Nafikili mkuu haya ulitakiwa kuyakabili wakati huo yanatokea na sio baadae ni wazi uko mbali na wananchi wako maana sio rahisi haya kutokea bila muwakilishi wa wananchi kujua,pili maswala haya yalitakiwa kuzungumzwa kupitia vikao vya chama chako na tamko hili ungekuachia chama chako na wewe ukawa sehem ya ufuatiliaji,na pia suala hili ungeweza kulimaliza kupitia vikao vya madiwani ambapo wewe ni mjumbe pia mgeweza limaliza bila kuleta mvutano na viongozi wenzio na mwisho siasa za kutishana kila wakati nazo hazina afya kwa Jamii na zingatia hapo unarumbana setikali siamini kama hayo yanatokea hapakuwa na vikao halali au uzingatifu wa sheria badala yake wewe pekee ulione hilo sina imani kabisaa kwa Mh Rais kukaa kimyaa uzuri tumeona marneo mbalimbali viongozi wanakosea tu hata kauli mama anakula kichwa siku hiyo hiyo,anyway bado naamini kupitia vikao tatzo kama hili linaweza kumalizika na hasa ukixingatia 4R
Tunahitaji wabunge kama Mpina. Watanzania wapole sana, wengi elimu zawo ndogo hawawezi kubishanae na viongozi dhuluma. Serikali iwarudishie fedha zawo.
Ccm ikiongeza idadi ya viongozi wa kaliba ya mpina, ambao ni wapenda haki na ukweli; nchi yetu itastawi na watu kuwa na furaha. Unastahili Nobel Laureate price son Mpina.
Kitu cha ajabu kwa nini chadema hasa kwa mbowe lissu lema na wengineo krb na uchaguzi waleta kitu cha kutofahamu pia wanakimbilia ubalozi wa America na ubalozi wa nchi zinginezo za kizungu kuwa kavia makosa yao
Je wewe mchango wako ni i nini katika kurekebisha hali hiyo ukiwa kiungo kati wananchi na erikali yachama chako na kwa nini unakimbilia vyombo vya habari badala ya vikao vya chama
Mpina uko sawa baba. Saidia watu. Kuna uonevu mukubwa Tanzania haswa kwa wananchi wanyonge. Wenye fedha wanatumia fedha zawo kuwaibia wanyonge. Hawana pa kukimbilia zaidi kwa mbunge wawo musikivu. Wabunge wote wangekuwa kama wewe watanzania wangepumuwa. Umekuwa mbunge tofauti, na ndiyo maana unachukiwa bungeni. Wanatamani kukunyamazisha kaa kimya