@@salimdaawah123 Yani nikweli kabisa unacho waambia my shekhe, kuna chaneli nimeona hapo kenya wa na santayzi watu, yani maiti mochwari zinaingiliwa na kuna mituraa inauzwa hapo kenya ni matumbo ya binaadamu. Nilishangaa sana. Na mke wa huyo mtu alisema sikuzote akitaka kula hiyo muturaa mume anamkataza na anakua mkali haswa.
ASalam aleikum brothers, guess whos is cooking, Salim on the deck lazima waelewe 2 InshaAllah. Yani salim akishika mic 2 lazima kila kitu kichambuliwe sawa.
mungu awape kheri huyu jamaa wa mwisho ni mkorofi kuropoka tu na kupoteza wakati uchochevu ndiyo ako naye hana elimu yeyote na anaonekana ni mlevi, hayuko timamu usimpe wakati ndiyo hawa wakristo sugu wenzake ndiyo wanashangilia. empty debe make noice hawana chochote kwa kichwa.
Hakuna jina ya Yesu hapa Ephesians3:9 na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote;
Asalam aleykum hao jamaa wanaoleta mchezo na kuvuruga usiwaruhusu hapo huwa wanafanya kusudi hata wakiwa wakiuliza maswali wanamchezo. Yule aliyeruka ruka huwa ni mmoja wao wakataze uwambie kuwa hamupendi machezo.
Malaika Gabriel ambaye die jibreel ametumwa na Mwenyenzi Mungu kwa mtume Mohammad saw kumwambia kuwa dini ya uisilamu ndio njia yake iliyonyooka Sasa shida iko wapi
@@dulividuli5237hakuna dini ya ukristo dini yetu kristo kwa hivyo mimi ni mkristo soma yahana 3:16 Na hii dini yenu ya ukristo sijui mnaitoa wapi 😂😂😂😂😂😂😂😂