Тёмный

🔴 

DARSA TV
Подписаться 108 тыс.
Просмотров 60 тыс.
50% 1

🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RU-vid @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RU-vid @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 223   
@robertotieno5443
@robertotieno5443 4 месяца назад
May the Lord Jesus Christ bless you more evangelist Ndacha Francis. you're a warrior of Christ 2024.
@antfungal
@antfungal Месяц назад
mimi napenda sana njinsi tunavyopendana dini zote iziii mbili,,, eee mwenyezi mungu tusaidie upendo kudumu milele na milele Amina,,,, hii aman ni nzuri sanaaa ndungubzanguni
@ahmadbelier3160
@ahmadbelier3160 4 месяца назад
Dr Sule Mungu akupe maisha marefu tena mazuri na akupe mwisho mwema 🤲
@Fedrick-jb8xb
@Fedrick-jb8xb 2 месяца назад
Ndacha mungu akubariki
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 2 месяца назад
nabii yesu toshekeni na hayo mumuani mungu wapekee
@augustinemagesa5743
@augustinemagesa5743 4 месяца назад
Daah m naona waisilamu kuna kitu wanakikosa kwenye maisha ya KIROHO. Yani wapo mwilini sana
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 3 месяца назад
Hawana roho wa Mungu ila Yesu atakuja ipo siku sule atashangaa sana
@tubanefrancine
@tubanefrancine 3 месяца назад
mimi ni muisilamu swari ndogo Yesu kafa amamungu au. kafa mutu Jibu kwa Roho soma 1timoteo 6.16 AllAH hawezi kufa mupe eshima naumuogope
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 месяца назад
Huu ndiyo ukweli
@saibathmwani7126
@saibathmwani7126 3 месяца назад
🎉1​@@dennisezakiel3380
@Kimoni-j4w
@Kimoni-j4w 7 дней назад
​@tubanemwili ndio hufa sio roho.na alifanyika mwili kw io ajili ya kuufisha .francine
@elkairosway1895
@elkairosway1895 3 месяца назад
Ndugu Waislam, someni Biblia kwa kujua Mungu, sio kumpinga Yeye!
@sinyooo6583
@sinyooo6583 2 месяца назад
Yesu sio mungu
@maimunaabdi2218
@maimunaabdi2218 Месяц назад
Yesu ni nabii jamani!!!
@abuuhassani497
@abuuhassani497 Месяц назад
Mungu hatoki njia za mkojo
@sleymankassim4332
@sleymankassim4332 15 дней назад
​@@abuuhassani497😂😂
@Kimoni-j4w
@Kimoni-j4w 7 дней назад
Hoja toa​@@sinyooo6583
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 4 месяца назад
Ndacha ubarikiwe kwa kusema kwe waislam wamezidiwa tena kwa kiwango kikubwa sana, injili na isonge mbele
@changomajuma9841
@changomajuma9841 Месяц назад
Ndacha wenu siku hizi alikubali katika huu mjadali, anaamani sasa kuna Mungu na Kuna Yesu. Siku hizi hataki habari za utatu tena
@bakarimakomola
@bakarimakomola 3 месяца назад
Before Abraham was I'm MAANA YAKE "Kabla ya ibrahimu kulikuwako na mungu" maana I'm lilikua ni jina la mungu. Mbona wakristo mnadanganyana sana
@MichaelAbel-s4r
@MichaelAbel-s4r 3 месяца назад
Kila kitu Kiko sawa ktk maandiko ya BIBLIA ,tatizo la kwanza ,kutokuokoka( kuzaliwa mara ya pili),jambo la pili BIBLIA (Neno ni Roho),waabuduo ni ktk Roho na kweli,huwezi kuelewa ni budi ujazwe Roho, kuyajua mambo ya Roho yatafasiriwa Kwa jinsi ya roho na mtu wa rohoni hutambua yote Wala yeye hatambuliwi,tangu midahalo hayupo anayetubu ila kufanya mioyo kuwa migumu,hatima ya mdahalo (lnjili ihubiriwe) mtaona matokeo .Amen
@Ax-xpress
@Ax-xpress Месяц назад
Kuwafanya Waislam wamuamini Yesu kuwa ni Mungu ni ngumu saan.. Maana ata Wakristo wenyewe kumjua Yesu kwa ufunuo kuwa yeye ni nan bado hamna..!
@JosueElie
@JosueElie 4 дня назад
Asante sana, nawafuata 'kumi kwa kumi, from drc goma ❤❤
@HappinessAhia-ey1lq
@HappinessAhia-ey1lq 9 дней назад
Nakuombea sana mwl.Ndacha. Mungu akutunze sana.
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 3 месяца назад
Waislamu sijui huelewaje maandiko
@abasmwika3432
@abasmwika3432 4 месяца назад
Ndacha ana maslahi mapana sana na Ukristo hatokuja kuslimu kamwe, kuslimu kwake kutauangusha pakubwa sana Ukristo. Ndiomaana anacheza na vipengele vya ujanja ujanja kuuweka Ukristo kwenye ramani. Lakini moyoni mwake anaujua ukweli
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 месяца назад
Aache njia ya kwelii aende kwenye majinii😂😂
@mhandoonthebeats8581
@mhandoonthebeats8581 4 месяца назад
Ndacha ni mwalimu mzuri sana
@mrbadae
@mrbadae 3 месяца назад
Hakuna uhusiano wowote baina ya Muislamu na Majini,mwenye anasema Majini ni kwa ajili yake mwenyewe na maslahi yake ya kidunia, soma Quran 6:128
@richardchimba3800
@richardchimba3800 3 месяца назад
😢
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 4 месяца назад
Mashallah sheikh Dr Sule waoneshe haki waace kufuru wajuwe mungu afanani nacocote azayi awo azariwi afanani nacocote uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@mhandoonthebeats8581
@mhandoonthebeats8581 4 месяца назад
Sule hajagusa hata hoja moja hapo amekwama
@ZabronWambura-yb5jf
@ZabronWambura-yb5jf 2 месяца назад
Hata mafarisayo hivo hivo😅😅😅😅
@MakameSilima-j3s
@MakameSilima-j3s 19 дней назад
Fantastic Dr sule Allah akulipe mema (Duniani na Akhera)
@RichardAkili-w6d
@RichardAkili-w6d 2 месяца назад
Mwambiyeni docta sule ati yesu mwenye alikwambiya shetani asimujaribu bwana mungu wake,,,,,,,,,,,, Amina
@BroibraEvanston
@BroibraEvanston Месяц назад
Ndacha mungu akubaliki sana
@abubakarhassan-kq2rh
@abubakarhassan-kq2rh 2 дня назад
Dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uislamu Q (3:19)
@kinglastbornmedia1474
@kinglastbornmedia1474 3 месяца назад
Hii ngoma ya Imani nikumuachia mungu ndio atupe uongofu
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 2 месяца назад
hakuna kumuachia mungu sikliza hoja za msingi inamana wewe huelewi we silimu tu ndugu usiufanye moyo mgumu
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 2 месяца назад
we mtu kazaliwa na mwanamke kama mm na wewe half unamwita mungu et kwa sababu ya miujiza na hyo miujiza wa kuifanya ni mungu Sasa uungu wa yesu unatoka wp
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 2 месяца назад
mungu ashatupa miongozo ya vitabu ni akili yko tu Sasa
@nominetjacob8137
@nominetjacob8137 3 месяца назад
Hiyo ilikuwa miujiza ya MUNGU tofautisha miujiza na kuumba
@Fedrick-jb8xb
@Fedrick-jb8xb 2 месяца назад
Ndacha kaeleza vzr bila xhida lkn nyinyi waislamu hamuelewi
@EliasMoyo-g3p
@EliasMoyo-g3p 9 дней назад
Ni kweli yesu sio mungu maan tukisema yesu ni mungu je mungu watamusemaje jameni watu waache kupotokwa yesu sio mungu na atakuja kua mungu ata iweje yeue atabaki tu kua muzungu au yeye abaki kua muisiraeli
@JeanBaptisteViseke-d4t
@JeanBaptisteViseke-d4t 13 дней назад
Dr seule ni misongo anapo sema mungu alisema n'a haruni kwamba apige fimbo yake mavumbi iwe chawa. Mungu hakusema n'a yesu aumbe Nadège hâta kama aliiumba kwa izini ya mungu.
@ibrahimjob4343
@ibrahimjob4343 Месяц назад
Amen 🙏🙏🙏 atakuwa mchungaji kwajina la Yesu
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 4 месяца назад
Mambo ya Yesu Kristo hakuna mtu anaweza kuelewa mpaka Mungu mwenyewe akujalie
@sadiqkivunjor5698
@sadiqkivunjor5698 4 месяца назад
Yesu ni mtu acha kudanganya watu ,ukristo ni ukafiri
@tubanefrancine
@tubanefrancine 3 месяца назад
Kwanini huwezi kuerewa mambo ya yesu MATAYO 6.9-13 soma yakwake mazuri sana kwa wanao sari amayeye siwengine waisilamu maashallah
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 3 месяца назад
@@sadiqkivunjor5698 Siko hapa kumtete Yesu Kristo Bali yeye anajitetea mwenyewe kila aliyemwamini na kumkubali katika Roho na kweli Ana uhakika wa kuishinda dhambi ya Ufiraji, ulawiti, usagaji, uasherati, uzinzi, choyo, uchawi, ushirikina, matukano,wizi, ubinafsi na mengine yanayofanana na hayo. Nakuuliza swali wewe hujawahi kumfira mwanamke ?
@mohamedamin7458
@mohamedamin7458 Месяц назад
Mungu hawezi tumia binadamu kitu hawezi fahamu ama kwa kimombo beyond human comprehension.
@AnnoyedCobra-lq7fb
@AnnoyedCobra-lq7fb Месяц назад
​@@sadiqkivunjor5698😢😢😢😢
@SACCHARUM-t3q
@SACCHARUM-t3q 3 месяца назад
Kwa YESU kuna shuhuda mbili [ushuhuda wa mbinguni, Baba Neno na Roho (YESU huyo mmoja hao wa 3,wanashuhudia Uungu wake) , ushuhuda wa duniani,Roho damu na maji (hayo matatu pia yanashuhudia Utu wake)1yoh5:6-9 {Yote ni ndani ya YESU MUNGU mukubwa Tito 2:13
@MakameSilima-j3s
@MakameSilima-j3s 19 дней назад
PIYA ALLAH AKUONGEZE ELIMU AMBAYO UTAITUMIA KWA AAJILI YA KUPELEKA UISLAM MBELE
@MjMohammed-nt6fq
@MjMohammed-nt6fq 2 месяца назад
Yaan tes kasema mm ni wa mwanzo na ni wa mwisho nacha kauunganisha kwamba yeye mungu duu inawezekana alimaanisha mtume wa mwanzo na wa mwisho
@mussalucas8452
@mussalucas8452 20 дней назад
Ndacha Mungu akubariki sana
@tamimBasha-e6p
@tamimBasha-e6p 2 месяца назад
Samshanini wahadhiri katika midahalo . Kwanza ndacha hajuwi kiswahili .pili anazungusha maada .Hana Majibu ya kielimu.
@johnkisubi8974
@johnkisubi8974 4 месяца назад
Ndacha wow barikiwa
@jerrylamy6297
@jerrylamy6297 3 месяца назад
Kwa kweli Sule haelewi ndo maana ni bure kumpa ukweli.maana Mungu alivaa mwili na akawa mtuu.kama fimbo imegeuza chawa iyo sio kuumba.maana ata wachawi sasa wana umba.Duhh Sule kuwa muelewa usirudiliyi mambo na umepewa jibu
@James-u8n6r
@James-u8n6r 18 дней назад
Ndasha Ubalikiwe🎉🎉🎉🎉❤
@mrbadae
@mrbadae 3 месяца назад
Kama na Yesu pia ni Mungu kwa kuwa ni Mwana wa Mungu basi Mungu watakuwa ni wangapi?
@HellenLemilya
@HellenLemilya 4 месяца назад
Sio upendeleo ila Ndacha nikuelewa unasema kweli ya Mungu
@vincentnyabuto5647
@vincentnyabuto5647 3 месяца назад
Spiritual matters don't ask Muslims. Ask them juu ya ndevu
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 2 месяца назад
Wewe nyoa ndevu upake make up😂
@FednardJohn-lx3gx
@FednardJohn-lx3gx 18 дней назад
Ndacha kaelewa maandishi ya kibibilia na koroani vizuri sana. Kwa hivyo yeye kajua ukweli na kweli mtupu na ndio uo anatuambia. Mungu na asidi kumbariki.
@benjaminwekesawamalwa2854
@benjaminwekesawamalwa2854 4 месяца назад
Kwa maandiko yesu ni Mungu kwa akili za waislamu ni mtume hilo halina shida
@daurdwambuto1877
@daurdwambuto1877 2 месяца назад
Mwislamu hawezi kukuelewa labda mungu mwenyewe aingilie kati
@muqbulmuqbul7589
@muqbulmuqbul7589 4 месяца назад
ماشاء الله تبارك الله
@MakameSilima-j3s
@MakameSilima-j3s 19 дней назад
Verya fantastic debate!!!!
@EliasMoyo-g3p
@EliasMoyo-g3p 9 дней назад
Itakuaje uyo yesu awe yeye ndie asifiwe badala ya mungu jameni waafirica na ndio maan wazungu wanawaona waafirica ni waajabu
@yohanaswalo4716
@yohanaswalo4716 2 месяца назад
YESU Aukumbuke Uzao wako
@meshackmadegwa5316
@meshackmadegwa5316 2 месяца назад
Amina
@damarisnjerichege100
@damarisnjerichege100 3 месяца назад
Yesu ni Mungu.ndio njia ya kweli na uzima
@tubanefrancine
@tubanefrancine 3 месяца назад
matendo yamitume 7.55 yesu anasimama mbinguni ushoto kwake na AllAH wewe huwoni kamakuna mungu na yesu kweri dadayangu eshimu allah
@LillianS-qt6gi
@LillianS-qt6gi Месяц назад
May God bless you Ndacha😍
@JeanbaptisteJAWOTO
@JeanbaptisteJAWOTO Месяц назад
Bwana yesu.asifiwe
@edwinmahonga4063
@edwinmahonga4063 2 месяца назад
Kufanya na kuumba kuna tofauti,,haruni alitumia fimbo,ila yesu alitumia pumzi
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 2 месяца назад
Cha ajabu ukimuuliza ndacha Kuna mungu ni wangapi atasema ni mmoja
@egdiusbuberwa1109
@egdiusbuberwa1109 Месяц назад
N mungu mmoja mwenye nafs 3 baba ,mwana na roho mtakatifu
@danibboy6831
@danibboy6831 Месяц назад
Uusilamu nisawa mana nisawa kumpenda mtu kuliko kiroho mana mgeni akikukujia huwezi jua kakujia kivipi vipi💪
@harithkheri
@harithkheri 4 месяца назад
mashallah doctor sule
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 2 месяца назад
Kwa ufasaha waislamu tunasoma elimu kwa wakristo ndio maana kubwa, Ndacha Ni mwalimu
@dantodebrown7525
@dantodebrown7525 4 месяца назад
mm ni mkristu lkn mujibu wa bibilia yesu si mungu nmeshika bibilia apa ndacha unababaisha maneno hyu sule ni mwalimu
@benjaminwekesawamalwa2854
@benjaminwekesawamalwa2854 4 месяца назад
Wewe ni mnafiki
@dantodebrown7525
@dantodebrown7525 4 месяца назад
@@benjaminwekesawamalwa2854 endelea kuwa na dogma za mababa wa kanisa soma bibilia
@tubanefrancine
@tubanefrancine 3 месяца назад
A.S.W.W mimi ni mutu wa Rwanda nataka niurize Pastor Ndaca anakubari waungu wangapi Sababu mungu akizaa niweri anazaa mungu ndomana AllAH Azar YOHANA 20.17 yesu kasema baba yangu ndie baba yenu Ndaca nikurize mbone yesu kishasema nasisi niwatoto wamungu kamayeye nawewe nimungu ?
@nikusekelakajumba7697
@nikusekelakajumba7697 3 месяца назад
Mch, Munguakubariki sana
@ezymkal7134
@ezymkal7134 3 месяца назад
DR SULE MUNGU AKUPE LONG LIFE 👋
@AlHassan-en6gl
@AlHassan-en6gl 4 месяца назад
You will never get away from it unless you open your inner ears and heart to understand. Perhaps it doesn't make sense that Jesus is God
@zuenahassan8882
@zuenahassan8882 2 месяца назад
Wakristo aki mnakufuru ati mungu amemtumia yesu kuumba ulimwengu duuh hata huyo yesu mwenyewe anashtuka wallahi wakati yye ameumbwa na mungu
@CaltonMallya-zj6cp
@CaltonMallya-zj6cp Месяц назад
Mithali 8 23 Nalitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla haijawako dunia. 26 Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde Wala chanzo cha mavumbi ya dunia; 27 Alipozithibitisha mbingu nalikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari; 29 Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi; 30 Ndipo nilipokuwa pamoja naye, kama stadi wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku; Nikifurahi daima mbele zake; 31 Nikiifurahia dunia inayokaliwa na watu; Na furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu.
@AbushirJr
@AbushirJr Месяц назад
Uislam Raha sana
@NdumeKabwe
@NdumeKabwe Месяц назад
Dr sule utakufa mubaya sana ndugu yangu
@meshackmadegwa5316
@meshackmadegwa5316 2 месяца назад
Amina Amin
@katerelomkuyati6764
@katerelomkuyati6764 Месяц назад
MAKAFIRI KWISHA HABARI YAO
@rachelkamaze
@rachelkamaze 2 месяца назад
Ndacha barikiwe sana
@EliasMoyo-g3p
@EliasMoyo-g3p 9 дней назад
Yaani watu wamekua wakimudhaliti mungu lakin wacheni kumusadhaliti mungu jie musie jua munako elekea
@GeraldSichula
@GeraldSichula 21 день назад
Good debates
@Mbonimpaolenga
@Mbonimpaolenga Месяц назад
Pasta ndacha mungu akubaliki
@Fibicant-pu6xg
@Fibicant-pu6xg Месяц назад
Hallelujah❤❤
@exsavermateus2670
@exsavermateus2670 Месяц назад
Salut nchungaji
@damarisnjerichege100
@damarisnjerichege100 3 месяца назад
Yesu ndio njia ya kweli tu
@tubanefrancine
@tubanefrancine 3 месяца назад
YOHANA 17.3 ukitaka uzima wa mirere kubari yesu ariye kwambieni usimuone kama AllAH arikukataza
@JamilaKambanga
@JamilaKambanga Месяц назад
Bado sana ndacha tunataka mimi ni mungu
@SACCHARUM-t3q
@SACCHARUM-t3q 3 месяца назад
Injili ya mwalimu Ndacha ni ushuhuda mukubwa,wale watakao potea ni kwa kutaka kwao wenyewe
@kayeesbelewa4819
@kayeesbelewa4819 2 месяца назад
uyo Sulle hamna kitu kabisa,anang,ang,nia Yesu kimuwili hamjui Yesu kiroho.
@mathewlive77
@mathewlive77 2 месяца назад
We watch and slide on the comments section
@JesseYesemen
@JesseYesemen 25 дней назад
Ongera sana kwa mudaholo huyo.
@mukhtaromar-g5p
@mukhtaromar-g5p 2 месяца назад
Yani kazaliwa na mama yake halafu nimwite mungu haingii akilini hata. Mtoto mchanga naungana na waislam
@richardchimba3800
@richardchimba3800 4 месяца назад
Sule ameshindwa kwenye hii debate
@IssaMsalama-k6x
@IssaMsalama-k6x 4 месяца назад
Ndacha anaongeza maneno yake yeye,sule anacheza na mahandiko ndio utifauti mnao uwona hapo
@Mbonimpaolenga
@Mbonimpaolenga Месяц назад
Sele itika ndacha mungu akubaliki
@MichaelMesso-q5m
@MichaelMesso-q5m Месяц назад
❤❤❤
@omarysadiki9923
@omarysadiki9923 27 дней назад
Mungu kavaa mwili akatoka kwenye uchi wa kiumbe alichoumba mwenyewe..Mariam mwanamke bora asee. Mungu huyu anayegeuka geuka huyuuu mutamuabudu nyinyi kwakweli
@henchkidd
@henchkidd Месяц назад
Ndacha 🎉🎉
@issackmakanga5603
@issackmakanga5603 4 месяца назад
Dr Sule ameshindwa na mada, mada ni ngumu kwake,anajirudia kila apandapo jukwaani,aachwe aende aisomee kwanza halafu akirudi ni upatizo tu.
@issapetro4960
@issapetro4960 22 дня назад
Waislamu ukiwaamba shetani ana faida watakubali
@MarcellinMitamo-jx6qu
@MarcellinMitamo-jx6qu 2 месяца назад
Nawapenda wenye viti wote
@KwasaNgondo-y1k
@KwasaNgondo-y1k 22 дня назад
Dr sile na ndschs
@mwambiretv165
@mwambiretv165 3 месяца назад
Hizi dini n fasihi lkn waislamu kuelewa story ya ukristo n ngumu sana coz yao iko very direct kwa sababu aliyeandika hakua na content
@Nkwimb
@Nkwimb 2 месяца назад
Please naiomba jii.
@elkairosway1895
@elkairosway1895 3 месяца назад
Isaiah 7:14
@mutulaObedi
@mutulaObedi 5 дней назад
ndacha mufundishe Dr sule u kristo maana naona Dr sule ataokoka mwaka ujao maana doto zake mwenyewe anazijuwa anavyo itwa na kristu Naona wokovu wake
@ImanNjogolo
@ImanNjogolo 21 день назад
Nawaambien sule hakuna cha maana alichosema.ila mnaharibiwa ufahamu bure ,,poleni sana jamani duh
@EliasMoyo-g3p
@EliasMoyo-g3p 9 дней назад
Na ndio maan nchi nyingi sinawaabudu wazungu sababu wanasema yesu ndio mungu wakati yesu ni muzungu tu tumuabuduni mungu bana tuwacheni kuwaabudu wazungu maan wazungu ni binadamu Kama as
@MirriamWamuyu-gy6of
@MirriamWamuyu-gy6of 29 дней назад
mm hapa nauliza ikawezekana Jesu akaje na Muhammad akaje utafuata nani
@eddyworldwide
@eddyworldwide Месяц назад
Dr sule umempiga jamaa KO😂😂 ukiangalia video mpaka mwisho utaelewa nasema nini🙌🏽
@elkairosway1895
@elkairosway1895 3 месяца назад
John 1:1
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 4 месяца назад
Juzi tumefanya mkutano wa injili waislamu wangu pepo wachafu zimewatoka na wameokoka na tumetumia Jina la Yesu kukemea pepo wachafu wakapiga kelele wakawatoka watu
@sadiqkivunjor5698
@sadiqkivunjor5698 4 месяца назад
Acha kuwaongopea watu wakati mkristo wa kwanza ni shetani
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 4 месяца назад
Kufuru zenu naporojo kusema yesu nimungu
@issapetro4960
@issapetro4960 22 дня назад
Waislamu hawawezi kumjua mungu.. Wao wajua kuswali na kubishana kimwili.. Na huyo sule Hana lolote anadanganywa na wenzake hapo mezani
@MakameSilima-j3s
@MakameSilima-j3s 19 дней назад
Dr. Sule mpe elimu ndacha uyo
@Kimwaga-b8p
@Kimwaga-b8p 28 дней назад
Ufunuo 1:8 huyo ni yesu mwenyewe ndiyo anasema
Далее
Women’s Goalkeepers + Men’s 🤯🧤
00:20
Просмотров 1,4 млн
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE
29:23
Просмотров 351 тыс.