Тёмный
No video :(

Mwamposa NI MTUME wa kwanza kuvaa Bukta, Watu wa Kinondoni Fanyeni sana Toba 

MuniraOnline Tv
Подписаться 4,8 тыс.
Просмотров 185 тыс.
50% 1

Prof Mazinge Amuwashia Moto mwamposa "Mtume wa Kwanza Kuvaa Bukta"

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 548   
@khairiyyahsultan-vm1fk
@khairiyyahsultan-vm1fk 5 месяцев назад
Ustadh mazinge Allah akujaalie kila la kher unafanya kazi nzur sana . Achana na watu wanaokukashifu kiukweli unafanya kazi nzur sanaa Allah akulipe kher❤
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Huyo Mzee moto jehanam unamhusu,
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Vikundi vya ukaidi,ndio picha halisi anayoongea huyu mzee,Mbona sisi wakristo tuna aman sana,hatuna chuki na wakristo,nenda Zanzibar asilimia 90 ya wanawake Wana majini,shuleni na vyuo ,wanapandisha majini kelele shule nzima
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
MDA WOTE WAKRISTO MAKAFIRI WAKRISTO HAWANA HAKI YA KUISHI ,MWISLAM NDIO ANA HAKI YA KUISHI,MMEKUA MUNGU KILA MTU AHESHIMU DINI YAKE,
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 5 месяцев назад
@@savinosalamba9174 Sawa inawezekana wakawa na majini ni kweli hayo maneno ni ya Mtume wetu Mohammad S.A.W alisema majini yanawashambulia wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaume hata upande wenu kwa Mwamposa wanawake wenye mapepo ni wengi sana na watoto ukilingalisha na wanaume,mapepo wa chafu kwa lugha nyingine ni majini waasi yaani masheitani,sasa point yako imerenga nini?
@Daidizz01chinga
@Daidizz01chinga Месяц назад
Muslim respect ❤❤❤❤
@alimasiallyalimasially5202
@alimasiallyalimasially5202 2 месяца назад
Nakkubali sana mazinge mungu akujalie mwisho mwema
@mwljoshuajgahuha808
@mwljoshuajgahuha808 7 месяцев назад
Naaam!!!! wewe ni mtumishi wa Mungu mzurii lakini okoka leo ili ujiepushe na moto wa milele maana umejaa CHUKI, FITINA NA DHARAU lakini sisi tunakupenda Sanaa wakristo wote 💕
@MathiasKunnanga
@MathiasKunnanga 6 месяцев назад
Lakini mimi nawaambia waombeeni wanaowaudhi
@user-pt6bh1jj1k
@user-pt6bh1jj1k 3 месяца назад
Ww tatizo ujui maana ya kuokoka nenda ukatafute kamusi utafute ni nini maana ya kuokoka maana ya kuoka ni mtu ambaye yupo kwenye moto unamunguza ndio anatoa neno hilo kwamba nitoeni nimeokoka na moto yaan nitoeni naumia lkn wakriato wanaona kuoka ndio kupona akili zenu bure sana
@alimasiallyalimasially5202
@alimasiallyalimasially5202 2 месяца назад
Acha usenge ww ukirsto ni dini?
@mussasebatiano4787
@mussasebatiano4787 2 месяца назад
Umerogwa au umetumwa sikuhizi mnapenda uongo mkiambiwa ukweri munaanza visa yani rugha ambao imekutoka sio nzuri
@Daidizz01chinga
@Daidizz01chinga Месяц назад
😂😂😂😂😂 mazinge iyo baba
@adammjomba5814
@adammjomba5814 7 месяцев назад
Shekhe mazinge sikujui hunijui lakini kuhusu mtume mwamposa ule sio mkono wa mwanadamu ni mkono wa Mungu ♥ kibaya zaidi wanao Amini na kuponywa na kufunguliwa na wanawake wanopokea ujauzito wengi wao ni waslam zaidi ya 75% wanao swali kwa mwamposa ni waslam ,kwahiyo Shekhe mazinge acha Mungu aitwe Mungu.,wachawi waganga nk nk wanarudisha na kuacha uchawi .Acha kubeza Shekhe
@frankisaya5498
@frankisaya5498 6 месяцев назад
Umepotea sana ndgu
@NASRAKHALFAN
@NASRAKHALFAN 7 месяцев назад
inashangaza sana kukashifu dini zawenzao ivinabi anajua atauona ufalume wamungu dinizote kwasasa zinatuacha njiapanda walimwengu tusimame wenyewe kukuomba mungu hizi niskuzamwisho tuwemakini sana
@HusseinMwazani-ct9qk
@HusseinMwazani-ct9qk 4 месяца назад
Wonderfully, mazinge.mungu akuzidishie maisha na akuĺipe mema dunia na akhera .
@daudifesto5592
@daudifesto5592 8 месяцев назад
Hubiri habari za Mungu... Watu waache maovu watende mema....
@olivyechambikwa425
@olivyechambikwa425 4 месяца назад
Nyinyi mnamtukanashehe nyinyi washenzi acheni ujinga shehe mazinge hongerasana wambie makafiri wazidi kuumwa presha haowajinga
@husseinfaringo3068
@husseinfaringo3068 2 месяца назад
Allah akufanyie wepesi Kwa kila Jambo lako ostadh mazinge
@mottoTv1
@mottoTv1 8 месяцев назад
Mtume wenu Muhammad kawapoteza sana mungu awasaidie muijue kweli ya kristo
@omarmakame3027
@omarmakame3027 8 месяцев назад
Mathayo 19:23-24 BHN Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu Hii ni bibilia ndio imesema Ivo sisi tunanukuu tu
@omarmakame3027
@omarmakame3027 8 месяцев назад
Angalia mathayo iyo kwanza Kisha ndio useme mtume muhammad
@omarmakame3027
@omarmakame3027 8 месяцев назад
.
@omarmakame3027
@omarmakame3027 8 месяцев назад
Mathayo 19:23-24 BHN Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 8 месяцев назад
barikiwa sana mpendwa umenena vyema kbs Mungu azidi kukulinda,wenzetu awa wamepotezwa kitambo kazi wamebakiza ni kelele mtupu!
@leonarmkaka
@leonarmkaka 5 месяцев назад
Tuache kuingiria kazi ya Mungu wakuhukumu ni mungu pekeyake tufanye yakwetu mwenyezimungu atujalie mwisho mwema hakuna binadamu aliyekamilika
@BensonMpomo
@BensonMpomo 5 месяцев назад
mazinge we Wachane achana na wanao kukashifuu na tunakuombea Kwa allha akupe maisha marefu ili uendelee kutoka dawa
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 5 месяцев назад
Kiukweli watu wengi sana wanahubiri kwa masilah yao wenyewe ila shehe nataman sana umihubiri Yesu kristo ndio Mfalme wa wafalme hakuna na wala hata kuwepo wakimzidi yeye kwa mamlaka aliye pewa na Mungu karibu sana umpokee Yesu akae ndani yako
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
We nd hujui ata dunia inaendaj hvi nabii issa anaweza akawa mfalume wa ulimwengu wte zaid Allah?
@fibolychifunda6639
@fibolychifunda6639 8 месяцев назад
Ninachosikitika mm wanauzungumzia ukristo wkt hawaujui na inamaana hawaijui historia ya mtume Paulo,kabla ya utume kazi yke ilikuw kuua watumish wa Mungu Mwamposa alikuw anavaa bukta ni ishu ndogo sana
@mkojanielectricalsolution1195
@mkojanielectricalsolution1195 8 месяцев назад
Ww ni dini yako lkn huijuii
@MOUDXCLASS
@MOUDXCLASS 8 месяцев назад
Hahaha haya uwaneni
@ommyfuture.3853
@ommyfuture.3853 8 месяцев назад
Wewe nawe huna unalojua kwani alichokizungumza ni cha uwongo
@user-el2fd7mi8d
@user-el2fd7mi8d 8 месяцев назад
😊
@user-zz7ep5of2m
@user-zz7ep5of2m 8 месяцев назад
Ata mungu kasema tukumbushane mashekh zetu wanafanya vizur mungu awalipe ujila mwema
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 8 месяцев назад
Hakuna cha Mtume wala nabii kwa sasa hivi ni vyeo mwenyezi Mungu aliwapa waja wake kwa kazi maalumu. Acheni kujiita Nabi wala Mtume labda kama mtume wa kutumwa na shetani
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Endeleeni ugaidi duniani na kuua watu,kulipua maeneo ya mikusanyiko ya watu,na kudharau wakristo,MUNGU WENU HUYO ATAWAPELEKA MOTONI MOJA KWA MOJA
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Jihad jihad,motoni Moja kwa moja
@user-vy8jt2pd2e
@user-vy8jt2pd2e 6 месяцев назад
Mazinge mungu anakuona achahivo
@AidaMosha-nl6ix
@AidaMosha-nl6ix 7 месяцев назад
Waambie watu habari za ufalmme Mungu watakuelewa habari za Mwamposa ziache
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Ahaaaaa au sio kumbe inawagusa nyie mnaojiita mitume hv ata we ndgu yangu unakuwa tunakuona unahtaj uje uwe na mtume kama huyu mnyakyusa mwenzako au unahtaj uje uwasameh wazazi wako dhambi zao
@user-io8hn1jb4d
@user-io8hn1jb4d 5 месяцев назад
Mungu hamjaribu hasiye wake
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 8 месяцев назад
FANYA DHARAU,KEJELI,ONA WIVU MAENDELEO YA WATU,MUNGU AKUBARIKI SANA
@GerardMarco
@GerardMarco 8 месяцев назад
Mazinge mpokee yesu acha ukafili
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 8 месяцев назад
Uyo ndo profesa.hakika usilam ni dini ya haki.siyo makafiri
@user-yn4di1lj7f
@user-yn4di1lj7f 6 месяцев назад
Wee ujuw ila kunasiku utajuwa atakama ushakufa
@michaelmbeti5040
@michaelmbeti5040 6 месяцев назад
Shehe masikini sana wewe rohombaya unalana unachuki na wakristo Anza nawewe na huna roho mungu
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 6 месяцев назад
Hawachukii ila nyinyi ndio mnamchukia yeye kutokan na ukwel anaowaambia
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Si kanakwmba mazinge anachukia apan wakristo apan bali anaeapenda nd maan anawapigania ili ata nyie muingie kweny dini ya haki na dini ya kweli
@ombenkallenge1924
@ombenkallenge1924 8 месяцев назад
Waislam MTACHELEWA SANAAAA TENA SIO KIDOGO kwanza kaa ukijua pepo yenu na yetu ni tofauti kabisa na mungu wenu na wetu ni tofauti pia .polen sana
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад
Unaweza kuona mtu mzima kama huyu mzee mzima kama huyu mrefu mnene lkn anaongea mambo ya kipumbavu ya umbea kutukana imani za watu wengine za kikiristo kila siku kila siku asimamapo misikitini ndo ujue kuna wazee wa hovyo sana tanzania. Mazinge ni mzee wa hovyo sana na anawivu wa kimaendeleo kuona viongozi wa dini ya kikiristo tena wenye umli mdogo wamempita maendeleo ya kidunia na ahela. maana yeye na waislamu wote wanajua dini yao ya uislamu ni watu wa motoni na waKiristo ni watu kwenda kwenye uzima wa milele. Kwaiyo ana tapatapa mzee wawatu anajuta kwanini alizaliwa kwenye uislamu dini ya shetwani ndomana kila siku anawaonea wivu wakiristo anajua wakiristo ndio watakao kwenda kulithi uzima wa milele
@mahdisaid9764
@mahdisaid9764 8 месяцев назад
Astakafilullah hujielew ww mungu ni mmoja Allah na unadiliki kuiita dini yetu dini ya shetan hakika umepotoka pia nyinyi ndo hamjielew mnapelekwa pelekwa tuu
@HamzaMiraji-oe9cv
@HamzaMiraji-oe9cv 8 месяцев назад
😊
@NasraMudy-ik1vj
@NasraMudy-ik1vj 8 месяцев назад
Waislam hawajielew kabsaa
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад
@@NasraMudy-ik1vj kweli dada hawa waislamu wana laana ya Mungu. kitendo cha kumkataa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo na kumfuata mhammad wamesha laaniwa na Mungu moja kwa moja na moto wa jehannam una wangoja
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 8 месяцев назад
LAKINI brother,unachuki sana na wakristo, MUNGU anakuona,
@abuusufian6506
@abuusufian6506 8 месяцев назад
😂
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад
​@@abuusufian6506Mungu amulaani
@ibniabdalla4817
@ibniabdalla4817 6 месяцев назад
Sio chuki ila anasema kweli
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 месяцев назад
@@ibniabdalla4817 kumbe sikuiz kukashifu dini za watu wengine ni kusema ukweli?
@Ramadhan-x9l
@Ramadhan-x9l 6 месяцев назад
Waikati mwngine ana sema yakweli hapa tujifunze🎉🎉
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 7 месяцев назад
Bwana akurehemu sheikh wetu
@nehemiamwasile8696
@nehemiamwasile8696 6 месяцев назад
Acha kuhukumu watu fanya kazi uliyo tumwa na mungu hiyo Kaz ya kuhukumu siyo Kazi Yako ni KAZI ya mungu ,kemea watu waache maovu kama huwa uwezo waachie wenye uwezo
@imachembele7043
@imachembele7043 3 месяца назад
Comedian huyu daa ana chekeshaa sanaaa ndaro 😂😂😂😂
@joshuayounam
@joshuayounam 8 месяцев назад
Kumsema mtuuu alafu ye akujibu kama unajibiza. Najiwe vile inamaana kakupuuza
@gregoryngwanije92
@gregoryngwanije92 8 месяцев назад
kwa mwamposa watu wanapokea majibu yao toka kwa Mungu. Sasa na wewe fanya zaidi yake uone kama hao unao wataja wataenda huko. Halafu pale hakuna dini una amini Mungu anakusaidia,acha porojo kila kitu kipo wazi anaonyesha kwenye TV. Acha asaidie watu kwa neema aliyopewa kama Mungu wako ameshindwa kuwasaidia watu.
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 8 месяцев назад
Hizo kejeri zako subiri moto mungu atakavyokuchooma
@faridfrefre35
@faridfrefre35 8 месяцев назад
Sasa nawewe kweli kwaakili zako kuna mtume mnyakyusa
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 8 месяцев назад
@@faridfrefre35 simkafatilie vyadini yenu ya kislamu? Kila siku nikuwafatilia wakristo.mlishaona mkirsto anamfatilia muislamu? Alafu mashehe wengi ndio waganga wakienyeji Ila hakuna mkiristo anausemea uganga wa masheshe kwakua kila mtu anadini yake nakila mwanadamu atakufa nakuhukumiwa. Namungu kwamungu hatuendi nadini tunaenda. Na roho tu.
@AnthonyVitalis-iy5su
@AnthonyVitalis-iy5su 6 месяцев назад
Mimi ni mkirsto Hila kwa Sasa hivi akuna nabii ni wapigaji tu
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Duh unaongea kama vle karb na Allah mnaambiwa ukwel hamtaki kuelewa hakuna mtume mtamzani tena mnyakyusa
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 5 месяцев назад
Bado wengi hamjui maana ya nabii nabii ni mtu yeyote anaye peleka ujumbe wa Mungu kokote wa kuhubiri habari ya toba na juu yakurud kwa Mara ya pili Bwana Yesu kristo
@user-hz1cz6lm9b
@user-hz1cz6lm9b 6 месяцев назад
Mazinge na ndio maama Wakrto hawakupendi kwakuwaunasema kweli kwakuwana wewe ulitokea kwenye ukristo unayajuwa mengi Yao nanakuombea Duwa Waslaam wote Duniani uishii Maisha malefu sana
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Ugaidi ,majini,na usodoma,ndio
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Wakristo hatuna dharau na uislam,tunawapenda sana,ila ninyi waislamu njia nyeupe motoni
@KHALIDAKIDA-vh4ru
@KHALIDAKIDA-vh4ru 7 месяцев назад
Mwanadamu mwenzio anakwambia yesu mungu ,hivi akili huna maarifa pia ,unakubali ,mungu ulimuona wapi ,yesu kaonekana yesu ni mtume wa mungu c mungu
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 месяцев назад
Amna kazi ninyi. Bora mngetafuta kazi ya kufanya..
@fikirimachela4778
@fikirimachela4778 6 месяцев назад
Allah akulinde inshaallah
@user-rs8qg4ch8l
@user-rs8qg4ch8l 5 месяцев назад
Mungu akuongoze❤❤❤❤
@emanuelmaya4667
@emanuelmaya4667 8 месяцев назад
HUYU SHEKHE HANA AKILI HAJUI ANACHOKIONGEA AMEKOSA MANENO HUYOO, MTU AKIKOSA CHA KUSEMA NI KAWAIDA KUSEMA WATU.
@HamzaMiraji-oe9cv
@HamzaMiraji-oe9cv 8 месяцев назад
Wee unazoo?
@user-iq9dt6lc7l
@user-iq9dt6lc7l 7 месяцев назад
Ww akilihuna atahaufikirii nn anachomaanisha
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Kweli Hana akili hotuba zake nyingi ,kudharau wakristo,anatuita makafiri
@user-oy4ve4xp4u
@user-oy4ve4xp4u 5 месяцев назад
Mungu ni mmoja acha zarau,, kuzarau imani za wengine
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
We huna iman yeyot we ungekuwa na iman usingekubali kudanganywa na mwamposa hv hjiulzi toka umezaliwa mpak unafika umri huo ulishawah kuskia au kumuona mtume katika taifa lako na tz? Mitume wte waliishi uarabuni huyu mtume huyu mtume anayeish tz tena mnyakyusa katokea wapi? Ukinijibu hilo swali kw ufasah nitaamin unaiman na huko ulipo walokpoteza
@iwenikigodi5419
@iwenikigodi5419 7 месяцев назад
Tena we unaejifanya mtu mwema sana ndio mchawi mkubwa mbwa wewe fanya maisha yako wew wivu utakuua
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 7 месяцев назад
Mungu Akusameh makosa Yko,Mnyama Kumfananshia Mwanadam,Allah atamlnda Shekhe Wet2 Maznge,Allahu Akbar,Mnaambuwa Kwel Mnaumia
@DigallazKing
@DigallazKing 24 дня назад
Mbwa ni mamako aliekuzaa usitutukanie sheikh wetu shenzzz tit
@DigallazKing
@DigallazKing 24 дня назад
Mwenzenu anawafanya biashara tu hana unabii wowote munauziwa maji wewe kafiri unajua maana ya nabii wewe au unaongea tu kama nabii hayo maji na mafuta si angewapa bure mwenzenu munamtajirisha tu hana tofauti yoyote na babu wa loliondo ndio wale wale tu
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge 8 месяцев назад
Una mawaidha mazuri ila sio vizuri kuponda dini za watu
@AlbertMussa-lz2wf
@AlbertMussa-lz2wf 8 месяцев назад
Wao hawajawahi kusifia
@user-ir4jc5tb2l
@user-ir4jc5tb2l 5 месяцев назад
Wewe unaesema ostadhi kaongea uwongo sema wewe hauna unaro lijua muombe mungu sana akupe ufahamu
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 5 месяцев назад
Ostadhi wenu,umaskini,roho mbaya,life ngumu,watoto 15,lazima awe na roho mbaya,
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 7 месяцев назад
Nampenda mtumishi mwamposa na nitaenderea kumpenda kwa muumini wake
@hancekarma1623
@hancekarma1623 5 месяцев назад
badilika ndugu yangu tuliza akili Yako Ili umjue m/mungu
@sunwizy608
@sunwizy608 4 месяца назад
tuliza akili utamjua mungu wa kweli.mungu ni mmoja tu jamaniiiiiiiiiiiiiii
@imanmwashitete5243
@imanmwashitete5243 6 месяцев назад
Kuhusu mwamposa bado hamjasema mtasena sana alfu acheni uongo udogo hauuzwi hata siku moja
@niahpike8593
@niahpike8593 5 месяцев назад
Sisi sote hatujui lolote Mungu atusamehe tu maana hakuna tujualo sisi ni wadhambi tu sisi sote hakuna mtakatifu ata Yesu alikataa kuitwa Mwema tulikumbuke Hilo Mimi ni Nabii wenu Nabii Coco
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 5 месяцев назад
Mimi ni mkristo Ila huyu comedian nampenda sana
@bibielroybibielroy8710
@bibielroybibielroy8710 8 месяцев назад
Toa mawaidha ya kuacha mabaya na kufuata mema achana na maisha ya watu na kutaja majina ya watu na cashfa
@richimuniko3578
@richimuniko3578 5 месяцев назад
Mazige acha unsfiki Mtume Mwamposa hauzi udogo Wewe ni poropagada tu.
@nasramohamed6973
@nasramohamed6973 5 месяцев назад
Sema professor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AmusedForestBridge-zo6ox
@AmusedForestBridge-zo6ox 5 месяцев назад
usimseme mtumishi mwezio na kuwashawishi watu tofauti
@issafaquedalaura8279
@issafaquedalaura8279 8 месяцев назад
Ustaze Mazinge Mungu Akubariki Masha Allah 🤗🤗
@mikerutto8164
@mikerutto8164 8 месяцев назад
You're just a comedian. Wewe ni muigizaji tu
@athumaniswedi
@athumaniswedi 5 месяцев назад
Why
@denisngowi2955
@denisngowi2955 8 месяцев назад
Yani anvyo ongea utazani anamjua mwamposa kweli acha sisi tunao mjua tukae kmy
@ainessleoni
@ainessleoni 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@barakasimonmarandu
@barakasimonmarandu 2 месяца назад
she mungu akusamehe mana huwo ni usengenyejaji shee na chuki
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 8 месяцев назад
Mtume wa mungu amechaguliwa na mungu kwa sasa hakuna mtume labda katumwa shetani
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 месяцев назад
Hata mhammad hakuwa mtume wa Mungu alijitangaza tu kuwa mtume kama alivyo jitangaza mwamposa
@PauloLwena-ec2vi
@PauloLwena-ec2vi 5 месяцев назад
Yani kweriii safiii sana wachungaji wamchongo
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 8 месяцев назад
Hebu kila mtu azungumzie kile chake tuachane na mambo ya wengine
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s 7 месяцев назад
Na mashoga tuwanyamazie tuwaache
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 6 месяцев назад
Wivu wako juu ya ukristo ni mkubwa sana,na hapo ndiyo unajua kabisa ukristo ndiyo njia ya kweli na uzima
@GodfreyKunambi
@GodfreyKunambi 5 месяцев назад
Tatz Lako umezaliwa kuwasem wakristo na huwezi kubadili chcht kw wakrsto
@josephmgeni3997
@josephmgeni3997 8 месяцев назад
Ni vema mkajikita kufundisha juu ya Mungu na rehema zake,lkn kuzungumzia watu eti walivaa kaptura sasa inahusu nini juu ya imani yenu kwa mwenyezi Mungu? Haya tunakubali alivaa kaptura ni ilikuwa lini? Na ni nani ambaye hakuvaa kaptura huko siku za nyuma? Jingine,eti aliuza udongo akapata milioni 900 wewe ndiye ulikuwa mweka hazina wake hata ukajua mapato?
@amiryhassan202
@amiryhassan202 6 месяцев назад
wallah kuna watu kweli ni inalilah wainaa ileyh rajiuna mtu unamwambia shekh Mazinge aende isio kuwa pepo kwanza unajua shekh kabla hajasem Mungu nisameh anasemehewa madhambi arobaini wewe na mimi jeee
@dnxvi
@dnxvi 8 месяцев назад
Hubiri dini yako ya shetani usichafue dini za watu Mzee... Wewe !wenyewe huna uhakika na unachokiabudu
@MariamShagata
@MariamShagata 4 месяца назад
Hakika 🙏🏾 allah atupe mwisho mwema 🤲
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 8 месяцев назад
DAH imewatach sana iyo
@davidmatuhi7094
@davidmatuhi7094 8 месяцев назад
Kwa upande wangu shehe njaa ndo tatizo kwako Pia huna uwezo wa kuongoza jamii ukipewa hatamu yoyote watu watakufa kama kuku ,,(hujui nn useme nn usiseme na wapi utumie neno gan binafs nakushaur unaharibu uso wa Allah. huna sifa labda asiyejielewa ndo atakusikiliza broo.
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Nyie si nd walewale molokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akandee
@shamtealmas3290
@shamtealmas3290 8 месяцев назад
Mnaemsema mazinge ebu niambieni ukweli huu Yesu alikuwa dini gani Na kanisa alilokuwa anasali linaitwaje na alikuwa dhehebu gani?tunaona madhehebu mengi mnoo na wote mnasali tofauti tofauti,ila ibada za waislamu duniani kote ni moja
@freduallughano2301
@freduallughano2301 6 месяцев назад
Swali la kipuuzi kabisa
@wanguwangu34
@wanguwangu34 7 месяцев назад
Kwani kuna watu kila siku wanasema dini za watu wengine wao hawana dini au sio nzuri
@user-kd4qr9wm2k
@user-kd4qr9wm2k 7 месяцев назад
We mzee Mungu anakuona.fitina 2
@LilianNyakato-hp6wx
@LilianNyakato-hp6wx 8 месяцев назад
Kwani Mungu dini gan,,acheni chuki hubirini habari njema tumjue Mungu acheni chuki😢😢😢😢
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 8 месяцев назад
Ukifa ndipo utajua hiyo ni chuki au sio chuki,hapo maana yake tunakumbushwa kuhusu kifo kwamba hakiangalii mtu ana cheo gani au unapesa kiasi gani au Mtu ni masikini kiwango gani?Maana yake Mwisho wa Mitume alikuwa Mtume Mohammad karne ya 7 leo hii ukisikia Mtu anajihita Mtume ujue tapeli huyo!
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 7 месяцев назад
Matendo mema hawana Wana kelele nyingi.
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 7 месяцев назад
@@AnethEdward-nf6sc Wakina nani hawana matendo mema?
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 7 месяцев назад
Yeyote yule hatuchagui dini, watu wanahubiri dini zao lkn ktk jamii hatukanyani ,hatukatazi matendo mabaya yameota mizizi dini zote zimeoza . Tunamsubiri alietuumba ndie atatuambia nani ni mwema .
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 7 месяцев назад
@@AnethEdward-nf6sc Dini hazijaoza,useme watu ndiyo tatizo hilo ni namba moja,namba mbili Viongozi wa dini takribani zote mara nyingi wanakemea machafu ila wanaohubiriwa wameweka pamba masikioni hawasikii,tatu Mungu kaumba mwanadamu na akili timamu inambidi akae chini ajitafakari kwa nini kaumbwa na kuletwa duniani?Je mwanaume kaletwa duniani aje kuwa shoga?Je Mwanamke ameletwa duniani ili akawe jike dume?Je watu tumeletwa duniani ili tutoane rohoo bila haki?kulewa mapombe ovyo?kufanyiana chuki chuki?Kufanya umalaya?kufanyiana dhuruma?kulogana,husda,fitna ndugu wanafanyina rohoo mbaya na kadharika ukija kuangalia utangundua sisi wanadamu hatuna mazingatio kabisa,mtu akiambiwa mambo ya dini anakwambia hayo ni ya zamani dharau dharau tu. *Dini sio mali ya Mchungaji,Padiri wala Sheikh sio kwamba unamfuata huyo kiongozi matakwa yake;hapana ,unatakiwa uangalie muongozo wa dini yako unasemaje kama Wewe ni Mkristo angalia Bibilia yako inakuelekeza nini?Kwa mfano Bibilia inasema Yesu ni Mtu,inasema Yesu alizaliwa kama mimi na wewe,inasema Yesu alitahiliwa,inasema Yesu alipotea Mama yake na baba yake mzee Yusuph wakamtafuta baada ya mda akaonekana,Bibilia Yesu alisinzia usingizi kwenye jahazi kidogo lizame,Yesu alikula mikate na wanafunzi wake,Yesu alichoka lakini Watu wengi kwa kukosa maarifa ya akili Mchungaji anakuja anakoleza maneno anawaambia Yesu ni Mungu mara mtoto wa Mungu nanyie mnakubari kweli kwa sifa hizo za Yesu kweli Mungu anaweza kuwa na sifa za kibinadamu? *Mungu anaweza kutahiliwa na wanadamu aliyowaumba Mwenyewe? *Mungu anaweza kula mikate? *Mungu anaweza kuwa na njaa kama mwanadamu? *Yesu anaweza kuzaa mtoto?Je! Kama Mungu ana mtoto,mke wa Mungu ni nani? *Kwa mjibu wa maneno yenu mnasema Yesu alikufa,Je!Mungu anaweza kufa kama wanadamu wanavyokufa? ###Kwahiyo mizahaa hii ndiyo imepelekea watu wengi kuona dini ni kitu cha kawaida kawaida hivi,mtu anaweza kulala usingizi kesho akijihita Mtume,sijui Nabii wakati enzi za mitume zilikomea kwa Mtume Mohammad,kwahiyo toka karne ya 7 utume ulipokomea kuanzia hapo Mitume waliofuata ni Mitume weka mbali na watoto! ###Nimetoa mifano hiyo kupitia imani ya Ukristo kwa sababu Watu au Viongozi wake wanafanya mambo kwa matakwa yao ni tauti sana na Uislamu,hawezi akasimama Muislamu awe Sheikh au Imamu akajihita Mtume au Nabii Waislamu tukamfuata hii ni point 1moja,Namba 2 Hakuna Muislamu Yeyote anaweza kujitungia Quran ya kwake na Waislamu tukakubari,hatuwezi kukubari ujinga huo,Namba 3 Katika Uislamu Sheikh akipindisha hata ayah Moja Waislamu lazima tumvae vikali au atakakosolewa haraka sana. *Kwahiyo kama kuna Muislamu anafanya matendo maovu yatabaki ni ya kwake na Uislamu pamoja na Quruani vitabaki vimesimamia haki na Ukweli wa Mwenyezi Mungu,kwahiyo mtu anaufuata Uislamu na Quran kwa sababu hivi vitu viwili ni mali ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Waislamu wote duniani na Quran ni moja duniani kote na maneno yake yote ni idadi ile ile kote duniani! *Kama kuna Muislamu anafanya maovu hayo maovu ni mali yake kwa sababu Quruani nikitabu kimebeba sheria kali za Mwenyezi Mungu na miongozo ya maisha ya wanadamu wote kwa mfano Quruan ni kitabu peke cha Mwenyezi Mungu kilichoelekeza kwamba mtoto akizaliwa anyonye kwa miaka 2 maziwa ya mama yake,hii aya huwezi kuipata kwenye Bibilia yeyote na Wasiokuwa Waislamu wanaifuata Quruan bila kujua hata sayansi ya Wazungu imekubariana na Quran.
@user-ij7yh6gr6h
@user-ij7yh6gr6h 6 месяцев назад
Ukiona unamwongelea mwezio sana jua kuna kitu kakuzid
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Ni kwel mwamposa kamzid mazinge uongo tyu hicho nd alichomzid kw7b anawadanya san lakn nyie hamtaki kuambiwa ukwel
@silassaitoti7689
@silassaitoti7689 4 месяца назад
Pesa zina nguvu sana
@mikerutto8164
@mikerutto8164 8 месяцев назад
Acha kupoteza watu ,waambie wamfuate yesu kwa sababu yeye ndiye njia ya ukweli na uzima. Sisi wakristo hatuabudu udongo. Tunamwabudu yesu. Wauza udogo hao sii wakristo bali ni mitume wa uongo
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 5 месяцев назад
Unauniri au unagobana. Ubiri a watu neno la mungu acha uduanzi
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 4 месяца назад
Wivu umemzidi mazinge na ndio maana aachi kumzungumzia mwamposa na mwenzie anasonga mbali yeye asubiri contena la tende
@JoshuaDavid-gl7hv
@JoshuaDavid-gl7hv 5 месяцев назад
We shehe soma ISAYA 47:10-15 then uokoke, uijue kweli na umpokee BWANA YESU uwe huru
@skbenzsolution8682
@skbenzsolution8682 6 месяцев назад
Wakristo na waislam tufateni vitabu tulivyo letewa na mungu nasio wayatakayo watu kwa mafanikio yao ya kidunia
@Oscar-qs7tn
@Oscar-qs7tn 6 месяцев назад
Waislamu wanahitaji uponyaji kwahio hawatoacha kwenda Kwa mwamposa
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 5 месяцев назад
😂😂😂
@keimasare3748
@keimasare3748 8 месяцев назад
Hakuna aliyekuja na dini,,sote tumezaliwa na kuzikuta dini zipo,,,chamsingi ni kutenda mema yaliyoandikwa na kuacha mabaya na yote yapo katika vitabu vya dini zote na ni yaleyale yaloamrishwa,,na ni yaleyale yalokatazwa,, ndo maana tunaishi kwa amani,,1.hakuna dini inaruhisu kuiba,2.hakuna dini inaruhusu kuzini,,3.hakuna dini inaruhusu kuua,,3.hakuna dini inaruhusu dhuluma na mengine,,,TUISHI HUMO.
@pendomarco8928
@pendomarco8928 8 месяцев назад
mnapenda kuwahukum binadam wenzenu mtadhani nyie ni wakamilifu sana
@TALLUBOY
@TALLUBOY 7 месяцев назад
Kweri kabisa wakristo Wanamtania sana #nabii issa Hila watapata zambi sana
@user-mg2fb1to9j
@user-mg2fb1to9j 4 месяца назад
Usimseme mtumishi yeyote kwamaana vita vyao sio vya mwili ni vya roho
@prijoseph4665
@prijoseph4665 6 месяцев назад
Huyu mazinge mjinga sana, Sasa nani atakuja kuswali wakati mnahubiri majungu tu
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Hajahubir ujinga bali anawapigania ilii muingie kweny dini ya Allah na ndio dini pekee apa dunia mpak kesho akhera
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Zindukeni achananeni na kupinga ukwel unaoonekan
@abilahishabani2753
@abilahishabani2753 5 месяцев назад
Zindukeni achananeni na kupinga ukwel unaoonekan
@donaldelias2267
@donaldelias2267 8 месяцев назад
Uyu mzee Hua anawivu wa kijingajingaaaa
@NasraMudy-ik1vj
@NasraMudy-ik1vj 8 месяцев назад
Kwer sanaaaa
@donaldelias2267
@donaldelias2267 8 месяцев назад
@@NasraMudy-ik1vj yaan mpaka anaacha kutoa mawaidha anabaki kuwasema watu.na Mungu hapendi wasengenyaji
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 8 месяцев назад
Lkn ndugu Mazinge, wanasemaga hivi, ujanja ni kupata pesa. Sasa mazinge bana we mwache mwamposa wa watu ale na anywe tu!!! Wivu wa nini? Kama atahukumiwa bac we achananaye tu. Watu wanatafuta pesa bana.
@user-jj3yw2jm2g
@user-jj3yw2jm2g 7 месяцев назад
Maandiko wanayema watakuja nabii wa uongo ndo ayooo wakina mwamposa
@user-dj3jv3er6x
@user-dj3jv3er6x Месяц назад
Ndo mtume wetu wa africa uyo mwamposa na Mohamed niwawarabu.
@EsterbernardoVumo-kn2xv
@EsterbernardoVumo-kn2xv 6 месяцев назад
Yote Ni Wivu Kwa Kuwa Wewe Huwezi Kutoa Mapepo Na Huwafumdishi Hao Wenzio Ukweli,Mbona Mashehe Wemgine Ni Waelewa.
@alexkatana5037
@alexkatana5037 4 месяца назад
Ujumbe mzito sana.
@paulsibu5770
@paulsibu5770 8 месяцев назад
Kama Inshu ni Mbinguni Basi tukutane Mbinguni, Ila sisi tulio wa Ufalme tunaijua Njia.
@user-hi7dz9gf8q
@user-hi7dz9gf8q 8 месяцев назад
njiagan nyie waxhirikin
@GILBERTMUSIBA
@GILBERTMUSIBA 5 месяцев назад
Hacha wivu Fanya mambo yako tangaza Imani yako
@richardnganya2311
@richardnganya2311 7 месяцев назад
Hayo ndiyo mawaidha toka msikitini au vijembe
@mwajemwafula5777
@mwajemwafula5777 5 месяцев назад
Yesu ni njia sahihi uwezi kumpangia MUNGU maamuzi yake fundisha hizo Hadith zako
@adammwandambo4143
@adammwandambo4143 8 месяцев назад
We mzee sikia mwache mwamposa afanye yake na wew hubiria watu wako kwa staili yako ili waende mbinguni
@damianlyimo1011
@damianlyimo1011 6 месяцев назад
Hii dini Ina kasoro kubwa badala ya kuamasishana ibada kazi kusema dini za watu mnatumia muda mwingi kusema wachungaji kuusema ukristo hii inafanya ukristo unakuwa maarufu Kwa sababu nyinyi kwenye maongezi yenu 90% unautaja ukristo mjitafakari.
@akramumohamed7738
@akramumohamed7738 22 дня назад
Mashaallah
@Mokiwa
@Mokiwa 5 месяцев назад
Kawaida ya mtu mshamba na dhaifu kuandika sana wenzake ili yeye aonekane bora
@user-dr2cs2zw4p
@user-dr2cs2zw4p 4 месяца назад
We mzee ongea kwa hekima acha izo maneno
@maximillianmayani5119
@maximillianmayani5119 2 месяца назад
Sheikh wangu acha uswahili simama na Allah acha kuzungunzia watu kama ni kufa hata wew utakufa mbona sioni mantiki ya kuzungumzia watu unakosa maarifa sasa
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 месяцев назад
We mzee achakujihesabia haki hata we Ni mkosefu
@mwamwajaonline1881
@mwamwajaonline1881 8 месяцев назад
Huyu mzee njaa inamsumbua wewe fanya mahubiri watu Watende mema ili waione pepo hizi hbr za kumsema mtu hazitakufanya uonekane wewe ni mwema sana Mungu ndiye apimaye imani ya mtu wewe na huyo mnaemsema judge wetu wote ni mmoja
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 7 месяцев назад
Lazma Wasemwe wanokufuru,Mwamposo Anajta Mtume Nkufuru,Sasaa Acpokemea Na Ushoga Ucpokemewa Vzaz vyet2 watajuaje,Achen Kumuelewa vbya Maznge,Chuk Zenu Hzo kw Shekhe Maznge
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp 8 месяцев назад
Anavoongeaga sasa utasema alishawai kuingia mbiguni...afu akaambiwa arudi aje kutangaza palivo. Hamna lolote zaidi ya unafiki tu na Chuki
Далее
WILL IT BURST?
00:31
Просмотров 25 млн
MWAMPOSA TAPELI SHEIKH MAZINGE ALIPUKA
7:18
Просмотров 35 тыс.