Тёмный

TAZAMA DIAMOND ALIVYO ZINDUA ALBUM MPYA YA CHRISTINA SHUSHO MLIMANI CITY 

BinaTv
Подписаться 109 тыс.
Просмотров 733 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 658   
@J.E.T_Page
@J.E.T_Page Год назад
Giza na nuru zina shirika gani toeni giza katikati ya nuru tumuabudu Mungu mtakatifu....I love munishi he is the greatest true gospel singer
@madumamaduma8571
@madumamaduma8571 7 месяцев назад
Mungu anavyo mtumia mnishi. Siyo kwamba atamtumia hivo hivo Christin Shusho. Mawazo ya Mungu si sawa na mawazo ya mwanadamu. Njia za Mungu hazichunguziki. So tusimhukumu. Tujipe muda itajulikana baadae, Kama anaongozwa na Roho wa Mungu ama la.
@stanleywaweru1714
@stanleywaweru1714 4 месяца назад
AMEN
@charlesjohn2794
@charlesjohn2794 5 месяцев назад
From Kenya tumeanza kuogopa waimbaji wa nyimbo zainjili hasa wanawake toka tz
@Mwasame_Official1
@Mwasame_Official1 5 месяцев назад
Nikweli kabisa
@eliebongwa8971
@eliebongwa8971 3 месяца назад
wakuwa ya kwamba biblia inasema kwamba Siku wana wa Mungu walipokusanyika pamoja ,naye shetani akaja karibu nao
@JOHNGitau-wk9iy
@JOHNGitau-wk9iy 3 месяца назад
Mimi pia wamenishangaza vya mno. Niliwaenzi kwa dhati lakini sasa imekuwa kinyume
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 Год назад
From Kenya shusho kumbuka ulipoanguka mrudie YESU CHRISTO diamond unawakilisha ufalme upi na wewe ufalme upi mimi sielewi ingawa kenya tunapenda nyimbo za injili kutoka tz kiukweli mmetuangusha sana hivo sio YESU tena ni sifa na umaarufu huyu dada alianza vizuri ila asipohubiliwa aokoke tena naona hatari kubwa sana
@antonykongondo592
@antonykongondo592 Год назад
Ubaya wa kuishi bila mume
@حسن-ح7م1ق
@حسن-ح7م1ق Год назад
Waabudu halisi wataabudu katka roho NA kweli sio nyimbo my dear ww muombe Mungu amsaidie but dont judge the bble says judge not
@antonykongondo592
@antonykongondo592 Год назад
@@حسن-ح7م1ق wakristo halisi wanahukumu dunia dadisi Biblia halisi kaka/dada
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 Год назад
Siz juwa Kuna gospel singers wengine ni freemason kama Mondi
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
Shetani anamnyakua tu mungu amkomboe.
@tunumigila8995
@tunumigila8995 5 месяцев назад
Yesu alioshwa miguu na kahaba. Ukiwa mkristo u got to be very wise.
@bernardotieno4735
@bernardotieno4735 3 месяца назад
Kongole sana Dadangu
@mnjaladonald9834
@mnjaladonald9834 3 месяца назад
Shusho Tamaa Ndio imekuingia..... Everything is vanity.....Nyimbo zako za kitambo zilikuwa zanibariki sana lakini.... pesa na umaarufu umekutoa kwa Mungu....Tafakari
@godfreyteeny768
@godfreyteeny768 Год назад
Dada shushu jua vizuri Leo utukufu wa Mungu humwacha mkisto kwa njia hii.hujamtendea Mungu hakiii
@حسن-ح7م1ق
@حسن-ح7م1ق Год назад
Judge not son of man pray for her and God said true worshipers shalk worshipers in true and spirit
@johnnjenga8001
@johnnjenga8001 Год назад
The line between righteousness and the world is becoming undistinguishable Come Lord Jesus Christ!!
@penguinngwini3933
@penguinngwini3933 Год назад
righteousness doesn't exist in this world my friend,,,if you think you are righteous then you are mistaken and remember Jesus used to eat and drink with sinners alafu tena yeye amekuja kama mkurugenzi wa Wasafi TV alah naweza eleza mpaka kesho,,,,,Wasafi ndo mojawapo ya media ambazo zitafanya hii album itambe zaidi
@daughterofzion200
@daughterofzion200 2 месяца назад
Thanks 🙏 🙏 ​@@penguinngwini3933
@protuskhaoya
@protuskhaoya Год назад
Christina na Rose muhando nyinyi mumeshapotea na Sasa injili yenu haina ladha ya Mungu,Munacho tafuta ni hela na jina.... poleni dada zangu.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Год назад
Huu NDO ukweli mm nimecheka na nyimbo hizi wanazindua mmmh kazi ipo
@lillianmunyaka2417
@lillianmunyaka2417 Год назад
Ndio rafiki
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 5 месяцев назад
Tusihukumu iyo ni kazi ya Mungu pia tutambue kimbadiridha mtu Mungu ana njia nyingi sana huenda ndo mwanzo wa kaokoka daimondi
@carolynewandera2843
@carolynewandera2843 Год назад
May God deliver your soul from the kingdom of darkness...😭😭😭😭😭😫
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 Год назад
Huyu alienda kushika watu nimtumwa cheza ww
@elishaowino4599
@elishaowino4599 Год назад
Dada kumbe uliacha kushanyika na wanaho tafuta Mungu kwa haki. Kasome kitabu cha 2Timothy 2:22- 26. Pole Sana .
@JohnNyasi-xb7sy
@JohnNyasi-xb7sy 5 месяцев назад
Wewe dada hachana na tamaa humaharufu maisha mazuri na cheo vinakuondoa kwenye reli ya Mungu hayo yote yanapita lakini neno litasimama
@mksimon8849
@mksimon8849 Год назад
Siamini kumbuke Yuko siku za mwisho,watu wanajificha Tu Kwa Neno God for give us
@celinecindy7018
@celinecindy7018 Год назад
CHRISTINE SHUSHO AMA NAOTA??!!! NYIMBO ZAKO ZA KITAMBO ZILIKUA ZINANIPA NGUVU ZA CHANGAMOTO ZA MAISHA! YOU WERE MY BEST!! NAKUMBUKA UKIMRUDISHA RINGTONE WETU KWA GOSPEL I SALUTED YOU!! SASA UMEAMUA KUMSALITI YESU LIVE UKAJIUNGA NA JUDAS ISCARIOT!! 😮😮 MAY GOD RESTORE AND FORGIVE YOU IN THE NAME OF JESUS!!!
@StacyBellah-gp5ne
@StacyBellah-gp5ne Год назад
Shusho has been my favorite gospel singer but now 😢😢 .. Darkness is overcoming light... Have mercy on us oh God ...
@betsebamwenda4379
@betsebamwenda4379 Год назад
Pray for her my dear it's very true there is no any connections between light and darkness the woman now the way you have chosen. Did you heard the voice of God Any way we can't judge we are not God.
@maonoprayercentre351
@maonoprayercentre351 Год назад
Walisema aliinamia askofu ampee pesa ya album lets pray for her tusimuhukumu
@ububyutse
@ububyutse Год назад
Last days my brothers & Sisters 😭
@carolynekanaiza
@carolynekanaiza Год назад
At Mimi simpendi nikama amejiingiza Kwa cult,huyu Christine hayuko bure
@jacintamwikali7211
@jacintamwikali7211 Год назад
What next christina shusho favourite 😢😢
@erickjanelleogaja455
@erickjanelleogaja455 Год назад
Shusho utukufu uliondoka kitambo Sana, Ata ajibambe, alete waziri na msheŕati diamond..nothing will change.
@yesutuatosha1460
@yesutuatosha1460 Год назад
Tuendelee kumuombea huyu Dada yetu Christina Kuna mahali ameuacha upendo wa Kwanza sasa anaenda mwwnyewe. Mungu amsaidie ili apate kujua Ni wapi alipo anguka akatengeneze upya na mwokozi aliyemuita. Tunaweza kutafuta kuwa na umaarufu,majina makubwa, pesa nyingi na kila aina ya ufahali lakini tusipo kuwa ndani ya Kristo ni bure. Like:16:19-25
@bnje
@bnje Год назад
weng kusoma biblia wanajua kuelewa sasa ndio shida ilipo wengne wameishia kua wanafki mbele za mungu binadam tunajipa umungu tunakosoana wenyew hahahahahahahahaha wew unajiona uko sahihi mbele za mungu ?
@judith5112
@judith5112 Год назад
Hawa waimbaji naona wamepotea,huyu shusho na rose muhando,wameshika njia mbaya kufkia saai,shetani amewateka kabisa,,tangu lini Giza na Nuru vikachangamana? Mungu wa mbinguni awasaidie hawa na wapate ufahamu Tena jaman.
@devidrashidi
@devidrashidi Год назад
Kwel kabisa
@saxisarinah7425
@saxisarinah7425 Год назад
😂😂😂😂
@levinamathias8507
@levinamathias8507 Год назад
Mungu akubariki umenena vema
@francisndeleva1077
@francisndeleva1077 Год назад
Shusho we loved you in Kenya but now..... Mhhh you have joined another kingdom we can only pray for your soul.
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
Exactly 💯
@LizLiz-tt2il
@LizLiz-tt2il Год назад
You and which where who Kenyans????? Speak for yourself manze
@lucymlewa2229
@lucymlewa2229 Год назад
Remember our call is to bring those from darkness to the light,stop judging huenda ikawa njia ya diamond kutoka ufalme wa giza,mliambiwa msijudge
@lucymlewa2229
@lucymlewa2229 Год назад
Remember our call is to bring those from darkness to the light,stop judging huenda ikawa njia ya diamond kutoka ufalme wa giza,mliambiwa msijudge
@estonkagota1454
@estonkagota1454 8 месяцев назад
We umechizi nini? Diamond is there for business@@lucymlewa2229
@patriciamakia4509
@patriciamakia4509 Год назад
Nuru na giza hafichanganyikani.Christina Nakuombea mungu akurudishe kwenye njia yko .lkn hapa ujanibariki kbsa zaidi ya kusikitika.mungu akuponye
@rebekamwahegwa939
@rebekamwahegwa939 Год назад
Hakika ni ufalme mwingine ulijivika utukufu wa Yesu,lakini Sasa simba wa kabila la Yuda kautwaa utukufu wake na kuiwekawazi nguvu inayotenda kazi ndani ya huyu dada.
@williammakali1759
@williammakali1759 5 месяцев назад
KWA hiyo mmeona mwenye dhambi wa kumhubiri ni yeye tu, au na kakorosho kana changia. Yesu alisema Asiye kuwa na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe, ..ikawaje? Msimlilie yeye, lilieni nafsi zenu na vizazi vyenu. Halafu toeni maboriti yenu kwanza kwenye macho yenu ndo mweze kuna banzi vizuli. Mwacheni mtoto wa watu, Yesu alimfia siyo nyinyi.
@isayajuma5870
@isayajuma5870 Год назад
Mungu akimbadilisha Diamond mtaona paulo.tunaeza hukumu saa zingine kumbe jamaa anaitwa
@dorkal4248
@dorkal4248 Год назад
Yesu Christo yuaja karibuni na sio karibuni tuu... wakatu wowote. Kama ilivyokuwa.. Dagon na sanduku la again hazikuweza kaa katika chumba kimoja. Ni kuokoka Diamond ameokoka? Kama hivyo sawa... bila hivo mjue tu madhabau ni moja tu na ndio maana mko katika umoja. Ila mungu wetu naye ni wa wivu.. hatoshiriki jukwaa na madhau ingine yeyote isiyomwinamia.
@rosemarysuwi9293
@rosemarysuwi9293 Год назад
Usihukumu usije ukahukumiwa ukiona mtu kapotea muombee kimya kimya.usihukumu kila hukumu ya mtu IPO mikononi mwa mungu..huwezi jua pengine ndo njia ya kuwaokoa Hawa watu wa dunia..mm sijui nn kipo katikati.kati ya Hawa watu na mungu.anajua mungu mwenyewe.mwacheni mungu afanye kazi yake panapomhitaji zaidi🙏🙏
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Год назад
Hawajahikumu Ila Ni KUONYANA hapa WENGI tunajifunza JINSI shetani alivyo mhalivifu
@lillianmunyaka2417
@lillianmunyaka2417 Год назад
Weweninimupumbavu
@janetnduku7954
@janetnduku7954 Год назад
She has been my favourite but now I withdraw myself.
@RogerLwamatwi
@RogerLwamatwi Год назад
Shetani kwa Siku hizi anavutiya watu wa Mungu Sana tena Sana. Dada huyu alisha potea Kabisa. Hamuna lakubishi. Tutawatambua kwa matendo. Diamond yeye mwenyewe anamuonyesha Shushu njia yakuzimu
@williammakali1759
@williammakali1759 5 месяцев назад
mbonA mnamsonga Sana, hamna mambo yenu yakufanya. Chunge I Sana vidole vyemu, mnatisha.mwacheni mtoto wa watu, au vipi, mlitaka nyie ndiyo mzinduliwe? Mna lenu jambo.
@christineachieng2229
@christineachieng2229 Год назад
Nilikuwa napenda nyimbo zake lakini sahi ameuwa moyo wangu 😭😭😭😭💔💔💔
@ericksocrates254
@ericksocrates254 Год назад
Pia na mimi
@ericksocrates254
@ericksocrates254 Год назад
I still like her songs. But let her glorify God for all this.
@antonykongondo592
@antonykongondo592 Год назад
Hii imegulwa hii imeenda
@SharonEndesha
@SharonEndesha Год назад
Hata Mimi nimeshangaa
@mercywaruguru1067
@mercywaruguru1067 Год назад
Na kila kiumbe na kimtukuze Mungu ata shetani mwenyewe
@rosengowi847
@rosengowi847 4 месяца назад
Kuzimu inafanya kazi kwa kasi sana🙏🙏dear Lord we need U more
@musyimibenson6380
@musyimibenson6380 Год назад
Wana wa Mungu tafadhali,chunganeni sana na wana wa dunia maana watakuwa na akili mingi kuwaliko nyinyi,si Mimi ni biblia imesema.
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Год назад
Toka leo nimeacha kusikiliza nyimbo zako shetani ana nguvu sana .
@naomiwachiya6507
@naomiwachiya6507 Год назад
Nyimbo hazina shida, muombe dada yetu
@leahmollel6589
@leahmollel6589 Год назад
Mungu utusaidie! Pesa pesa pesa 😭😭😭🙆‍♂️
@ububyutse
@ububyutse Год назад
Pesa..another god🤷🏻‍♀️
@marygacheru9311
@marygacheru9311 Год назад
Shenani anatumia tamaa ya pesa.
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
Pesa ilimiua yesu,shusho jamani
@jedidahmikisa1870
@jedidahmikisa1870 Год назад
The problem is when the Holy spirit leaves you he doesn't leave with what he brought with him. You will be there thinking the holy spirit is there because you still have the voice you still speak in tongues and perform miracles that you used to do before. Christine it's high time uamue whethe you are in the world or in Christ I pray God restores you back this are end times you just can't afford to fall back that way wewe ungemfanya diamond aokoke badala ya yeye kukuvuta Kwa dunia
@alphoncemgombera
@alphoncemgombera Год назад
It is very difficult to reverse this, it started very far darkness my dear in Christ,what we are seeing evidentially is the manifestation of blood covenant which is irreversible
@naomiwachiya6507
@naomiwachiya6507 Год назад
You are right
@namtendaesther2795
@namtendaesther2795 5 месяцев назад
Mama shusho Mungu akubariki ,maana unatafuta njia huyu jamaa kumrudia Mungu, kila mtu ni mwanadamu anayo nafasi ya kubadilika hakuna kitu kama giza na nuru hazichanganyiki, tunaomba diamond abadilike amrudie Mungu hata kwa ministry ya uimbaji ya gospel
@MILDREDKAFUNA
@MILDREDKAFUNA 8 месяцев назад
Shida na watu ni kushabikia vya dunia lakini nyimbo za roho mtakatifu hawazithamini mda mrefu.. Mungu utusaidie
@janejohn4257
@janejohn4257 Год назад
Mungu niwetu sote hongera sana diamond kwa kujal
@mnjaladonald9834
@mnjaladonald9834 3 месяца назад
Giza na nuru zinashirika gani, toeni giza katikati ya nuru, tumuabudu mungu mtakatifu, katika roho, na pia kweli, yesu ni kweli tena ndio uzima, na njia ya kutufikisha mbinguni, Mungu ataka sote tumuabudu katika roho na pia kweli, ewe shetani pepo uliomchafu nakuamuru kwa jina lake Yesu, toka nani ya kanisa lake Mungu uende kuzimu ukachomwe moto, tumegundua hila na njama zako, tukuabudu wewe ni kama nani?tunae Mungu wetu yehova, sifa utukufu ni wake milele
@gideon546
@gideon546 Год назад
🙏 🇹🇿 - Sijaona Diamond PLATNUMZ akiwa Mnyenyakevu kama Vile. "May "GOD" ALMIGHTY BLESS Everybody and Bless Tanzania and AFRICA. HALELUYAH. AMEN. 🙏🙏🙏
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
Anajifanya Simba ambae amenyeshewa,atamtafuna shusho vibaya sana
@phylliskegenyo1940
@phylliskegenyo1940 Год назад
Hiiiiiiiii iliendaaa.shusho alienda.. mbinguni tulipoteza . Mungu shuka usitumane😢😭😭😭
@MonicaCyprianAtoyo
@MonicaCyprianAtoyo 5 месяцев назад
Mungu tusaidie ileile roho iturudie nakusihi mungu
@monicahn.3909
@monicahn.3909 Год назад
God give us spirit of Discernment.
@israelthomas8621
@israelthomas8621 6 месяцев назад
For sure my sister
@emanuelnyab9872
@emanuelnyab9872 3 месяца назад
Nyakati za mwisho, Christina umechemka vibaya sana
@georginakadazo5303
@georginakadazo5303 Год назад
Huko siko dada shusho Giza na Nuru haviambatani kwani ulijiunga huko pia ww ooh God give us mercy
@edwinandrew1674
@edwinandrew1674 Год назад
Kwani hapakuwa na wachungaji mpaka amuite mondi...😢..dadangu umepotoka kweli
@liliannyangweso8033
@liliannyangweso8033 Год назад
Nipe macho nione nione ee! nipe macho nione sawa sawa! E bwana umenichunguza nakunijua wewe wajua kuketi kwangu nakulala kwangu! Christina listen to those two songs and go back to God, I'm praying for you
@ruthkahezani6597
@ruthkahezani6597 Год назад
Wakati alikua na nguo tatu mbaya mbaya upako wa bwana ulikua juu Yake, Leo hi nguo moja ni ya mamiloni ya pesa hadi anasaidiwa kuibeba lakini uwepo wa Bwana umemuacha !!! asipo mgeukia Bwana mwisho wake ni Zaburi 73
@ububyutse
@ububyutse Год назад
Oh noooooooo😭
@irenenzula478
@irenenzula478 Год назад
Waleteni wote kwa yesu, congratulations Christine shusho and diamond God bless you
@antonykongondo592
@antonykongondo592 Год назад
Yesu yupi Barabbas ama Kristo hapa kuna njama tega sikio utaskia hivi karibuni
@simonmdune9066
@simonmdune9066 8 месяцев назад
Nonsense
@EMMANUELMLEWA-d7t
@EMMANUELMLEWA-d7t Год назад
Sijaona kitu ya kuhukumu mtu hapa, huezi kemea pepo kabla hujajau source ya hiyo spirit.We must humble and let your spirit to discern what brought these two people together.... If you doubt their union,then pray for them to serve the true God.
@deborahkambua9522
@deborahkambua9522 Год назад
True , Mungu ni wa sisi wooote wooote
@susanthomas9120
@susanthomas9120 4 месяца назад
Yesu alikuja kwa wenye dhambi si watakatifu. Alikula nao na alikunywa nao Diamond ni mfano mzuri wa Christo alivyo fanya katika bibilia.
@sallygachui3191
@sallygachui3191 Год назад
My darling bruv Diamond please sing & glorify our creator JESUS CHRIST and HE Will bless you. Amen.
@ramadhanmulavu8160
@ramadhanmulavu8160 Год назад
Jesus himself was created,,read your Bible yakhi
@blandinamichael7001
@blandinamichael7001 5 месяцев назад
Safar ya mbingun si lëlëmama,,haktaingia knyonge,imeandkwa ufalme wa mbingun utatekwa na weny nguvu,,si nguvu za kiume wala kfedha,,n nguvu za roho mtakatifu pekee,,apo shushu jehanamu inakusubir kwasababu shetan ametawala maisha ako kwa %100 na hawez kukuruhusu utoke mikonon mwake ikiwa tayar ulikua mtumish wa mungu
@shalomnanjala379
@shalomnanjala379 5 месяцев назад
Luka 5 inatuambia Hata alipokwisha kunena aliwambia Simoni tweka mpaka kilindini mkashushe nyavu zenu mvue samaki Simoni akajibu akamwambia bwana mkubwa tumefanya kazi yakuchosha usiku kucha tusipate kitu lakini kwa neno lako nitazi shusha nyavu bas walipo fanya hvyo walipata samaki wengimno 🙏🏻 na neno la bwana lipewe sifa Shusho ame shusha nyavu
@jemimamuenimutuku5417
@jemimamuenimutuku5417 5 месяцев назад
Yesu alikua Kwa waovu Sio,Kwa wasio waovu.
@TrupsyOfficial
@TrupsyOfficial 4 месяца назад
Ndio lakinii hapa sio
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 3 месяца назад
Huyu mama kashafanya mambo na mondi hana sifa tena
@mercymari7097
@mercymari7097 Год назад
How can darkness shine more than light. Sòooo sad im sooo dissapointed 😢😢😢
@mujurivicky3238
@mujurivicky3238 Год назад
wee acha ujinga grow up,Jesus come for the sinners not the righteous ones.Ukiona wewe ni mtakatifu sana basi tangulia mbinguni ukaishi na malaika
@ububyutse
@ububyutse Год назад
Me too🙆🏻‍♂️
@saningoolekissmirr1742
@saningoolekissmirr1742 Год назад
This is unbelievable. Of all the people "Diamond"🙊🙊🙊🙊🙊🙊
@neemangoi1691
@neemangoi1691 Год назад
Somo tunakutegemea mbona tunàona unapotea ndugu
@naomiwachiya6507
@naomiwachiya6507 Год назад
@@mujurivicky3238 Yes he preached to them the kingdom of God, but he did not join their camps. The truth will stand.
@Mercyline-l5n
@Mercyline-l5n Год назад
Venye nlimwona na mapete kubwa kubwa nlijua kna shida ona sasa.mungu tteteeee
@Kangemi-si6ch
@Kangemi-si6ch Год назад
Shusho Noooooo!😢Mungu akuregeshe
@shukurujeff4094
@shukurujeff4094 Год назад
Pole ndugu,kwa ku jiunga katika hali iyo
@fidelisferuzi5503
@fidelisferuzi5503 Год назад
Diamond ni zaidi ya muimbaji. He's a music business man. Nyuma yake kuna miundombinu mingi ya kimuziki ambayo hakika itakuwa faida kwa mwanamuziki yoyote. Wengi wanasahau kuwa Wasafi TV Ina kipindi cha gospel ambapo wanamuziki kama Christina Shusho wanapigiwa nyimbo zao. Ni dhahiri Diamond ni mdau wao. Angalia pia namna Diamond alivyoingia kwa "heshima" kulingana na mandhari ya nyimbo za kidini. Anajua anachokifanya hivyo tusiwe wepesi wa kulaumu uwepo wa Diamond kwenye uzinduzi wa album ya Christina Shusho. Ni masuala ya kibiashara.
@franciswere928
@franciswere928 Год назад
Christina shusho ulianza vizuri but you've lost on your way
@odettedogupastor4068
@odettedogupastor4068 8 месяцев назад
Yoo kesha sana mama SHETANI asikunyanganye talents yako
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Год назад
Mh...giza na nuru havichangamani sio mimi ni biblia inasema
@mbossokhan3000
@mbossokhan3000 Год назад
Pale akuna giza ila watu si zichange maandiko na ujuzi wa macho mahana WE ni kipofu
@gracengonyani7006
@gracengonyani7006 Год назад
Yesu alikuja kwaajili ya wenye dhambi na si kwaajili ya watakatifu watakatifu atawajia kuwa nyakua siku ya mwisho..muelewe maandiko!!
@farajamaulid-kx5vn
@farajamaulid-kx5vn Год назад
Kabisa mmmh
@Lindashadrack8890
@Lindashadrack8890 Год назад
You're right my brother 🙏
@rosemaryngowo2327
@rosemaryngowo2327 Год назад
Hatuna haki ya kuhukumu
@estakapufi7582
@estakapufi7582 Год назад
Yupokidunia mziki anaimba ili apate mahitaji yakila siku kwahapo yupo kinyume kabisa giza na nuru habichangamani kabisa, maandiko yanasema usiwe wavuguvugu mungu atakutapika 😢😢😢
@geofreymongare2544
@geofreymongare2544 Год назад
She used to be a worshiper nowardays she is an artist.she needs our prayers moto wake umezimika
@MuhindoEdmond-oe8lx
@MuhindoEdmond-oe8lx 5 месяцев назад
Heri mwisho kuliko mwanzo...Mungu ametoka kati yao zamani
@getrudemaluku414
@getrudemaluku414 Год назад
Those are baby dimensions bila Yesu hutoboi Baba Mungu usfunge macho
@oseeluvv
@oseeluvv Год назад
Watu wanajifanya watakatifu sana hapa ...... christian Yuko sawa kumbuka hata mwanafunzi walipo muuliza Yesu mbona unaketi na mtoza ushuru...... Usihukumu usije ukahukumiwa
@ronniekabito991
@ronniekabito991 2 месяца назад
Sawa na kweli Yesu alikaa na Kula na watoza ushulu na waovu sikwa sababu yao kumudhamini Bali yeye kuwafikia na wokovu. Hawa walikuwa wanatengwa na Jamii hawakuwa na fulsa la kuja Kwa mungu ndipo ili mpasa mungu/Yesu awafikie. Sivyo Kwa Shusho na Rafiki yake huyu. Huyu jamaa ana njia zote za kusika na kumpokea Yesu lakini aja Fanya ivyo
@mycreigns9633
@mycreigns9633 Год назад
Diamond and shusho met😮😮😮It doesn't ring my mind 😢
@mercose1
@mercose1 3 месяца назад
Shocked....next tutajionea maajabu
@hellenambasa5715
@hellenambasa5715 Год назад
Ya kwanza diamond atumbu na aokoke Dio injili iedelee bila Dunia kwisha shetani anaguruma kwa funzo , mungu tuokoe sasa tunapokuita
@queenraphaher7736
@queenraphaher7736 Год назад
Ili kuona ni pesa, hakuna Cha Bwana Yesu asifiwe, hofu ya wayahudi, mtoa pesa sie. Umeanguka dada
@blancenzilani2170
@blancenzilani2170 Год назад
wow...Mungu akubariki shusho
@jessicamakena3844
@jessicamakena3844 4 месяца назад
One thing I noticed about Shusho is that she even started dressing like kina Beyonce!!
@NeemaSimon-yi1eh
@NeemaSimon-yi1eh Год назад
Uko sahihi awa awajajua ukuu wa yesu Bado wanasumbukia pesa Dunia mungu 2 saidie wanaangalia pesa Awana shida nayesu saiv na yesu amewaacha wafate akil zao zisiso faa wa2 wangu wanaangamizwa Kwa kukoxa maarifa hsea 4,6
@EverlineNgige
@EverlineNgige 4 месяца назад
May be Mungu anamtafuta kwa njia hii nobody knows and Ican't conclud Mungu ananjia zake ,na njia zake hazichunguziki
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 Год назад
Hongera sana dda shushu umekuwa mfano wa kuigwa kwa kutobagua watu
@joycepeter6541
@joycepeter6541 Год назад
Yesu alisema alikuja kwa wenye Dhabi wacheni kuhumu jamani huyo diamond anaweza kuokoka .why are judging others na wewe SI mungu.
@naomiwachiya6507
@naomiwachiya6507 Год назад
@@joycepeter6541 ndio anaweza, lakini sio kwa mazingira hayo
@hamulimagala8131
@hamulimagala8131 Год назад
Shusho ni mwimbaji WA nyimbo za injili ambaye wengi wanapenda sana miongoni mwao mimi ila naumia kabisa kuona ameshirikisha Giza katika mambo yake, yaani alikosa waimbaji was gospel wazindue album yake????
@kimemori8540
@kimemori8540 Год назад
Shusho umeshaamguka,unafanya biashara tu Sasa Shetani na watu wake wanakutumia ,Siku za mwisho zimefika ,wana wa Mungu tazameni malango wanayoingia watu Hawa msishiriki nao
@MariamJuma-xw7kk
@MariamJuma-xw7kk Год назад
Mh ushakuwa wa dunian mungu akurehem
@MpunduwanawakeongelavipigeniVi
Jamani ivi ni shushu yule ninaye mujuwa awu nimwi ngine? naota awu? Iv umemutupa yesu kwa ajili yapesa sister kumbuka ulipo angukia🙆🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@judithwasonga3487
@judithwasonga3487 Год назад
Dah! Nyakati za mwisho zimefika kama giza na Nuru zimepataja ni maajabu sana
@helenamfimba1405
@helenamfimba1405 Год назад
Jamani mwenye kuelewa anielezee mbona sijui nini kimetokea
@mallenkeller7918
@mallenkeller7918 Год назад
From Kenya, we are not happy at all. May God remember you madam Shusho
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Год назад
Christina shushu simwelewi Tena, nilisha mtua kabisa
@MwathiAnthony-tz6tr
@MwathiAnthony-tz6tr Год назад
tongoza afu oa au ni oa afu tongoza? kama lengo ni kuvuta mwanamwali kwa Bwana harusi sioni kosa.......huyu wa thamani kuliko mimi na wewe tulioolewa tayari,Amen?
@DorisAchieng-y7q
@DorisAchieng-y7q 3 месяца назад
Ni kweli... giza na nuru haviendi pamoja
@TuaircachimoNantola-po7oo
@TuaircachimoNantola-po7oo Год назад
Naomba mungu akusaidie sana ili umrudie mungu wako
@Jehovarohiband
@Jehovarohiband 8 месяцев назад
Ona jinsi yesu nansbyotuksnwa juu ya watu wanayejifanya ety wanamhubiri
@TimothyChaka-ws3zh
@TimothyChaka-ws3zh 4 месяца назад
Mungu Ndie Aje yote..
@merryelineema-fp9pq
@merryelineema-fp9pq Год назад
Dunia imeisha jamani mbona mambo yamebadilika sana tutafanyaje sasa.mungu simamia haya yote.
@Margaret-kc8sx
@Margaret-kc8sx Год назад
Yametajwa kwa bibilia the last days
@VicentTarimo-z5z
@VicentTarimo-z5z 3 месяца назад
Duuuuu Yesu wangu?
@neemamaulidi4444
@neemamaulidi4444 Год назад
Umepoteza pakubwa wewe dada Mungu akisaidie sana Mungu hayupo na wewe tubu uokoke
@joybarasa-u2o
@joybarasa-u2o 5 месяцев назад
My people are perishing due to lack of wisdom, Mungu akuhekimishe dadangu,
@shalomkind4575
@shalomkind4575 Год назад
Siskizi tena nyimbo za christina Nlzipenda sana nyimbo zake hapo awali Binadamu akibarikiwa anamuasi MUNGU . Sad ..ona nguo ..!
@FrankMolle
@FrankMolle 9 месяцев назад
Wacya kuhkumu why kwan diamond ako na shda gan lkn binadamu
@natashataraji312
@natashataraji312 Год назад
yes mluminati na mtu wa mungu hawapatani kamwe kamwe giza na niru havichangamani kamwe
@godyaminieli9259
@godyaminieli9259 Год назад
Ingekua vizuri iyo album angeizindulia church na uyo mond aje kanisani sio mliman sity... Lakin pia watu wapo kikazi awapo kiroho... MUNGU ATUSAIDIE TUU
@bishoppetermugendi5546
@bishoppetermugendi5546 Год назад
Congratulations 👏 GOD BLESS YOU REV SHUSHO 🙏 IN JESUS CHRIST NAME AMEN 🙏
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
Reverend mpotovu
@alicemwangi445
@alicemwangi445 4 месяца назад
Oh my God in your humble begining you honoured now that you have climb ladder you have forgotten
@alphoncemgombera
@alphoncemgombera Год назад
Habari Yako!!!! Christine haupaswi Tena kusalimiea Bwana YESU asifiwe
@JoanWayadi
@JoanWayadi 4 месяца назад
I totally agree with you even if God wants us to bring the sinners to him
@sarllykat9553
@sarllykat9553 Год назад
jesus came to save sinners, so the light is there to overcome the darkness that is nomal, so if Christians have to stay themseves only, then God is not going to save other sinners through us??? pastors and musicians have one job to save sinners through the gospel. that'it.
@GeraidinaJonathan
@GeraidinaJonathan 9 месяцев назад
Kweli giza +nuru
@cesialaurian7720
@cesialaurian7720 Год назад
Dada huyu Mungu akuhurumie na kukurejesha upya. Kifo chako hakijaanza leo, ulikuwa na mafuta mwanzoni hata nyimbo zako zinaishi mpaka leo. Toka ulipoanza kupote kwenye albam ya " umenifanya ning'are" mambo yako yote yalianza kuwa makavu mpaka leo kifo chako kinaonekana live.wanamajina ya kuwa hai kumbe wamekufa......... Yan shetan anàkutambulisha kwa wale waliodhani bado umesimama, angalia usije kuwa kama Brazil.....
@ububyutse
@ububyutse Год назад
Kabisa
@edwardkibiki6611
@edwardkibiki6611 Год назад
Brazil ilifanyaje tena?
@RogerLwamatwi
@RogerLwamatwi Год назад
Shetani kwa Siku hizi anavutiya watu wa Mungu Sana tena Sana. Dada huyu alisha potea Kabisa. Hamuna lakubishi. Tutawatambua kwa matendo. Diamond yeye mwenyewe anamuonyesha Shushu njia yakuzimu
@stellamarisokoko1073
@stellamarisokoko1073 Год назад
I agree with you
@geofreysimon1
@geofreysimon1 9 месяцев назад
Yesu alikuja kuokoa kilichopotea,,,,msipende tu kuhukumu,,,,hata wanafunz wa Yesu walishangaa Yesu alipokua anakula na wenye dhambi ✍️✍️✍️
@martinmutua300
@martinmutua300 Год назад
Nyakati za mwisho yesu njoo uchukue kanisa lako
@NeemaBaraka-l7l
@NeemaBaraka-l7l 6 месяцев назад
Lakini huyu dada ameshanganyikiwa tu , Ginza na nuru haishangane, ulianza vizuri ukamaliza vibaya , mungu katika upendo wake akuregebishe umurudiliye tena sababu nyimbo zako zimejenga watu Wengo sana. Akumbuke tena n'a tena.
@RachelMligwa
@RachelMligwa 5 месяцев назад
Hivi ni kweli we bint umeshajiunga na Freemason yaani Diamond anazindua Albam yako hata mtumishi mmoja wa Mungu hayupo
Далее
«По каверочку» х МУЗЛОФТ❤️
00:21
Christine shusho (kuachana na mmewe)
7:40
Просмотров 1,4 тыс.
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Просмотров 27 млн
SIRI YA HUBA  { 21 }
14:34
Просмотров 76 тыс.