Safi sana mwamba unacho unacho sema ndio uhalisia na huo ndio msingi wa mtuu anae jiamini ndugu yetu champezzz hakuna bondia hapa nchini wa kufanana na wewe Kama Kuna mtuu anabisha ayakanyage Tanga tunalinga sana na wewe mungu akujalie achana na huyo mapafu ya panzi ni mwimba taarabu
Unamfahamu Mohammed Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi? E ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.
Ulingoni unajitahid tatizo lako maneno mengi kama mtoto wa kike ulipigwa na kaonekana umepata jina baada ya kupewa mabondia ndizi mbona hutaki pambano,huna mafanikio zaidi ya kuwa muuza mgahawa
Unamfahamu Muhammad Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi? Ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.