Neno "Kuzaa" linabeba maana nyingi katika Biblia. Katika Video hii tutazifafanua maana hizo na kuondoa kabisa utata wa kiuelewa ambao huwa unajitokeza pale ndugu zetu Waislamu pamoja na wapinga Utatu wanapofanya uchambuzi wa suala la Baba kumzaa Yesu.
Pakua Somo hili katika Dokumenti ya PDF, na unaruhusiwa kuisambaza:
Link: imeandikwa.adv...
Tafadhali Like na Share
12 окт 2024