Manula una akili sana,msisikilize mashabiki wasiojua mpira,shabiki na mchezaji ni vitu viwili tofauti,mchezaji mpira ndio ajira yako na maisha yako,ukiachwa nenda unapohitajika ili maisha yaendelee ukikaa kusikiliza mashabiki kisa hawapendi hakuna atakayekuja kukutumzia familia yako...soka ni ajira nenda kacheze timu yoyote!!
Sio tatizo la Simba,, swala ni kwamba yeye anatumiaje pesa! Majukumu kwenye familia ni mengi sana kijana ,,, unakuta anasomesha .n.k Pia jamaaan ni mwamba,,, kafanyia interview pale pale home na Wala Sio hotelini Wala kwenye gari
Kwani wachezaji wengine hawana majukumu ya kifedha??manula hana nyumba mbili dar angekua nazo asingekaa huku vichakani na pia Ayo Tv kumfuata mchezaji kwenye haya mazingira ni kumvua nguo adharani,,wachezaji wasitiriwe jmn
Mkude kwenda Young Africans lisiwasumbue wapenzi wa timu ya Simba maana mpira wa miguu ndo ajira yake. Naamini kule kafuata pesa ila bado timu alokaa muda mrefu itabaki moyoni mwake
Kutoka kwenda pahala pengne nikawaida muda ukifika kutoka nilazima israeli ya Sasa hapo zamani walikuwa watumwa wa misri WAKATOKA hata wakati furani shetan aliteka mateka kikambabadilikia kila lenye mwanzo linamwisho UGUMU WA MAISHA Ndicho KIPIMO CHA AKILI
Yaani kwa manula Nampa pongezi hajafeki life na wengine wawe mfano wa kuigwa.kamaliza yake na nyumbani ipo kwenye Renta.hiyo anayofanyia interview ndo ya zamani na hua hatuzivunji kwa sisi tuliotoka village tunaelewa
Sio kila kitu chako ukitangaze, ulitaka akae kwenye nyuma nzuri za watu na gari la samani kama wanavyofanya wasanii!!!? Kwanza Iman ya dini yake aziruhusu kuringa juu ya ARDHI, ndomaana hata bakharesa yupo kawaida saana, amejitambua dini yake inataka nn. Na huenda manura ana nyumba nzuri kuliko yako, Ila aireti maana aionyeshe, kwani ni yakwake sio yako. Big up manura Kwa uharisia. Ulio uonyesha.