Dunia saivi imekuwa pana, kila mtu anataka kuwa tofauti na mwenzake ,so ukisema wema kavaa ajabu Mara lulu hajapendeza wozu kavaa nguo zinawakawaka unachelewa Mana wenzetu kila aina za nguo washavaa hizo ni nyongeza tu 😉 so tujifunze kukosoa kibunifu Kama we simbunifu let's as keep watching 😎😎😎😎😎