Nyumba zinatakiwa ziwe na lift uwezi kujenga ghorofa nne zaidi bira kuwepo na lift kuna waremavu na kuna wagonjwa pia sio kila mtu atataka kutumia ngazi, na ata Wakati wa kuamia ni tabu kupereka vitu juu.
NHC hawana mpango na Mbeya sijui ni Kwa nini. majengo yote ni ya zamani hawana miradi mikubwa kama ya Mtwara ,Singida ,Mwanza, Dodoma na kwingineko Kiufupi Mbeya imesahaulika
Hayo majengo 51 yapo wapi hata hayaonekani majengo ovyoooo mnajenga mikoa mingine huyo mkuu anafanyakazi kazi gani tunazidiwa hata na miji mingine midogo xn