Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : web. gospeltvshow/ Instagram : chomozanews RU-vid : ru-vid.com #ChomozaTv#2023
"Chimbuko la mwili wa binadamu li ndani ya chakula, chimbuko la chakula li ndani ya udongo. Ni hakika asili ya mwili wa binadamu Ni Udongo na udongoni utarudi, naungana na maandko. Kumbe wazo ndiyo mtu mwenywe. Kwa mfano Baba wa Taifa mwl Nyerere; mwil wke haupo lakn Yeye yupo kwa mfmo wa wazo. Pongezi kwenu kw mwendelezo wa somo hili,tuko pamoja majaliwa hayana mwsho.
Ni kweli kabisa Dr Ellie tunacho kivumilia( tolerance)kinakuwa nakumbuka mm nilivyokuwa mdogo nilikuwa na tabia ya kuiba hela kwenye nyumba ya jirani yetu ambaye tulikuwa tunaishi pamoja kwenye nyumba moja ya kupanga na walikuwa wanajua kabisa ila walikuwa kimya nashukuru Mungu nilikuja kuacha hiyo tabia