Тёмный

Mchungaji HANANJA Amfunika MASANJA Kuchekesha Mbele Ya WAZIRI Watu Hoi Kama Cheka Tu... 

Msasa Media
Подписаться 172 тыс.
Просмотров 408 тыс.
50% 1

Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
#Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending

Развлечения

Опубликовано:

 

17 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 150   
@Iamwinningspirit27
@Iamwinningspirit27 8 месяцев назад
Hananja real meaning of pastor anakutia moyo anakufanya unasahau stress 😅😅😅😅😅😅😅😅 nabarikiw sana na huyu mchungaji
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 месяцев назад
Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 месяцев назад
Ameen
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj 9 месяцев назад
Wapinga kristo poleni.mtaumia sana,ukristo una TAASISI nyingi sana,hebu njoo huku wewe mpinzani uonje raha hii.amen
@francofrederick972
@francofrederick972 8 месяцев назад
Kila aliehai hai bado neema inamuhusu, injili zakuhukumiana zaweza kuwa tanzi Kwa muhusika zikiendekezwa
@Khamisbuda-oy3ow
@Khamisbuda-oy3ow 8 месяцев назад
Subuhanallah unapotea ndugu yang ila had siku yako ya mwisho ndy utakuja kujuta baada mauti
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 7 месяцев назад
anavichekesho vya kurudia rudia, na kukashifu waislam
@MomadeMohammed
@MomadeMohammed 6 месяцев назад
Ukafiri
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 месяца назад
Ameeeen ❤❤❤kuna raha kabisa
@WillamChonya
@WillamChonya 2 дня назад
Mchungaji hananja we moto mungu akubariki mnoo
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Год назад
Kwa mchungaj Huyu nisingekosa kanisan maana nikitoka nakuwa nime refresh sana
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 9 месяцев назад
Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Hata mimi
@venfreysand8835
@venfreysand8835 Год назад
Huyu mzee anakuwag na madini sanaa
@thomasjohn7176
@thomasjohn7176 Год назад
Una madini sana MCHUNGAJI. Mungu akubariki sana
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Год назад
Anatuchekesha ila ana ongea point nyingi kwa muda mchache
@WilliamPeter-ky7sx
@WilliamPeter-ky7sx 9 месяцев назад
Mchungaji Ananja ana kipawa kweli.. mistari ya Biblia inatoka kichwani dah!!!
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 7 месяцев назад
Baba Mungu akutunze. Mistari ya biblical umeiweka kichwani. Wewe ni jembe baba
@MartineSulle
@MartineSulle 9 дней назад
Nawakubali watu WA mungu awabariki
@barakakomondawa2767
@barakakomondawa2767 9 месяцев назад
Mm napenda huyu mchungaji sana
@DoreenLembriss-xd1bz
@DoreenLembriss-xd1bz 9 месяцев назад
Jaman mchungaji alivyo simama sasa 🤣🤣🤣
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 Год назад
Masanja humuwez hananja hata kidogo.. namkubal hananja mbaka bas😅😅😅😅
@waltersesuru43
@waltersesuru43 Год назад
Amina mtumishi
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Год назад
WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS. IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤
@user-ne5me5tx3m
@user-ne5me5tx3m 8 месяцев назад
Okooo
@rahelngaka4
@rahelngaka4 7 месяцев назад
].?​@@user-ne5me5tx3m
@Dunia129
@Dunia129 8 месяцев назад
wanadam wengi wanapenda mizaha kuliko ukwel
@shizoshop2469
@shizoshop2469 9 дней назад
Hananja ni comedian pure 😂😂😂😂
@msafirijaffary7089
@msafirijaffary7089 8 месяцев назад
Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐
@jojosky337
@jojosky337 6 месяцев назад
Mbona hajakebehi acha kudadavua tofauti
@akberyuda5950
@akberyuda5950 6 месяцев назад
BWANA YESU KRISTO ANATISHA ANAVIFAA KWELIKWELI❤❤❤
@user-sw6bj7tn6t
@user-sw6bj7tn6t 9 месяцев назад
Huyu mchungaji namuelewa sana
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Год назад
Uwezo mkubwa kwa kakariri mistari ni ajabu mnooo huyu ni hazina tunamchukulia powa
@amouralshabiby7543
@amouralshabiby7543 7 месяцев назад
Waislamu huwa wanahifadhi quran nzima ( msaafu wote) !!! Sio kukariri hapana !! Ni kuhifadhi
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Год назад
Huyu mchungaji afungue RU-vid channel yake, Mzee anafurahisha sana
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 Год назад
Anayo inaitwa Pastor Richard Hananja
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Год назад
Anayo
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LYlDptjFxNg.html
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 6 месяцев назад
Unataka kupona au kufurahishaw
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 6 месяцев назад
@@SifaelMpagike-gt1gz Samahani, Mimi siumwi ndugu yangu
@BarakaPaulotzsiria-
@BarakaPaulotzsiria- Месяц назад
Hananja oyeee😂😂😂😂😂
@nassjr6566
@nassjr6566 Год назад
Ila waha wanapg pesa za wezao
@FaresHabel
@FaresHabel 7 месяцев назад
Kweli
@user-rl1dd7ik2m
@user-rl1dd7ik2m 9 месяцев назад
Nakubali m2mishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-to8uy8wh3c
@user-to8uy8wh3c 9 месяцев назад
Hananja na masanja mmetofautiana hn...ms...2
@user-gq9fe6dn2c
@user-gq9fe6dn2c Месяц назад
Vizur
@TumainiENgasa
@TumainiENgasa Месяц назад
Amen pastor masanja
@JastiniJastinlobati-dk2br
@JastiniJastinlobati-dk2br Месяц назад
Mungu akubaliki
@deblacktz2981
@deblacktz2981 Месяц назад
Pastor Hananja shikamoo
@user-dw1qu1tu1d
@user-dw1qu1tu1d 7 месяцев назад
❤ safi sana
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Год назад
comedian aliyekosea barabara, inawezekana wazazi wake walimlazimisha
@twahamdoe5730
@twahamdoe5730 Год назад
Mnatumalizia mb zetu uyu mchungaji mpeni ulinzi ila nawaambia kitu uislam ndio dini ya haki
@alenialex6941
@alenialex6941 Год назад
#twahamdoe5730 si nyie mnaofilana Zanzibar na nchi nyingi za kiarabu au
@peninanyaki1639
@peninanyaki1639 Год назад
Yahaki kwa nafasi yake...din yakwelnikumjua mungu
@361NEWS
@361NEWS Год назад
Imani ni bora kuliko Dini.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 9 месяцев назад
Sasa kweli nyoko kweli kwani hapa limekujaje hilo la uislam?
@lucasthomas188
@lucasthomas188 9 месяцев назад
​@@peninanyaki1639 swadakta
@dicksonNyaulingo-zr8dn
@dicksonNyaulingo-zr8dn 2 месяца назад
Hananja nakukubali from r mbuyuni iringa
@justusngonyani165
@justusngonyani165 Месяц назад
Yesu ni njia.
@jojosky337
@jojosky337 6 месяцев назад
Ameeeeen Mchungaji🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 6 месяцев назад
Amen mtumishi wa Mungu
@kelvinwilliam8136
@kelvinwilliam8136 5 месяцев назад
Sema usikivu hauko vizuri ila naamini audience hawakujuta uwepo wa mchungaji hananja katika jukwaa
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 Год назад
mmh! mzee Mungu akutetee
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Год назад
Huyu baba kiboko kwakweli
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Год назад
Abraham angesubiri, asimparamie Hajiri tusingepata Boko Haram na Alshabab 😂😂😂😂😂😂
@ahimidiwemwenyezi
@ahimidiwemwenyezi Год назад
😂
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
😁
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Год назад
Kwani Al-shabab na Boko haramu dini gani?
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Год назад
​@@machoguhamery3731 hawana Dini, wanaabudu kuua na kuiba
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Год назад
@@nurukwilabya2790 Wana dini soma majina yao utaifahamu
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv Год назад
Best of all time
@ernestmshanabakari1352
@ernestmshanabakari1352 Год назад
Mzee wamadini
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 9 месяцев назад
Naomba mwenye namba ya Mchungaji Hananja pls
@deuskakulima2665
@deuskakulima2665 8 месяцев назад
Ninayo
@DigonzaKeimbe-uq1bx
@DigonzaKeimbe-uq1bx 9 месяцев назад
🙏🙏🙏
@halimazahoro8467
@halimazahoro8467 Год назад
Amen 🙏❤
@user-ol7de5fo7j
@user-ol7de5fo7j 6 месяцев назад
Mzee Hananja apewe mauwa yake, Na mwisho wa siku achongewe sanamu lake
@GIDEONMWANGI-cn7ul
@GIDEONMWANGI-cn7ul Месяц назад
Nice one
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni Год назад
Adhabu zimetolewa tayari Kwa Wenye Mizaha. Mithali 24:1, 19:29 au?
@joubaplay
@joubaplay 6 месяцев назад
Kuna tofaut kat ya mizaha na utani 😅
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 месяцев назад
Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako
@changarawemichael5556
@changarawemichael5556 Год назад
Mchungaj wa kweli
@Twisokahebo-sr9ic
@Twisokahebo-sr9ic Месяц назад
Ubalikiwe baba
@user-fy2sv7bm1g
@user-fy2sv7bm1g 6 месяцев назад
Yaani hawa wanatosha kuwa wasanii wa Tz jamn
@jacksonkaale.
@jacksonkaale. 8 месяцев назад
Huyu ananja aende Cheka tuu.
@listerlugisho52
@listerlugisho52 6 месяцев назад
Noma
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Yani kwanini asiwe anapewa scenes za mzee majuto 😂😂😂
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 Год назад
Kwakweli hapo umenena akaigize ila kwa UPANDE kazi ya MUNGU akapumnzike
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Год назад
Et kwl na kufanana wanafanana na KingMajuto nayo point sema tu
@emmanuelerasti2405
@emmanuelerasti2405 Год назад
@@prophetzakayomkemwa5154 kwan wewe unataka apumzike kama nani? Kwan wewe ndo umemkitimia hicho kipawa? Tujiulize Kabla ya kunena
@lambickmanda9125
@lambickmanda9125 Год назад
Iyo hospitali ni MLOGANZILA
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Год назад
Masanja ushampata katibu mwingine? Kama hujampata nije kuwa katibu.
@joycemageta4876
@joycemageta4876 Год назад
🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
😂😂😂Ukataliwe na wewe ujiuwe.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 месяцев назад
Sasa apo ndio kanisani au wapi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 месяцев назад
Bar hapo ndugu yangu si via umeziona?
@sebastiannyenza9140
@sebastiannyenza9140 Год назад
Hongera Sana mtumishi wa Mungu naomba namba yako mi Nipo kibamba
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Год назад
Kweli
@NikawaidaYetu
@NikawaidaYetu 7 месяцев назад
🙏🙏🙏✍️
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 Год назад
hahahahahahahaha jaman ndugu zangu kajukuweni mboga kwenu jaman
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 Год назад
Ahahahaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂
@gracemlihano3971
@gracemlihano3971 Год назад
Anakitu atafika mbali
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 8 месяцев назад
Hananja karibu njombe tunakupenda in njombe
@KonzoOraphy
@KonzoOraphy 5 месяцев назад
Amen
@Lyro6390
@Lyro6390 Год назад
,🙏🙏
@fredanunda7719
@fredanunda7719 6 месяцев назад
Huyu mchungaji ni kakaye mzee majuto???😂😂😂😂😂😂ah!! Maneno jamani yatiririka kama maji ya mfereji😂😂😂 anachangamsha
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 7 месяцев назад
Sioni Kama ni sawa
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 10 месяцев назад
Mchungaji Hananja anastahili kuitwa Profesa wa Bible.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 9 месяцев назад
Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)
@sashaskasha483
@sashaskasha483 Год назад
Huyu ni comedian asiyetumia nguvu😂
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 месяцев назад
Shasaskasha hatajina lakolenyewe bovu lazima hata Lili ya nimbovu kwasababu hunaheshima kwa wakubwa hivyoóo nilaana kwako
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 7 месяцев назад
Msipo slimu kuwa waislam mtakwenda kulia hamtaamini macho yenu
@AnnoyedCobra-lq7fb
@AnnoyedCobra-lq7fb 6 месяцев назад
😂😂😂
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 месяцев назад
Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho
@EliasGervas-jb6rd
@EliasGervas-jb6rd 6 месяцев назад
😢
@saidissa8273
@saidissa8273 Год назад
NASHANGAA HAPA NI KANISANI AU VICHEKESHO?
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 6 месяцев назад
Uislamu nini!mbona dhambi anatenda kama Kawa,hao hawajaokoka kama wewe
@haongaaloyce7207
@haongaaloyce7207 Год назад
😅😅😅😅😅
@andrew29468
@andrew29468 Год назад
Uwezo mkubwa wa kushika mistari kwenye bible ni jambo kubwa mnoo na naamini ni kipaji kikubwa
@abelbilia4450
@abelbilia4450 Год назад
Kiukweli masanja ww ni tapeli kbs ludisha pesa yangu
@odaksibuchum7944
@odaksibuchum7944 Год назад
Alikuibia?
@ezekieljackline3903
@ezekieljackline3903 Год назад
Beee
@demask3423
@demask3423 Год назад
Kakuibiaje?
@mustaphamudhihiri-im7sg
@mustaphamudhihiri-im7sg 8 месяцев назад
😂
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 месяцев назад
Ila kumbukeni mbingu haina mizaa kueni makin hapa.. Mungu hayupo kwenye mizaa.. hapo siwatii moyo kabisa
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d 9 месяцев назад
Hapo mzaha uko wapi?
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 месяцев назад
@@user-gg2jq8mp9d Wala Mungu hafurahi hata kidogo
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 месяцев назад
@@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 месяцев назад
@@user-gg2jq8mp9d mwanadam kukusifia sio sifa.. wacha mbingu zikufurahie wanadam wasifurahi sio mbaya
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 месяцев назад
Maana wanadam hawana mbingu za kukupeleka
@ErickRichard-nw9ry
@ErickRichard-nw9ry 8 месяцев назад
😂 😂
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Год назад
Yaaan wewe aisee
@mcarbonic0rg211
@mcarbonic0rg211 7 месяцев назад
Ni stand up comedy Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea Hukupaswa kusema hayo. Ingefaa utuombe radhi
@chulelubella2819
@chulelubella2819 6 месяцев назад
Huyu mzee ni mhuni watu wanadai ana busara gani mvuta bangu no1 KKKT
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 месяцев назад
Hujui utendaro Mungu akusanehe umefungwa ufahamu
@chulelubella2819
@chulelubella2819 6 месяцев назад
@@tinnahagustinolyelu4247 mpuuzi eti nimefungwa fahamu wewe ndio umefungwa fahamu hauoni kati ya mtumishi wa kweli na wa uongo
@user-sr1wr2xc5g
@user-sr1wr2xc5g Год назад
😂😂😂😂😂😂
@mariakabesha3718
@mariakabesha3718 5 месяцев назад
Pale Comedian wanapokutana kukusanya sadaka
@muhammednassor690
@muhammednassor690 6 месяцев назад
Piga hela zako masanja
@meshack3266
@meshack3266 Год назад
Masanja nimekumaind mnafiki wewe eneo dog alijenga babako
@GoodAilon
@GoodAilon 2 месяца назад
😂
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 Год назад
😂😂😂
Далее
Наше обычное утро 💕
00:42
Просмотров 190 тыс.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 57 тыс.
Да блин 😀
0:19
Просмотров 4,3 млн