Diamond didn't want Hamisa Mobetto to Shine in Tanzania but Mungu ni Mungu Hamisa is big Brand today than Diamonds women today. God is a live ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Alimpenda sana yule watandale and deep down till todate. Lakini yule jamaa hapendeki na kavurugwa. Na Mtoto inaonekana ni wa kwake 100% , Kweli anahitaji Cancelling kutokana na mapitio yake ya nyuma. Anajikuta anawaumiza awapendao bila ya huruma. 😨
Na cku akija kusema anataka yaishe..hamisa ujee huku na mange na ss tutoe yetu ya moyon ya huyu mond tumpake vzr..haswa hakuna kumpa amuangalie kwa macho tuu
Alimpenda sana yule watandale and deep down till todate. Lakini yule jamaa hapendeki na kavurugwa. Na Mtoto inaonekana ni wa kwake 100% , Kweli anahitaji Cancelling kutokana na mapitio yake ya nyuma. Anajikuta anawaumiza awapendao bila ya huruma. 😨