Тёмный

AISHI MANULA “MKUDE KWENDA YANGA SI USALITI, SIJAONGEA NAE KABISA SIJAONA UMUHIMU” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 107 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@methuselamisana4115
@methuselamisana4115 Год назад
Interview nzuri,,,,, fanya hivi ukamuulize na mwanasheria wa serikali kuhusu kuuzwa kwa bandari yetu tutashukulu kwa hilo
@kelvinngogo1819
@kelvinngogo1819 Год назад
😅umetisha
@fatma4628
@fatma4628 Год назад
Bandari haiuzwi broo inakodishwa 😂😂😂😂
@kelvinngogo1819
@kelvinngogo1819 Год назад
@@fatma4628 tuambie mwisho wa mkataba ni lini?🤣🤣🤣
@nasanrich
@nasanrich Год назад
😁
@fatma4628
@fatma4628 Год назад
@@kelvinngogo1819 ulizeni mama Samia lakini bandari haiuzwi
@PhilomenaSteven-tq2tx
@PhilomenaSteven-tq2tx Год назад
Handsome boy yupo kwao anakula vya nyumbani Swahili food 👍👍
@Evancemlema-k3i
@Evancemlema-k3i Год назад
mungu awajarie sana wafanyakaz wa ayo tv kwa kaz nzur
@allenmethod6788
@allenmethod6788 Год назад
Upo vizur sana Manula MUNGU akutie nguvu
@justinefanuel
@justinefanuel Год назад
,Manula mm Ni yanga lakini nakukubali, Kwanza huringi uko home live
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Год назад
Jamaa hili linamajibu ya hekima sana
@donaldkaswaka1876
@donaldkaswaka1876 Год назад
Hakika
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Год назад
Pona haraka Air Manula...
@doktmtanga7303
@doktmtanga7303 Год назад
Kazi njema nimemisi kukuona Tena pona uludi ukiwashe
@isunga1964
@isunga1964 Год назад
Jamani mbona magongo anamaumivu kiasi hicho mungu akufanyie wepesi upone haraka Air Manula wetu
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Год назад
Huyu kijana yupo vizuri sana maisha halusi sio yakuigiza japo wewe ni kolo ila nakukubali
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Год назад
😂😂😂😂kolo wizard
@bethsaidamgina6246
@bethsaidamgina6246 Год назад
We nyan
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Manula umeongea point Sana chukua 5
@revocatusmtahaba9955
@revocatusmtahaba9955 Год назад
Yn manula yupo smart sana namependa na nimekubali maelezo aliyoyatoa kuhusu kusaliti timu
@NuhuKihombo-oc7vl
@NuhuKihombo-oc7vl Год назад
Pole kaka
@lugalilamibako2834
@lugalilamibako2834 Год назад
Get well soon air manula
@victormkini2708
@victormkini2708 Год назад
Manula uko sahihi na maneno yako big up
@elvasmbogo5311
@elvasmbogo5311 Год назад
Mimi naona ni sahihi kabisa kuachwa na ni sahihi yeye kwenda Young kwani ni Ajira yake na Simba wameona inatosha kwa huduma yake.
@samuelremigius7711
@samuelremigius7711 Год назад
Manula una akili sana,msisikilize mashabiki wasiojua mpira,shabiki na mchezaji ni vitu viwili tofauti,mchezaji mpira ndio ajira yako na maisha yako,ukiachwa nenda unapohitajika ili maisha yaendelee ukikaa kusikiliza mashabiki kisa hawapendi hakuna atakayekuja kukutumzia familia yako...soka ni ajira nenda kacheze timu yoyote!!
@frankfelix3876
@frankfelix3876 Год назад
Manura mungu akusaidie upone haraka
@nassoropongwa8022
@nassoropongwa8022 Год назад
Manula umeongea point sana
@aboubakarjuma3378
@aboubakarjuma3378 Год назад
Mkude niwakwetu mpk kesho mpk Leo
@nestorymasale2714
@nestorymasale2714 Год назад
Nimekuelewa sana dogo
@petermsechu1519
@petermsechu1519 Год назад
Inamaana Kumbe Kweri Hapo ndo Nyumbani Kwa Aishi Dah 😅
@JerryMwandenje
@JerryMwandenje Год назад
Big up sana
@zuberirashidi6356
@zuberirashidi6356 Год назад
Uyu ana kitu atafika mbali😂
@maxmillanayo2979
@maxmillanayo2979 Год назад
Kweli saimba ni yakufanya wachezaji wao maskini,,,yani kweli manula wakukaa haya mazingira!!!!!
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 Год назад
Timu inalipa ila kujenga nimajukum ya mpokea pesa timu haina jukum la kuhakikisha kila mchezaj anajenga
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Год назад
Sio tatizo la Simba,, swala ni kwamba yeye anatumiaje pesa! Majukumu kwenye familia ni mengi sana kijana ,,, unakuta anasomesha .n.k Pia jamaaan ni mwamba,,, kafanyia interview pale pale home na Wala Sio hotelini Wala kwenye gari
@naomifesto8616
@naomifesto8616 Год назад
@@eidallyeidally5093 kwani ni lazima afanyie interview kwake unahakika kama hapo ni kwake
@عبداللهالعازمي-ع3ش
@@eidallyeidally5093 apa nikwao manula ana nyumba 2 dar chamanz nahiyo pia sio mbaya manula ana umwa tu
@maxmillanayo2979
@maxmillanayo2979 Год назад
Kwani wachezaji wengine hawana majukumu ya kifedha??manula hana nyumba mbili dar angekua nazo asingekaa huku vichakani na pia Ayo Tv kumfuata mchezaji kwenye haya mazingira ni kumvua nguo adharani,,wachezaji wasitiriwe jmn
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Год назад
Njoo yanga manura ule bata😂😂😂😂😂😂
@abdisalim7900
@abdisalim7900 Год назад
Mkude tulikupenda sn ndani ya Simba na kwa sbb hukuondoka vibaya tnakutakia kila la heri huko uendako,kwani mpira ndy ajira yako
@eliswed7812
@eliswed7812 Год назад
Kwa mbal jamaa anataka kufanana na King kiba
@yohanekopilato-wn3lo
@yohanekopilato-wn3lo Год назад
Manula yupo vzriii Sana'a Waandishi wakubwa kama nyie mhoji kuhusu bandari sio mnaachia kina mbengo TV, Jambo TV n.k
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Mbon kama anafanana na Alikiba uyu manula
@HusseinKoja-nw2vq
@HusseinKoja-nw2vq Год назад
Hilo jibu la mwisho ndio jibu la ushauri wa manula kwa mkude limeshajibika hana haja ya kupiga simu
@SuzanaKasanya
@SuzanaKasanya Год назад
Mkude kwenda Young Africans lisiwasumbue wapenzi wa timu ya Simba maana mpira wa miguu ndo ajira yake. Naamini kule kafuata pesa ila bado timu alokaa muda mrefu itabaki moyoni mwake
@jumasoli7818
@jumasoli7818 Год назад
Aliokaa nayo mda mrefu ndio ipo moyoni Nan nakuambia utajuaje Kama alikuwa anatamani aende timu nyngine
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 Год назад
Ila manula amejibu kiume Kuna MAISHA baada ya mpira (facts)
@jumasoli7818
@jumasoli7818 Год назад
Kuna sku chama ndan ya yanga au mzze ndan yasimba kawaidatu
@revocatusmtahaba9955
@revocatusmtahaba9955 Год назад
Nimependa hiyo et vitu vya kukufanya ujue umo au haumo
@jacobkilagalila-gu2mh
@jacobkilagalila-gu2mh Год назад
Anamajibu mazr
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
Kutoka kwenda pahala pengne nikawaida muda ukifika kutoka nilazima israeli ya Sasa hapo zamani walikuwa watumwa wa misri WAKATOKA hata wakati furani shetan aliteka mateka kikambabadilikia kila lenye mwanzo linamwisho UGUMU WA MAISHA Ndicho KIPIMO CHA AKILI
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 Год назад
Hizi interview zinazo husisha wachezaji wa simba na yanga ziko kichokozi mno ukikosea pont tu imekula kwako panahitajiki umakini mkubwa ktk kijibu
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 Год назад
Nilichopenda ni hiyo nyumba ya udongo yaani Aishi hana mambo ya maigizo japo nafahamu pesa anazo tu za kutosha
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Manura fanya upige rip nyumbani hapo bana
@athumanmsuya2688
@athumanmsuya2688 Год назад
Wewe nyumba za asili hizo,ni ukumbusho so kwamba hawezi au hawana nyumba nzuri
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
😂😂😂😂
@musason1680
@musason1680 Год назад
Hiyo nyumba watu zinawakumbusha mamb mengi hata nzr ziwepo hiyo itabaki mpaka siku ikianguka yenyewe watu wamekulia humo
@ElimiliusNduhe
@ElimiliusNduhe Год назад
Kama ametemwa simba , kwahyo wanasimba wanatamani mkude aendelee kukaa mitaani?
@dijahmriri523
@dijahmriri523 Год назад
Wachezaji mnatakaga mishahara mikubwa ata cha maana mnachofanyaga hakuna sasa kwa ukubwa wa manula iyo ndo nyumba ulisema umejenga nyumbn kwenu duh
@michaelpaul245
@michaelpaul245 Год назад
Yaani kwa manula Nampa pongezi hajafeki life na wengine wawe mfano wa kuigwa.kamaliza yake na nyumbani ipo kwenye Renta.hiyo anayofanyia interview ndo ya zamani na hua hatuzivunji kwa sisi tuliotoka village tunaelewa
@azizimangara9024
@azizimangara9024 Год назад
Sio kila kitu chako ukitangaze, ulitaka akae kwenye nyuma nzuri za watu na gari la samani kama wanavyofanya wasanii!!!? Kwanza Iman ya dini yake aziruhusu kuringa juu ya ARDHI, ndomaana hata bakharesa yupo kawaida saana, amejitambua dini yake inataka nn. Na huenda manura ana nyumba nzuri kuliko yako, Ila aireti maana aionyeshe, kwani ni yakwake sio yako. Big up manura Kwa uharisia. Ulio uonyesha.
@taswiramedia
@taswiramedia Год назад
DOSARI EP 02 Love Story ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-8JX7s5DYwok.html
Далее
Warriors|Greg Emuze
14:43
Просмотров 1,4 тыс.
WHICH SODA CAN FLY THE HIGHEST?
00:48
Просмотров 8 млн
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25
WHICH SODA CAN FLY THE HIGHEST?
00:48
Просмотров 8 млн