Uongo babu weye na nyie ndo mnalazimisha muungano mnajifanya ni wazaliwa wa Zanzibar mnaijua Zanzibar lkn lengo lenu ni kuifanya mkoa. Zanzibar ni nchi ya visiwa na ina uhuru wake sasa ukisema haina passport kabla ya Muungano watu kutoka kwenda nje ya Zanzibar walitumia nini? Hiyo kadi ya usalama inatwaje si ndo Identity ya Nchi husika.
Mara nying kwa mikoa ya mipakan wanauliza, mfano ukitoka darenda kigoma tarajia kuna road block ya traffic watakagua nida yako. Kwa mikoa ambayo haijapakana na mataifa jiran mara nying haukaguliwi kitambulisho moja kwa moja japo wakat wa ukataji wa tiket kwa ofisi zilizo makin watakwambia uoneshe kitambulisho cha nida au lesen inayokutambulisha wewe
Mbona kutoka Rombo kwenda Dar au popote hauulizwi Nida? Na hapo Rombo kwenda Kenya na kurudi unaenda kwa mguu au baiskeli utakavyo na hauulizwi na mtu? Yaani mtu anatoka Kenya kuja dukani Tanzania wananunua mchele na maharage na kibiriti au Mafuta ya kula anarudi Kenya. Wengine wananunua vinywaji wanakunywa wanaenda kulala Kenya. Au mkenya anakuja kukopa gesi na anakulipa. Mbona hamna Cha NIDA au passport?. Sasa hapo Zanzibar yu ndio iwepo passport? Sehemu ya kwenda dkk 20 na ndege?
Kama ilivyokuwa tangu huu Muungano kichaa uwepo, Wazanzibari wamekuwa wakiwachukia Watanganyika ila wakizipenda sana raslimali zilizoko Tanganyika. Watanganyika wamekuwa wavumilivu sana kipindi chote hicho. Sasa wamechoka Watanganyika wanaudai Utanganyika wao na raslimali zao. Dai hilo la Watanganyika, Wazanzibari wanalitafsiri kuwa ni UBAGUZI!! Muda wote huo Wazanzibari wakiwachukia Watanganyika, hawakuona kuwa wanawabagua Watanganyika. Moto waliuwasha Wazanzibari, SIO rahisi kuuzima. Kwa UDI na UVUMBA lzm Tanganyika irudi ktk ramani ya uso wa Dunia.@@khatibal-zinjibari6956
@@khatibal-zinjibari6956Tangu huu Muungano kichaa uwepo, Wazanzibari wamekuwa wakiwachukia sana Watanganyika ila wakizipenda sana raslimali zao. Sasa Watanganyika wamechoka na ufedhuli wa Wazanzibari, wanadai Utanganyika wao na raslimali zao. Dai hilo Wazanzibari wanalitafsiri kuwa ni "UBAGUZI". Ila chuki zao kwa Watanganyika hawakuona kuwa ni UBAGUZI, ila waliona kuwa ni haki yao!! Moto waliuwasha Wazanzibari SIO rahisi kuuzima. Kwa UDI NA UVUMBA Tanganyika ni lzm irudi ktk ramani uso wa Dunia, pia raslimali zao lzm zimilikiwe na Watanganyika wenyewe.
😂 nchi moja ina wimbo za Mataifa mawili, ina benderea mbili Inaserikali mbili, ina raisi wawili Ina katiba mbili Mabunge mawili Mamlaka mbili tofauti na kila raisi hana mamlaka kwa mwenzie😂 Hemu huyo mh akahare huko adanganye wanaosinzia huku wako macho 😂 na waliojaza vichwa vyao pombe😂
@@tours15Hizo ndo akili za Watanganyika karibu wote wao hawajui hata maana ya nchi ni nini, mara ooo Zanzibar ina watu milion mara ooo Zanzibar ni visiwa si nchi upumbavu mwingi upo kwenye vichwa vyao na wengi wao hata historia ya Zanzibar hawaijui.
@@kwisa4899 Kutoka tarehe 26/04/1964 mpaka sasa Zanzibar imepoteza sifa ya kuwa nchi kamili kutokana na muungano ila kabla ya muungano baada ya kupata uhuru wake kutoka kwa muingereza 10/12/1963 Zanzibar ilijiunga na Umoja wa Mataifa tarehe 16/12/1963 na kuwa mwanachama rasmi na nchi kamili kama ilivyokuwa Tanganyika ambayo ilijiunga tarehe 14/12/1961 na zote zilikuwa na hadhi sawa kama nchi huru.
Hela iliouzwa huku tunafididia uko mkivunja muungano tunahesabu hekari zetu huko mnatupisha sijui mtaenda wapi mbona hamna akili kiivyo km za ngorongoro na roliondo. Zanzibar imeisha iyo tunaweka wamasai tu. Mtaenda wapi?
Utamu wa muungano wanaujua wazanzibari wachakalikaji wapo itigi wamejenga wanalima wamenenepa huwaelezi kitu na tunashirikiana nao wapo mpaka ukerewe kisiwani.wanaongea kikara tu
Huyu jamaa anatudanganya anatuona wananchi ni mazuzu Yaani nyie semeni ukweli kuna tanganyika na zanzibar full stop msituletee mbambamba za kipuuzi hapa Tunataka Tabganyika yetu irudi ikiwa salama kama mlivo ichukua kama kuna maeneo ya Tanganyika mumeuza kwa waarabu andaeni hela za kuwarudushia waarabu wahuni nyie
Waziri nikusaidie nikwamba hata kama unatoka mkoa mwingine lazima uwenautambulisho aidha wabarua yamwekiti wakijiji nahata kwenye makanisa nihivyo kwaio niuwelewa tu
@@TM.Sullusi umekua juzi nenda office husika sema siku hizi wapuzia , kwanza ilikua lazima unaposafiri uwe nacheti chamlipa kodi au barua ya mwekiti ili utakapo fikia badae unapelekwa kwamjumbe nacheti chamlipa kodi au rist ya mchango wa shule,, kati ya hivyo ukikosa kimoja basi utaishi kama kibaka kwaio huo niutaratibu nahujafutwa ila mengi yanapuziwa
@@SelijusiMalambo-vq6gl sawa nimekua juzi, kwahiyo cheti cha mlipa kodi au barua ya mwenyekiti naweza kutumia kuingia Zanzibar ??? Wewe ni mbumbumbu haswaaa hujui ata unachotetea.