Shekh mazinge ww ni zawadi kutoka kwa allah.. Niseme alhamdulillah maana unavowapasha ndugu zetu wakristo mpaka nasisimka.. Allah akupe umri mrefu wenye afya inshallah.. Ila siku ukiondoka sidhani km atatokea shekhe km ww lakini madhali allah yupo na quran yake sina waswas.. Mashallah
Jamani kwanini kuchambua imani za wenzenu kama yesu alikufa hakufa Mungu mwenyewe ndiye ajue dini ni njia yetu sot ya kumjua Mungu ili tumjue na kumpenda mwisho kila mtu na matendo yake ndio yatamfikisha peponi kashfa za nini hakuna mwislmu wala mkristo atajisifu dini yake ni kumpeleka peponi .Sasa kwanini kuwakufuru manabii wa Mungu ? Tunachotakiwa wanadamu tupendane tusibaguane maana kila mmoja anaomba kwa imani yake na Mungu anambariki wafundishe waamini imani yao usiingilie imani ya wengine usifikiri kusema sana kua ww uko sahihi sana heri mtu yule azuaye.ulimi wake usinene uwovu kwa jina la Yesu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni bw.
Mashaallah sheikh wetu shukuran allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu allah akulinde na husda za watu na shari mbalimbali za usk na mchan mungu akujaalie Umr kila la her
Mungu akuweke shekhe ,hapo kwenye dakika 850 umpe majibu Allah umezitumiaje 😭😭pagumu ya Raby majibu sijui km turakuwa tunayo maana kuutwa wengi wako kwenye mambo ya kipuuzi
Masha ALLAH!! MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE UMRI MREFU WENYE SIHA NA AFYA NJEMA nilipata bahati ya kuhudhulia muhadhala wako 1984 ukiwa na Prof Ngaliba, Othman matata, kawemba, sheikh said Abri na wengineo
Ww ustetee dini soma mandiko matakatifu upate maarifa soma biblia na korohani properly na ufundishe watu kutokana na maagizo ya MUNGU amri 10 za MUNGU sio utee uisilamu muhamadi ni muovu tu
@@amosomary7928 Alookupa hilo jina nahic kama alikosea maana hilo jina la Omar ni jina tukufu kwa Allah SW yaani sayyidinaa Omar (As) sasa ww umepewa jina zuri la baba yako ..rudi kwa Allah SW vyenginevyo utakuja kufeli ndugu yangu
sheikh Mazinge asalamu alaikum warahamatullah wabarakati ubarikiwe naomba masiliano mimi nawewe kwa jina la Allah. nafwatilia mihadhara Yako kwa mtandao lakini mimi sio mtz najitahidi tu kujifunza kiswahili kidogo kidogo kwa sababu napenda TZ Sana napenda kiswahili Japo misio mzaliwa lakini naipenda mungu ndo anajua kwanini nomesalitika nahio nchi mimi nimusilamu namshukuru mungu kwa kua muisilamu nenge penda niwe kati yatu ambao wanachangia kwa mihadhara Yako naomba uniletee namba ya simu Yako ishallah ili nionge nawewe
@@hilmialiomar1983 Acha nikutoe usingizini; UKRISTO siyo dini,kwanza weka hilo kichwani. Halafu MUNGU huyu aliyeumba mbingu na nchi yeye hana Dini! MUNGU anaangalia imani ya mtu,na Ukristo ni IMANI timilifu kwa MUNGU,vile jinsi YESU alivyokuwa na IMANI hata akaweza kufufua wafu,hiyo ndio IMANI ya Kikristo.
@@editrudesmbonde9051 kufufua co imani kasome ndugu yangu,uwezo wa kukufua kwa Nabii Issa(A.S) nyinyi munamwita Yesu ni miujiza aliopea na Allah (SWT) na wakati wa nabii Issa (A.S) walikua wachawi na kila mtume alipewa miujiza yake kwa mfano Nabii Suleiman (A.S) alikua anaongea na wanyama,majini na vitu. Mungu anatutaka tuufate Uislamu na Mitume wote walikua waislamu.
Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.
Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.
Muhammad na kwan nn ako kwa wafu kama alikua na nguvu. Jesus is son of God and mlimwuua mkidhani mumemmaliza lkn instead akaenda akastahimili kwa maana ilikua n utabiri na lazima ungetimia amefufuka yuko hai we pray to God through Him, and through Him we will see the kingdom of God. To you Muhammad died and akufuka na hatawahi kufufuka yupo kwa wafu asubiri kuhukumiwa na huyu Yesu na ww pia
safi saaana Allah ni mjinga Mazinge anaakili kuliko Allah.. Allah anasema YESU hakuwa msarabani mazinge anasema YESU alikufa asante YESU... hukusoma je?? imeandikwa je? kunaneno gumu lolote lile..asiloliweza?? jamani 440 utakuta wako 2 tu
Hahahaha ani wewe ni ndezi cha kwanza hujui kiswahili hujui kuandika hujui kutafakari rudi shule ani we hata huelewi inaonekana ulimpa sn mwalimu wako shida kwenye uelewa 🤣🤣 umenifurahisha ani comment ako inaonesha hamna kitu umeelewa kilichoongelewa ! Rudi kasome mkuu unajiabisha ndo mana tunaambiwa kama hujui bora ukae kimya 🤣
@@salimmalaka256 aliekwambia YESU sio MUNGU..Yy alimuona YESU..?? aliwaona majini...sio YESU..sawa?? waliomuona kwa macho na kumshika na YESU mwemyewe..alithibitisha kuwa ni MUNGU..wewe unaefuta mfu ambae hakumuona..unafuta dhana isiyo na ushahidi wa kuona wala kumsikia
@@jumashabani8474 🤣🤣🤣🤣umeshasema kunautofauti,🤣🤣🤣. Nenda kasome Qur'an yako vizuri, ata Qur'an yako inakubali kuna Bwana na bwana, hao ni wawili tofauti
@@machetetz928 Ndio njaa tu,Waislam wengi njaa,angalia ombaomba wengi ni waislam,sasa huyo Allah kalala?hawaoni mnavyohangaika? YESU ni jibu la kila kitu njooni kwa YESU sasa muda ni mchache🙏🙏
Shekh Mazing nashukur san uko vizur sana Lakin nakuomb kwaheshim nenda kadom Quruan Unavurug sana yan san it is not good ur Quruan shekh pls Angaliy ulivyozisom izo AYA mbil
Asalam Allaikum waramatullah wabarakatuh jmn naomba maoni yenu ktk nyinyi mliojaliwa na elimu, vp jmn Allah ni Nani km tunavyojua hafananishwi lkn Tukizungumza Allah tumtafakari km Nani naomba ndugu zng cz tumelizungumza lkn badhi wanasema ni spirit ya Iman je ni kweli?
Okoka huu ni upuzi.mohhamed was a demon possessed man.huyo atakuwa nabii wa Nani?Islam is just a scam to denie the divine power of God.it is a antichrist religion which Jesus Christ foretold will come.and any spirit that does not acknowledge that Jesus is the only son of God is not the spirit from God.jesus is God's incarnate.
@@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.
@@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.
@@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.
@@shariffidriss1846Ooooooh! You are out of this world, cause the TRUTH is already prevailed,just go and read Quran 3;55 and Bukhari 3443 you'll see yourself😂😀
@@editrudesmbonde9051 if you continue denying your creator and start worshiping His creation,surely you are lost and hellfire is your eternity,Allah forbid and guide you to straight path
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@@karaoglan9444 ukifanya utafiti wa vitabu beyond what is written inside, uniambie sasa, but soma vitu kama mazing nikupidisha madiko tu, kwanza kama unajua petra unajua ulisilamu
Kazi anazozifanya mazinge wewe hauziwezi Wala baba yako nahakuna hatammoja ktk ukoo wenu anaeweza, mazinge anafanya kazi kubwa sana, eti mazinge hanaelimu mpiga pesa tu, wewe kweli mjinga kazi anayoifanya mazinge bila elimu angeliweza kuifanya kazi hiyo? Ndio lazima apige pesa sasa wewe ukitaka ale wapi ? Nasisi wenyewe anaotupiga pesa tunampenda na tunazitoa hizo pesa sasa wewe inakuuma Nini? Kwanza rafiki unaumia ukiwa wapi?
@@bakariamour6024 Ndiyo anajulikana,na ndio maana anatuonekania kila tunapomuita, hushuka kwa nguvu na ushindi. Sisi ni Washindi zaidi ya Washindi Duniani😂
There's no Allah in creation, the Bible doesn't recognize that kind of God. Please Mzee Mazinge, your God hajulikani. Usijaribu tena kuzungumuza unaemuita Allah katina uumbaji. I agree he's in your books but not in the Bible.
Weka Mada sasa unafikiria usemapo watu hawana la kutafakari usemapo Wewe weka mada hazarani mada hizo tumezisikia Mara nyingi na matokeo yake uli feli ktk Ku defend unacho kidai ulishinda WAISAL ACHENI USHABIKI tumieni AKILI Sasa Ma Pastors zaidi ya 60 ukiwa peke yako si uongo huo , usemapo unafikiria watu hawafikirii sasa hiyo debate ilichukua miaka mingapì mpak ma Pastor wote wa seme elewa yamepita na Wakati Sheik umedanganya mda mrefu
@@seiflugendo5043 🤣🤣🤣😂😂Huyo Mazinge amegaragazwa sana na Mapasta. Kule kenya hakufanya mdahalo na Mapasta hao aliowataja, alifanya mdahalo na pasta mmoja tu, Pasta Ndasha na aligaragazwa huyo Mazinge na Ndasha kuanzia kenya hadi Tanzania
Ayubu alijaribiwa na shetani Tena kwa idhini ya MUNGU,,,na MUNGU na MUNGU Akasema usiitoe tuu roho yake,,,Sasa Muhammad anarogwa na mchawi ata sio shetani mwenyewe hii ni haibu,,,mtume anarogwa😂😂🤣🤣🤣