Huna ishu Manula hata kama nirafiki yako sawa ila Kwa mchezaji mkubwa kama ww haipendezi kumfokea mwenzako kama ivo watu wa najifunga kwenye fainali kombe lipo uwanjani na watu wanaelewa ile nibahati mbaya hata you hajapenda ajifunge,,Manula mara nyingi sana unafungisha timu kwakuliacha goli nan kakufokea au kuitwa Tanzania one kumekupa kibur Manula jirekebixhe sana mpira haupo ivo...💪💪
Shukuru mungu hukucheza na mabeki makatili km juma jabu au juma nyoso pale angeshakufika ndoo ila nimpe hongera tshabalala anaonesha ni nn maana ya nahodha hakupaniki wala nn akachukulia ni sehem ya mchezo
Well said Manula! Hilo ni tukio la kawaida mchezoni. Tshabalala ni mkomavu aliona akuache na presha zako so longer as goal limeshaingia 😂. Nimemuelewa! After all SIMBA NDIYE BINGWA WA NCHI HII!! 🔥🔥🔥
Pia ushauri kwa Haishi Manura, usipende kutoka gorini, toka tuu kwa sababu maalum na kama kuna gap ambalo halitasababisha hasara, Mara kadhaa Manura nimelaumu kitendo chako cha kutoka golini, kuwa mwangalifu sana.
Japo mimi ni shabik wa Yanga bt sijapenda alichofanya Manula mistake hazikosekani ukiwa mchezoni alitakiwa kumfariji mwenzake ili arudi mchezon na sio kufanya alichofanya kwanza yeye ndie aliyekurupuka kutoka wakati beki yupo na mpira haukuwa wa hatari kiviile
Muulizeni Manula game ya coast alifungwa kama lile akikosa mawasiliano na Nyoni,tena cha kushangaa hao mabeki ni waswahili wenziwe sio mabeki wa kigeni, Kipa amekua bubu ,anatoka ovyo golini bila timing. Akifanya mchezo atapigwa Magoli misri.
Kaka manura nakuomba sana uwe makini na haya magoli ya kizembe zembe samahani sana kama nimekosea maana magoli ufungwayo ni yakizembe sana hembu itumie nafasi yako vzuri kama kaseja
Inachonishangaza ni kwamba.. yeye Hussein kama mchezaji wa pembeni.. anachotakiwa kufanya ni kusogea kati ya uwanja iwapo wachezaji wa kati wamesogea kulia ili kulinda.. Anajua wajibu huo kama beki wa mwisho..! Lakini hakuwa na ulazima kuucheza mpira ule kwani Manula alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kuudaka mpira..! Hakuwa na sababu ya kuingilia kati ya mpigaji na Manula..! Huyo akae benchi toka sasa hadi mwisho wa ligi..! Hana akili ya mpira..! Kwa tabia hii ya kipumbavu ya wachezaji wa Simba NDIO MAANA INAFUNGWA TANO KILA SIKU.. ! Sitasikitika kombe likienda Yanga.. au timu ye yote .. WOGA WA WACHEZAJI WA SIMBA NI AIBU .. Wanawaogopa hata Kagera ambao hawajashiriki klabu Bingwa Afrika kama TP Mazembe..?? No confidence ? THIS IS A DISGRACE AND FUCKING DISGUSTING..! Kombe liende else where..!
Manula umekosea Sana huwezi mgombeza mchezaji mwenzio kama vile alafu captain wako ,hivi mfano tu ingekuwa timu ya taifa ndio inacheza alafu beki Yondani ungefanya vile ?.
Me nafikiri alikuwa sahihi kumkalipia coz ukiangalia hata shabalala asingeenda kuucheza ule mpira Manula alikuwa sehem sahihi ya kuudaka ule mpira. So kwa hali ile na kimchezo Manula hakuwa na kosa la kukalipia. Hata ingekuwa timu ya taifa
mimi ni simba dam lakin kitendo alichokifanya manula cjakipenda kabis kumkoromea mwenzak hata mm imenium san manul anakihereher san cha kutok kocha mbon dida yuk vizur 2 kwann unapend san kumuwek manul
Mpira ni mchezo wa makosa ni kila mtu anaweza kosea lakin Manura umealubu Tu jinc ulivyomjia juuu mwenzio ingali ni kosa lako ila bado tunaimani na nyie
@@isayacharles8725 oya mm mwenyw Simba damu an hunambiii ktu kuhusu ukwer ndo huo almpga kifuan km huamin angalia clip upya ndo utaaaamin may be ungenamby hakukusudia kumpga ningekuerewa
Manula leo ndo kachomesha kumfata beki wakati anaokoa mpira kumbe yeye yupo nyuma keshatoka kwenye goli alafu anamlaumu zimbwe binafsi nimejiskia vibaya kumlaumu beki wakati kosa ni lake
Wewe manula shabalala sio mjinga wa ivo lengo alikuwa kuokoa mpira wewe maana y yeye ndio mpira ulimkuta no mistake tu za kimchezo akuna cha kuongea mii mwenyeww simba damu ila izo. Kauri acha
Kaka usijari ndugu yangu ndo mpila ulivyo ila nakuomba sana uwe makini maana naona unafungwa magoli ya kizembe sana mimi nakukubari sana kaka wala usije kunifikilia vibaya niyangu macho ndio yanavyo ona magoli unayo fungwa kaka
Kiukweli nikupongeze kwa jinsi ulivoawajibu hao waandishi wasiojua kuuliza maswali lkn umewajibu vzur ila kosa ni la kwako coz ww ndo mtu wa mwisho unawaona wenzako wote na sio kukuona wewe beki siku zote anakulinda ww kwann hukuwasiliana nae mapema mmefungwa goli la uzembe wa kiwango cha Mfugale Bridge 😂😂
Hivi kwann wanakosa utulivu mtu na golikipa wake wanaweweseka nn mpira kila siku mnashinda nao moira bongo bado wanatakiwa wawe ht na darasa kabisa wengine wanakosa magoli kizembe anapiga nje kabisa na goli bila sababu ya msingi
Sasa ugomvi gani hapo umeuona wewe mtoa post? Mnashangaa hawa wakati Van dijk na Allison becker walikosa maelewano na wakafungwa goal rahisi na striker wa Fulham Ryan Babel acheni unazi
Makosa ni sehemu ya mchezo lkn Simba imecheza mpira mwingi na kama isingekuwa kujifunga tusingepoteza,tusikate tamaa ubingwa ni wetu mn hata TASAFfv wamepigwa Musoma!.
UJANYOOSHA MANENO MANULA SS TULIONA TUKIO MLIVYOPAMBANA WW NA SHABALALA NA HAKUKUWEPO STRAIKA WA KAGERA SUGAR..WW BADO UKIWA MTOTO KAGERA WALIKUWA WANAWATEMBEZEA VIPIGO TENA GOLI MPAKA 3
Binafsi goli liliniuma, lkn nimeamia sana kwa jinsi ulivyo act, yule ni captain wako nikiongozi wako uwanjani, na alichokifanya ni kosa hata yeye aliumia naamini ila wewe ulitaka kumvuruga zaidi, unatakiwa kumwambia hata kwa nguvu kabla ya kosa akikosea unamwambia pole then mnaendelea na badae Kocha anawaeleza zaidi, sasa unasema sio sehemu yake pale ulipomsukuma ndio sehemu yake? Na angekuwa kama wewe simngetolewa wote kwa kadi kwa kupigana, ukijielewa muombe msamaha hukumtendea captain sawa. Simba Nguvu Moja Kazeni buti.
Kombe La Afrika Timu Inayoongoza Kwa Kufungwa Magoli Mengi Simba Km Ingekuwa Nusu Fainal Inakwenda Timu Iliyofungwa Magoli Mengi Nafasi Ingekuwa Ya Simba
Hawa ,kujifunga ni sehemu ya mchezo upo pia siyo simba pekee iliyojifunga hivyo acha kuiwaza simba ,wazeni yenu ya yanga kati yenu na simba yupi kapoteza zaidi na yupi anamichezo zaidi hivyo kujifunga kwa kagera usidhan kama kosa litajirudia .pia kumbuka nyie Jana mligeuka mabondia kwan nyinyi hamjui kufungwa mnajua kushinda tu je simba walionga ili biashara wawafunge ? Au
Kuna mikundu mingine inakuwaga migumu kuelewa. Sasa kuongoza kufungwa magoli mengi klab bingwa Africa ndo ligi kuu Tanzania? Si useme anaye ongoza kufungwa magoli mengi ligi kuu?? Mfuuuuuuuu
Ivi mnataka kusema kwamba makosa ya kipa? Mkisema ivo manakosea kwan gem limekataa hakuna kumlaum mtu yeyote pale kwan kufungwa ni ajabu jaman kama gem limekataa haina haja ya kumlaum mtu