Watu wengi wana dhana ya kuwa kama Mungu hajataka huwezi kufanikiwa. Never, hii ndio ile negative thinking. God helps those who help themselves. Mungu husaidia wale wanaojisaidia wenyewe kwanza. Unataka kwenda peponi halafu husali. Au unataka kuwa tajiri bila ya kazi. How come, it is impossible. Kazi ndio msingi wa mafanikio. Asante sana bro kwa kutoa elimu nzuri na kwa hakika wanaokufuata watafanikiwa kimaisha.
Allah akupe shahada wakati wa kufa kwako.wewe na sisi pia.unatusaidia sana bro.alhamdulillah.unatutoa kwenye mawazo mamoja kwenda mengine ambayo ni sahihi Zaid.Allah akubarik
Mifano yako ipo hai sana,unagusa ukweli kinyama, Motivation zinasaidia sana mtu kufanya vizuri kwa kazi na ubunifu zaidi,Ali ya kujituma na kujiamini na sio kulalamika .mind it that kulalamika niwazi umeshindwa kufanya Jambo Hilo, Asante
Who else is watching/listening while cleaning,another boom from bro Ezden, point that hits me harder 1 ibada 2 good friends/ right people 3 self positive talk 4 every day do something towards ur goals Bro keep on inspiring Allah akuzidishie Maalim
Nilikutafuta watsap ukaniskilza ukaahid kunichek then from there najitahd kukutafuta wanidharau. Akhui hujui wengi tumetoka pabaya kuelekea pazur kupitia this channel but tunapokutana n hii ni athar kwetu. Atleast nisubirishe tu kwa busara n hekima Kukaa kimya kunanipa tafsir nyng. OK then Allah akulipe kher kwa hili ulifanyalo umenibadil alhamdulillah. Still goin
Thenks bro we need to at all times have positive auto suggestions (kujiambia mambo mazuri kujihusu) till we attain positive thinking as a daily habit ❤️🇰🇪👑💪🧠
Ahsante na shukran sana Brother. Hongera sana kwa hichi kipind nimekua nikiendelea kujifunza sana kupitia success path. Allah azidi kukubarik na kukupa mafanikio mema. UNATISHA SANA
On the first point brother you are 💯 right. I used to have poor setting boundaries, and most of the people never respected me, and they use to use me, then couple months ago nime jifunza setting boundaries 😂 guess what alot of them dropped and left
Pongezi sanaaa kwakoo hakika weeewe ni mtu mwenye knowledge Pana sana ya kutoa ELIMU.endelea kutupa mafunzo kak naamin kupitia wew nmeanza kuwa na mawazo chanya
sorry to be offtopic but does anyone know a trick to log back into an instagram account?? I somehow lost my login password. I would appreciate any help you can offer me
@Sage Seth I really appreciate your reply. I got to the site on google and Im in the hacking process now. Seems to take quite some time so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
Bro mm hata sijui niseme nn ila mejifunza sana kiukweli na nakuahidi nitawashawishi na wengine naanze kukufatilia ili na wao wapate elimu ninayoipata mm toka siku ya kwanza nilipoanza kukufatilia, asante sana kwa elimu nzuri sana mm nakuombea kwa MUNGU akupe nguvu na uelewa wa mamb zaidi ili na sisi tupate kujifunza kupitia ww zaidi na zaidi.... Me nakukubali sana
I used to be mtu asiekubali kosa kwa sababu when I was young. I used to be criticized for a mistake whether I did or not, so it became a habit ila when I started learning myself, "I controlled myself when I wanna deny my mistakes ila am still a learner hope I will make it." ❤😊
Asante sana Tatu Omary kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!