Тёмный
No video :(

Maswali kwa Kajala.. Amesemaje kuhusu hii ya Wema? cha mwisho kilichomliza? Pishu? 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 240 тыс.
50% 1

Kajala Masanja ni mwigizaji kutoka bongomovie Tanzania, alipita kwenye studio za Millard Ayo hapa TZA na kufanya Exclusive Interview, kazungumzia ishu kubwa ya Wema Sepetu sasa hivi japo hawapatani pia kaizungumzia Pishu.

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@jedan0920
@jedan0920 9 лет назад
Millard Ayo, you have a very unique and beautiful voice. Quite beautiful to listen to. LOVE IT!
@erickepimack9417
@erickepimack9417 9 лет назад
ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima
@khalsasalim7692
@khalsasalim7692 9 лет назад
Napenda sana neno lako la mtu wangu wa nguvu na mm mtu wako wa nguvu niko oman big up sana👍
@kingin5461
@kingin5461 9 лет назад
Ebwanaa.. ***** tisha Sana'a Mzee.. Nakuelewa MTU wangu.. Mungu akuongoze katika kazi zako amiin.
@dorapatric9176
@dorapatric9176 5 лет назад
wewe Dada nakupendaaa jomon😍😍😍
@magdalenemuna684
@magdalenemuna684 9 лет назад
Safi sana mtu wangu wa nguvu,mungu akuzidishie mafanikio katika kazi yako,,,watchin u from mombasa kenya,,,
@imanifado1554
@imanifado1554 9 лет назад
Kanzi nzuri kaka IMillard! Unanipatiya inspiration kabisa! Big salute from Russia, but i'm congolese.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 лет назад
MashaAllah nice interview
@benvicent5200
@benvicent5200 9 лет назад
safiiii sana natanan niobe iyo mov
@Katabwa
@Katabwa 9 лет назад
Myamwezi na Msukuma ni yule yule bana... History..
@deowilliam5658
@deowilliam5658 9 лет назад
Mambo VP millardy we ninoma zaidi ya noma big up
@denisnyererenicesarah3919
@denisnyererenicesarah3919 6 лет назад
Kajala Masanja ni msukuma uyoo!
@ashuraatanas5967
@ashuraatanas5967 7 лет назад
Millard ayo in namba 1 nakukubali sana
@cheupegmailcomHhcheupe
@cheupegmailcomHhcheupe 9 лет назад
Tafadhali sana mtu wangu hiyo ni fupi sana.all the way from kenya nairobi city.by the way uko poa sana keep it up.
@olivajusto9092
@olivajusto9092 9 лет назад
hongera sana mtuwangu wa nguvu nakupenda sasa kaka.. oliva niko mbeya!!
@winebernad3908
@winebernad3908 9 лет назад
Safi sana kajala kwa kumpa moyo wema huo ndo ubinadam hongera mtu wangu wa Nguvu kwa habar nzur
@jacklineheriel1437
@jacklineheriel1437 9 лет назад
ur inspiration millard
@kivukivuyo604
@kivukivuyo604 9 лет назад
Namkubali na nampenda sana ma sister kajala coz kwanza anaongea vizuri pia mara nyingi nikimwangalia anaongea ukweli kama anaongopea ni mara chache.
@mkwavi
@mkwavi 9 лет назад
Nice work brother Picha nzuri sauti ina sikika kwa uzuri una stahili pongezi hard work ina lipa
@athanacandrew3906
@athanacandrew3906 9 лет назад
Daaaaaaaaaaaaahhhhhhhh shida kwel Kajali ni shida anaweza xan
@dateededdy5833
@dateededdy5833 9 лет назад
Tunashkur sana mtu wetu wa nguvu kwa kutupa vtu vya nguvu Mungu akuweke uzd kutuhabrsha yanayojir ulimwengun na ufankiwe kwa kila kzr ukifanyacho *****
@dateededdy5833
@dateededdy5833 9 лет назад
Tupo pamoja #mr_countdown *****​
@Omushonga
@Omushonga 9 лет назад
Millard hii fupi sana.Ndefu ihusike. Kazi nzuri bro👏👏👏👏
@temboshebby7030
@temboshebby7030 6 лет назад
Giddy pichazax
@wabotv2020
@wabotv2020 9 лет назад
Nakusikiliza sana mtu wangu kutoka QUÉBEC
@kivukivuyo604
@kivukivuyo604 9 лет назад
nakubali sana kazi zako mtu wangu wa nguvu millardayo upo vizuri sana broo. Ongeza tu bidii kazi zako zipo poa sana sana big up broo.
@gladysmushi6746
@gladysmushi6746 7 лет назад
kivu kivuyo
@user-fx9ty6ni7i
@user-fx9ty6ni7i 6 лет назад
Nice kajala
@peterjohn8745
@peterjohn8745 5 лет назад
Wasukuma wazuri
@mariamjimmy1412
@mariamjimmy1412 9 лет назад
Your so cool Ayo and try to be more creative appreciate you sana salut
@neemaclement112
@neemaclement112 9 лет назад
Kazi nzuri man
@thebest7278
@thebest7278 8 лет назад
waga ukosei nice bro
@itongwamtebwa7255
@itongwamtebwa7255 4 года назад
Tumesha miss Interview zako Millard
@mnyasaharuna5911
@mnyasaharuna5911 9 лет назад
Nice
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 лет назад
Ikiwa anahangaika kimatibabu ili aweze kupata uja uzito,dawa zipo wala asiwe na khofu na tayari nimeshawasaidia watu wengi na watoto wao wengine wanasoma shule ambapo wazazi wao walikaa sana mpaka kukata tamaa
@khayrahawaahmedwaahmed8494
@khayrahawaahmedwaahmed8494 6 лет назад
nice
@eunicedavid8533
@eunicedavid8533 8 лет назад
waaa
@castorylalika425
@castorylalika425 9 лет назад
Kaka yani nakukubali sana mpaka haaipiti siku bila kuingia kwenye blog yako cz kila kitu kinapatikana humo.
@myvalavakhofficial143
@myvalavakhofficial143 6 лет назад
Jaman et wasan hawajui makabila yao "towelagi ubukwer dunh mwoyoyomba"hahahhhhh
@paulinaluanda9894
@paulinaluanda9894 9 лет назад
nakukubal sana mtu wangu wa nguvu
@jescaramadhani2038
@jescaramadhani2038 7 лет назад
nc
@francepeter7080
@francepeter7080 9 лет назад
Fanya mpango kuna hiyo background ya beat isiwe juu sana@Millard
@muhkil
@muhkil 9 лет назад
@millard huyu dada sio mkweli.
@marrymchiro3979
@marrymchiro3979 5 лет назад
Hata mm siwezagi kuongea
@benithatebuka4509
@benithatebuka4509 9 лет назад
Millard video zako ni nzuri ila fupi mno 😩😭. Jaribu kuongeza muda angalau kidogo. Otherwise napenda sana kazi yako. Nakuona ukikuwa kila siku katika fani hii. Keep it up
@aviwaomar439
@aviwaomar439 4 года назад
Mnyamwezi huyooo shombe shombeee
@ghaipaulinho4736
@ghaipaulinho4736 5 лет назад
huyu katoto ni hodari
@ramadhansemen7567
@ramadhansemen7567 9 лет назад
Congrats brodaa Mungu azidishe hiz nguvu
@anetikapami4228
@anetikapami4228 6 лет назад
Eti haujui kabila lako acha kujishaua kwamba hujui kabila lako. Watu wa zenga Tabora huko ni wanyamwezi.
@kitotheboss3121
@kitotheboss3121 9 лет назад
Unatisha sn mtu wangu wa nguvu
@denisnyererenicesarah3919
@denisnyererenicesarah3919 6 лет назад
we nimsukuma wasukuma ndo wanamajina ya kajala na Masanja yakisukuma ww hujui kabila lako VP wewe
@anitakapinga7532
@anitakapinga7532 9 лет назад
Kajala uko mnafiki hatanjisi unavyoongeya Vinakufanana achakujifanya mzuri Najapokuwa roho yako nichafu sivizuri
@siapascal7344
@siapascal7344 9 лет назад
Okay
@aliali189
@aliali189 8 лет назад
+Millard Ayo thanx ayo kwa mikono yako
@raymeeasan7482
@raymeeasan7482 6 лет назад
Msukumaaa😄😄😄😄
@johncosta2181
@johncosta2181 9 лет назад
Pmj bro
@martinlucas7875
@martinlucas7875 9 лет назад
Kaka Nipo Africa kucn Ila huwa nakusikiliza na kukufuatilia kila siku kupitia tune in pita mitandaon,,,,,,wewe ni mfano wa kuigwa mkuu
@zeyanaomar2566
@zeyanaomar2566 9 лет назад
kajala
@gervassmbwambo6652
@gervassmbwambo6652 9 лет назад
mbona ipo nusu kaka
@sofiasitamagunda1252
@sofiasitamagunda1252 9 лет назад
dada nakupenda
@doramaricel1564
@doramaricel1564 6 лет назад
wasanii bhana? eti hawjuag makabila yao dahhh
@anetikapami4228
@anetikapami4228 6 лет назад
Dora Maricel, Waongo hawa wasanii, kazi kujishaua tu
@johnanaely166
@johnanaely166 6 лет назад
huyu dada amenichafua etiajui kabila lake inaonyesha ajiamini nimuigizaji siomkweli
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 лет назад
Wema naweza kumsaidia kupata ujauzito kwa dawa za miti(tiba ya kisunna).Anaweza kunitafuta kwa no. 0715299278/0772299278,,,Zanzibar
@erickepimack9417
@erickepimack9417 9 лет назад
ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima
Далее
Аруси Точики ❤️❤️❤️
00:13
Просмотров 190 тыс.
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Просмотров 4,5 тыс.