Viongozi wakuu wanapo kuwa wanaongea hasa kipindi wanatowa taarifa kwa Uma kabla ya kuirusha hewani hakikisheni mna ipitia ndipo mnaitowa ili muakikishe kwamba sauti imetoka vizuri. Asanteni
Huyu jama ni mkuu wa jeshi ila anaongea kipombe pombe Dakika zote hii Hakuna point nimeipata Basi nendeni kawachakaze huyo boya wa red tabara sijuwi anajiita ngomanzito Acheni mbwambwaya muda unakwenda mnazubaa huku adui anajiandaa Mtakuja mshangae baadae Chapa, chinja, nyonga, jinga zote zenye nia chafu
Hivyo vikundi vikundi ndio vinasababisha kushindwa na vita kwa nini wabembe wote wasiwe na kiongozi mmoja tu,kama ilivyo kuwa wakati yazamani, munangojea nini kuondoa munyarwanda mumilima mirefu munangojea awatawale? mbona inchi iko naenda na nyie munazubaa tu