Mungu anavyo mtumia mnishi. Siyo kwamba atamtumia hivo hivo Christin Shusho. Mawazo ya Mungu si sawa na mawazo ya mwanadamu. Njia za Mungu hazichunguziki. So tusimhukumu. Tujipe muda itajulikana baadae, Kama anaongozwa na Roho wa Mungu ama la.
From Kenya shusho kumbuka ulipoanguka mrudie YESU CHRISTO diamond unawakilisha ufalme upi na wewe ufalme upi mimi sielewi ingawa kenya tunapenda nyimbo za injili kutoka tz kiukweli mmetuangusha sana hivo sio YESU tena ni sifa na umaarufu huyu dada alianza vizuri ila asipohubiliwa aokoke tena naona hatari kubwa sana
Shusho Tamaa Ndio imekuingia..... Everything is vanity.....Nyimbo zako za kitambo zilikuwa zanibariki sana lakini.... pesa na umaarufu umekutoa kwa Mungu....Tafakari
righteousness doesn't exist in this world my friend,,,if you think you are righteous then you are mistaken and remember Jesus used to eat and drink with sinners alafu tena yeye amekuja kama mkurugenzi wa Wasafi TV alah naweza eleza mpaka kesho,,,,,Wasafi ndo mojawapo ya media ambazo zitafanya hii album itambe zaidi
CHRISTINE SHUSHO AMA NAOTA??!!! NYIMBO ZAKO ZA KITAMBO ZILIKUA ZINANIPA NGUVU ZA CHANGAMOTO ZA MAISHA! YOU WERE MY BEST!! NAKUMBUKA UKIMRUDISHA RINGTONE WETU KWA GOSPEL I SALUTED YOU!! SASA UMEAMUA KUMSALITI YESU LIVE UKAJIUNGA NA JUDAS ISCARIOT!! 😮😮 MAY GOD RESTORE AND FORGIVE YOU IN THE NAME OF JESUS!!!
Pray for her my dear it's very true there is no any connections between light and darkness the woman now the way you have chosen. Did you heard the voice of God Any way we can't judge we are not God.
Tuendelee kumuombea huyu Dada yetu Christina Kuna mahali ameuacha upendo wa Kwanza sasa anaenda mwwnyewe. Mungu amsaidie ili apate kujua Ni wapi alipo anguka akatengeneze upya na mwokozi aliyemuita. Tunaweza kutafuta kuwa na umaarufu,majina makubwa, pesa nyingi na kila aina ya ufahali lakini tusipo kuwa ndani ya Kristo ni bure. Like:16:19-25
weng kusoma biblia wanajua kuelewa sasa ndio shida ilipo wengne wameishia kua wanafki mbele za mungu binadam tunajipa umungu tunakosoana wenyew hahahahahahahahaha wew unajiona uko sahihi mbele za mungu ?
Hawa waimbaji naona wamepotea,huyu shusho na rose muhando,wameshika njia mbaya kufkia saai,shetani amewateka kabisa,,tangu lini Giza na Nuru vikachangamana? Mungu wa mbinguni awasaidie hawa na wapate ufahamu Tena jaman.
Hakika ni ufalme mwingine ulijivika utukufu wa Yesu,lakini Sasa simba wa kabila la Yuda kautwaa utukufu wake na kuiwekawazi nguvu inayotenda kazi ndani ya huyu dada.
KWA hiyo mmeona mwenye dhambi wa kumhubiri ni yeye tu, au na kakorosho kana changia. Yesu alisema Asiye kuwa na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe, ..ikawaje? Msimlilie yeye, lilieni nafsi zenu na vizazi vyenu. Halafu toeni maboriti yenu kwanza kwenye macho yenu ndo mweze kuna banzi vizuli. Mwacheni mtoto wa watu, Yesu alimfia siyo nyinyi.
Yesu Christo yuaja karibuni na sio karibuni tuu... wakatu wowote. Kama ilivyokuwa.. Dagon na sanduku la again hazikuweza kaa katika chumba kimoja. Ni kuokoka Diamond ameokoka? Kama hivyo sawa... bila hivo mjue tu madhabau ni moja tu na ndio maana mko katika umoja. Ila mungu wetu naye ni wa wivu.. hatoshiriki jukwaa na madhau ingine yeyote isiyomwinamia.
Usihukumu usije ukahukumiwa ukiona mtu kapotea muombee kimya kimya.usihukumu kila hukumu ya mtu IPO mikononi mwa mungu..huwezi jua pengine ndo njia ya kuwaokoa Hawa watu wa dunia..mm sijui nn kipo katikati.kati ya Hawa watu na mungu.anajua mungu mwenyewe.mwacheni mungu afanye kazi yake panapomhitaji zaidi🙏🙏
Shetani kwa Siku hizi anavutiya watu wa Mungu Sana tena Sana. Dada huyu alisha potea Kabisa. Hamuna lakubishi. Tutawatambua kwa matendo. Diamond yeye mwenyewe anamuonyesha Shushu njia yakuzimu
mbonA mnamsonga Sana, hamna mambo yenu yakufanya. Chunge I Sana vidole vyemu, mnatisha.mwacheni mtoto wa watu, au vipi, mlitaka nyie ndiyo mzinduliwe? Mna lenu jambo.
The problem is when the Holy spirit leaves you he doesn't leave with what he brought with him. You will be there thinking the holy spirit is there because you still have the voice you still speak in tongues and perform miracles that you used to do before. Christine it's high time uamue whethe you are in the world or in Christ I pray God restores you back this are end times you just can't afford to fall back that way wewe ungemfanya diamond aokoke badala ya yeye kukuvuta Kwa dunia
It is very difficult to reverse this, it started very far darkness my dear in Christ,what we are seeing evidentially is the manifestation of blood covenant which is irreversible
Mama shusho Mungu akubariki ,maana unatafuta njia huyu jamaa kumrudia Mungu, kila mtu ni mwanadamu anayo nafasi ya kubadilika hakuna kitu kama giza na nuru hazichanganyiki, tunaomba diamond abadilike amrudie Mungu hata kwa ministry ya uimbaji ya gospel
Giza na nuru zinashirika gani, toeni giza katikati ya nuru, tumuabudu mungu mtakatifu, katika roho, na pia kweli, yesu ni kweli tena ndio uzima, na njia ya kutufikisha mbinguni, Mungu ataka sote tumuabudu katika roho na pia kweli, ewe shetani pepo uliomchafu nakuamuru kwa jina lake Yesu, toka nani ya kanisa lake Mungu uende kuzimu ukachomwe moto, tumegundua hila na njama zako, tukuabudu wewe ni kama nani?tunae Mungu wetu yehova, sifa utukufu ni wake milele
Nipe macho nione nione ee! nipe macho nione sawa sawa! E bwana umenichunguza nakunijua wewe wajua kuketi kwangu nakulala kwangu! Christina listen to those two songs and go back to God, I'm praying for you
Wakati alikua na nguo tatu mbaya mbaya upako wa bwana ulikua juu Yake, Leo hi nguo moja ni ya mamiloni ya pesa hadi anasaidiwa kuibeba lakini uwepo wa Bwana umemuacha !!! asipo mgeukia Bwana mwisho wake ni Zaburi 73
Sijaona kitu ya kuhukumu mtu hapa, huezi kemea pepo kabla hujajau source ya hiyo spirit.We must humble and let your spirit to discern what brought these two people together.... If you doubt their union,then pray for them to serve the true God.
Safar ya mbingun si lëlëmama,,haktaingia knyonge,imeandkwa ufalme wa mbingun utatekwa na weny nguvu,,si nguvu za kiume wala kfedha,,n nguvu za roho mtakatifu pekee,,apo shushu jehanamu inakusubir kwasababu shetan ametawala maisha ako kwa %100 na hawez kukuruhusu utoke mikonon mwake ikiwa tayar ulikua mtumish wa mungu
Luka 5 inatuambia Hata alipokwisha kunena aliwambia Simoni tweka mpaka kilindini mkashushe nyavu zenu mvue samaki Simoni akajibu akamwambia bwana mkubwa tumefanya kazi yakuchosha usiku kucha tusipate kitu lakini kwa neno lako nitazi shusha nyavu bas walipo fanya hvyo walipata samaki wengimno 🙏🏻 na neno la bwana lipewe sifa Shusho ame shusha nyavu
Diamond ni zaidi ya muimbaji. He's a music business man. Nyuma yake kuna miundombinu mingi ya kimuziki ambayo hakika itakuwa faida kwa mwanamuziki yoyote. Wengi wanasahau kuwa Wasafi TV Ina kipindi cha gospel ambapo wanamuziki kama Christina Shusho wanapigiwa nyimbo zao. Ni dhahiri Diamond ni mdau wao. Angalia pia namna Diamond alivyoingia kwa "heshima" kulingana na mandhari ya nyimbo za kidini. Anajua anachokifanya hivyo tusiwe wepesi wa kulaumu uwepo wa Diamond kwenye uzinduzi wa album ya Christina Shusho. Ni masuala ya kibiashara.
Yupokidunia mziki anaimba ili apate mahitaji yakila siku kwahapo yupo kinyume kabisa giza na nuru habichangamani kabisa, maandiko yanasema usiwe wavuguvugu mungu atakutapika 😢😢😢
Watu wanajifanya watakatifu sana hapa ...... christian Yuko sawa kumbuka hata mwanafunzi walipo muuliza Yesu mbona unaketi na mtoza ushuru...... Usihukumu usije ukahukumiwa
Sawa na kweli Yesu alikaa na Kula na watoza ushulu na waovu sikwa sababu yao kumudhamini Bali yeye kuwafikia na wokovu. Hawa walikuwa wanatengwa na Jamii hawakuwa na fulsa la kuja Kwa mungu ndipo ili mpasa mungu/Yesu awafikie. Sivyo Kwa Shusho na Rafiki yake huyu. Huyu jamaa ana njia zote za kusika na kumpokea Yesu lakini aja Fanya ivyo
Uko sahihi awa awajajua ukuu wa yesu Bado wanasumbukia pesa Dunia mungu 2 saidie wanaangalia pesa Awana shida nayesu saiv na yesu amewaacha wafate akil zao zisiso faa wa2 wangu wanaangamizwa Kwa kukoxa maarifa hsea 4,6
Shusho ni mwimbaji WA nyimbo za injili ambaye wengi wanapenda sana miongoni mwao mimi ila naumia kabisa kuona ameshirikisha Giza katika mambo yake, yaani alikosa waimbaji was gospel wazindue album yake????
Shusho umeshaamguka,unafanya biashara tu Sasa Shetani na watu wake wanakutumia ,Siku za mwisho zimefika ,wana wa Mungu tazameni malango wanayoingia watu Hawa msishiriki nao
Jamani ivi ni shushu yule ninaye mujuwa awu nimwi ngine? naota awu? Iv umemutupa yesu kwa ajili yapesa sister kumbuka ulipo angukia🙆🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
tongoza afu oa au ni oa afu tongoza? kama lengo ni kuvuta mwanamwali kwa Bwana harusi sioni kosa.......huyu wa thamani kuliko mimi na wewe tulioolewa tayari,Amen?
Ingekua vizuri iyo album angeizindulia church na uyo mond aje kanisani sio mliman sity... Lakin pia watu wapo kikazi awapo kiroho... MUNGU ATUSAIDIE TUU
jesus came to save sinners, so the light is there to overcome the darkness that is nomal, so if Christians have to stay themseves only, then God is not going to save other sinners through us??? pastors and musicians have one job to save sinners through the gospel. that'it.
Dada huyu Mungu akuhurumie na kukurejesha upya. Kifo chako hakijaanza leo, ulikuwa na mafuta mwanzoni hata nyimbo zako zinaishi mpaka leo. Toka ulipoanza kupote kwenye albam ya " umenifanya ning'are" mambo yako yote yalianza kuwa makavu mpaka leo kifo chako kinaonekana live.wanamajina ya kuwa hai kumbe wamekufa......... Yan shetan anàkutambulisha kwa wale waliodhani bado umesimama, angalia usije kuwa kama Brazil.....
Shetani kwa Siku hizi anavutiya watu wa Mungu Sana tena Sana. Dada huyu alisha potea Kabisa. Hamuna lakubishi. Tutawatambua kwa matendo. Diamond yeye mwenyewe anamuonyesha Shushu njia yakuzimu
Lakini huyu dada ameshanganyikiwa tu , Ginza na nuru haishangane, ulianza vizuri ukamaliza vibaya , mungu katika upendo wake akuregebishe umurudiliye tena sababu nyimbo zako zimejenga watu Wengo sana. Akumbuke tena n'a tena.