Hamna kitu ,inakuaje quruani nikitabu Cha majini, kwamba munayaita mnasalinayo ,je MUNGU anachangamana nashetani ,wakati Vita yetu nikwa shetani Sasa nyinyi mnasema majini yalisikia quruani yakaikubali, kumbe mna yasujudu ndiomaana uwamnainama, pale Hala sio MUNGU mkuu, balini munguwamajini, maana rusifa
Baada ya mitume kuondoka ndipo maandiko ya asili ya taurati,zaburi,na injili yalipo haribiwa na waandishi wa kikristo waliodai wanaongozwa na mungu. Yakuapi maandiko ya asili ya vitabu hivi,maneno yawapotoshaji yamejaa katika bibilia,WAKRISTO tumieni akilizenu vizuri bila hivyo hakuna msaada mtapotea tu.
Ndacha yeye mwenyewe anajua lakini kwasababu yupo kimasilahi atakwenda motoni naakafir wengi kamanyi sisi hatuwezi.kuabudi mungu aliezaliwe na mama sisi tunamfata yesu kaingia msokitini😊
Mungu ni Allah anaumba viumbe vyake nakila kitu vile apendavo ajabu ni ipi yesu kuzaliwa bila baba ata wamtangazie uungu mara umwana hali ni binaadamu kama sisi ila yesu ni nabii wa Mungu nakapewa kitabu injili icho kitabu kapewa nanani kama sio Mungu
Let us be neutral and look at this objectively, without Bias and without any racism. Without pre-conceptions. Completely neutral with our intellectual cup the right side up, because if it was upside down, nothing, no matter how profound, will go into the intellectual cup. Question: Did you ever question yourself that the Gospels by Mark, Luke, Matthew, and John have no last names? In court or in your passport or driving license, do you not have your last name? How valid is a document without any last name to give it validity? Second: Jesus spoke Aramaic. The name for God in Aramaic is Elah. Please look it up. Muslims say Allah. Third: Did the mother of Jesus or Jesus himself claim he is god or the son of god? Fourth: Muslims love Jesus and Mother Mary more than lip-service Christians. Why? Muslims keep a beard and they prostrate in praying to One God Almighty as Jesus did. Muslim women wear a head-cover called hijab like Mother Mary. They do not eat pork like just like Mother Mary or Jesus. Fifth: If Christians claim that you will only be saved if you believe in Jesus, them what about other prophets like Moses and Abraham and Jacob and Job, and other good people before Jesus was born? Will they go to hell? Certainly not. Bible in its original form must have been profound. But it has been tampered with, unfortunately. Be serious, because this is your life in the hereafter. You must study the Last Testament: the Quran. If you find it good, accept it. Otherwise reject it. You owe your whole life and your whole afterlife to yourself. At least that much. Is that too much to overcome with our minds so much affected by a singular, one-stream, bias-laden, pre-conceptions? I respect you and your faith. But please do more research. As an intellectual, you owe yourself that much. Much respect...Ray, from Canada
Biblia siyo Quran usome kama gazeti Biblia bila kuwa na roho mtakatifu huwezi kuielewa sasa waisilam wanasoma Biblia kama wanaimba taarabu lakini ipo siku mtajua maana hataishi milele
SASA Io kulelewa ndio huelewi,maana hauna roho wa kristo ndani yako ..unaielewa na kuitafsiri kimwili..bibilia si kama quran ambayo ni story book...maneno mengine ni ya roho na huez yajua kimwili
Mungu wa WAKRISTO vipi dhambi wafanye wanadamu Kisha amuadhibu mwanawe Tena kupitia hao hao watendadhambi, halafu kwadhabi hiyo waliyoitenda awasamehe madhambi Yao, Yaani dhambi inatumika kufutia madhambi mengine, hapo ndio ujue waandishi wa kikristo ndio walio haribu mafunzo ya vitabu vya asili taurati,zaburi na injili ya kweli, Maandiko ya asili ya vitabu hivi yakuwapi,tumieni akili WAKRISTO wachungaji wanawapoteza kama walivyo potea wao.
Kama yesu ndio mtoto wa mungu inakuaje baba yake amuache afe msalabani kwa makosa ya watu wengine kama ndio hivyo basi baba yake hakumpenda na kama yesu ni mungu mwenyewe imekuaje binaadamu walio umbwa na yeye mungu wakawa na nguvu ya kumua mungu alie umba vyote vilivyo na uhai na visvyo na uhai
@@odhiaodhia9898 yesu ni masiha maana hata wakati akisali yesu humuita babae ambae ndiye mungu muumba mbingu na aridhi.. Yesu mwenyewe a nasema mukitaka kwenda kwa baba mpaka munikubali mm kwanza ndio mutafika kwa baba yenu muumba wa vyote so usiseme yesu ndio mungu hapo itakuwa unakosea
Amani ya mwenyezi Mungu iwe nanyi milele na milele Amina... nimekuwa naomba mtu yeyote ambao wana number za mchungaji NDACHA tafadhali naziitaji sana... Asante sana na mungu awabariki...
Hivi itakuwaje biblia inahubiri kuhusu mwanzo au utangulizi wa dunia na viumbe vyote, katika vitabu vya mwanzo. Majina ya vitabu hivyo yanautaratibu wa ki common sense, yaani yameambatana na mwanzo wa kimaumbile nje na ndani yake. Mwanzo, kutoka, nakadhalika. Lkn ukija kwenye Qur'an majina ni ya wanyama na vitu vilivyoumbwa wakati hatujui, ama majina ya watu kabla hata kujua mtu mwenyewe au mnyama mwenyewe kaumbwa lini au vipi. Cha kushangaza tunaanza kutishiwa moto tu kabla hata hatujajua tuchomwe kwa nini... Vipi tena mtu azaliwe miaka miatano na sabini na ajue mambo yaliyopita miaka elfu moja, nabii kazi yake kwani ni nini?