Тёмный

MBINU ZA KUOMBEA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege 

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Подписаться 209 тыс.
Просмотров 134 тыс.
50% 1

Ibada ya Jumapili Ya Mitende || Kanisa Kuu Lushoto - Tanga || TAREHE 24|3| 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Опубликовано:

 

22 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 194   
@AshaChambo-qf2pv
@AshaChambo-qf2pv 2 месяца назад
Asante kwa neno Mtumishi wa Mungu.Naomba nami Mungu anisaidie kunitoa katika hili jaribu la madeni .Yananiumiza.Yananidharaulisha.Yananitukanisha .Yananikosesha amani.Eee Mungu naomba unisaidie.
@saadazahaza3545
@saadazahaza3545 2 месяца назад
Asante kwa neno majaribu hukatisha tamaa kiimani lln kwa nenonla Bwana tutavuka.Mungu naomba nisaidie mtoto wangu Peter aelewe masomo yake yote na mume wangu akujuwe wewe na kukuabudu
@wemawestern1971
@wemawestern1971 3 месяца назад
Ee Mungu usinitie majaribu mana majaribu ni magumu tunahitaji msaada wako Mungu bila wew sisi hatuwezi Chochote Mungu tunahitaji nguvu zako Kwa wingi wa neema Yako na Fadhili zako Ee Mungu sikia kuomba kwetu tupitapo kwenye dhiki , taabu na shida Mungu uwe ngao yetu na Nuru Yako ikamulike Kila sehemu kwenye shida ,taabu na dhiki mbalimbali na mko wako Mungu ukaonekane kwetu .na utukoe na majaribu Kwa Jina la Yesu kiristo Amen
@QUEENJoseph-kh6cb
@QUEENJoseph-kh6cb Месяц назад
Amin
@reubensarumbo1553
@reubensarumbo1553 3 месяца назад
Nimebarikiwa Mno na Neno la Mungu na Maombi, hakika nimevuka, Mungu Yesu Azidi Kukueka Baba Na Mama Mwakasege, YESU YHWH BARIKI, TANZANIA, BARIKI KANISA LAKO NA BARIKI MANA MINISTRY Hakika Kazi Na Neno la Mungu Litadumu Miyoyoni Mwetu In Jesus Christ Name Amen Hallelujah
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 2 месяца назад
MUNGU AKUBARIKI SANA MWALIMU WEWE NA FAMILIA YAKO MUNGU AWAPE WINGI WA SIKU NA UHERI KWA AJILI YA TANZANIA NA DUNIA NZIMA SHALOOM SHALOOM
@jenjuma6255
@jenjuma6255 2 месяца назад
Nimejifuzna kutokuta tamaa ya kuomb hata kama unaludia kutenda dhambi ile ile ni kuomba bila kukoma 🙏🙏🙏
@leonidangimbwa1526
@leonidangimbwa1526 2 месяца назад
Tunàkuombea baba MUNGU azidi kukulînda, na azidi kukutumia kama apendavyo, kwa wewe tunazidi kustawi ndani ya NENO LA MUNGU
@albertnyari7052
@albertnyari7052 2 месяца назад
Ubarkiwe sana Mwalim pamoja na timu nzima ya huduma ya Mana,Mungu amekuweka kwa ajili ya tanzania na ulimwengu wote,nitazidi kuwaombea Mungu awatunze daima
@kelvinsewando1003
@kelvinsewando1003 2 месяца назад
Mungu akubariki Baba
@cleversalbaba-em4jf
@cleversalbaba-em4jf 3 месяца назад
Hongera sana baba askofu msafiri hakika Kuna mbegu unaipanda Tanga na itazaa kwa wingi sana ndani ya tanga na Tanzania 🇹🇿 nzima itamjua Yesu.
@pascalselemani8132
@pascalselemani8132 3 месяца назад
❤amen amen mtumishi wa MUNGU tazania ibarikiwe sana naimebarikiwa sana
@ignatiomatimba3554
@ignatiomatimba3554 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu na aendelee kukutumia kuwaelimusha Wa Tanzania juu ya kumtukikia .
@user-jz5fp5hj7u
@user-jz5fp5hj7u 2 месяца назад
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya mtumishi wake mwalimu Mwakasege Mungu akutie nguvu uzidi kutulisha neno la Mungu
@agnesnnko8872
@agnesnnko8872 3 месяца назад
Usinitie majaribuni ee Yesu naomba uniokoe na yule mwovu.Pia naomba unitoe majaribuni nilikoingia na kujaribiwa na yule mwovu.Ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu.
@lucyurasa5805
@lucyurasa5805 2 месяца назад
Baba Mungu azidi kukupaka Mafuta na Akupe Haja ya Moyo Wako. Umefanyika Baraka kwa Taifa na Dunia. Barikiwa Sana wewe na Mama na Timu Yote ya Huduma ya Mana
@bethstanford9840
@bethstanford9840 2 месяца назад
Mimi najiweka mikonon mwa Yesu pamoja na familia yangu Mungu aniepushe na majaribu yasiyoyalazma yanayonichelewesha kufika
@teddymhenga3006
@teddymhenga3006 3 месяца назад
This is a very powerful preach. Thank you Jesus our Lord for Anointing him to preach us for the sake of our salvation. We honour your Lordship Jesus Christ.
@wemawestern1971
@wemawestern1971 3 месяца назад
Amen nimebarikiwa sana na Somo Hili Sasa ni kazi yetu kutendee kazi Mungu utuvushe na tuvuke ng'ambo nyingine hatutaki kubaki palepale Mungu tutie nguvu Amina
@joshuanyange2737
@joshuanyange2737 3 месяца назад
Mungu naomba uniondolee majaribu yaliyoko ndani ya wazazi wangu na ndugu zangu.
@EtinaNdewesi
@EtinaNdewesi 3 месяца назад
MUNGU Asante kwa NENO la wakati.nimefiwa na mtoto mchanga nilijifungu tarehe 11march akafariki tarehe19 march sikujua hata namna ya kuomba ili nivuke jaribu langu 😢 Asante mwalim kwa mtaji wa maombi eeh Yesuuu neema Yuko yanitosha naomba nguvu yakuhimili hili zaidi naomba na mlango wakutokea.ameen
@dianakisoma5290
@dianakisoma5290 3 месяца назад
Utiwe nguvu dear....
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 3 месяца назад
Mungu anakupenda jipe moyo utavuka katika hilo
@lucyurasa5805
@lucyurasa5805 3 месяца назад
Mtumishi wa Mungu mshukuru Mungu kwa Kila Jambo. Mungu hajakuacha
@frolencialupilya6209
@frolencialupilya6209 3 месяца назад
Pole sana, Mungu akawe mfariji wako.
@yuajamlimwa6318
@yuajamlimwa6318 3 месяца назад
Mungu Mfariji wa kweli na Akufunulie Neema Yake tena katika Maisha yako
@user-ni4zc7hp3i
@user-ni4zc7hp3i 2 месяца назад
Mungu Asante kwa mafundisho haya kwa mwalimu uliyo mtuma kwetu
@harriethkinjoli5459
@harriethkinjoli5459 3 месяца назад
Mungu wa mbinguni awatunze kwa ajili ufalme wake.Mmekuwa baraka kwetu.
@MabelKaaya-hl2je
@MabelKaaya-hl2je 3 месяца назад
MUNGU AENDELEE KUTUKUZWA SANA KUPITIA WITO WAKO MTUMISHI WA MUNGU. ASANTE KWA MAARIFA YA ZIADA. MUNGU AINULIWE KUPITIA MANA MINISTRY PIA. HALLELUJAH.
@gwamakamwasongwe8053
@gwamakamwasongwe8053 3 месяца назад
Nimekuelewa Mwalim waswahili wanasema gombe hanenepi siku ya mnada
@teddymhenga3006
@teddymhenga3006 Месяц назад
Haleluya Kwa Bwana Yesu. Mungu akubariki sana Mwalimu na Mtumishi wa Mungu.
@geraldndone7438
@geraldndone7438 3 месяца назад
Asante Mwalimu kwa kutufundisha mbinu hizi.Mungu aendelee kukutunza pamoja na familia yako kwa kusudi lake.
@wemawestern1971
@wemawestern1971 3 месяца назад
Mungu awabariki na kuwatunza sana watumishi wa Mungu Amen
@JohnRehema
@JohnRehema 19 дней назад
Mtumishi Mungu akubariki sana jaribu la kukosa mtoto limekuwa mwiba kwangu najiungamanisha na madhabahu hii Kwa jina la yesu na Mimi nitoke kwenye jaribu hili
@hypolitusmogambiombati3577
@hypolitusmogambiombati3577 2 месяца назад
Am happy to meet you pastor in your you tube channel,there is one thing i like you from fanuel zedekiah's death......kuwa mungu atabaki kuwa mungu ingawa mungu hakujibu maombi yako jinsi ulivyotarajia.what an encouraging message. May God bless and protect you as he does the same to me.
@fatmaally4673
@fatmaally4673 3 месяца назад
Amen 🙏 tumefunguliwa na kuachiliwa katika majaribu
@christinangondi4212
@christinangondi4212 Месяц назад
Asante MUNGU kwa kunivusha ktk jaribu kubwa, Imani yangu haikutindika, nilikiri Neno la MUNGU na kumsifu katikati ya vita
@mariethakithama907
@mariethakithama907 3 месяца назад
Namshukuru Mungu kanioa neema ya kusikiliza neno lake ,limenitia nguvu na naamini Mungu kanikumbuka
@magrethuronu7190
@magrethuronu7190 3 месяца назад
MUNGU akubariki Sana mwlm somo ili limekuja kwa wakati AMEEEEN
@benjaminimtafya8707
@benjaminimtafya8707 3 месяца назад
Barikiwa sana Mtumishi kwa kupanda mbegu njema kama Hii
@peacemanpeace1571
@peacemanpeace1571 2 месяца назад
Bwana asifiwe Baba mtumishi wa Mungu Bwana akubariki sana akutunze akupe maisha marefu.akuzidishie ufahamu na hekima yake
@peacemanpeace1571
@peacemanpeace1571 2 месяца назад
Bwana atukuzwe
@maurarespich9245
@maurarespich9245 3 месяца назад
Mungu naomba uwaondolee majaribu yanayodidiniza uchumi na furaha ya familia yangu.
@laizerlusiana9215
@laizerlusiana9215 3 месяца назад
Asante sana mwalimu kwa mafunzo haya,,,binafsi nimezoea kuomba hivi....Mungu nipe nguvu ya kushinda majaribu,,,,Sasa nimepata mbinu nyingine.ubarikiwe
@kulwashimiyu
@kulwashimiyu 2 месяца назад
Ameeen, neno la wakati hili mwalimu.
@vincentnkunguu7434
@vincentnkunguu7434 2 месяца назад
Asante kwa neno hili limenibariki sana na kunitia moyo wangu
@jenipherdonald7591
@jenipherdonald7591 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu, akutunze sana "Baba"nimebarikiwa na somo hili💥🙏
@RachelMheni
@RachelMheni Месяц назад
Mungu Akubariki Sana Mwalimu kwa kuifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu, Naamini hata jaribu hili ninalopitia mwisho wake upo,🙏🙏
@sarasagilo4733
@sarasagilo4733 2 месяца назад
Barikiwa kwa neno baba nimepata kitu hapa
@meshackntoga1566
@meshackntoga1566 3 месяца назад
MUNGU NI Mwemaaaa, Mbarikiwe- Somo ni Zuri hasa kwa nyakati hizi,
@yustersimkwai6140
@yustersimkwai6140 Месяц назад
Ubarikiwe sana na Mungu mtumishi wa Mungu, Asante sana Kwa masomo Yako, umekuwa baraka sana Kwangu nimejifunza vingi kupitia jina lako Mungu azidi kukulinda na familia Yako.
@Agnes-me9jr
@Agnes-me9jr 2 месяца назад
Amen mtumishi wa mungu mwl mwakasege
@LusiaJohnSanga
@LusiaJohnSanga 2 месяца назад
Mungu ametupendelea sana kutupa mtumishi huyu wa Mungu hakika tunakushukuru sana Mungu wetu yesu❤ ❤❤❤❤❤
@aminahaule7524
@aminahaule7524 3 месяца назад
Mungu niepushe na hili jaribu
@JeremiaMahaku
@JeremiaMahaku Месяц назад
Mwalimu Somo limenisaidia sani limeniongezea imani Mungu akutumie zaidi
@joyceshinyanga7428
@joyceshinyanga7428 2 месяца назад
Asante Kwa Neno Mwl mwakasege
@miriamkarata7495
@miriamkarata7495 3 месяца назад
Ameen Mungu azidi kuwapa afya njema watumishi wake 🙏🙏🙏
@neemakinyamagoha
@neemakinyamagoha 2 месяца назад
Mungu naomba uzidi kumuweka mtumishi wako kwa faida ya vizaz vijavyo
@mariamcharo800
@mariamcharo800 2 месяца назад
Barikiwa Sana mwl Mungu azidi kukuinua
@JoanMollel-nh4yp
@JoanMollel-nh4yp 2 месяца назад
Amen, Asante Yesu kwa ajili ya neno hili, nimejifunza kitu kikubwa, ninaomba uendelee kumlinda Mtumishi wako na kumtunza sawasawa na mapenzi yako.
@nishaabias5694
@nishaabias5694 3 месяца назад
hakika hii imeniinua sana. MUNGU akutunze mtumishi
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 Месяц назад
Somo la Wakati nipo uarabuni Kwa kweli utulivu hata wa kukaa kwa maombi sina hili ni jaribu la kutishia Imani yanguYesu nisaidie 😮😢🇸🇦🇸🇦🤔🇰🇪
@delphinakileo5678
@delphinakileo5678 2 месяца назад
Mungu akubariki sana Mwalimu kwa huduma unazotoa wewe na team mzima ya Amana... akupe umri mrefu na afya njema mtumishi...🙏🙏🙏
@StellaJohn-dz6gv
@StellaJohn-dz6gv 2 месяца назад
Amen🙏
@EmmanuelShelukindo
@EmmanuelShelukindo 3 месяца назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@PendoHenish
@PendoHenish 2 месяца назад
Nabarikiwa Sana Mungu akutunze
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 месяца назад
Aaamen Baba yangu wa koroho Mungu azidi kukutunza na Familia yako,nimebarikiwa na somo 🙏
@agnesnnko8872
@agnesnnko8872 3 месяца назад
Ooh haleluyaa...Amina mwalimu...Barikiwa sana jamani...
@dominicamwacha
@dominicamwacha 2 месяца назад
Mungu akubariki sana baba
@DainesSwenya
@DainesSwenya 3 месяца назад
Asante kwa neno nzilu
@rehemamusa6623
@rehemamusa6623 3 месяца назад
Asante mwalimu,nakuelewa sana
@nabiisospeterkabangutse6116
@nabiisospeterkabangutse6116 2 месяца назад
BWANA ASEMA NAMI. LEO SAA 10:55 TAR 02.04.2024 KWAMBA MIMI NDIYE NINAYEWEZA KUPAMPANA NA ZITTO JIMBO LA KIGOMA MJINI. KUMB 17: 14-15 KWA AWAMU YA MARA YA 4. NABII SOSPETER KABANGUTSE, KANISA ANGLIKANA MWANGA PARISHI KIGOMA MJINI TANZANIA. Naomba maombi c/o to Mwl Mwakasege
@JastinjohnJackson
@JastinjohnJackson 2 месяца назад
Mungu akubariki baba akuweke kwa ajili ya kulisha watu wa Mungu mkuu.
@monicakauky8914
@monicakauky8914 Месяц назад
Asante Mungu umenifundisha kuleta udhaifu kwako,Mungu akubariki mwalimu.
@samuelkabushemera865
@samuelkabushemera865 Месяц назад
Asante sana mtumishi wa Mungu,kwa mafundisho mazuri,endelea kutufundisha
@user-cs8so4gu7c
@user-cs8so4gu7c 2 месяца назад
Mungu akutunze sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na SoMo hili
@dominicamwacha
@dominicamwacha 2 месяца назад
Baba napenda sana mahubiri yako huwa yanagusa moyo wangu,Mungu akubariki sana
@kishiromsuya5174
@kishiromsuya5174 2 месяца назад
Thank you for your teaching
@elyhillary2000
@elyhillary2000 2 месяца назад
Aminaiii 🇹🇿🇰🇪🌍🌲🙏
@user-mp7ht7jp5v
@user-mp7ht7jp5v 2 месяца назад
❤❤glory to God
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 2 месяца назад
Amen Ameeeen nimebarikiwa mno na hili somo. Barikiwa mwl
@Stanlee95
@Stanlee95 2 месяца назад
God connect with me here, as I seek YOU in your Word!
@lucymsigwa443
@lucymsigwa443 3 месяца назад
Mwalimu niombee natamani kuolewa
@allenmollel9626
@allenmollel9626 3 месяца назад
Amina. Mungu akujibu sawa sawa na mapenzi yake.
@denismparee6309
@denismparee6309 3 месяца назад
Habar lucy
@EstherNkuba
@EstherNkuba Месяц назад
Asante Mungu mwongezee mwl siku za kuishi
@suzanabarnabas6366
@suzanabarnabas6366 2 месяца назад
Namshukuru Mungu kwa somo hili limefika kwa wakati
@user-sn9lh6gv7t
@user-sn9lh6gv7t 3 месяца назад
Ameni baba yangu
@AshaChambo-qf2pv
@AshaChambo-qf2pv 2 месяца назад
Asante sana Mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno
@marymfoi9349
@marymfoi9349 2 месяца назад
Amina
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 2 месяца назад
Yesu check maisha yangu na uyalekebishe
@lameckburton3666
@lameckburton3666 3 месяца назад
Amen
@user-wl6tn9rb3w
@user-wl6tn9rb3w 2 месяца назад
Hhm hekima hii umejaliwa baba yangu duh nakosa hata maneno ya kujieleza..maana umenivusha saana tangu nitambue huduma ya Mana itoshe tu kusema UISHI MIAKA MINGI ❤❤🇰🇪🇸🇦
@JACKLINAYAMADO
@JACKLINAYAMADO 2 месяца назад
Mwl unawezaje kujua lengo hasa la jaribu
@mercykombe
@mercykombe 3 месяца назад
Glory to God. Mungu azidi kukutunza na kukutumiia kwa Utukufu wake
@martinamasagasi3213
@martinamasagasi3213 2 месяца назад
Asante kwa neno lako baba nilipata ajali ya kutisha tarehe 17.03 2024 hakika nilipoteza kbs tumaini la kuinuka tena lkn ninaamini mungu aliyeliachilia hili atanifanya kuwa imara zaidi ktk kulitumikia kusudi lake
@faharimbwillo8403
@faharimbwillo8403 2 месяца назад
Amina mungu akusaidie sana
@linalusheke2820
@linalusheke2820 2 месяца назад
Mungu Akutunze
@StellaJohn-dz6gv
@StellaJohn-dz6gv 2 месяца назад
Amen
@DenisMNandi-sm5dn
@DenisMNandi-sm5dn 2 месяца назад
Pole sana mwana wa Mungu usigope yupo na anakujua atakuinua tena songa mbele shujaa wa bwana yesu
@gwamakamwasongwe8053
@gwamakamwasongwe8053 3 месяца назад
Kwa kweli hii mana Mzee Mwaka na Mama Mwaka mbarikiwe
@sporaMsigwa
@sporaMsigwa Месяц назад
Nivushe salama eee Yesu
@cleversalbaba-em4jf
@cleversalbaba-em4jf 3 месяца назад
Engineer tunaomba uangalie sound ipo chini sana hatuwaskii
@SimoniMbela
@SimoniMbela 19 дней назад
Nenohili limenpa ijasili nimeibiwang'ombe wawili kwawakati tofaut nawatu nawafaham lakn naonaaman sasa
@Neema-wy4mh
@Neema-wy4mh 3 месяца назад
Amen Amen Amen.
@mtilimsita6675
@mtilimsita6675 2 месяца назад
Nakupenda baba
@AnethNdosa
@AnethNdosa 3 месяца назад
Amen 🙏
@elizabethalex6138
@elizabethalex6138 2 месяца назад
Huyu baba Mungu amembariki sana
@JoshuaHilgath
@JoshuaHilgath 3 месяца назад
Amina Amina
@EssauBaynit-zr3hp
@EssauBaynit-zr3hp Месяц назад
Mungu akubariki
@user-qi6lb6uw2d
@user-qi6lb6uw2d 2 месяца назад
Amina namungu atusaidie tuyashinde majaribu hayo
@maurarespich9245
@maurarespich9245 3 месяца назад
Eeh Mungu naomba niondolee udhaidu wa kubeba vitu moyoni.
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 2 месяца назад
Hakika Munguakutue huo mzigo, nami nauondoa mzigo begani mwako na kuivunja nira shingoni mwako kwa kupakwa mafuta kwa jina la YESU Ameni
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 2 месяца назад
Amen🙏🙏🙏🙏
@LYIDIACHARLES-je5rn
@LYIDIACHARLES-je5rn 2 месяца назад
Asnt sana mtumishi neño limekuja wakati sahihi
@miriambecky4889
@miriambecky4889 2 месяца назад
Mungu bariki huyu mchungaji nimejifunza vitu mingi sana
@furahachungu6802
@furahachungu6802 Месяц назад
Aminaa ila sio mchungaji
@happinessmillanga982
@happinessmillanga982 10 дней назад
Hili niliona kwenye ofisi yangu badae nikajua kupitia mafundisho haya aliambiwa afike saa tatu na alikuwa anakuja kusain mkataba akafika saa nne walimwambia huna kazi na alipokuwa anatokea ni kupanda gari moja akaambiwa mwingine aje kesho yake alikuwa anatokea geita nilishangaa kuambiwa alifika hiyo cku jioni akalala karibu na ofisi akafika mapema sana nikakumbuka wa mwanzo alikutana na azuiaye😢
@aidanongole9341
@aidanongole9341 3 месяца назад
amen
@HappyMsuya-og7ok
@HappyMsuya-og7ok 2 месяца назад
Amina Baba
@donathasimon9292
@donathasimon9292 3 месяца назад
Ameniiiii 🙏
@kamugisharweyenderamulimi6629
@kamugisharweyenderamulimi6629 Месяц назад
Amen 🙏🙏🙏
Далее
2000 vs 2100
00:15
Просмотров 20 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 685 тыс.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Просмотров 431 тыс.
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Просмотров 133 тыс.
2000 vs 2100
00:15
Просмотров 20 тыс.