Тёмный

AIBU: MASTAA HAWA WALIOZEEKA ILA WANAKAA UCH| SANA MTANDAONI. 

THE THIRD TV
Подписаться 188 тыс.
Просмотров 126 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 122   
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-44kFCNMMtj8.html
@mishellymukh
@mishellymukh 8 месяцев назад
Sijaona baya kwahao maisha ni mafupi na wakuwahukumu pekee ni Allah..ww unaewakosoa unamangapi unayofanya yakumpendeza Mungu na wanadamu wote..nakushauri angalia kwa macho Kisha funya yako unayohisi yanafaa.
@ngaramtoni4963
@ngaramtoni4963 Год назад
Tunao mkubali gig jamn mwaga makop kwak❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@lucyfelix6125
@lucyfelix6125 2 года назад
Kwakweli mnateseka sana na maisha ya watu
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
Mno
@umfahad2609
@umfahad2609 2 года назад
Kwa upande wng, naona wanaongea ukweli lkn. Heshima na stara ndio maadili yetu. Sbb cc sio wazungu. Ni watanzania jamani.
@hawakazimoto2949
@hawakazimoto2949 Год назад
WAACHE WENZIO KWANI MIAKA 40 NDO UZEE?
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 6 месяцев назад
Beautiful ladies ❤ Age is just a number!! 🤷🏽
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 года назад
Kukaa uchi hakuzingatii umri ni tabia ya mtu tu sasa kama walianza maisha ya kukaa uchi toka wadogo mnategemea wazeeke ndiyo waache thubutu cha msingi kila mtu azingatie malezi ya wanae kama mnavalisha watoto wenu uchi uchi kwa madai ni watoto mnajidanganya hayo ndiyo yatakuwa mavazi yao mpk uzeeni
@nanaamandus9768
@nanaamandus9768 2 года назад
Acha kufatilia Maisha ya watu
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 года назад
@@nanaamandus9768 ww mwenyewe mpaka umekuja kureply comment yangu tayari umeshafatilia maana mimi nimetoa maoni kwa kile kilichowekwa hapo sijaenda nyumbani kwa mtu upo nyonyo👌
@najmasalim4321
@najmasalim4321 2 года назад
Umeongea kweli
@LatifahPambe
@LatifahPambe 2 месяца назад
@@rosemahenge9071 🤣🤣
@LatifahPambe
@LatifahPambe 2 месяца назад
​@@rosemahenge9071 hhhhh
@carolineotieno8154
@carolineotieno8154 2 года назад
Njooni Kenya tuna President of singles Mother's na hatuhusuu
@djbablin1326
@djbablin1326 2 года назад
Why don't you mind you're own business,let them be
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
Ok sir
@BishiraMunga-ey6jx
@BishiraMunga-ey6jx Месяц назад
Hayo ni maishayao,tusihukumu wapo wanavaa stara lakini ni wachafu balaa,tusihukumu siokaziyetu,wapeni elimu watabadilika
@fatuamjafary4959
@fatuamjafary4959 2 года назад
Kweli wamezeka lakini wanajifezeesha
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 2 года назад
Wenzenu niwazungu jamani hebu waacheni wapumue
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
🤣🤣🤣
@عادلالجابري-ع7ت
@عادلالجابري-ع7ت 2 года назад
Apo kwa kweli Kajala umeniangusha
@allyfwady123
@allyfwady123 3 месяца назад
Giggy Ni mtu POA Sana mi namkubali vibaya na atafika mbali Sana giggy ,kwa giggy watapona tu ,watamwelelewa tu,
@gmlikaka
@gmlikaka 2 года назад
@TheThirdTv njoo Kenya basi umukute Akothee basi utakoma,
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
😀😀niko na hzo plan
@dianakamau6194
@dianakamau6194 7 месяцев назад
Wenye tumelelewa kwa familia ya nguo mrefu tusisikilie hao vibaya kwani wamelelewa kitaoo😂😂😂
@sitintsoholi6287
@sitintsoholi6287 3 месяца назад
Wamezeeka wapi jamani miaka thalathini na arbayini ni wazee? 🙄
@jenniffermumo6327
@jenniffermumo6327 2 года назад
Unfortunately you miss use the word "kujiheshimu" kindly give us lecture about it
@JasmineMasika-y4w
@JasmineMasika-y4w 10 дней назад
Nyinyi watanzania munashangaza sana kabisa
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 года назад
WaTz bhana kwa hiyo hao wazee😂😂😂
@amiseki2021
@amiseki2021 2 месяца назад
Kwa hiyo wasichana wadogo wanaruhusiwa kufanya maovu?
@kingkaka6729
@kingkaka6729 2 года назад
Tatizo Tanzania Unafki Umezidi Wewe Mambo ya watu Yanakuhusu Nini Fanya mambo yako Yakukuza familia yako Sio Mambo ya watu Uwoya Yanakuhusu nini
@feli6manangu182
@feli6manangu182 2 года назад
Mungu atawahukumu tu ☹️☹️☹️
@najashimsuya9156
@najashimsuya9156 5 месяцев назад
Amiin
@mawazomwamba2667
@mawazomwamba2667 2 года назад
Mmemsahahu lina sanga
@happynelson1180
@happynelson1180 2 года назад
Miaka 42 huko majuu unahesabika kijana kabisa
@ashaali7154
@ashaali7154 Год назад
Huko majuu hakuna maadili wala heshima na kama umezaliwa bongo majuu kunakuhusu vipi. Acheni kuiga upumbavu nyie
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
@@ashaali7154 naishi majuu sio bongo lakini huwa sipendi watu wajue lakini sasa imenibidi
@AfricaQueen
@AfricaQueen 9 месяцев назад
Bongo hawaelewi maana. Ya umri wanapenda sana kuzehesha wenzao😏🤔
@jenniffermumo6327
@jenniffermumo6327 2 года назад
Let them be. You can also imitate their good lifestyle. It's about them what of. I don't understand Africans, they like criticism alot and don't critise waxungu. Kipi cha mno na tofauti. It's their freedom of life. You forget others also judge you as you think umejustiri. Whatever you taint the words
@nashnash2407
@nashnash2407 4 месяца назад
Huwezi pangia mtu na life yake, achana nao inakuhusu nn,ww ndio mzazi wao? Ww jiheshimu mwenyewe
@happynelson1180
@happynelson1180 2 года назад
Kwani Gigy ni mzee
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 6 месяцев назад
Miaka ni namba tu hatujawekrwa mipaka ila ni sisi wanaadamu ndio tunayaweka ila hakuna roho kongwe so wacha mtu afurahie maisha yake
@zainabseleman306
@zainabseleman306 2 года назад
Unatangaza au unayapika majungu??
@funyawasaniiwote7598
@funyawasaniiwote7598 2 года назад
Tunaitaji warembo kama hawa huku Nchini 🇰🇪 kenya
@happytz
@happytz 2 года назад
😂😂😂😂
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
Dooo hahaaha
@funyawasaniiwote7598
@funyawasaniiwote7598 2 года назад
@@rukiaiddyyahaya9506 kwanza mm nawapenda sana sijuwi kama naweza pata mmjo
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
@@funyawasaniiwote7598 sasa unawapendea nini unaweza kuoa katibya hao upeleke kwenu kesho yuko uchi mtandaoni
@funyawasaniiwote7598
@funyawasaniiwote7598 2 года назад
@@rukiaiddyyahaya9506 ikiwa hiyo ndio njia ya kutafuta hela mbona nisioe
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 2 месяца назад
Anaehukumu ni Mungu peke yake Wewe unajipa dhambi za bure
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 3 месяца назад
We mtangazaji mbona unavaa nguo zauchi mbona atusemi
@moomeja7753
@moomeja7753 2 года назад
je ww unae wasema wenzio unajihexhm? kama ww umeweza kuona hawahihexhm bax naww hujihexhm
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 2 года назад
MAISHA YA DUNIA NI MAFUPI NA FITNA KUBWA SASA KAMA MTU ATAENDEKEZA SIFA MAVI NA UJINGA BASI KILA BINAAADAM ANAMWISHO WAKE NA HATA UKAE MIAKA MIA ,UENDE UCHI MIAKA MIA IKO SIKU UTAJUTIA UJINGA HUO 🙏🙏☝
@Wendy-kz6cy
@Wendy-kz6cy 2 года назад
Umekosa jipya.What the hell
@zainabmsafiri752
@zainabmsafiri752 Год назад
Kumbukeni kuna kurud kwa allah fanyeni toba kabla ya umaut
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq 2 года назад
Ahaaa una wivu we una ndomaana
@RadjabuFirdaus-fr2lm
@RadjabuFirdaus-fr2lm 6 месяцев назад
Wow
@theopistakajuna2619
@theopistakajuna2619 2 года назад
Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo
@Esther-c8p
@Esther-c8p 10 месяцев назад
Shughulika na ya kwako,maisha ya watu Achana nayo
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 3 месяца назад
Maasta wanapendeza zaidi
@gbhxghxhhv7890
@gbhxghxhhv7890 2 года назад
Gigi sio mkubwa
@zachaliamachibola9044
@zachaliamachibola9044 2 года назад
Si mkubwa mtu anamutoto mkubwa tu
@olivierndikumana8530
@olivierndikumana8530 2 года назад
Ni malaya
@benthasanali8163
@benthasanali8163 2 года назад
Eenh ni lana tu iliwashukia hamna jipya..ushoga ushoga tu wanaiga wazungu eti
@UmmyLubna-rp6rv
@UmmyLubna-rp6rv 5 месяцев назад
Sàsa ukimuona Madona utasema nini.Acheni mambo ya kiswahili na umbea umbea tu wa kibongo.
@ablashaffy2860
@ablashaffy2860 2 года назад
Social medias kazi yao ndio hii
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
Habari, huu ni ukurasa wa burudani
@SharifaSalumu-k1x
@SharifaSalumu-k1x 2 месяца назад
Acha watu wale bata bhana umri ni nini asa
@pilidaud7862
@pilidaud7862 2 года назад
Naaam
@fridageorge2809
@fridageorge2809 2 года назад
Huna lolote wivu tu na hivi mnazeeka haraka mtabaki kupiga domo tu! Sijui umetumwa!!
@GeluadaMbepera-ys5wt
@GeluadaMbepera-ys5wt 5 месяцев назад
Gigy bado mdogo sana
@habibtyhabibty840
@habibtyhabibty840 2 года назад
Kazi yake anajiuza
@idrisahussein6654
@idrisahussein6654 Год назад
Wabongo hawezeeki
@ArafaAlly-nj8gs
@ArafaAlly-nj8gs 5 месяцев назад
Achaumbea
@lainamuhammad610
@lainamuhammad610 2 года назад
Ujawai kua na makaka mashoga wee kwani unashangaa nini
@winnerhapila155
@winnerhapila155 2 года назад
Uwoya ni laana ya ndiku sembe ina mbeba
@baby_face_
@baby_face_ 2 года назад
vyote vita pita kila kitu kina mwisho
@yusufkamul5989
@yusufkamul5989 2 года назад
Mchane makavu ajiheshim anatutamanisha hats ss wanae
@prettygirl9733
@prettygirl9733 Год назад
Utaila wake nyooo ngoja hakusikie mbona utamkoma
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 3 месяца назад
Nyinyi njo mnazeheka
@yustayusuph9101
@yustayusuph9101 2 года назад
Sio mama yao, ni bibi yao 💪
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 5 месяцев назад
Kamuoneni jenifa lopeza ndo mjue uzee ni nn na bado hajazeeka
@saadajohnson3361
@saadajohnson3361 Год назад
Hiyo ni old fashion thinking....this is the 22 century , this is why I left TZ. I can't live by this mentality
@benpartydancer4343
@benpartydancer4343 9 месяцев назад
Mungu yupo popote😂😂 na tutakufa popote tulipo na Mungu atatuhukumu bila kujali unashetania Marekani au Kongo😀
@Atotibabe
@Atotibabe 2 года назад
Kuzeeka wapy
@juliameesone1949
@juliameesone1949 2 года назад
Irene Uwoya anafanya kaz ngan
@MariamChino
@MariamChino 8 месяцев назад
We achaga kihelehele bwana kwahiyo w ndo unataka uvae uchi peke ako achaga kufatilia ya watu we hauna haki fatiria mavazi ako ndo ujaji ya wengine mmmh kama umekubuu kufatiria mavaz ya wenzia fatiria na kina kajool na kareena kapoor😮😮😮ukawashauri sasa mtumzima ni wwe
@maryaika9645
@maryaika9645 2 года назад
Love them or leave them
@adelinewakilongo3727
@adelinewakilongo3727 Год назад
Sasa shida ni Nini ina ku sumbuwa
@esthycashofficial1293
@esthycashofficial1293 2 года назад
Duh
@esthycashofficial1293
@esthycashofficial1293 2 года назад
Kwa nafasi ya gygi mnge muongelea linah coz ni mtu mzima hata kumzidi wema sepetu
@psj1564
@psj1564 2 года назад
Linna sanga na jide komando
@Odama-dn7xy
@Odama-dn7xy 2 года назад
Sa gigy umri umeenda n ww
@gladysKathambi-e1q
@gladysKathambi-e1q Год назад
na zari
@salomeelias2609
@salomeelias2609 2 года назад
Na wewe je unajiheshimu au ndo kazi kusema ya watu
@salumsaid9891
@salumsaid9891 2 года назад
Anadanga
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 года назад
Haya kuhusu wewe dada mbona hivi
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 года назад
Samahani boss
@HusnaMuhammed-yx8nl
@HusnaMuhammed-yx8nl 5 месяцев назад
Tena likajala lizee halijiheshimu
@magrethpaul5959
@magrethpaul5959 2 года назад
Mbona Mimi Nina umri wa 53 siko hivyo hao wote wadogo tu
@Odama-dn7xy
@Odama-dn7xy 2 года назад
Sa inawahusu nyie qqmmk
@salomeelias2609
@salomeelias2609 2 года назад
Mwaka ya wema haikuhusu
@solangebagal3496
@solangebagal3496 2 года назад
Wema sepeto mume sema ni shoga n'a bado haji kubali nandoma Hana mt,,,,,,.
@mercypatrick1918
@mercypatrick1918 2 года назад
Mamb ya mtt yametoka wp dada n mng anapanga kama we unao shukur uwez msem mtu kisa hazai
@solangebagal3496
@solangebagal3496 2 года назад
@@mercypatrick1918 samhani 🙏🙏
@solangebagal3496
@solangebagal3496 2 года назад
wema ana 50 hâta sura ipakwe mak up sura ina komaa ru
@maryaika9645
@maryaika9645 2 года назад
Looking for viewers
@user-maua
@user-maua 8 месяцев назад
Sasa wewe nimaisha yao siyo yakwako unaumia nini sasa
@winnerhapila155
@winnerhapila155 2 года назад
Sembe
@morenewanjala4633
@morenewanjala4633 Год назад
Kajala ni too much
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 года назад
Mind your own business, haikuhusu
@naphisaolouoch5993
@naphisaolouoch5993 2 года назад
Age begins at 40
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq 2 года назад
You just jeleus nothing much
@jan6703
@jan6703 2 года назад
Come again? God why are you people so fond of embarrassing yourselves by using languages you're not familiar with? 🤔😳🙄☹️
@theopistakajuna2619
@theopistakajuna2619 2 года назад
Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo
@magrethpaul5959
@magrethpaul5959 2 года назад
Tabitha haina dawa Jamani
Далее
НЕ БУДИТЕ КОТЯТ#cat
00:21
Просмотров 600 тыс.
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
10:15
Diamond na mastaa wengine wamlilia Dida Shaibu
8:58
Просмотров 1,8 тыс.
НЕ БУДИТЕ КОТЯТ#cat
00:21
Просмотров 600 тыс.