Huyo ndio mazrui original..❤.kama me arehem babake.Alllah amraham.lkn huyo ndio Mazrui ❤.waziri wa afya mchapa kazi imara hodari kililah afya ni wizara top znz .hongeraaaaa Sanaaa mdogo wangu kpe it up.
Tuwe waungwana tuwache tabia za kuwakashfu wati na kutoa maneno yasiyo milla zetu wazanzibar tujitafakari sana inasikitisha tunaeleiwa wapi imekuwa sasa ni matusi kashfa midamu mtu hukupenda mtu alichoongea hata kama ni ukweli.ushauri wangu kwa wote wanaopenda kuchangia tuwe waungwana kama huna la kusema usiseme.tumuogope Alllah sasa imekuwa hatumuogopi Alllah .kila mtu ana uhuru ktk maisha yake kujiamulia anataka nini.hata wewe unaetowa comment lkn usimbeze mzee ea mwenziwo.sio Silka zetu .shukran .
Aslm wapenzi wote walllah cha kusikitisha sana sanaaa Mh mazrui kahojiwa vizuri sanaaa na kajibu vizuri sana kwa imani ya msimamo wake ndani ya moyo wake na ukweli ndio Alivyo.Mh mazrui na influence alonayo.ni mtu wa haki.kinachoshangaza sasa tumekuwa watu wa ajabu kubwa sio milla zetu wala silka zetu wazanzibar kutowa maneno yasoridhisha
Ndugu yangu inataka watu wenye akili timamu tunakushukuru sana kwa kuliona hilo hai wanavyo andika tuachane nao maana washajipiga mihuri ya uziwi vipofu wa ndani ya nyoyo zao hata aseme vipi mijitu mengine tuachane nao wapumbavu maana wajinga wakierevusha huerevuka
Mwana ukombozi ana staafu. Wa zanzibar hawapambani siasa wanapambania inchi yao. Huyu kapata ela na anaona akiwemo kwenye mapambano atatumia ela zake pia ana jiwekea miundo mbinu apewe kazi za tenda za ujenzi serekalini. Ukimsoma kahisi kutoka chama na kuingia ccm..roho inamsuta but escape root nikusema najiuzulu siasa nibora kimtizamo wake na maccm
Wanasiasa wengine wa vyama vya Upinzani wajifunze toka kwa huyu mzee kusema ukweli.Pale panapo bidi kusifia mambo mazuri yanayofanywa na serikali wasifie na kukosoa mabaya yanayofanywa kinyume.
Dk mwinyi anafanya vizuri sana. Sasa mazrui kumsifu ni sawa na maneno yake ni ya kweli kwani .SEIF SHARIFU ALISEMA KWELI KUWA ZANZIBAR ANGEWEZA KUIBADILISHA KWA SIKU 100 .NI MKWELI NA DR MWINYI AMETHIBITISHA HILO.. MUNGU AMUWEKE MWINYI.ameen Mazrui u are RIGHT.
Haiwezekani kukisifia kile chama ambacho kinawatowa roho wazanzibari kila kunapokuja kipindi cha uchaguzi ,,mazuruwi una jambo lako tunahisi usharambishwa asali ,,MAZURUWI UMEWAGEUKA VIONGOZI NA WANANCHI WA ZANZIBAR,
Utamsifia vipi muuwaji! Mtu Amekaa madarakan kwa njia ya mauaji ksha eti unasifia uongozi wake!! Maana yake unasaport mauaji yalofanywa kwababu yake. Acha porojo, zulma itabak kua zulma. Huwez kumsifu mtu aloua raoho 21!! Ujinga tu
Huyu sio mwanasiasa huyu ni mfanyabiashara. Kwenye siasa ya zanzibar wafanyabiashara wengi wameingia sio ccm sio cuf sio atc. Hata matapeli wameingia kwenye siasa. Mwanasiasa ni jusa, othman kidogo nimeona.
Acheni siasa mbaya nyinyi watu wa siasa nilazima kiongizi asifiwe kwasifa zake nzuri mm pia sipo kwenye chama chochote lkn mm namsifia rais Hussein mwinyi kwa kazi yake nzur Allah amfanyie wepesi Zaid aendelee kuikumbuka Pemba kiuchumi kimaendeleo
Kiukwel Mazrui ulitetereka nanuliumiza watu na Kiukwel ulipaswa ufikirie mara mbili mbili before hujaongea but tunathamni change wako kwa upinzani hatutakuacha labda ukimbie wewe
Mazrui aliacha zile siasa zetu za kishamba zakupinga kila kitu , mazrui akiwa kama waziri alisifia Yale Alioona yanafaa ila kwakua sie siasa ni uadui ndo tukaona vile , mie sio ccm ila skuona kosa alofanya Mazrui
Hawa toka afariki maalim seif bas hawana tena lao maana alipokuwa hai maalim huyu alikua hana unafiki huu alonao sasa wakusifia viongozi wa ccm lkn wp Allah amraham maalim seif
HUYU MZEE KAMA LENGO LAKE NI KUTAKA KUITUMIKIA DINI SASA NA KUJIANDAA NA KIFO ITAKUA ANA AKILI SANA MAANA SIASA ZA SAA HIZI KWA KWELI NI MTIHANI MTUPU NDANI YAKE
Maslahi yote ya kibiashara lazima usimame kwenye upande wa serikali. Ili biashara yako iende lazima ukae upande huo. Wengine hujaribu upinzani ili mambo yawe poa.
Huna ulichokifanya ami yangu umeingia apo kwa maslahi yako umechaguliwa waziri una lip ulichokifanya familia yako umeshindwa kuisaidia uje usaidie wananchi
Mkoloni yupi? Wacha ujinga wako ndio nyinyi munaleta ubaguzi. Watu kama nyinyi ni hatari katika jamii. Mtu mbaguzi yoyote yule duniani ni hatari katika jamii