Тёмный

MAZINGE VS NDACHA | JE YESU NI MWANA WA MUNGU | DEBATE YA TANGA | FULL CLIP 

AKASHA PRODUCTION TV
Подписаться 227 тыс.
Просмотров 49 тыс.
50% 1

whatsapp
telegram
PHONE
+254 721310082

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@harbisulub
@harbisulub 2 года назад
Alhamdulilah brother Akasha you're back to record the debates of ustad mazinge and co. Baraka Allah feekum
@issmuking3987
@issmuking3987 2 года назад
Allah atujaalie tufe haliakua waislamu
@nailahsaeed837
@nailahsaeed837 Год назад
Mashallah Shekh mazinge Allah akupe umri na Afya inshalllah na Mashekh wetu wengine imeeleweka Mashallah.
@ramazecha2877
@ramazecha2877 2 года назад
Mashalah mashkeh wetu mungu awepe nguvu mwafanya kzi nzuri mashalah
@ukweliwauislamu9590
@ukweliwauislamu9590 2 года назад
Masha Allah , Sheikh Mazinge JazakAllahu kheyran . Masheikh wetu Jazakumullahu kheyran .
@fatumajuma3543
@fatumajuma3543 2 года назад
Mashaallah tabarka Allah masheik wetu Allah awaifadhi
@officialsaddmfalme5381
@officialsaddmfalme5381 2 года назад
Mazingeeeee ❤❤❤
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Kiboko WA ndacha 😅wapi Shafii pangoooo
@officialsaddmfalme5381
@officialsaddmfalme5381 2 года назад
@@khdigahk4246 sema ya woteee
@craigalfred-sz1ho
@craigalfred-sz1ho Год назад
Mwenyezi Mungu amemuita Yesu ni mwanaye.
@nailahsaeed837
@nailahsaeed837 Год назад
Ajuwe wapi kiswahili Ndacha Shekh Mazinge mfundishe Takbirr Allahu Akbar.Natoka kenya
@khadijahhemed8910
@khadijahhemed8910 2 года назад
Kwa hiyo Mazinge ni sawa sawa points sake mola amjaalie umri mrefu amin
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 2 года назад
Mazinge Allah akupe umri mrefu.
@harbisulub
@harbisulub 2 года назад
Allahuma amin
@denicewkanary7385
@denicewkanary7385 2 года назад
Hamna kitu ,inakuaje quruani nikitabu Cha majini, kwamba munayaita mnasalinayo ,je MUNGU anachangamana nashetani ,wakati Vita yetu nikwa shetani Sasa nyinyi mnasema majini yalisikia quruani yakaikubali, kumbe mna yasujudu ndiomaana uwamnainama, pale Hala sio MUNGU mkuu, balini munguwamajini, maana rusifa
@harbisulub
@harbisulub 2 года назад
@@denicewkanary7385 hhhh. Umenijakesha Jo. Na unamini mungu ali katwa roho na binadamu??
@joelyjulius6391
@joelyjulius6391 2 года назад
Waislam akuna ku2 dni mnaijuwa sema ninyi mnaruhusiwa at a kudanganyaa dini ganii hyooo
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Mazingeeeeeeeeeeee
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 2 года назад
Baada ya mitume kuondoka ndipo maandiko ya asili ya taurati,zaburi,na injili yalipo haribiwa na waandishi wa kikristo waliodai wanaongozwa na mungu. Yakuapi maandiko ya asili ya vitabu hivi,maneno yawapotoshaji yamejaa katika bibilia,WAKRISTO tumieni akilizenu vizuri bila hivyo hakuna msaada mtapotea tu.
@nooroman2535
@nooroman2535 2 года назад
MashaAllah ipo siku haki ltaonekana
@asinasalim3548
@asinasalim3548 2 года назад
mashAllah 🥰 proud to be amuslim
@craigalfred-sz1ho
@craigalfred-sz1ho Год назад
Yesu ni mkubwa sana,waislam muogopeni sana ni mpendwa mkubwa sana,Mungu mwenyewe amemtamka kipekee sana.
@harunaabu3083
@harunaabu3083 Год назад
Mungu kamtamka vp wakati yeye ni mungu mbona manager sana yani happ hampati dini zaidi ya uwisilam mpaka.kiama
@harunhassan5066
@harunhassan5066 2 года назад
mashallah....but next time Amir yusuf wambugu nae awepo ...dawa ya ndacha
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 2 года назад
Mashaa Allah
@michaelkenga1582
@michaelkenga1582 2 года назад
Mazinge amezeeka mada ni je Yesu ni Mwana wa Mungu. Tito 2:13 changanya na Yohana 14:5,6,7 ..
@craigalfred-sz1ho
@craigalfred-sz1ho Год назад
Huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni Mungu akasema
@probeez2569
@probeez2569 2 года назад
MASHAALLAH
@sayaribrand538
@sayaribrand538 Год назад
Kuna muda wanatangazwa tajiri wa dunia number 1,Ila tajiri wa hoja za makafiri ni mazinge.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 года назад
MashaAllah
@hawaramadani9594
@hawaramadani9594 2 года назад
Wakiristo mpo usingizin amkeni Haiwezekan( Yesu) wengine wamuite Mungu wengine wamuite Mwana wangu Msiba huu duu
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Sasa waamke ule moto ulioumbwa kuni zake watu wakiamka ataingia nani😅😅
@hawaramadani9594
@hawaramadani9594 2 года назад
🤣🤣 duuu sisemi tena nimenyamaza
@makenakendi9014
@makenakendi9014 2 года назад
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers
@ilungasalle
@ilungasalle 2 года назад
Mazinge hakuna kitu. Wachache sana wataelewa hili
@husseinfarhiya469
@husseinfarhiya469 2 года назад
Huyo ndacha kazi yke n koropokwa hakuna analolijua walai
@joharimanyanda3358
@joharimanyanda3358 2 года назад
Ndasa 💪💪💪
@rehimajone7508
@rehimajone7508 2 года назад
Aisee ustadhi anapotosha hali ukweli anaujua
@harunaabu3083
@harunaabu3083 Год назад
Wewe kama unaona unapoto shwa soma maandiko wewe Acha wenge
@charlesmgonja8689
@charlesmgonja8689 2 года назад
Amepanda jukwaani professor wa comedian Mazinge, hana jipya zaidi ya kuleta vichekesho,
@ngalasafari8321
@ngalasafari8321 2 года назад
Nampenda mazinge kwa vituko, anajadili bila chuki, ndacha kiboko ya mazinge
@harunaabu3083
@harunaabu3083 Год назад
Ndacha kapigwa nakitu kizita kaka hapo hampati din tofauti na uwisilam mnafer shwatu😊
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 года назад
Ndacha ubarikiwe sana una maneno ya busara mtu wa Mungu utamjua hata kuongea siyo hawa waisilam na mipasho maneno mengi vitendo zero 😂
@cuttingmasterbarbershopcmb3591
@cuttingmasterbarbershopcmb3591 2 года назад
Tafuteni dini kwanza muache ushabeki
@harunaabu3083
@harunaabu3083 Год назад
Rehema acha ushakbiki soma vitabu
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 Год назад
@@harunaabu3083 wewe umesoma vitabu gani?
@zahranomar8523
@zahranomar8523 2 года назад
P.mazinge...alaf hatumii nguvu...but he is saying point and clear
@hijatumbo8709
@hijatumbo8709 2 года назад
Huyu ndacha anatoamandiko yasimulizii. Matayo kasema alimuona yesu akisema yy mwana wamungu. Matayo ndio kamsingizia yesu. Wapi yesu mwenyewe katamka sio matayo wala yohana.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 года назад
MashAllah
@abdulsadickkasim5157
@abdulsadickkasim5157 Год назад
Muhadhara wa kistaarabu wallah elimu ya kutosha ufundi mkubwa wa shekhe mbogo mpaka raha
@sayaribrand538
@sayaribrand538 Год назад
Akasha daawah 4 rever
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 года назад
Mazinge unachekesha 😂😂😂😂😂
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 года назад
Team ndacha ndacha hawakuwezi daima hahahaha hamna kachumbari wala nn Haha wafundisheni
@harunaabu3083
@harunaabu3083 Год назад
Ndacha yeye mwenyewe anajua lakini kwasababu yupo kimasilahi atakwenda motoni naakafir wengi kamanyi sisi hatuwezi.kuabudi mungu aliezaliwe na mama sisi tunamfata yesu kaingia msokitini😊
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 года назад
Huyu msomaji huyu..Mungu amuongoze Kabla hajafa anaonekana haki anaijua ...
@rahmasalum1317
@rahmasalum1317 2 года назад
Mungu ni Allah anaumba viumbe vyake nakila kitu vile apendavo ajabu ni ipi yesu kuzaliwa bila baba ata wamtangazie uungu mara umwana hali ni binaadamu kama sisi ila yesu ni nabii wa Mungu nakapewa kitabu injili icho kitabu kapewa nanani kama sio Mungu
@rbagha5280
@rbagha5280 2 года назад
Let us be neutral and look at this objectively, without Bias and without any racism. Without pre-conceptions. Completely neutral with our intellectual cup the right side up, because if it was upside down, nothing, no matter how profound, will go into the intellectual cup. Question: Did you ever question yourself that the Gospels by Mark, Luke, Matthew, and John have no last names? In court or in your passport or driving license, do you not have your last name? How valid is a document without any last name to give it validity? Second: Jesus spoke Aramaic. The name for God in Aramaic is Elah. Please look it up. Muslims say Allah. Third: Did the mother of Jesus or Jesus himself claim he is god or the son of god? Fourth: Muslims love Jesus and Mother Mary more than lip-service Christians. Why? Muslims keep a beard and they prostrate in praying to One God Almighty as Jesus did. Muslim women wear a head-cover called hijab like Mother Mary. They do not eat pork like just like Mother Mary or Jesus. Fifth: If Christians claim that you will only be saved if you believe in Jesus, them what about other prophets like Moses and Abraham and Jacob and Job, and other good people before Jesus was born? Will they go to hell? Certainly not. Bible in its original form must have been profound. But it has been tampered with, unfortunately. Be serious, because this is your life in the hereafter. You must study the Last Testament: the Quran. If you find it good, accept it. Otherwise reject it. You owe your whole life and your whole afterlife to yourself. At least that much. Is that too much to overcome with our minds so much affected by a singular, one-stream, bias-laden, pre-conceptions? I respect you and your faith. But please do more research. As an intellectual, you owe yourself that much. Much respect...Ray, from Canada
@aminababu6441
@aminababu6441 2 года назад
Ma shaa Allah Well said my dear Brother in the name of Allah
@omaraziz3889
@omaraziz3889 2 года назад
Hawa mapastor wanazungushaa mauno but points z professor wamezipapataa
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 года назад
Biblia siyo Quran usome kama gazeti Biblia bila kuwa na roho mtakatifu huwezi kuielewa sasa waisilam wanasoma Biblia kama wanaimba taarabu lakini ipo siku mtajua maana hataishi milele
@alsamali6964
@alsamali6964 2 года назад
Kwa hiyo ukiwa na roho mtakatifu maandiko yanabadilika ?
@kimonimbinda422
@kimonimbinda422 2 года назад
SASA Io kulelewa ndio huelewi,maana hauna roho wa kristo ndani yako ..unaielewa na kuitafsiri kimwili..bibilia si kama quran ambayo ni story book...maneno mengine ni ya roho na huez yajua kimwili
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 2 года назад
Mungu wa WAKRISTO vipi dhambi wafanye wanadamu Kisha amuadhibu mwanawe Tena kupitia hao hao watendadhambi, halafu kwadhabi hiyo waliyoitenda awasamehe madhambi Yao, Yaani dhambi inatumika kufutia madhambi mengine, hapo ndio ujue waandishi wa kikristo ndio walio haribu mafunzo ya vitabu vya asili taurati,zaburi na injili ya kweli, Maandiko ya asili ya vitabu hivi yakuwapi,tumieni akili WAKRISTO wachungaji wanawapoteza kama walivyo potea wao.
@josephmwambu6541
@josephmwambu6541 2 года назад
Uyu mazinge amekosa topic ukweli
@maspro6294
@maspro6294 2 года назад
Kama yesu ndio mtoto wa mungu inakuaje baba yake amuache afe msalabani kwa makosa ya watu wengine kama ndio hivyo basi baba yake hakumpenda na kama yesu ni mungu mwenyewe imekuaje binaadamu walio umbwa na yeye mungu wakawa na nguvu ya kumua mungu alie umba vyote vilivyo na uhai na visvyo na uhai
@mwanahamishamad2335
@mwanahamishamad2335 2 года назад
Kama yesu Ni Mungu kwa Nini ajiuwe mwenyewe
@mwanahamishamad2335
@mwanahamishamad2335 2 года назад
Mungu hakuzaa Wala hakuzaliws Hana make Wala ninsia Kama yeye mtoto wa Mungu kwani mungu aliowa
@eunicebukokhe6805
@eunicebukokhe6805 2 года назад
Mazinge you very funny, nice,proud for nothing
@sadikindago4087
@sadikindago4087 2 года назад
Nimefatilia mdahalo waislam ni kama wanakejali wakristo ni kama wana busara tubishane kwa hoja sio ubishi wa maneno
@ismailyussuf1805
@ismailyussuf1805 2 года назад
Ndacha ni BOGAS sana.Kazi yake ni KUROPOKA.Hana ujuzi yoyote.Kiboko yake ni SHK YUSUF,ANWARI NA KURIA,.
@faisalwaafrica7478
@faisalwaafrica7478 2 года назад
Bila kufanya ivyo ndacha chapaaa atapata wapi is all about money na dunia, ila wanajua vinzur kua islam is the only truth religion,
@patrickkisaka4479
@patrickkisaka4479 2 года назад
@@faisalwaafrica7478 bure kabsa
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 года назад
Kama neema haiko pamoja na nyie hamuwezi kujua kama Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu kabisa
@ramadhanborudiba6267
@ramadhanborudiba6267 2 года назад
Bt Kuna time walipatana na sheikh Qasim,alimzima hadi kakataa kushika shahada,so ndacha Hana lolote
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 2 года назад
@@odhiaodhia9898 yesu ni masiha maana hata wakati akisali yesu humuita babae ambae ndiye mungu muumba mbingu na aridhi.. Yesu mwenyewe a nasema mukitaka kwenda kwa baba mpaka munikubali mm kwanza ndio mutafika kwa baba yenu muumba wa vyote so usiseme yesu ndio mungu hapo itakuwa unakosea
@khadijahhemed8910
@khadijahhemed8910 2 года назад
Ivo mola kwa nini amtume malaika aside mwenyewe na Ana uwezo wa kila kitu kwa hiyo mola amemletea Mariam kwa miujiza yake allah
@jbforc2100
@jbforc2100 2 года назад
Amani ya mwenyezi Mungu iwe nanyi milele na milele Amina... nimekuwa naomba mtu yeyote ambao wana number za mchungaji NDACHA tafadhali naziitaji sana... Asante sana na mungu awabariki...
@AKASHA.P
@AKASHA.P 2 года назад
+254705602959 Francis NDACHA
@rahmasalum1317
@rahmasalum1317 2 года назад
Apa kashakua mwana wa Mungu tena ule uungu vip au tusubiri mjadala mwengine aitwe Mungu yesu wakristo bhana 😂😂🙄🙄
@kiragufrankjoram4060
@kiragufrankjoram4060 2 года назад
THE GUY WHO READING FOR NDASHA IS ON FIRE
@alexandermumo4535
@alexandermumo4535 2 года назад
Hivi itakuwaje biblia inahubiri kuhusu mwanzo au utangulizi wa dunia na viumbe vyote, katika vitabu vya mwanzo. Majina ya vitabu hivyo yanautaratibu wa ki common sense, yaani yameambatana na mwanzo wa kimaumbile nje na ndani yake. Mwanzo, kutoka, nakadhalika. Lkn ukija kwenye Qur'an majina ni ya wanyama na vitu vilivyoumbwa wakati hatujui, ama majina ya watu kabla hata kujua mtu mwenyewe au mnyama mwenyewe kaumbwa lini au vipi. Cha kushangaza tunaanza kutishiwa moto tu kabla hata hatujajua tuchomwe kwa nini... Vipi tena mtu azaliwe miaka miatano na sabini na ajue mambo yaliyopita miaka elfu moja, nabii kazi yake kwani ni nini?
@dianaradislauc6649
@dianaradislauc6649 2 года назад
Hiyo mipasho kama kawaida yenu
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 2 года назад
Nilichogundua pande zote mbili zimisimamia maana moja maelezo tofauti
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 года назад
Ukristo wenu Raha mnaombaga jumapili Tu mnakaa namadem wamevaa vimini mnachunguliwa na Mapasta wenu
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 года назад
Mazinge wachafue
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
Hivi kwanini mimi ni batizwe wakati yesu akubatizwa
@marrysauli8455
@marrysauli8455 2 года назад
Unauhakik Yesu akubatizw,Yesu akubatizw mto yordan
@jamalathman6219
@jamalathman6219 2 года назад
Nyinyi wakiristo vipi kwanzia lini Allah awe na mtoto hamutumi hizo akili zenu hilo jambo haliwezekani na mpango huo hakuna mpaka mwisho wa ulimwengu
@WhathathGodwrought1844
@WhathathGodwrought1844 2 года назад
Mbona Mungu asiwe na Mwana?
@mimindomimi49
@mimindomimi49 2 года назад
Hakuna jambo linalo mshinda mungu ukumbuke
@mimindomimi49
@mimindomimi49 2 года назад
Wewe ndio akili zako hauzitumii
@faustinidudiyeck4768
@faustinidudiyeck4768 2 года назад
Waislamu niwashauri tu mumwaminini Yesu je itakuaje siku ya mwisho mkamkuta ndie anaehukumu ulimwengu Kwa kutokumwamini
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 2 года назад
Sasa we endelea kutumia akili zako uone kama utazielewa hesabu za kimbingu
@ibrahimngala2863
@ibrahimngala2863 2 года назад
Mtashindana hivo 2 pka cku ya kiama ifike kuxema 2 uqwel din n ya kikristo
@faustinidudiyeck4768
@faustinidudiyeck4768 2 года назад
We mwandishi wa habari acha ushabik
@ndunguj1328
@ndunguj1328 2 года назад
Kabisa though the thing is dini si njia ya kupata ifalme bali yesu mwenyewe
@زينبأمينة-ظ7ق
@زينبأمينة-ظ7ق 2 года назад
MashaAllah
Далее
HABIB OTHMAN MAZINGE...JE YESU ANASIFA ZA KUITWA MUNGU
1:31:48
Prank Orchestra
00:10
Просмотров 1,8 млн
🧙‍♀️☃️💥 #ice #icequeen #winter
00:14
Просмотров 54 тыс.
DEBATE Dr SUL, MAZINGE AND SHAFII
2:16:21
Просмотров 125 тыс.
HABIB MAZINGE | SAID KINYOGORI | USABATO (2)
1:01:42
Просмотров 289 тыс.
Prank Orchestra
00:10
Просмотров 1,8 млн