watz tunaroho mbaya sana yaaani mandoga anamchukia mwakinyo sio sababu ukwel mwakinyo kausema ila watu hawapendi ukweli mwakinyo ww pambana na yako achana na yawatz
Mandonga ana jizima data rakini nawey mwakinyo hato mjua sasa mtu kirasiku anabondwa arafu apigane na mwakinyo mandonga usitadute kutuletea msiba nyumban sie katafute wakupigana nae broo mwakinyo muache
Wewe mandoga tunaamini kila mtu atakufa lkn siku yakujichanganya ukapigana na mwakinyo siku hiyoyo kama utabahatika tena kuishi basi hutasikika tena maana utakuwa chizi... Watanzania hamna uzalendo mtu akikuzidi mwombe akupe mafunzo .
Ww acha kulopokalopoka kama umekunywa pombe ndomaana mwakinyo anakataa anasema awezi kupigana na warevi mmoja wapo ni ww na wenzako wanaondisi mwakinyo sio levo zenu mkatae mkubali ukweri atabaki hivyo
Nina amini mandonga ume shinda mana jamaa alikuwa round ya kwanza tu alikupiga ngwara arifu duuh yule solo ana kumbatia habariii ebu rudiana naye tena usikubali akukumbatie tena
Mti wenye matunda ni mwakinyo Mta subili sana ila wakati Wa mungu uta wajibu hao wenye chuki nae Wana lazimisha kula jasho lamtu Kwa kupenda mseleleko mwenzao kapambana kufika pale yeye kama anamjua kiongozi wangumi aliye mfikisha mwakinyo pale mataje bule ya ghari iyo bule ya mandonga ita mgalimu asione panchi zinazo mkuta nawatu wanafurahi kuwa Wana mpenda tutapata jibu aendelee kupandikiza chuki Kwa mabondia wenzake kumchukia mwakinyo ilamm naamini mwakinyo ata wanyamazisha siku Moja kwakuto kukipenda chetu niwivu tu una wasumbua wengine SIwalipata nafasi kama ya mwakinyo mbona awaja jiblandi wengi tu mlipata nafasi mkazi chezea Kwa kuwasikiliza wasio penda mafanikio yenu Leo mnaona mwenzenu aliziba pamba masikio Kwa kujua anapotoshwa akafaiti katusua mnamuona daui mwakinyo mungu akutangulie ktk pambano lako la mwezi Wa nane akuondolee chuki na Vikwazo vyote utakavyo kutana vyo mtangulize mungu napia muombee Kwa mungu shabiki yako Namba Moja aliyekuwa na mapenzi ya zati kutoka moyoni nyakati zote ulizopitia mapaka Leo apo ambaye shabiki uyo ndiyo ninae mjua ambaye asinge weza Kuku saliti kama awa wasio lijua walitendalo shabikiuyo ninaemjua mimi shabiyako Namba Moja mwakinyo alikuwa ni malem Mama yako jua binadamu tume jiwekea chuki kwenye mafanikio ya mtu alafu chuki yenyewe Wa aimsaidii kaka kazabuti uwezi kupendwa na wote shukulu maaduizako mungu kakuletea azalani