Yesu tusaidie watanzania tumekuwa kuku sio binadamu mnaowauwa watu kumbukeni na ninyi mtakufa tena mtakufa kifo kibaya Sana maana anayeua kwa upanga na yeye atauwawa kwa upanga Kile upandacho ndicho utakachovuna kwa kipimo cha kujaa na kusukwasukwa na kumwagika😢😢😢😢
Ushauri wangu, Viongozi na wanaharakati wa upinzani muwe na vifaa vidogodogo vya GPS Mvifiche kwenye miili yenu ili isaidie kutrack mtakapo potezwa. Lakini pia itasaidia kuwakamata wahusika wa matukio haya.
Wasiojulikana WANAJULIKANA, wasiojulikana wana bunduki na pingu ambazo haruhusiwi kumiliki ila wasiojulikana ambao WANAJULIKANA, magari yanayotumika usajili wake yanamilikiwa na wadiojulikana ambao WANAJULIKANA
Jeshi la polisi tanzania ni kundi la vibaka..wanapenda kutesa sana raia na kuua watanzania bila kufuata sheria...polisi hata sheria hawajui wala kufuata...
Rais Mama Samia,Kwanza nakupenda Sana. Ila hii Nchi ni ya Vyana Vingi.sasa kwa hiki kinachoendelea hebu fungus macho uone kinachoendelea,kinachafua heshima ya Nchi hii. Nikuombe Mama liangalie hili 🙏🙏🙏
Haya Mambo mungu atusaidie tu hatuna watetezi mahakama lao moja polisi lao moja pamoja na bunge sijajua wanajeshi na wao nina mashaka walianzia kutubomolea kibaha loliondo sasa hivi haya na wanasikia ila lao moja sisi wote tutaonja umauti kila mtu kea wakati wake mungu yupo yeye ataamua halo ilipo
Wasakwe kwa udi na uvumba lazima wakamatwe nao wapewe kipigo kisichosaulika na wateswe Hadi kufa Ili iwe fundisho kwa wengine.Likifika mahakamani hatutapata usuluishi sawa na kesi ya nyani kumpelekea ngedere.Watanzania tuungane wote kwa pamoja.Tusipofanya hivyo, jambo hili litachafua uchaguzi wa mwakani.
Inaumiza sana. Mungu mkuu yupo mtetezi wa haki. Kwanini haya,kwanini chuki hizi?. Tanzania inaelekea wapi?. Je bahadhi ya waliopo madarakani siyo wanadamu tena?.ni wanyama tena wakali na wasiyo na uruma?.( 03/03/2023 Mazabahuni asubuhi sauti ikisema wazi mara tatu Tanzania ipo gizani ndiyo naelewa sauti iyo sasa). Mungu mkuu aturehemu kwa yote. Amen.
CCM MWAKA HUU HAMTAIBA KURA MUNGU ATASHUSHA KIPIGO KABLA YA KUIBA PIA HATUTAKUBALI KUTEKWA TUTAJILINDI NA KUJIHAMI WASIOJULIKANA TUTAWAKABILI BARABARA.
aya mambo ni ya kumuchafuwa mama yangu samia jameni oo niwapizani wanajalibu kuuwa ili mama aonekane mubaya mbona mama musitalabu ana peda amani sio kila kitu nimama jameni mama pole kwamangumu unayo pitia mungu yupo kaza looo
Yan hata sijui niongee nini yule mama jana anaansika eti nimepokea kwa masikitiko kifo cha kiongozi wa chadema why alipo tekwa hajasema na hawa vijana wamepotea muda mrefu ila hajasema kitu hadi sasa
Amani haiji ila kwa ncha ya upanga, watanzania wamekuwa wapole muda mrefu SASA imefika hatua wananchi Bila kujali itikadi zao kuingia barabarani kudai haki rais huyu hafaia kabisa na genge lake
hii nchi inatakiwa kuishi kwa kulipiza kisasi ndıyo wataogopa na ww teka hata ndugu yake mmoja wa polis mtoto dada chukıa nuonga tukııshi hiiv wataogopaaa
Tanzania ni inchi ya aman Leo kutekwa mara kupotezwa. tunaelekea wapi watanzania. viongozi wa dini na viongozi wa serikali hii swala wakikaa kimya ni hatari Kwa Kila mtu.kibaki chama kimoja tu. mfumo wa vyama vingi haupo tanzania
Tunadhani ukikamatwa na polece umeingia sehemu salama kumbe sivyo kumbe polece akija kukukamata mmalizane hapo hapo liwalo na liwe kama ni kufa ufie hapohapo
C mlifurai JPM arivyo kufa wakat yeye aripunguza vitendo hivyo hata kama, ee binadam hajakamilika sawa ili tutakukumbuka daima JPM tunao jierewa hata kama hatuna kitu 😂😮😅😮
Jamani watanzania mmesahau yaliyo tokea italia misiri tunisia bukianafaso na kazarika wote waliyo kuwa wanatesa watu walishuhukiwa pamoja na watoto wao na wake zao mpaka wajukuu zao ndugu zangu ebu tuwe na huruma raisi samia mimi nakupenda sana mama dada yetu ongea na vijana wamalize haya matatizo inamaana taifa linashindwa kujuwa hawa ni wakina nani wanao fanya haya mauaji rakini tayari taifa lina mashaka
Inaumiza sana poleni watanzania poleni wana tanga kuna nini ambacho wana chadema wamefanya wao tu ndio yawakute haya mbona wanaharakati wengi wa vyama vya upinzani
Ukienda kutafuta haki ukakataliwa ufanye nini? Hii Inchi ya watu fulani kwenye utawala huu. Nadhani wanaotuuwa wanatolewa Inje ya Inchi chunguzeni na comments zinazotolewa kuwa mama Samia analipa kisasi cha kilichotokea huko.NyKati za Nyerere.
Watz hamuna maono yaani bado munamuona samia nimufajiri wenu pumbavu kabisa,acheni uoga wakujipendekeza kwamama,mtekaji niyule aliyekataa kabadrisha Mfumo huu wautawala,