Una watoto alafu hujieshimu alafu babaake mange unaugomvi nae mpk unaisema maiti au marehem .acha ushamba huo ni ushamba wewe yanakuhusu nini jitu nzima acha ufara
Wew sidhan kama wew unayeongea na watu waliokwishalala(marehem) unaakili, Acha. Marhem alale Ongea na aliye hai wacha kelele sisizo. Na. Maana hizo ni kiki ty,
Mange Kimambi angeacha kabisa anayoyafanya Istagram. Majira na Nyakati kama hizi, Tanzania ilimuhitaji Rais kama Mh Magufuli kuliweka sawa. He is the right president, at this right time inside a right country. This lady must be stopped. I wish i could stop her with this madness. Ukisoma WARUMI 13:1-3 utagundua kuwa Mungu ndie aliyemuweka Rais Magufuli na pia kumpinga na kumtukana Rais, huo ni uasi na dhambi kubwa sana ya Mungu na mteule wake.
msomi na mahusiano I wish her madness to be stoped. Mungu hakuwa mjinga kumuweka Rais Magufuli over Tanzania till today. Angalia alipolitoa Taifa na alipolifikisha. Watanzania tunataka nn jamani???? See the reformations here in Tanzania...hata westerns wanatuonea wivu!! Bwana Yesu mlinde sana John Pombe Joseph Magufuli
Mnatumia vibaya maandiko matakatifu jmn, hakuna ushahidi kusema kwamba Mungu amemchagua huyu kuwa kiongoz wa hili taifa, tuache kusoma maandiko na kuropoka ovyo. Viongozi wote aliwateua yeye mwenyewe aliwapa alama ambayo waliitumia ili kwenda kuwaarifu wale aliotakiwa kuwaongoza ili na wao wapate kutambua ya kuwa kiongozi huyo ametumwa na Mungu, anzia kwa Ibrahimu mpaka Kristo Yesu mwenyewe na Mohamad, hawa wote walipewa alama; je unaweza kunionyesha alama aliyopewa raisi magufuli ili kututambulisha sisi anaotuongoza kwa mamlaka ya Mungu? Viongozi wake wote hawakua na itikadi ya dini yoyote na wengine aliwatoa katika itikadi za dini zao ili kuwafanya watumishi wake (rejea historia ya Sauli/Paulo).... hata ukimsoma vzur Mohama (SAW) utajua naye alitokea wapi ingawa naye alikubaliana na nn?
wewe ni fara utaenda marekani kwa sababu ya ukahaba wa mamikimambi kama si ujinga.nini? atakama baba yake alilawitiwa kwa nini kosa hilo uliweke kwa mangikimambi? unaweka akahibu tanzania .nilifikiri tanzania kunawasemaji bora kumbe nao kumboronga mboronga wallahi ata mwanangu awexi somea tanzania kwa stahili ya maongezi ya wasomi wa kitanzania
Afu hakuna lana mbaya kama kumzalalisha mutu kiaa hicho jamani me naona tumogope mungu kuongelea familia za watu hususani mzee marehem kama yale yani ulaniwe mpaka umalize kucha shetani mkubwa wewe yatakuja kukurudia haya yote
Kwani MangeKimambi alitukana Esma Platnums vile marehem moto wake alikufa, atukana watoto wa Zari Hassan, afikilii? Mange ni nyoka anatukana anatukana watu , Naye atusiwe.
Mbona wewe wamzalilisha mwenzako unavyoongea ushamzalili dada mange utakuja kufanywa mbaya wewe mange subir huyo atakuitia watu uchukuliwe bila kujijua
Ila minaona wewe unamtaka mange au unamuoneya wivu ivi mtu anapesa zke unafikiria watu hawana akili au wew muongo mange hayakuusu fanya yako umbeya tuh