Nimefikisha miezi mitatu sasa tokea nimeanza committment kubwa sana maishani mwangu. Bila shaka kwa kipindi kilichobakia cha miezi mitatu naona ni kifupi zaidi maana hapa ndipo palipokuwa na changamoto sana.!
Nimeghairi sana mambo na majuto ikawa mjuku bali nashukuru nina mabadiliko, ninamatumai kufanya vema zaidi, zote uliyoyasema ni kweli mwalimu wangu 😍😍❤🙏
Nimejifunza kitu muhimu sana kupitia mafundisho yako! Really I'm unique! Maoni ya watu hayapaswi Ku dictate my destiny! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
Toka ni subscribe channel yako hakyamungu naanza kubadilka kisaikolojia ndoto yangu ni kuwa mwanamuziki mkubwa sana ila toka nikatishwe tamaa na jamaa mmoja hv pale times fm niliachana kabisa na harakati hizo zilizo ktk moyo wangu ila najihisi kuzaliwa upya toka nianze kutazama video zako naomba ucjeniacha njia panda thanks bro
Ubarikiwe Sana Kaka endelea na huduma hiyo nzuri,naendelea kujifunza mengi kupitia wewe kakika hicho ndo kipaji chako kakika,,usiwasikilize mockers people🙏
Huu ugonjwa umenipotezea muda sana ''people's opinion!Hiki nilihitaji kujifunza tangu zamani!Haya mambo 10 ni kama umetumwa kwangu.Sijuti kufahamu huu uchochoro.
Umenena sahihi kaka Mimi nimedhulumiwa na ndugu zangu Wa damu lakini nimeogopa lawama kuwapeleka mahakamani japo najua kuwa nipo kwenye haki na nikifungua kesi nashinda lakini sijafanya maamuzi sahihi kwa kuogopa lawama
Kaka Kilasiku Najifunza Vitu Vipya Kutoka Kwako Nakushukuru Sana Kwa Kutupatia Elimu Bora..Natamani Kufahamu Tabia Zinazofanya Watu Kuwa Wavivu Na Njia Zinazoweza Kuzuia Uvivu..
Nilidharauliwa sana nilipokuwa mdogo, ikapelekea namimi Kujidharau na kuona kuna vitu siwezi kufanya.Ahsante Kaka kwa hii video kwani imenisaidia sana.Mungu akubariki.
It's tat i was the topic of the day hv been involved at least in every key bt I 'll change en change for the best.thankx a lot Mr Joel be blessed in everything ure doing ur life👏👏
Mkombelo Le Presedar mi ndio njielewa shida niko nayo kwa kiswahili na mi si mswahili shd ni gani ss??then I'm sorry kwa kukukosea km nimekukela kwa hy lugha
Mimi nina tatizo kubwa la kufanya maamuzi dokta katika aspect zote za maisha na zaid huwa nahofia negative consequences za maamuzi yangu...je, ni namna gan naweza kujinasua kwenye tatizo hili???
Shukran sana kaka na mungu akuzidishie zaidi ila kaka samahan naomba uniunganishe kwenye group lako la whattsap na nitakushukr sana namba yang 0763078717