Mzee baba tungependea utugusie kwenye suala la lens kwa upande wa simu japo wengine tumeona clip zako za nyuma tuelezee kwa undani zaid tayr umeshatueleze la kuzingatia storege, RAM pamoja na camera sasa hapa kwenye camera ikiwa macho 2 iwe na ukubwa gani len ikiwa macho 3 ziwe na ukubwa gani wide ya gapi au apecher ya gapi! Samahani kwa usumbufu
Leo sijapenda kdg vitu ulivyo tutajia nivile vile vya kawaida sana ambavyo wengi tunaviskia kama sio kuvijua umetueleza juu juuu sana ni sawa kama tunavyoambiwa na wauzaji madukani huko, nilitegemea ntapata madini leo hapa lakini kawaida sana nakuvisahau vitu muhim pia kama chip au processor speaker mic nk
Daaa kaka nimefrah sana kunikumbusha... mm nilikuwa napenda sana simu yenye android mpya ila now nimeamka napenda sana game's sm yang inaganda nitanunua simu yenye ram kubwa
Kk snash naomba namba yako nii save kk unaniiispirw na nakukubali sana kwenye ishu za technology naomba broo plz kk naomba nisave namba yako niwe naona staus zako kk
kuna boya mmoja anasema et we unafany km millard me nikamuuliza.!? Millard anafany review..? akakosa jibu ameniboa sana kukufananish na mtu mwingin snash n mtu pekee unafany kitu ch kipekee inaniuma kufananishw na mtu
@@davidmbogoma2307 nashangaa jamaa anasema camera is the first thing wakati camera si kitu ambacho unakitumia muda wote katika simu na processor ndo kila kitu kwenye device yoyote