Тёмный

Mambo ya chemka kuhushu maandiko haya maswali yaletwa kama mvua ukweli hufichiki leo ni leo 

Salim Daawah Kenya
Подписаться 49 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 45   
@bahsansheikh6042
@bahsansheikh6042 Месяц назад
Mungu Ampe shifaa na afya, Sheikh Hassan
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Aameen ameen ameen
@muhanedhassanaliofficial955
@muhanedhassanaliofficial955 Месяц назад
Ameen ameen ameen
@suleymanali431
@suleymanali431 Месяц назад
Mashaalah mungu awazidishiye, hiyo jiwe hiko kwa alkaaba zaidi inatumika tu na alama ya hesabu ukizunguka mara saba una hesabu mara saba kila ukipita kwa jiwe ni kama tu hesabu, wengine hubusu kwa maana mtume alibusu lakini sio lazima kuibusu haisadi chochote ila ni jiwe ilitoka peponi na ikabakia kwa hile jiwe la nguzo ya al kaaba aliye itumia nabii ibrahim alipo amrishwa na mwenyezi mungu,(02 Suratul Al baqara cahpter 127. Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi)
@isahbarasa
@isahbarasa Месяц назад
Namiss walimu wetu sana sana Ali MSomaji wetu mzuri
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Inn shaa Allah Ali yupo shuguli za ki family
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 Месяц назад
Sauti imekaa vizur mashallah
@josemu870
@josemu870 Месяц назад
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Aameen ameen ameen sote
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Месяц назад
Maasha Allah...Tabaraka Rahman
@YaktiMasagula-e3k
@YaktiMasagula-e3k Месяц назад
Mungu atafanyia wepesi maana maradhi ibada
@loner_wolf
@loner_wolf Месяц назад
First today. Thumb up👍👍👍
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
@MuhammedKapombe
@MuhammedKapombe 27 дней назад
Allah awazidishie umri na awahifadhi kutokana na kila aina yashari na pia awajaze na Ari io io ya kuelimisha umma
@salimdaawah123
@salimdaawah123 26 дней назад
Aameen ameen ameen sote
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 Месяц назад
MashaAllah tabarkallah.
@SaidMgeni
@SaidMgeni Месяц назад
مشأ الله تبارك الرحمن
@asalamofficial.9893
@asalamofficial.9893 Месяц назад
Msh Allah.❤
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali Месяц назад
Baadhi ya Wakristo, huwa hawapendi kuelimika ktk kitabu chao cha Biblia. Hata wakisomewa yaliyomo wao hubishi tu. Na kukasirika. *Kweli ujinga ni mzigo wa kubebwa na Treni ya mizigo, Meli haiwezi😂😂😂😂*
@AlhajiSaidi-uo8zl
@AlhajiSaidi-uo8zl Месяц назад
mashaallah
@sulimankarusi8345
@sulimankarusi8345 Месяц назад
Wachristo mwambiye huyo anafanya ashame.
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali Месяц назад
Kaisome Biblia yako kwa makini, kila aelezayo yatoa ktk kitabu chenu. Ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
@mamasiham9287
@mamasiham9287 Месяц назад
Allhamdullilah ❤
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 Месяц назад
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
@abdallasuleiman8785
@abdallasuleiman8785 Месяц назад
Mkristo akitia neno lakini ujue ashaelewa ila kukiri ndio anaona ngumu.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Kabisa wataelewa tu inn shaa Allah
@user-ev3pw5me1w
@user-ev3pw5me1w Месяц назад
Alikaba ndio katikati ya dunia
@MwangiMuhammad
@MwangiMuhammad Месяц назад
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.. mazbut Allah awahifadhi nawapenda sana tena awalipe Jannatul Firdaus
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Месяц назад
Wasomaji warudi shule , wapo slow kufikia maandiko.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Inn shaa Allah watazoea
@loner_wolf
@loner_wolf Месяц назад
Isaya 50:1 talaka. Yeremia 3:8 talaka
@bashirmahero7021
@bashirmahero7021 Месяц назад
😅😅watatu walai
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
@sulimankarusi8345
@sulimankarusi8345 Месяц назад
Wachristo nitihani hata Bible ekisoma hakubali. Basi walete Bible nyengine.
@abdallasuleiman8785
@abdallasuleiman8785 Месяц назад
Huyu Mike pia ni time waster. Jaribu kumpa limit pia.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Inn shaa Allah
@loner_wolf
@loner_wolf Месяц назад
Huyo jamaa anaongea pumba nyingi sana . Anaforce eti muhammad ndio kaleta uislam ..... Muhammad alileta quran tu ambayo inamaelezo kuhusu uislam kama vitabu vilivyotangulia kueleza kuhusu uislam kama torati na injili .
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Yeah wataelewa tu inn shaa Allah
@Alithoya-qr7di
@Alithoya-qr7di Месяц назад
Huyu Kila cku ndio swali lake
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p Месяц назад
Watu wasome Quran wajua ukweli .Quran ni maneno kutoka muumba mwenyezi Mungu akuna mwanadamu mwenye elimu hiyo y science biology n geography ilivo kw Quran
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Ukweli kabisa
@EmilyTembo-pg6tg
@EmilyTembo-pg6tg Месяц назад
Wwa
@YaktiMasagula-e3k
@YaktiMasagula-e3k Месяц назад
Shekhe Hassan anaendeleaje na hali
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Anaendelea na matibabu alhamdulillah
Далее
JESUS (Swahili: Kenya) 🎬
2:01:45
Просмотров 3 млн
MUHADHALA ISIOLO TOWN DAY 3 ,MASWALI NA MAJIBU (MPE MIC)
1:09:34