Тёмный

MAPENZI YAUA ARUSHA! MUME Ajinyonga BAADA ya KUSHINDWA KUMUUA MKEWE ALIYEJIFUNGIA Bafuni USIKU KUCHA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 129 тыс.
50% 1

MAPENZI YAUA ARUSHA! MUME Ajinyonga BAADA ya KUSHINDWA KUMUUA MKEWE ALIYEJIFUNGIA Bafuni USIKU KUCHA
Kijana Athumani Juma mwenye umri wa miaka 26 anaeishi Olacity Mkoani Arusha, amepoteza maisha kwa kudaiwa kujinyonga hadi kupoteza kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugomvi kati yake na Mke wake, fuatilia habari kamili...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 212   
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 года назад
Arusha Arusha kuna nini eh Mungu turehemu tunakataa hizi roho za mauaji kwa jina la Yesu Kristo. Amen
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 года назад
Ameeen 🙏🙏😔
@ebenezamafie796
@ebenezamafie796 2 года назад
Kweli nimeamini kila kitu linakusudi lake choo kimetumika kuokoa maisha ya binti mrembo Mungu awajalie neema
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 года назад
Poleni kwa maafa ya kimakusudi. Mungu awape nguvu na subira kupitia hayo magumu.
@aishaathman7340
@aishaathman7340 2 года назад
Jinyongeni tu kwa sababu ya mapenzi. Mi huko kufa kwenyewe nakuogopa ni vile tu ni lazima sinabudi siku ikifika.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 2 года назад
Good point
@rukaiyaahmadsuleiman3951
@rukaiyaahmadsuleiman3951 2 года назад
Umeona eeeehhh
@shemsaomarsuleiman8600
@shemsaomarsuleiman8600 2 года назад
Kabisaaaa
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 года назад
Kweli kabisa
@hafsahussein505
@hafsahussein505 2 года назад
Maisha yenyewe matamu
@ilungasalle
@ilungasalle 2 года назад
Huyu kima alikuwa na nia mbaya, alitaka kumuua mkewe kisha nae ajiue. Wacha afe mwenyewe aache mtoto wa watu na maisha yake. Suluhu gani hiyo inayoishia kwenye kujinyonga
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 года назад
Kweli mtoto sijui angeishi vp🤔
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Ndo vizuri kafa ana angewazuru wengi
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад
NimechekaEti.suruhu.gani.hyo.inayo.ishia.kujinyonga
@danwayne786
@danwayne786 2 года назад
Mwana mke akisha muacha mmewe alafu ambiwe wasuluhishe, huo ni mtego wa kuuawa. Ukiamua kumuacha jua maisha yako yako hatarini. Kuna wanaume wasio kubali kuachwa. Lengo lao ni mauaja baada ya kuachwa . Ukisha muache mmewe hama jiji au hata nchi. Hili ni funzo muhimu kwa wana wake na pia wanaume.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 2 года назад
Duuh mungu atuepushie vifo hivyo inshallah na mungu amuweke mahali panapo stahili 😢
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 года назад
Kumbe alitaka kumuuwa mwenzie 😳bora kajiuwa mwenyewe
@mohammedabdala7526
@mohammedabdala7526 2 года назад
Mungu kamlaani haya aliyo yataka hajafanikiwa haya malipo ni hapa hapa duniani Ila mungu kasha kulipia nabado hukumu yako
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
Jaman tukiachwa tusikubal kurudi tena visa vingi kwa sasa vya mauaji chanzo ni watu kurudiana
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 года назад
Hahq..eti portable, pisi kali, anavutia😃😃😃💃bora pisi kali haijauliwa..hasara ingekuwa mara 2😃
@micamathew2595
@micamathew2595 2 года назад
Shetani siku zote yuko kazini!!! Sasa vijana wa siku hizi hawapendi kusali kwenda kanisani kufanya ibada. Bila Yesu utaona maisha ni mazito sana!!! Sasa kazi ni mmoja, twendeni kwa Yesu, atatusaidia, Haleluyaaaaa ameeeennnn.
@abdillahhussein3020
@abdillahhussein3020 2 года назад
Nenda mwenyewe kwa yesu ,Mm naenda kwa mtume Muhammad (s,a,w)
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KWANI ANAKAA MTAA GANI??? SI NASIKIA KAHAMA PALE TANDALE.
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 2 года назад
Yesu ndio nani?
@hazlerhussein6486
@hazlerhussein6486 2 года назад
Wangapi tumesikia kifo cha taarifa tumekipata badala ya taarifa ya kifo tumeipata
@doramakula4785
@doramakula4785 2 года назад
Arusha shetan yupo kazini kwa ajili ya mauwaji mungu usie shidwa jambo lolote tunaomba i simama mwenyewe
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 2 года назад
Vituko vya wanaadamu wa Leo hata shetani anastaajabu!??Allaa tujaarie mwisho mwema 😥😥😥
@issahashimu2593
@issahashimu2593 2 года назад
Allah not Allaa please lakn
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Tatizo tumepuuza mafunzo ya Jando na Unyago, lingine vijana wanaendekeza sana michepuko
@kashinjepius4096
@kashinjepius4096 2 года назад
Oa una miaka 32 hv utakuwa umekomaa kiakili
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Siku ilifika ilikuainatafuta sababu tu inalillah wainailahi rajuun Allah mueke panapo staili lnshallah
@queenmunny244
@queenmunny244 2 года назад
🙏🙏nikwel kabisa ndugu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
Kwa hiyo alimwita mwenzake amuue , halafu nae ajiuue, wamwache mtoto yatima mhh. Bora kaenda peke yake.
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 6 месяцев назад
WAnaume wote wangekuwa wanajiua hivi ingekuwa afadhali kuliko wanaume makatili kuondosha uhai wa mwenzie! Umechoka kuishi jiue umwache mwenzio anaependa kuishi aishi kwa raha. Wanaume wengi wanajiona ni mungu mtu wanaweza kumfanyia chochote mwanamke mnyonge
@faithluande1867
@faithluande1867 2 года назад
Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole mashore kibao mpka nyapu zauzwa kimafungu kiumeni kujikaza from mombasa
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Mm nasubir ziraili anichukuwe lakini kujiuwa sisubutu mungu anisuru ishaalah🙏🙏🙏🙏💕💕😅😂🤣😘👍
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 года назад
Wanaume wakiowa mke mzur, ukisalimiwatuu, wanaona unatongozwa, wanafanya wivu
@ayububakari9942
@ayububakari9942 2 года назад
kwanin nawe usalimiwe na kila mtu
@shabanikamsawa181
@shabanikamsawa181 2 года назад
Kumbe mko wanawake wabaya na wazur ww je upo kundi gani mzur au mbaya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Sema tena
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
@@ayububakari9942 kwani ni mchawi asisalimiwe na kila mtu??
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@ayububakari9942 WAULIZE WANAO MSALIMIA WAO WANAJUWA.
@happynelson1136
@happynelson1136 2 года назад
Mimi kila mara nikitoka nje wanaume wananiangalia na siwezi kuwazuia yaani inamaanisha kama ningekuwa na boyfriend angesikia wivu kuangaliwa na watu wakati sio makosa yangu jamaa mwenyewe alimua kuwa na demu pisi kali sasa alitegemea nini sisi wanawake tuepuke kuwa na wanaume wenye wivu kupita kiasi unaweza kuuliwa bila sababu
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 года назад
Eeh bhana eeh mapenzi tusiyape nafasi sana kias cha kugharimu maisha,mtu fanya kazi pata hela kula vizuri yaan uhakika
@joshuansamiye3342
@joshuansamiye3342 2 года назад
Kwel kaka nakubal
@salmaabdulabdul1057
@salmaabdulabdul1057 2 года назад
Kweli kabisa
@maryamm7765
@maryamm7765 2 года назад
Kweli kabisa
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 2 года назад
Wazee huu moto ulikuwa unafukuta chini kwa chini mwanamke aulizwe vzr
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 года назад
Hii kesi ichunguzwe how comes....huyo mke achunguzwe maybe ilikua Anajitetea Kwa bahati mbaya ikatokea yaliotokea
@rosetagaye5731
@rosetagaye5731 2 года назад
Mungu atuepushe na hizi roho za mauti
@enterenter1921
@enterenter1921 2 года назад
Mwanamke uanze ibada sahii ingekua niwew ndio umekufa
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 года назад
Mmh ninavyoogopa ushahidi mimii 🤔🙄🌝mmh huyu dada WA Kwanza kanyoosha maelezo kama alikuwepo Mie ushahidii 🙌🙌
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 года назад
Wa arusha wana roho ngumu sana.dada aisaidie police...huenda ikawa yy ndio muuaji...
@amnewarji1707
@amnewarji1707 2 года назад
Du Arusha kuna pepo anatembea jamani kila kukicha mauwaji hayaishi mungu tustiri waja wako.
@mwahejaporongdt1766
@mwahejaporongdt1766 2 года назад
Mtihani sana
@ryobaadams3358
@ryobaadams3358 2 года назад
Mungu atawasaidia ndugu zetu waarusha.
@salimkisoja5030
@salimkisoja5030 Год назад
Poleni sana kwakujinyonga
@getrudalufega9770
@getrudalufega9770 2 года назад
Imemugeka Safi sana
@ednajeremiah928
@ednajeremiah928 2 года назад
Acheni afe hasira za kumkosa mke kumyonga ndio akaona ajinyonge fila salama huliko
@donsuatv1254
@donsuatv1254 2 года назад
Mwandishi msomi kumbe bado ni camera Man mzuri tu , kwenye kioo anaonekana Lebaba mwandishi msomi
@Zubaiba
@Zubaiba 6 месяцев назад
Arusha lakin mnanini jamani,mbona mmezidi jamani kila siku matukio makubwa ,ndugu zangu badilikeni
@jackiekimario9324
@jackiekimario9324 2 года назад
Huyo mke wake achunguzwe inawezekana kampiga na huo mtungi maana maelezo hayaleti maana
@officialjclever9879
@officialjclever9879 2 года назад
Pisi Kali imebaki kwa mabaharia duh haya maisha bhana
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 года назад
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.
@saidyssaley1509
@saidyssaley1509 2 года назад
Rehma gani kutoka kwa Allaah na amejiuwa na mtu akijiuwa hugo amekufa kafiri
@queenmunny244
@queenmunny244 2 года назад
Ameen
@alisaidi7477
@alisaidi7477 2 года назад
Daaaah.... inauma saan... Maish yenye ndy hayaa....
@mamaahmad8615
@mamaahmad8615 2 года назад
Bora alivyo jiuwa mwenyewe kajibu kwa mungu sasa
@queenmunny244
@queenmunny244 2 года назад
Mungu atuepushie hizi roho za umauti
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 2 года назад
Huo ni ujinga,wanawake/wanaume wapo wengi.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
Khaaswa! Kumng'ang'ania mtu ndio chanzo cha hays. Km mtu mapenzi yameisha endeleeni na mambo mengine kuliko kuwindana roho. Mapenzi gani ya kuuana. Khaaa
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 2 года назад
Inashangaza wapangaji wataskia mwenzao anapigwa ananyongwa hawachkui hatua mpk mmoja afe ndio wanaanza story
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 года назад
Yaani ni wapuuzi sana
@glorynnko4753
@glorynnko4753 2 года назад
Katka kitu cntokaa nifanye nikujiu au kumuua mwanaume Sabab y mapnz never ever
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 2 года назад
Anayehojiowa sasa 😂😂😂😂anasafia kama yote sijui yeye ni pisi baya 🤣🤣😂😂
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 2 года назад
Mwanamke kumsifia mwenzie ni vzur
@tatumussa6813
@tatumussa6813 2 года назад
Poleni sanaaaaaaaaaaa
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 года назад
Jaman
@nelsonkazaura5713
@nelsonkazaura5713 2 года назад
''Kifo Cha Taarifa Timekipata''....
@salmaadil7122
@salmaadil7122 2 года назад
😄😄😄naww umeskia eee
@zaykipini4761
@zaykipini4761 5 месяцев назад
😂😂😂 ila watu mpo makini kuskiliza mazungumzo mm nipo busy kusoma comment
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 2 года назад
Poleni
@reginamanyangu6682
@reginamanyangu6682 2 года назад
Inamana ma jiran hawakusikia kelele, inawezekana vp mt ulale choon hadi asubuhi, mhhh uchunguzi ufanyike
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 2 года назад
Kabisa kuna uwalakini hapo, haiwezekani! Kwanz usingzi unatoka wap
@marryclemence5820
@marryclemence5820 Год назад
Kufen tuuuuu ..... Lkn mm hapana kabisa
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 года назад
Dah wanaume tunakwama wapi??? Kila kukicha tunajinyonga kweli?? Dah noma sana
@glorynnko4753
@glorynnko4753 2 года назад
Mapensi matam
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 года назад
Acha jeshi la police lifanye kazi huyo Binti afunguke tu .
@zainabually2968
@zainabually2968 2 года назад
Amejinyongaje Uku kalala chin mmmh
@annachales9623
@annachales9623 2 года назад
Maelezo yenu yanajichanganya Mara alitaka kujinyonga ndo ikateleza akaangukia mtungi wa gesi mara amejinyonga kupitia bimba lakuweka pazia dirishani...Jamani RIP
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 года назад
Kufa kufa vipi unaanze kujinyonga kwanza kufa kwenyew sijazoea
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 2 года назад
Mbon ni watoto jmn😥😥😥😥kunjunjuan c kupo jmn
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 года назад
Innalillah wainnah illah lajoun
@robinrizone9129
@robinrizone9129 2 года назад
RIP
@LoveStory-ne2ee
@LoveStory-ne2ee 2 года назад
Subuhanallah
@sylviermuhonjah8411
@sylviermuhonjah8411 2 года назад
Ameni kumbusha alisha wahi tokea mtaa wa kwetu jamaa alipiga bonge la shonde ndipo akajitundika I say laana
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Mnakimbilia nini kuoa wadogo zangu? Nini mnakivumbua kwenye hizo mbio? 🤔
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Usiwe mmarekani mweusi anayeogopa kuoa
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Wanavumbua uroda bado wadogo
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 года назад
Bora alivo jinyonga mwenyewe kwakweli
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 2 года назад
Na huo ulikuwa ugomvi mkubwa inavyoonekana ina maana majirani hamkusikia au walikuwa wanapigana kimya kimya
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
Ati bila ukunga
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
Labda alimpiga na huo mtungi wa gesi katika huo ugomvi
@hamidamnyika5866
@hamidamnyika5866 2 года назад
Wengine tunaogopaga aibu tunagugumia ndan kwa ndan
@pwararirapwapwiiiii9730
@pwararirapwapwiiiii9730 2 года назад
Aaaaah n too much ndpo Tanzania n sna ssa🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@enterenter1921
@enterenter1921 2 года назад
Hahahahaaaa dada umemsifia asee 🤣🤣Et mzuri hatare dada umemaliza pic kali
@zaykipini4761
@zaykipini4761 5 месяцев назад
Huyo dada alipoingia chooni angeweza kuomba msaada kupitia dirisha la huko bafuni
@aishaddddhh6272
@aishaddddhh6272 2 года назад
Innalilah waina ilaihim rajiun
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 2 года назад
mauaji yamekisiri arusha,,nawakati wahehe ndo walikuwa wakiongoza kwa kujinyonga,,mi mtu akitaka kujinyonga au kujiua ,,siwezi kumzuia maana ni maamuzi binafsu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 2 года назад
Je wakati yupo bafuni angepiga kelele pengine wangesaidiwa
@ashuramatata595
@ashuramatata595 2 года назад
Lkn mnyanya kwann ulifanya ivoo daah 😭😭😭
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Subhanallah innalillahi wainnailayhi rajiuun 😭 mmhu jamani
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 года назад
Arusha jamani mmeingiliwa na pepo gani
@camillahamis1069
@camillahamis1069 2 года назад
Sasa alitaka mtt abaki nanan kha akufe tu na mungu asisameh makosa yake
@luckyrasuli525
@luckyrasuli525 2 года назад
Mwanamke nimzuri kipotabo kiukwel anasifiwa kameza mengine ebu njoosheni maneno
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 года назад
Bora kajiuwa mwenyewe
@queenmunny244
@queenmunny244 2 года назад
Mungu akupungudhie adhab ya kabri mnyanya 😢😢😢😢🙏
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 2 года назад
Atampungunziaje adhabu ya kaburi na kajinyonga mwenyewe Kwanza akitaka kumnyonga huyo dada ashukuru mungu kajimalinza mwenyewe
@queenmunny244
@queenmunny244 2 года назад
@@asteriambwei3349 mungu ampungudhie adhab ya kabri kwani mungu ndo mwenye kuhukumu sio sisi binadamu atakama kosa nilakwake mwenyewe binafsi tumuachie mja wake kwani yeye ndo amjua mja wake alikutwa na nini au ndani ya moyo wake kulikua kuna maumivu gani tujifunze kitu mimi na wewe hatujui kesho yetu sio vyema kutoa maneno makali kwa marehemu atujui kuwa tunazidi kumuongedhea dhambi
@hambalhusba9638
@hambalhusba9638 2 года назад
Huyo mbona anapaswa kuwa shahidi namba moja
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 года назад
Jamani 😭
@vero57
@vero57 2 года назад
Mapenzi yana uwa ,wahenga walisema
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Innalilah wainailah rajioon
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Kujiuwa vizur funza wanasubir kwa ham kwenye kaburi na wadudu kulala bass kusudi haimbii pole
@masayimnyamwezi3940
@masayimnyamwezi3940 2 года назад
Arusha punguzeni bangi
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Heee
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 2 года назад
Inna Lilah Wainnailah Rajuun.
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 2 года назад
Acha wengine wamiliki pisi hiyo
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 года назад
Arusga kunanii. Mboba vifo Vingi.
@jacklinelaswai4686
@jacklinelaswai4686 2 года назад
Vifo vipo kila mahali
@pendomariki6562
@pendomariki6562 2 года назад
Hiyo kamchimbia shimo mwenyewe katumbukia mwenyewe
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 года назад
Dyuiiii atariiii hiiiii jmn jmn jmn jmn
@lizzybby2392
@lizzybby2392 2 года назад
😢😢😭😭
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад
Raha zote hizi za dunia unajinyonga
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 года назад
ARUSHA NA K/NJARO KUNA NINI, MTAISHA AWAMU HII
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 2 года назад
Hii Tanzania inaelekea wapi?
@salmaabdulabdul1057
@salmaabdulabdul1057 2 года назад
Yani huyo kamuita amuue Kisha ajiuwe na mwenyewe
@glodynkondo9800
@glodynkondo9800 2 года назад
bibilia ime katala kujinyonga unajuwa ni pepo zashetani kujinyonga
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 2 года назад
Shetani yupo pembeni anajifunza mengine kutoka kwetu dada ndiyo ile tunaambiwa usimuombee mwenzio mabaya kwasabb. lazima yatakurudia t ndiyo hivyo