Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu. #Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending
Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba
Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.
WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS. IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤
Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐
Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako
Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)
Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho
@@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba
Ni stand up comedy Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea Hukupaswa kusema hayo. Ingefaa utuombe radhi