Kajala Masanja ni mwigizaji kutoka bongomovie Tanzania, alipita kwenye studio za Millard Ayo hapa TZA na kufanya Exclusive Interview, kazungumzia ishu kubwa ya Wema Sepetu sasa hivi japo hawapatani pia kaizungumzia Pishu.
ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima
Tunashkur sana mtu wetu wa nguvu kwa kutupa vtu vya nguvu Mungu akuweke uzd kutuhabrsha yanayojir ulimwengun na ufankiwe kwa kila kzr ukifanyacho *****
Ikiwa anahangaika kimatibabu ili aweze kupata uja uzito,dawa zipo wala asiwe na khofu na tayari nimeshawasaidia watu wengi na watoto wao wengine wanasoma shule ambapo wazazi wao walikaa sana mpaka kukata tamaa
Millard video zako ni nzuri ila fupi mno 😩😭. Jaribu kuongeza muda angalau kidogo. Otherwise napenda sana kazi yako. Nakuona ukikuwa kila siku katika fani hii. Keep it up
ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima