Sijaona baya kwahao maisha ni mafupi na wakuwahukumu pekee ni Allah..ww unaewakosoa unamangapi unayofanya yakumpendeza Mungu na wanadamu wote..nakushauri angalia kwa macho Kisha funya yako unayohisi yanafaa.
Kukaa uchi hakuzingatii umri ni tabia ya mtu tu sasa kama walianza maisha ya kukaa uchi toka wadogo mnategemea wazeeke ndiyo waache thubutu cha msingi kila mtu azingatie malezi ya wanae kama mnavalisha watoto wenu uchi uchi kwa madai ni watoto mnajidanganya hayo ndiyo yatakuwa mavazi yao mpk uzeeni
@@nanaamandus9768 ww mwenyewe mpaka umekuja kureply comment yangu tayari umeshafatilia maana mimi nimetoa maoni kwa kile kilichowekwa hapo sijaenda nyumbani kwa mtu upo nyonyo👌
Let them be. You can also imitate their good lifestyle. It's about them what of. I don't understand Africans, they like criticism alot and don't critise waxungu. Kipi cha mno na tofauti. It's their freedom of life. You forget others also judge you as you think umejustiri. Whatever you taint the words
MAISHA YA DUNIA NI MAFUPI NA FITNA KUBWA SASA KAMA MTU ATAENDEKEZA SIFA MAVI NA UJINGA BASI KILA BINAAADAM ANAMWISHO WAKE NA HATA UKAE MIAKA MIA ,UENDE UCHI MIAKA MIA IKO SIKU UTAJUTIA UJINGA HUO 🙏🙏☝
We achaga kihelehele bwana kwahiyo w ndo unataka uvae uchi peke ako achaga kufatilia ya watu we hauna haki fatiria mavazi ako ndo ujaji ya wengine mmmh kama umekubuu kufatiria mavaz ya wenzia fatiria na kina kajool na kareena kapoor😮😮😮ukawashauri sasa mtumzima ni wwe