Kusema kweli hasila hasala kwa vile walikua wamemdhulum angeachana nao kwani dunian tunapita mungu awafanyie wepes ndg wa marehem na wananchi wa mbeya amen
Sio kwamba tuna vunja aman ila kwamm navyo jua tuk pata watu km hawa 100 nchi hii ita toka gizani maan kuna uonevu mkubwa sana katika nchi hii mimi mwenyewe nlisha wai kuonewa na wanajeshi wa suma jkt kwakweli naapa kwa Mungu sija wai kuwasameee nanlisha shudia matukio mengi sana ya uonevu nivle tu nchi yetu hai uzi gun kama visu mge yaona meng sana haya nchi hii
Kwa ulengaji nimemkubali Hamza yupo vzur cjui wangekuwa watano km yeye kwa uwezo wake wangeua wengi askari wakikukamata ata km hawana hushaid utajuta kuzaliwa kichapo utachopkea
Me nmeckitika kwa kifo cha Hamza tu, ila kwa askari ni fundisho kwa kwa tamaa walizonazo kutoridhika na mishahara yao.. Ni wengi sana waliodhurumiwa na kuteswa na askari wetu.. Sometimes uvumilivu inakuwa ngumu. RIP HAMZA🙏
Miye pia kivo cha hamza ndio kimenifanya nimectike coz polisi wasingemdhulumu angefanya ivo..kama vile ulivosema wewe wakati mwengine uvumilivu ushindikana ukamua liwalo na liwe ERP hamza
Kama walimdhulimu ,hakuna kinachozidi kwa wanapdhulumu ila hasara. Mungu amsamehe na.amrehem Hamza awasamehe na awarehem hao Askari Nani mzuri nani mbaya anajua Mungu mwenyewe.Bali Askari mmekula kiapo kuwalinda na kuwasaidia Raiya kinyume chake raiya watajilinda na kujisaidia wenyewe
Kisa cha Hamza cha kuwashambulia askari na wengine kuuawa kichunguzwe vizuri. Kama inadaiwa askari walimdhulumu madini yake, Jeshi la Polisi lifanye uchunguzi wa kina kuanzia ndani ya Jeshi lenyewe kwa askari waliokuwako kazini sehemu inayodaiwa kudhulumu. Haikuwa haki kupoteza vijana wetu askari pamoja na kijana raia Hamza.
Mmh inauma sana tena sana angewachukulia Shelia waliyomzurum siyo kuwauwa. Utakuwa kichwa chake akikuwa sawa ajafanya la maana kabisa japo nae amezibitiwa😭😭😭😭
Da inasikitisha sana,kama ukweli utakuwa ndio huo na Jeshi likijiridhisha basi wawe na msamaha kwa labda ndugu zake kwa kuwa tunaamini lazima kutakuwa na walioshikiliwa kusaidia upelelezi , Aise ni Jambo la kishetani sana!
Imekua fundisho kwa maasikali wengine maana maasikali wanaliowengi wananyanyasa watu.hafu pia wanapenda rushwa kuliko kitu chochote kile.mungu awasaidie na awasamehe Sana
Hao askari polisi wote wanatakiwa wauwawe kama mbwa mwenye kichaa. Askari wa Tangsnyika wsmekuwa wakinyanyasa watu wasio hatia,kupora,kuiba na ujambazi
Hao maaskari walio sababisha vifo vya wenzao wakamatwe ili wawajibishwe kisheria. Kwasababu bila hao maaskari kumkera Hamza sidhani Kama Hamza Ange pambana na jeshi la Police.
Inauma sana kwa asikri wetu waliotangulia mbele zahaki ila tu asikari wetu nao nikero njaa nyingi sana wakati mshahara wao unatosha, kikubwa wajari Nazi yao waachane nalizi ndogo ndogo izi zawanyonge, inauma sana kwa walicho kifanya naiwe fundisho kwawengine.
Si kweli eti Waarabu, Wasomali wana kisasi kibaya chunga kauli yako mtangazaji hakuna aliyetumbuliwa nyongo kila mtu ana tabia za hasira anapodhulumiwa, Mwenyezi Mungu ndiye atatoa hukmu.
Inalillahi waina ilaihi rajiun, kila binadam ana hasira zake na hao askari baazi yao sio wote wamezidi zuluma na batili, tamaa na zuluma ndizo walizo weka mbele, wamewaponza wenzao, mungu awasamehe wote.
Askari wamejifunza kitu waache tamaa ona sasa wamegharimu maisha ya watu wengine wasiyo kuwa na hatia askari wetu kwa kupenda rushwa wako vizuri yaani wanakera sana
Kosa lipo pia kwa selkal yetu ukienda kushitaki mwenye madalaka nisawa nakupoteza mda haki hupewi ilikua kwa magu wetu ndo tulipata hiyo nafas lakin kwa ss hakuna tena unaweza ukalala selo il haki yako ikose kabisa
Acheni kuzushia Polisi wetu chuki za uongo. Hamza aliua askari wetu ili aingie kwenye ubalozi wa kifaransa bila kizuisi. Achen kudhalisha Polisi wetu. Hao waliotoa hayo maneno ya uongo wakamatwe na ahojiwe vizuri. Wewe mtangazaji hujui kazi. Huruhusiwe kutangaza utumbo kama huo na kuhusisha Askari wetu. Mungu uilinde Tz
Ulikuwepo huko ufukweni?? Au unatunga Tunga mauongo tuu upuuz dhuluma nimbaya saan,, ALLAH AMJAALIE JANNAT FIRDAUS HAMZA hakua mtu mbaya kbs,, siutuonyeshe hio safar ya ufukweni Sasa video ipo wapi yahuko baharin laanatullah walio mdhulum,, we mtangazaji ni fwala saan hamza amezaliwa tz faya hapo kariakoo nn unaongopa et lafudhi kila mtu nauongeaji wake,, kwann polis wamekua namambo ysunyanyasaji
Tatizo ni serikali ya Kipumbavu, imeachia rasilimali za nchi inatusumbua raia kwa makodi na matozo ya kisenge senge nyanoko serikali ya 6ww😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Natamani nikutane na hii Media....pia Kuna Jamaa kunizulumu mtaji wangu wote .....Yan ni ville Sina uwezo lkn kama ningekua na uwezo binafsi ningemfanya alipe ...mtu mwenyew ni mwarabu
Ata mm nishawahi kufnyiwa dhuluma km hiyo nikiwa nimetoka kwa mama lishe saa 2 uxku nilibebwa hinya hinya na kipigo juu bila kosa uwezi amini na ili niachiwe bax nitowe elf 60 acha niishie apa tu ila kusema kweli japo xyo wot lkn wanachefuwa nafsi za wananchi kwa matendo yao machafu ila mungu yupo inshallah
Na pia polici gani hamjui sheri mtu aisha jisalimisha akanyayua mikono juu basi hurusiwi kumpiga hata kama ni muaji jambazi mmemua kuf8cha siri zenu za honga
Halafu wengi wao wanatoka tarime au mara kwa ujumla hii imekaaje waache kuajiri watu wengi kutoka mkoa mmoja mpaka maaskari wanaitwa poti hata kama mrangi😅😅😅