Official Universities Media Channel, Daily News | Economic News | Sports News | |Entertainment News | University Lifestyle, Email: josephndaro104@gmail.com, Mobile: +255 738 743417, Location: Kurasini, Dar es salaam, Tanzania.
@@mathiasulaiti5665 wewe unasema NIANGALIE tabia yako halafu useme wenzio kuna mzazi gani afrika nzima anafundishwa mtoto wake kukuona nazi hivyo subhanaallah 🤔🤔🤔🤔🤔🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@@hamidaalhabsi8568 haya mambo yapo zamani tu ila hua nisomo analo fundishwa mschana ambae anaenda kuolewa amba ameshatolewa posa hua kuna muda maalimu anapo tawishwa yaani anaekwa ndani be 4 harusi kuna mafundisho maalum huwa anafundishwa yakiwemo kama haya namengine ila hawa walipokesea nikufanya hili tukio hadharani ambapo haistahili kuoneshwa hadharani nifundisho lamtu anae ingia kwenye ndoa tu
Nakuunga mkono bi hamida mambo haya yandani watu wanafanya hadharani watoto tunawaharibu wenyewe mafundisho yandani watu wanafundisha kwenye mitandao ndo maana watoto wetu wanazaa nje ya maadili yatu mimi nashangaa kweli wanawake mtu anasema mbele ya muandishi kifanya nyuma ya maumbile niraha wakati Allwa amelikataza jambo hilo dunia imekwisha Istighifari kwa wingi kuna mambo tumuogope Allwa
Tunajua maisha yamekua magumu lakini nyie wakina mama msipitilize mipaka. Hapo mnawafundisha watu kukuna nazi ama mnawafundisha watu mambo mengine tu? Jiangalizieni nyie watu wazima