lakini sijafanya maamuzi sahihi kwa kuogopa lawama
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 6 лет назад
Safi sana
@towardlearningsuccess4465
@towardlearningsuccess4465 6 лет назад
Great talk brother.Keep going
@jaalabenterprises6744
@jaalabenterprises6744 3 года назад
For sure.
@fatmarashid2469
@fatmarashid2469 6 лет назад
Am learning
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Fatma Rashid thanks karibu sana
@anerphylunduno3129
@anerphylunduno3129 6 лет назад
Bro nimekuelawa sanaaa
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Anerphy Lunduno karibu sana
@sofiyachobo9450
@sofiyachobo9450 5 лет назад
Kala nimeusoma
@kassimmbalazi6167
@kassimmbalazi6167 5 лет назад
Asante kaka
@jofreymaliselin2070
@jofreymaliselin2070 6 лет назад
nakubari
@shabanhassanishabanhassani2913
Joel ninakuelewa sana
@sheillahchisika8414
@sheillahchisika8414 6 лет назад
Barikiwa kaka kwa mafunzo mazuri
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
sheillah chisika Ameen ahsante sana
@hamisimgaya7889
@hamisimgaya7889 6 лет назад
Nakukubari xana kk na video zako zinanipa mafunzo ya kuniongoza ktk maisha
@khaleedndoni5707
@khaleedndoni5707 4 года назад
Kaka ninakukubali sana kikubwa nachoweza kusema nakuombea ubarikiwe sana, naweza kusema mengi ila yasitoshe
@yetenesnzogela561
@yetenesnzogela561 6 лет назад
you change my mind brother!! be blessed..
@barakakulinga6193
@barakakulinga6193 4 года назад
Me too
@mohammadmpinga7404
@mohammadmpinga7404 6 лет назад
Kaka Kilasiku Najifunza Vitu Vipya Kutoka Kwako Nakushukuru Sana Kwa Kutupatia Elimu Bora..Natamani Kufahamu Tabia Zinazofanya Watu Kuwa Wavivu Na Njia Zinazoweza Kuzuia Uvivu..
@jastinimajaliwa
@jastinimajaliwa 6 лет назад
Nilidharauliwa sana nilipokuwa mdogo, ikapelekea namimi Kujidharau na kuona kuna vitu siwezi kufanya.Ahsante Kaka kwa hii video kwani imenisaidia sana.Mungu akubariki.
@deenassormoretv4885
@deenassormoretv4885 5 лет назад
thanks
@annymdg7647
@annymdg7647 6 лет назад
It's tat i was the topic of the day hv been involved at least in every key bt I 'll change en change for the best.thankx a lot Mr Joel be blessed in everything ure doing ur life👏👏
@abdulmalick455
@abdulmalick455 6 лет назад
Naomba nambayako kk
@annymdg7647
@annymdg7647 6 лет назад
Abdul Malick inbox plx kwa kutumia jina Shalo ondieki ndio uipate plx
@mkombelolepresedar7849
@mkombelolepresedar7849 6 лет назад
Sara Ondieki somo linatolewa Kwa kiswahili kigereza cha nn? acha utumwa ufanikiwe
@annymdg7647
@annymdg7647 6 лет назад
Mkombelo Le Presedar mi ndio njielewa shida niko nayo kwa kiswahili na mi si mswahili shd ni gani ss??then I'm sorry kwa kukukosea km nimekukela kwa hy lugha
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 лет назад
Asante
@simbaplatnumz8288
@simbaplatnumz8288 6 лет назад
daaa sasa Mimi ndugu yangu nafanyaje maana kaz ninayo ifanya siipendi naitaji nibadilishe ila chanzo sina
@ndemboabdul7849
@ndemboabdul7849 6 лет назад
Ok
@mollymartine8350
@mollymartine8350 5 лет назад
Good
@fabianmongela8653
@fabianmongela8653 5 лет назад
Asnte saba broz,but nahitaji kuwasiliana na wewe!
@youngsally3623
@youngsally3623 5 лет назад
Mimi hua nachukua hatua ya Yale unayofundisha kaka lakini nakumbana vikwazo kuuguliwa najikuta natumia pesa nyingi sijui unanishaurije kaka
@youngsally3623
@youngsally3623 5 лет назад
Namba yangu 0745106498
@iddyhamidu8521
@iddyhamidu8521 6 лет назад
BrOo swala la kuakhirisha mambo naomba utengeneze vidio yake
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Iddy Hamidu zipo zitafute
@brhchannel6618
@brhchannel6618 6 лет назад
Blessed Kaka.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Ameen
@simbaplatnumz8288
@simbaplatnumz8288 6 лет назад
alafu doctor Mimi Nina tatzo LA kusaau saau .na kuwa MTU Wa mawazo sana unaweza nisadia
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 6 лет назад
Simba Platnumz reduce and stop puchu
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 6 лет назад
Tupe sehem ya pili
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
shuback mashinga itakuja kesho
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 6 лет назад
Asante Sana bro Joel
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 6 лет назад
Heli ya kuzaliwa lkn....
@nancypretty7576
@nancypretty7576 6 лет назад
Joel Nanauka hi kindly reply me check your what's app pls
@salamahamadi4123
@salamahamadi4123 6 лет назад
Nahitaji no yko mm natak kuanz kufuguwa biashar ilaa sijui nibiashar gani inofaida kidg na mtaj.mdg
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Salama Hamadi 0655720197
@salamahamadi4123
@salamahamadi4123 6 лет назад
Joel Nanauka sante
@sayaomar4299
@sayaomar4299 6 лет назад
Joel Nanauka unapatikana watsup na hii namba.....niko kenya nafata sana mafunzo yako
@teddybihemo9642
@teddybihemo9642 6 лет назад
dah kaka ki ukweli unaniokoa cycologicaly
@kelvinbabwetega2457
@kelvinbabwetega2457 5 лет назад
Vitabu vyako vinapatikana wapi ?
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 6 лет назад
Umeishia jambo la 5 ktk sehemu ya kwanza,nitapataje ulivyoendelea sehemu ya pili
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
michael kessy itawekwa kesho
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 6 лет назад
Joel Nanauka nimeiyona safi
@hassaniyassin1686
@hassaniyassin1686 6 лет назад
Mimi nina tatizo kubwa la kufanya maamuzi dokta katika aspect zote za maisha na zaid huwa nahofia negative consequences za maamuzi yangu...je, ni namna gan naweza kujinasua kwenye tatizo hili???
@kassimmbalazi6167
@kassimmbalazi6167 5 лет назад
Vitabu vyako navipataj
@jacksonmwanyika5697
@jacksonmwanyika5697 6 лет назад
Joel nahitaji uwe mentor wangu nafanyaje ili kuwa na mawasiliano na wewe Mkuu?
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
JACKSON MWANYIKA tuwasiliane 0655720197
@jacksonmwanyika5697
@jacksonmwanyika5697 6 лет назад
okkkk ahsante
@yusraali5981
@yusraali5981 5 лет назад
@@joelnanauka niruhusu kuchukua number yako
@abuuharuna4278
@abuuharuna4278 6 лет назад
Joel unauwezo mzuli wa kuchambua mambo Tanzania ya viwanda inahitaji walim kama wewe
@ellynkwama8603
@ellynkwama8603 6 лет назад
Umeishia kwenye point ya 5,zingine tunazipataje?
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Elly Nkwama angalia part 2 ipo
@norfenvgeraldo9493
@norfenvgeraldo9493 4 года назад
Number ya whatsapp
@isackibrahim2000
@isackibrahim2000 5 лет назад
Shukran sana kaka na mungu akuzidishie zaidi ila kaka samahan naomba uniunganishe kwenye group lako la whattsap na nitakushukr sana namba yang 0763078717
@bitemwita6809
@bitemwita6809 5 лет назад
kaka joel naomba uwe mentor wangu nahitaji kuwasiliana na wewe namba yangu ya simu ni 0763 207124
@yolamufrank3923
@yolamufrank3923 5 лет назад
bro Tafadhali nakupatajee yaani naamini kuna sababu ya Mimi kusubcribe hii channel unanigusa mnooo. 0755630500 namba yangu
@bitemwita6809
@bitemwita6809 5 лет назад
kaka joel naomba uwe mentor wangu nahitaji kuwasiliana na wewe namba yangu ya simu ni 0763 207124
Далее
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,6 млн
EPUKA MTAZAMO HUU - JOEL NANAUKA
17:21
Просмотров 13 тыс.
Njia Rahisi Zaidi Ya Kupanga Bajeti Yako
6:05
Просмотров 260 тыс.
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Mambo Manne (4) Yanayoleta Umasikini
5:49
Просмотров 85 тыс.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Просмотров 444 тыс.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Просмотров 10 тыс.