Nasikia kiswahili alaki kuandika ni kidogo piko kitu napenda sema uyu jama hajuwe historia ya yawa nyarwanda yipo anadanhanya sana.yiko anasema bile balimwerezeya
Jamaa anaonekana anafahamu mambo lakini anachanganya historia tofauti. Kwa mfano Odinga hajawahi kusafiria passpoti ya Tanzania kama ambavyo anataja huyu jamaa.
Maajabu na kweli.silaha hizi tunapitisha sisi.tunazibeba kwenye maroli yetu.burundi Rwanda na Uganda alafu zikifika nchi zao.wanawagiamm,23. Sasa Vita itaishaje?lazima Tanzania izuie silaha zisipite.kitu ambacho.gakiwezekani.maana njia za panya Ni nyingi
Sasa hivi neno bandari limewatoka mnachoanza ni uchonganishi wa Rwanda Drc na Tanzania Ili muweze kupata stori acheni ujinga Kwa hiyo mlitaka watanzania ndio wauwawe?
WEWE FISI UNAO USHAIDI KAGAME JAMBAZI MKUBWA ANAIJEGA NCHI YA RUWADA KWA KUTEGEMEA RASLIMALI ZA CONGO ANA SHIRIKIYANA NA QTARI ANALETA SLAHA ANACHUKUWA GOLDI NA VITA IKISHA RUWANDA ITAKUWA NAHALI MBAYA RUWANDA UKIWA NA PASPORT YA RUWANDA NO VISA QTARI UNAGIA BILA YA VISA WACHENI UPUZI KAGAME DIKTETA MKUBWA
Mchambuzi huyu anahitaji kusoma historia vizuri. inaonekana wazi kwamba hajui historia ya Rwanda. na usipojua historia ya Rwanda vizuri , uchambuzi hutaweza
Kagame hakuwahi kuwa mkuu wa usalama katika jeshi ya uganda ila alikua ofisa katika jeshi la uganda kitengo cha usalama ila si mkuu wa usalama ktk jeshi la uganda
Mchambuzi unachanganya mambo Sana gen.nkunda alisaidia chama cha Kagame kushinda na kutawala rwanda na badaye kuvuka DRC kumung,oà mombuto ndio mana badha ya wakongomani wanadayi hão kuna nkunda ni munyarwanda
😂😂😂😂 huyu mchambuzi ngumbaru mmemtoa wapi? sisi hatujawai kuusika na lolote kuhusu uhuru wa Malawi, Wazee wa malawi walikua wana hustle sawa na Nyereee. Laurent hajakutanishwa na Joseph Kabila ila ni mtoto wake ambae kamlea tangia wakiwa msituni, na wakati vita vinapiganwa Joseph Kabila alikua mdogo sana, Laurent kamlea huyu dogo na baba ake mzazi alikua rafiki wa karibu na mpiganaji wa Laurent Kabila. Huyu mchambuzi wenu ni zero sana