He is honest. Kindly mkuu wa mkoa was not doing his work, he was just trying to reinforce. This young man he is smart and wise, trust me he will be a leader.
Kwaselekali hii ya unanijua mimi lazima aumizwe lakini angekuwepo mzee baba JPM kwanza angempongeza na angeagiza apewe nafasi maana amefanya kitu ambacho mkuu wa mkoa hakuwahi kuwaza mama samia tafadhali muite huyujamaa anakitu kichwani tafadhali sana. Gonga like kama umemuelewa dogo.
Angekuwepo Magu, huyu angenyongwa mara moja. Jiulize ametumwa na nani? Nini lengo lake? Ujasiri huu ameutoa wapi hadi kutumia Account ya Ikulu ??? 🙄🙄🙄 Labda kuna Vigogo behind him🥴Wale wanaotaka kumpima Rais na Mamlaka za Nchi 🥴🥴
Nimemuonea huruma sana huyu kijana mwenzangu automatically anaonekana kujutia kosa alilofanya wangemsamehe tu maisha magumu jamn kwahy watu wanatumia namna nyingine ya mlango wa pili kupita Ktk maisha
Hakuna bali nyinyi mnaona ni kitu kidogo je angeteteleka akajiingiza kwenye talukukuru au kosa la jinai si angemtia mtumishi wa serikali mbaloni na mpk kuchunguza kifahamike ingetia hasara taifa muda mahakama, polis upelellezi acheni kuwa mashabikia ujinga km ungelikua ni wewe ndo maana watanzania kl kitu mnachukulia utani hii ni kesi kubwa kuiba hasilia ya mtu
Huyu kijana ni mdogo ana elimu gani? Huu ujasiri ameutoa wapi? Nafikiri anataka tu Kufikisha kwa serekali ujumbe: "AJIRA hakuna". Ni kweli ana nguvu na uwezo wa kufanya kazi kama anavyosema afande.Shida ni namna ya kuanza bila mtaji. Mkuu anasema angeenda ofisini kwake asikilizwe, ila sina hakika kama wasimamizi wa ofisi wamgemruhusu. Amechukua short cut ya kufika ofisini, sidhani km hakujua kwamba atakamatwa,mkuu akae naye amsikilize nadhani ana jambo. Wamsamehe tu.
Hili ni kosa kubwa sana, huwezi kulichukulia poa. Huyu tapeli asipofungwa, wengine wataiga mfano wake, na Tz haitatawalika! Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Maafisa Askari wataanza kuchipuka Nchi nzima!!! Utajikuta unalipa kodi kwa tapeli aliyejiita mtumishi wa Serikali, unatibiwa na tapeli aliyejifanya Dr, unatozwa faini na Askari Polisi feki,... Nchi itavurugika, Wananchi watapoteza imani na Serikali, maana hawatajua nani Kiongozi halisi, nani tapeli, wamuamini nani... Hili ni suala zito la Usalama wa Nchi. Tena Kijana amekwenda mbali kutumia Jina la IKULU!!! 😲😲 Intelligence services zifanye kazi 😶😶
Ila huyo dogo richa ya kuwa amefanya uhalifu pia ni rasilimali kwa nchi. Kwa wenzetu wanamuendeleza kwa njia chanya alafu anaenda kuwasaidia TCRA.Kama ni rahisi kujiajiri basi wenye vitengo waachie wajiajiri wao.
Nataman sana kabla ya kumfanya chochote,,wahusiku wapitie kwanza comment hizi👇,kweli tunaishi chini ya sheria,,ila utu una nafasi kubwa sana katika maisha yetu,,,hata nami naiomba serikali na vyombo vyote husiku kumsamehe kijana huyo
achunguzwe kama hajawahi kutapeli asamehewe huwenda ilikua ni namna yakufikisha ujumbe kwa kusikiliza kero za wananchi, na sii ajabu mkuu wa mkoa hajawahi kusikiliza wananchi wake. Uyu kijana alikua na nia nzuri sana kosa lake nikutumia anuani ya ikulu. Wapo marapeli wakubwa mfn wanaotakiwa kupewa adhabu uyo anatakiwa awezeshwe. Anae unga mkono agonge LIKE👇
Mbona huyo mtuhumiwa mnamuonyesha wakati MIJITU MINGINE MIJAMBAZI Mnawaficha hamuwaonyeshi ??? mnasema si sheria kuonyesha watuhumiwa????Msifanye Ubaguzi bwana hata hayo MAJAMBAZI MKIYAKAMATA MUYAONYESHE
Mpeni kazi huyu bwana mdogo Kama ameweza kuleta wawekezaji mkoani bila shida. Kawa nini msimpe kazi muone uwezo aliyo nao. Kumfunga hakumuongezei chochote. Miaka mitatu jela akitoka atakua bado hana ajira. Serikali ifanye bidii ya kutoa ajira. Kuna wakuu wa mikoa wengi tu hawatimizi wajibu wao na bado wako makazini. Huyu apewe kazi kwenye offisi ya mkuu wa mko, siyo kufungwa. Tufungue macho jamani. 🙈🌞🍀🍀
Hana tofauti na PANYA ROAD. SHERIA IFANYE KAZI. KUTOJUA SHERIA SI UTETEZI. LENGO LAKE NI UTAPELI. HAO NDYO WANAOUNDA MITANDAO NA KITAPELI. MNAOTETEA SIYO BURE MNAWEZA KUWA MATAPELI WENZAKE. MWENDESHA MASHTAKA FUNGA HUYO KULINGANA NA SHERIA ILI IWE FUNZO. UTAPELI UMEKITHIRI MITANDAONI
Asomeshwe huenda baadae akaja kuwa kiongoz bora wakupigiwa mfano maana ana kipaji hata aka kubalika,amakosea ila kwa umri wake tumshamehe km hana pesa za kujiendeleza chuo asaidiwe akamalizie jela kubaya istoshe ni mtoto,istoshe bado ana ndoto kubwa sana ktk maisha yk tumsamehe
Kama ni mimi. Huyo kijana simfungi kwani anaonekana ana uwezo mkubwa sana,inahitajika kuitumia akili na mawazo yake aliyo nayo. Ningelimpa adhabu ndogo aitumikie na kufanya nae kazi.
Ungetoa adhabu kama nani, RC au RPC kumbuka hakuna aliyejuu ya sheria. Chombo kitoacho haki ni mahakama pekee. Mahakama ndio inauwezo wa kusamehe baada ya kusikilia pande zote mbili.
Hakuna cha kumfunga hajamtapeli mtu yeyote alikuwa anasikiliza kero hapa issue kubwa ni kumsikiliza lengo lake ni nini. Kama hajatumia hyo account kujipatia faida ya kifedha
Ana ndoto ya kuwa kiongozi maana awatapeli kuwaibia pesa ila anaitaj kero zao ili akazifanyie kazi au kuna utapeli mwngn zaidi ya kuchukua Maoni! Ya mwanaNchi!!!
Huyo kijana Ni mdogo mno nafikili amezaliwa mwaka 202 Bado ananukia maziwa ya mama ufahamu wake haujakomaa, maisha Bado hayajui Ni mtoto, mdogo,enachekesha naomba serikali imfikirie huyo kijana imptie elimu Kisha imsaidie selikali kumpatia kazi, jamani inachekesha mno,kwakile alichokiiza kuwa mkuu wa mkoa,nimenivunja mbavu,
Sugu angekua mbunge angeenda kumsaidia dogo,,Mana haja tapeli chochote,afu ishu hizi ukifanya kitu unaambiwa ni kosa kisheria hizi Sheria mbona hatupewi kabla ya kukosea
Kwa upande wangu Mimi wampe nafasi huko serikalini ama kama alikuwa anasoma wamsapoti kwa Elimu yake afikie matarajio yake maana hajaunda tume yake ya utapeli na Wala hakuna aliyejitokeza Kusema katapeliwa kwa hivyo ningeomba wamsamehe na kumchunguza kwa kina wajuwe dhumuni yake ni Nini haswa kuchagua Kazi hiyo ngumu ambayo hukwepi mkono wa Serikali
Mkuu wa mkoa huyo kijana kwel anakupenda tumia tu busara ya mungu akuongoze umsamehee Kila MTU ANAKOSA Kwa nyanza tofauti japo kutumia Jina la MTU ni kosa kisheria
Kufungafunga watu haitawafanya muwe polisi bora, sijasikia ofisa hapa yeyote anayemjali kijana huyu mdogo na kutoa njia za kumsaidia. Ikiwa hajafanya utapeli basi wampe counseling na wamzidishie masomo apate kazi nzuri yakujimudu. Namuombea apate judge mwenye akili timamu so kama hawa maofisa na mkuu wa wilaya wanaomtakia jela tu.
Hawa watu wapo wengi sana mtaani yupo mmoja naye amenitapeli anasema nimwanajeshi baada yakunitapeli nikabaini hilo nikawahi kumshitaki ila mpaka sasa kesi naona sielewi kinachoendelea nipo temboni kwamsaada zaidi
Hajatapeli pesa ni akili 2 mi kwatanzania kazi hamna kuna kitabu kinasema wasomi huru gerezani hao ndo wasomi mchana anasema yy ni DC tatizo serekali yetu haina elimu endelevu hivi kuna watu wanapenda kua wasomi wamefeli darasani wamekua njee na elimu miaka 5 akitaka kurudi tena hapewi nafasi ila marekani nafasi hizi ni haki ya kila raiya kwa mfano kua mteja wa unga kua raisi vp tz inapendeza Sana tena inafurahisha inachekesha tz itabadilika kesho
Mm nimeipenda kaz yahyu kijana , ya mkuu wa mkoa, sas kama viongoz wanataongoza nch bila huruma unadhan raia wafanyeje, vyakula bei juu mafuta bei juu, ukiapata nafax itumie
Tanganyika kubwa Sana mpaka mkuu wa mkoa humjui huku Zanzibar wanakunjwa kahawa na Ali kasusi pamoja na wananchi ila msameheni hata ww mkuu jitokeze kwa wananchi wakuone mkuu huku kitwana DC tunacheza nae mpira yote kwa sababu uwepo wa serekali ya umoja wa kitaifa naunga mkono hoja Nabaki Tanzania
Usimuite binadamu mwezako feki anaangalia jins ya kujikwamua kimaisha we c unae shibe tear na saluti unapewa na amna ata unacho Fanya kiviile muache tuy mwezio ilo cyo kosa kaekit ila ww ndo mkuu shida nn apo aonywe tuy mumpatie mtaji akajiongeze mbele kwa mbele
😂😂😂😂😂😂😂😂 mwacheni wasikilizwe mwacheni tu huyo bado mdogo mpeni kaziitu afanye tu asifanye tenaa tatizo hataakitaka kukuona maybe anakataliwa msameheni tu huyodogoo
Najaribu kuwaza vitu vingi sana kuhusu utendaje kaz wa baadhi ya viongoz wangi wao hutoi nafasi na muda kukaa chini na wananchi wao kufaha m kero zao pia kuwafunza sheria so mtu akifanya kosa wao tu ndo wazifahamu ila wananchi hawajui chochot
Bongo bhana, yani mimi tu nimemuelew kuw anamsaidia RC kujua kero za wananch, lkn hao wasomi wanamuita tapeli sasa kamtapeli nani? Au ndio wanachelew kuelewa?
Nchi ngumu hiii mana mtu unacheka km mazur🤣🤣🤣🤣🤣 jmn muachen tu so kosa lake ttz nchi aliyopo mizar haja tukana awu ajapost vitu vya kishenz bs msameen iwe funzo tu
Kama alikuwa anapokea kero za wananchi hakuna tatizo kwangu ila kama alitumia mwamvuli huo kuwatapeli wananchi hilo ni tatizo, ashughulikiwe kwa mjibu wa sheria.