Тёмный

Mawaidha na Bi Msafwari |Mbona ndoa za siku hizi hazidumu? 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,3 млн
50% 1

Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 470   
@amahorohusna9670
@amahorohusna9670 5 лет назад
Shukran sana Tunapata faida sana kutoka kwenu,big up sana Rashid.. Sheikh Allah akujaze kheir
@zulekhasaidmohamed4043
@zulekhasaidmohamed4043 4 года назад
Rashid Huyokaka kakamwegine ninamuelewa sana laiti nigempata ninamaswali nataka kumuuliza namuamini asema kweli
@koudrashabani9674
@koudrashabani9674 4 года назад
Mwenyezimungu Awanusuru
@halimaalex5295
@halimaalex5295 3 года назад
Mashaallah jazzakallah kheri inshaallah Allah awajalie zaid nimefurai sana mawaidha mazur mashaallah nimependa san
@florencejames501
@florencejames501 3 года назад
Halima naomba naomba yako ya VODA mm saidi
@halimaalex5295
@halimaalex5295 3 года назад
@@florencejames501 saidi mgani tena jaman
@winnieodhiambo3511
@winnieodhiambo3511 5 лет назад
Well explained. Sasa nimejua tofauti ya kupendwa na kutakwa.asanteni.
@maxwellking9399
@maxwellking9399 4 года назад
Sasa wee Winnie niambie... mimi unanipenda au Unanitaka:-)?
@egidiusrwebuga6222
@egidiusrwebuga6222 3 года назад
Nimependa sana hiki kipindi kinafaa kabisa kufanyika katika vyuo vyetu live na vijana wakapewa wasaa wa kuuliza maswali. Big up sana
@petermalobya1345
@petermalobya1345 3 года назад
Santeni Sana kwa darasa zuri
@dicksonmkokota4966
@dicksonmkokota4966 3 года назад
Mm ni Mtanzania! Hongera Sana kipindi ni kizuri na kina maudhui mazuri wazee fanyeni kazi zenu/funzeni Mungu anawaona
@scolasticagibore8652
@scolasticagibore8652 3 года назад
Sasa wewe mkokota hapo nini kimekukosha, acha umbea
@mahmudmustafa8588
@mahmudmustafa8588 3 года назад
Sheikh Allah akuzidishie zaidi
@jojoba2633
@jojoba2633 3 года назад
Bi Mswafwari na squad yako, nashukuru kwa mawaidha yenu mazuri,yanajenga mno mungu awabariki na mzidi kutupa mambo mema ya uheri
@Babygirl_S
@Babygirl_S 5 лет назад
Basically an educated, financially stable woman who stands for herself is a problem for the man. Those times are over. Women are not your prisoners anymore. Accommodate the modern woman's needs, ideas because clearly things are not the same anymore. Let women progress without demeaning them.
@abufidu
@abufidu 5 лет назад
All the hosts of the show are in total agreement with what you are saying. This is why marriages don't last these days, things are not the same anymore. Probably "women's lib" and successful marriage are mutually exclusive. We just can not have both.
@chachamarwa1913
@chachamarwa1913 5 лет назад
Bi msafwari nakuliuza swali je mimi nimeoa kwako mfano avu wewe do chanzo cha kutenganisha ndoa yangu mke wangu nami hamna shida nitafanyaje ili uachene na Mke wangu ?
@rajabjabu2125
@rajabjabu2125 5 лет назад
From tz mungu akupe umri mrefu shekhee Amir
@elyseerugonderakrely738
@elyseerugonderakrely738 3 года назад
Tunawafwata 100/100 mimi na mke wangu Cécile. À santé kwa mashauri yenu
@rosekesina7871
@rosekesina7871 Месяц назад
Thank you for your help
@ameenajumah7335
@ameenajumah7335 3 года назад
Sheikh tumekupata swafisana nice advice .Nakupenda sheikh kwaajili yake Allah .
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Mm naona chanzo n kukosa hekima na busara na hofu ya Mungu na maadili ya kiafrika zaidi.
@hdeegithinji2191
@hdeegithinji2191 3 года назад
I came here today and this is just pure wisdom💯💯🙌🙌both religion and philosophies meet ... Those with ears let them hear, listen and understand💯🙌
@johnnsenga5079
@johnnsenga5079 3 года назад
Nimelewa sana maada
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 3 года назад
Wangu ukimtesa natoa avumilie mwisho auwawe saizi wanaume niwakatli wanaua wanawake zamani kulikua na ukandamizaji sio ndoa walikua wanalazimishwa kuolewa kwa nguvu
@rahmaally2775
@rahmaally2775 3 года назад
Mashallah shekhe
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 4 года назад
Wanawake wengi wanaolewa wakiwa na tabia njema sana ila huko kwenye ndoa wanavurugwa wanadharauliwa sana na wao wanaota mapembe yanawashinda wanapambana
@marthajuma8411
@marthajuma8411 4 года назад
Yaani ulichoongea kiko sawa kabisa,hata mm mwenyewe niliolewa nikiwa na tabia nzuri sana lakini saiv acha tu nibadilike Hamna namna
@sabrinayounisaden7238
@sabrinayounisaden7238 5 лет назад
Mashaa Allah,shiekh wangu, Allah akuhifadiye.
@lizikiabdallah3054
@lizikiabdallah3054 3 года назад
Shukran
@reenmakamu2278
@reenmakamu2278 3 года назад
Wow i love this
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 3 года назад
Hii class ni safi sana hongereni wazee wetu nyote hapo studio maneno yenu Yapo sawa kabisaa na bila kufuata hizo tabia zenu tutafeli
@zulfabakari5555
@zulfabakari5555 3 года назад
Nikweli kabisa
@jackiemabduswamadkimimbi8652
@jackiemabduswamadkimimbi8652 3 года назад
Nice topic
@farhanaomar1177
@farhanaomar1177 3 года назад
Asanteni sana nilikuwa namtafuta sana hiyo shekhe kuna CD niisikia ya aina ya.wanawake xjui 7nk nilicheka mno moja ya hao wanawake no yule ambae akiona.wageni huanzisha kixhwa kinauma au no hao wa kichwani,na.mwingine.akiensa sehemu na mumewe utasikia ha on a friji lao kubwaa sio kama letu jmn
@OmanOman-gc1zu
@OmanOman-gc1zu 4 года назад
jazzakaAllah kheri Allah awazidishie kila KHERI in Shaa Allah.... najifunz mengi san
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
If I ever walk down the aisle I will walk out period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
Personal responsibility begins with myself Steve Irungu Jermaine
@sunyareh
@sunyareh 5 лет назад
Wanawake wa siku hizi imani imewsisha heshima hakuna upendo ndo kabisa imekufa. Kazi tunayo si mchezo kuoa miaka hii. Ee mungu tusaidie
@wacmber2131
@wacmber2131 5 лет назад
Ukimakinika wala hutosumbuka
@josephaloyce2572
@josephaloyce2572 3 года назад
Jose
@hamzaabdirahman3282
@hamzaabdirahman3282 5 лет назад
Very great show, thanks all
@emmanuelgathage3835
@emmanuelgathage3835 5 лет назад
Too much truth...
@tatusalum8428
@tatusalum8428 3 года назад
ubungo kids
@abedkirway8668
@abedkirway8668 3 года назад
Asanten sana kwa kipind kizur mm mtz nawafuatialia vizur sana
@hyilnematangi768
@hyilnematangi768 4 года назад
Mungu akubariki ndugu,nimejifundisha mengi.
@masilamutua5392
@masilamutua5392 3 года назад
Wakipenda mungu na kufuata sheria zake watapendana
@elizakituzaleyaapoline5283
@elizakituzaleyaapoline5283 4 года назад
Jambo mama ubarikiwe sana kabisa upepe shauri kabisa
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
I would rather live alone period by Steve Irungu Jermaine
@bryfrancis7879
@bryfrancis7879 3 года назад
From Tz
@officialcarolyne2985
@officialcarolyne2985 5 лет назад
That's true I love this topic
@yakobolaiza1474
@yakobolaiza1474 4 года назад
Gfmyewnczoyevsp
@hawamshamu303
@hawamshamu303 3 года назад
Mimi tz nimeipenda iyo mada lakini matatizo nimengi kwenye ndoa
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 года назад
Mimi Nimzanzibari Naishi UAE Nina Asili ya Oman Nimimi Nimependa Kipindi Nikizuri Mashaallah Mashaallah Mashaallah
@elizabethdaud6446
@elizabethdaud6446 3 года назад
Nkweli ndoa hazdumu nyakat hiz sana nkwasababu unakuta mwanaume amezoea kuwa na wanawake wengi tofaut tofaut rangi, shape n.k kwahyo kudumu na mmoja ningumu sana, naitwa lizbeth
@iddiseleman5556
@iddiseleman5556 3 года назад
Hongela xana kwa mada mzuli
@kassimchande4985
@kassimchande4985 4 года назад
Shekhe mungu akushushie rehema na akusamehe kwa Yale uliyoghafirika nayo
@steveirungu3132
@steveirungu3132 2 года назад
Marriage went to the intestive care unit ie ICU I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
@wanjirukarago9308
@wanjirukarago9308 4 года назад
The guy in green Ankara shirt hunibamba sana ...I always like his school of thought seen few of his videos .
@sabrialharthy7090
@sabrialharthy7090 3 года назад
Mr. Rashid
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 5 месяцев назад
Kweli
@deboraamos560
@deboraamos560 4 года назад
Asanteni sana
@orojinaledjemm1315
@orojinaledjemm1315 3 года назад
Nawashukulu kwamawogezi mazuli👍
@teresiahkiarie8440
@teresiahkiarie8440 3 года назад
I have learned something, kunakupendwa na kutakwa
@moanasaboud4399
@moanasaboud4399 4 года назад
Sheikh gonga point kuhusu mapishi Mashallah
@johnmicky2572
@johnmicky2572 3 года назад
0Lop
@johnmicky2572
@johnmicky2572 3 года назад
O ppppp P Ooo66666oo
@hassanomar2708
@hassanomar2708 3 года назад
Hassan Omar Dirie jag är på besök från mig själv till ett nytt sätt är på väg till jobbet så mycket jag vill ha ett nytt jobb med mig.
@nadirmahfoudh1812
@nadirmahfoudh1812 3 года назад
Mada zuri sana masha'Allah
@zulfabakari5555
@zulfabakari5555 3 года назад
Yaani natamani nipate mume leo niyafanye haya yanayofunzwa humu,
@jackiemabduswamadkimimbi8652
@jackiemabduswamadkimimbi8652 3 года назад
@@zulfabakari5555 are u sure
@zulfabakari5555
@zulfabakari5555 3 года назад
@@jackiemabduswamadkimimbi8652 yes, I'm sure
@japhetmarco4936
@japhetmarco4936 3 года назад
Asante mjadala Safiii
@lesashigeneral9213
@lesashigeneral9213 3 года назад
Ni kweli Mwanamke akidisha urembo ule ubora wa shunguli zakifamilia utapungua : -kufuga kucha ndefu,kwenda kuoshwa miguusaluni, kujipodoa kupita kiasi nk. Huyu maranyingi atakua anamtegemea binti wa kazi. Sasa tayari anaanza kua mlemavu. Kumbe umemuoa mwanamke mlemavu ambae hata hawezi kunawa mwenyawe.
@furahamwakalukwa
@furahamwakalukwa 4 года назад
Siku hizi hamna ndoa ila kuna maigizo tu katika ndoa!!!Wanawake wengi wapo aftermoney kwa kipindi cha urafiki na uchumba uwa wanakuwa na heshima mno lkn ndoa ikifungwa tu ni sarakasi na kila aina ya kiburi.
@yusuphmdoe4987
@yusuphmdoe4987 4 года назад
Safi sana shekh
@beyoncebeyonce2737
@beyoncebeyonce2737 5 лет назад
Hapo kabisa twafulahia sana juu ya kutufunza mengi God bless all
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
Marriage is by choice period by Steve Irungu Jermaine
@kalengemochi110
@kalengemochi110 4 года назад
Ahsanteni sana,,, mozambique hapa tunawapata sana
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 3 года назад
MashaAllah
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 лет назад
Jadhaka llah kheyra
@aminajohn5055
@aminajohn5055 3 года назад
Napenda sana mnavyoongea
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 года назад
Asante sana MAMA na MZEE. 🤲👏💕💓
@dicksonmdagachule3592
@dicksonmdagachule3592 3 года назад
Hataree
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
Marriage is a voluntary union period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
@jacquelinerayamu3187
@jacquelinerayamu3187 3 года назад
Mkalla una facts Sana jamani mashallah 👍
@stanelymuthomi8542
@stanelymuthomi8542 4 года назад
Very educative
@felisternjeru9196
@felisternjeru9196 4 года назад
Heshima muhimu ladies respect men
@dripemoji3315
@dripemoji3315 4 года назад
We will respect them if they respect us
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
I'm a proud bachelor without limits period so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@hassanaloisi3643
@hassanaloisi3643 4 года назад
Chikeni part pia nichanzo.Sababu kungwi uwafunza uwiz natamaa mabint.Unakuta kungwi mwenyewe anawatoto sita.Nakila mtot na babake.Mabint somen wazaz wenu wawil.Nakuxoma maandiko matakatifu.Mtaacha maisha ya utawandazj namtavumilian
@rosegatara4232
@rosegatara4232 3 года назад
Pole
@oliverabraham6544
@oliverabraham6544 3 года назад
Napenda sana mjadala wenu Mungu awaongezee siku nyingi za kuishi
@yonasimbo2945
@yonasimbo2945 3 года назад
Mijadala yenu mihimu Sana tatizo kizazi cha sasa ndo shiida na sijui kama Kita sikia haya na kufuata maana hatali ila munngu asaidie haya
@rukaiyamustafa1248
@rukaiyamustafa1248 5 лет назад
Lesson nzuri
@mohamedshabani5986
@mohamedshabani5986 4 года назад
Ni kweli kabisa
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
Marriage is like a death convict to me it's a hell NO I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 4 года назад
Siyo marafiki tu mama, na famillia zinaingilia ndoa za wanao sasa wenye ndoa wakikubali, ndoa inaisha au inaishi vibaya mwanandoa wa kike anaishi kwene ndoa kwa kuvumilia
@zaharajuma5019
@zaharajuma5019 4 года назад
Jamani hii nimeipenda
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 4 года назад
Wanawake wa zamani waliteseka sana hawakuwa wa kuwasemea kabisa na wengi walikuwa hawafanyi kazi wanategemea waume zao ukiongea nao wamkuambia tulivumilia sana, wanawake wa sasa huwezi kuwanyanyasa wanajua kusimamia haki zao
@aminajohn5055
@aminajohn5055 3 года назад
Kwel kabisa
@mariamtegele8606
@mariamtegele8606 3 года назад
True
@BlackPanther-lt7wr
@BlackPanther-lt7wr 2 года назад
True
@jamilairakoze6600
@jamilairakoze6600 4 года назад
Asante 💞💞
@neemadonath5737
@neemadonath5737 4 года назад
Mungu atusimamie
@leontinebinlydi9459
@leontinebinlydi9459 3 года назад
iyo nikweli kabisa
@happytimes9747
@happytimes9747 4 года назад
Nasikiliza sana huyu mzee ako sawa kabisa
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 года назад
1.Usafi 2.Maneno matamu 3.Chakula kitamu 4.Busara na uwajibikaji kwa mwanamke Hili ni limbwata tosha
@thegreat.9869
@thegreat.9869 4 года назад
Kaka umeacha busara na uwajibikaji kwa mwanamke
@stephenmnkeni1949
@stephenmnkeni1949 3 года назад
@@thegreat.9869 No
@iceplay18
@iceplay18 3 года назад
kkk huyu sheikh vituko mleteni kila siku nimecheka sana sina mbavu
@godfreylaizer8371
@godfreylaizer8371 3 года назад
Basis
@mutomubaya
@mutomubaya 5 лет назад
Sababu ya ndoa nyingi kuwa hazidumu { Katika Jamii ya Waislamu ] ni kwa sababu tumeacha njia aliyotufundisha Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, hasa kuhusu malezi. Vijana wakipatiwa malezi mazuri lazima yawe ya Kielimu. Na jukumu la kuelimisha vijana haliko juu ya wazazi peke yao bali Imaam ana jukumu la kuwafikishia watu wote wanaoswali Msikitini kwake ujumbe kamili wa Allah. Kwa hivyo kuhusu ndoa wanaoingia kwenye ndoa ni vijana. Ikiwa waliacha kuhudhuria vikao vya ilmu walipofikia umri wa ujana wengi utaona wanajua Kusoma Qur'an lakini ukiwauliza maana yake watasema, hatuelewi Kiarabu.Jambo la kwanza kuteremshwa katika Qur'an ni kuhsu umuhimu wa KUSOMA. Waislamu wa kwanza walikuwa ni waarabu kwa hivyo wakisoma qur'an wanaelewa, Lakini sisi wa sasa hatuwafundishi vijana wetu Kiarabu. Kwa hivyo wataweza vipi kuelewa mafundisho ya Ndoa na hali ya kuwa somo la Ndoa bado liko katika lugha ya Kiarabu? Na badala ya wazazi kuongea na Imaam ili apange masomo kwa vijana baada ya swalah na apange masomo kwa wazazi pia wamjue Allah na wajue kumuabudu na wajue malezi bora na apange masomo kwa Waslamu wapya. Hilo hakuna. Kwa hivyo ikiwa haturekebishi makosa yetu tujue kuna kujibu siku ya kiama kwa sababu Mtume amesema. Kullukum Raain wa Kullukum Mas'uulun. Ukisoma vyema hiyo Kauli ya Mtume utaona kwamba jukumu la malezi sio kazi ya wazazi peke yao. Turudini kwa Allah na tuwapatie vijana nafasi ya kujiendeleza ki masomo badala ya kuwaacha bila mawaidha wanakuwa watu wa kukaa vijiweni
@حليمهال-غ1ظ
@حليمهال-غ1ظ 5 лет назад
Allah akubariki
@lacicam8119
@lacicam8119 5 лет назад
Masha'Allah, ujumbe mzuri
@sharifabwamkuu4492
@sharifabwamkuu4492 4 года назад
Allah akubarik Mashaallah maneno Matamu na mazur
@asiamct4025
@asiamct4025 4 года назад
Mashallah mko vzr naombeni namba ya mmojawapo ili kupata ushauri
@bryfrancis7879
@bryfrancis7879 3 года назад
Me too ,hahaaaa I think Vyote vimezungumzwa lakini kikubwa ni mtu kuwa na "HOFU YA MUNGU"ndo jibu la kila kitu
@rahmaabdillahi2795
@rahmaabdillahi2795 5 лет назад
Mkala u r the best..... mtazamo wako ni wa hali halisi
@michaelnjora5407
@michaelnjora5407 5 лет назад
Very true
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 года назад
Omg hii ni kweli
@farahanimselem5232
@farahanimselem5232 3 года назад
Ndowa azidumu kwasababu maisha magumu hali mbaya mwanaume anaisia ya mapenzi njogoo akilala amki kwamwezi malamoja
@lilianezekia5851
@lilianezekia5851 3 года назад
Ni kweli kabisa hiyo
@zighemargaret
@zighemargaret 5 лет назад
Asanteni kwa mashauri yenu nimepata kitu wapendwa
@zighemargaret
@zighemargaret 4 года назад
@Tumsifu Cheyo Yenyewe doa ni matunzo asante my dear
@junefother7890
@junefother7890 3 года назад
Mimi murundi nimependa sana kipindi chenu
@yusuphzaitunihawanaloloteh6471
@yusuphzaitunihawanaloloteh6471 4 года назад
Nimewapenda kweli
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 4 года назад
Ndoa za sikuhizi tunaangalia sana TV...tunataka kuwa fulani sababu ni maarufu au tunataka kufananisha sana ndoa zetu na jerani kaacha mkewe kwa sababu hii na wewe unaacha. Pili ni marafiki wanachangia sababu hao marafiki wengi hawajaolewa au ndoa zao zina matatizo. sasa huwe zi kufata ushauri wa mtu ambaye hajaolewa au hajui nn maana ya ndoa..ushauri utakuwa mmbovu. .tatu vishawishi vingi ndaa inachangia wanawake wengi wanataka kuolewa kwa manufaa. .
@dankago8668
@dankago8668 5 лет назад
Ni kweli mkala mume anataka heshima ndio muhimu
@feisal6592
@feisal6592 Год назад
Kukitakaa kutegezaa garii lazima ulibodibide Kisha ulinyishe lakini kama gari limefantija accident pilaz panal biting itakuwa ngumuu sana
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
Marriage is a corrupt institution I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
@paulchitifi1310
@paulchitifi1310 3 года назад
Mabinti wengi sana maadili awana
@dullahshaaban9050
@dullahshaaban9050 3 года назад
Ndoa ni financial institutions ikitokea bankrupt hapo hakuna ndoa lazima kutoswa........✍️✍️✍️✍️✍️
@priscalameck8700
@priscalameck8700 3 года назад
Nimejifunza sana
@aishasalimaishasalim1323
@aishasalimaishasalim1323 4 года назад
Somo nimelielewa.. 🙏🙏 Tunasema kupendanakutamani Daaivinikweli...
Далее
Bi Msafwari Swala La Mavazi
25:11
Просмотров 138 тыс.
Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?
27:57
Why they want me impeached-DP Gachagua speaks
1:25:41
Просмотров 284 тыс.
BI MSAFWARI | Tiba ya mume katika ndoa ni ipi?
25:41
Просмотров 38 тыс.
Bi Mswafari: Utajuaje Unapendwa
25:43
Просмотров 66 тыс.
Bi. Msafwari: Majukumu ya Mwanamke
22:00
Просмотров 295 тыс.