Mashaalah mungu awazidishiye, hiyo jiwe hiko kwa alkaaba zaidi inatumika tu na alama ya hesabu ukizunguka mara saba una hesabu mara saba kila ukipita kwa jiwe ni kama tu hesabu, wengine hubusu kwa maana mtume alibusu lakini sio lazima kuibusu haisadi chochote ila ni jiwe ilitoka peponi na ikabakia kwa hile jiwe la nguzo ya al kaaba aliye itumia nabii ibrahim alipo amrishwa na mwenyezi mungu,(02 Suratul Al baqara cahpter 127. Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi)
Baadhi ya Wakristo, huwa hawapendi kuelimika ktk kitabu chao cha Biblia. Hata wakisomewa yaliyomo wao hubishi tu. Na kukasirika. *Kweli ujinga ni mzigo wa kubebwa na Treni ya mizigo, Meli haiwezi😂😂😂😂*
Huyo jamaa anaongea pumba nyingi sana . Anaforce eti muhammad ndio kaleta uislam ..... Muhammad alileta quran tu ambayo inamaelezo kuhusu uislam kama vitabu vilivyotangulia kueleza kuhusu uislam kama torati na injili .
Watu wasome Quran wajua ukweli .Quran ni maneno kutoka muumba mwenyezi Mungu akuna mwanadamu mwenye elimu hiyo y science biology n geography ilivo kw Quran