you probably dont care but if you are stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the new series on InstaFlixxer. Been watching with my girlfriend during the lockdown =)
Waswahili wengine bana, yupo kazini apo, kula ana kula ila ni kazi ya kuchekesha! Mimi nimecheka kabisa hahahhahahhaahahahha! Muache unegativity nyie wabongo!
Wewe wacha zako ugali ni chakula cha tamaduni yakiafrika mimi mwenyewe millionaire tena millionaire mkenya na siezi kosa ugali wiki moja na nimelelewa na ugali tangu nikiwa mdogo usitharau ugali wacha zako unashukisha tamaduni zetu zakifrika
The thing you are talking about is not alright kabisa, coz ugali ni chakula pia haina haja ya mtumishi wa Mungu kujigamba kuwa hali ugali, that's not God's way
Mchungaji wewe unashangaza, ugali ni chakula kama chakula kingine Sasa wewe unaupondea ugali mimi sikuelewi aliyekupa wewe wali ndie aliyempa mwezio ugali
1. Easy man its comedy 2. Amesema ameshakula sana ugali..amezaliwa Njombe na kule ugali ndio chakula kikuu wananywea chai hata asubuhi. Mke wangu amezaliwa Moshi hali ndizi zikipikwa kabisaa kwa madai hayo hayo. Msukuma anaweza kukwambia the same thing habari ya samaki Waliozaliwa Dar tu ndo walikua na variety ya vyakula na ugali ulidharaulika. Utanielewa kama umri wako ni rika letu yaani mi na Masanja otherwise watoto wa siku hizi wamezaliwa kwenye vyakula vingi wanajichagulia
Its comedy, hujawai kula ugali wewe asubui mchana na jioni, ndani ya mwaka, huli tena maishani! Alafu unaenda kula sehemu nyingine kubadili mazingira wanakupa dozi hehhehehehehe! He is fine na watu wamexheka, chekesha na wewe!