Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MANENO RICH MITINDO WOLPER ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MACHOZI #Bonatv #Exclusive #wolper
Jack hongera saana. Huyu kijana cmjui. Ila anaonekana ni mstaarabu saana. Na anajielewa. Nakuombeeni muowane na mlee mtt wenu vizuri. Nawapenda saana. ❤️🇴🇲🇹🇿
Mi pia nalia nahata sijui nalia mm nawapenda sana mama p na baba p mungu awape upendo usio na mwisho 😘😘😘🙏🙏 mpaka naumwa na kichwaa yaani kwakulia aki nawapenda bure
Ilove ma p love ba p. Mungu awape wepesi awaepushie vijavi javina mungu awape wepesi. Kuepukane na mabalaa ya dunia mana dunia sio mbya walimwengu ndo. Mikosi. Ya dunia. Nawapenda sana.
Hongereni Ant Ezekiel na jack maana kunakipindi mlikuwa mnadaiyana pesa za vikoba mpka mkawa mnadharirishana kwa mitandao mnatupiana maneno ila Nimefurahi saivi mpo pamoja Mungu Awatunze
Jack i like ubunifu wako wa mavazi hata natamani siku moja nishone nguo kwk ila duuh hayo mawigi yk uwage unajiangalia kabla utoke home km hilo la ck y engagement duuh hatari didnt fit u well