Mimi ni Mzaliwa wa kwanza kwa cheo nina ushuhuda aisee maisha si rahisi tunayoyapitia ni Mungu tu ajuaye... Ila ukimtumainia Mungu na kumtanguliza katika kila jambo kuna vile anakufungulia njia za mibaraka. Kutoa kwako ndivyo Mungu anapozidi kukufungulia njia. Tujifunze kuto kunung'unika sana pale tunapokua na majukumu mengi nyumba yetu...Tujifunze kurudi miguuni pa bwana na kuomba na kumwachia Mungu atende sawasawa na mapenzi yake🙏🙏
Kusema kweli unanibariki Sana naomba uniombee nipate kazi nimetuma maombi idara ya Elimu Mungu akafungue njia Kwa Jina la Yesu Amina. Namshukuru Mungu kwa kweli.
Mungu wetu wa Mbinguni akubariki mchungaji wangu huwa unanitia Moyo Sana nimekuwa nikiandamwa kazini mpaka nilitamani kuacha kazi lakini Mungu akanipa akili ya kwenda shule afisa utumishi wangu alinikatalia lakini Mungu alimtumia bosi mwingine akaongea na mwajiri wangu akabaki anashangaa akasema sijamkatalia mtu kwenda shule hivyo mwishoni nikapewa barua ya ruhusa na baada ya Mimi kuondoka nikapigiwa simu kuwa Yule bosi wako amehamishea nampenda Sana huyu Mungu wa muujiza kwangu❤❤❤
AMEN! I've listened to the message a bit late but it has built my faith and blessed me greatly. GOD bless you Pastor for teachings are ever timely and have changed my life in an amazing way 🙏🏻 🙌🏻.
kweli mchngaji Kama wakati huu majukumu yanayonilazimu kutoa Kwa ndugu nikijumlisha namwaga tofali na kuanza kujenga lakin nitatoa na kujenga Bado na hakuna wa kumueleza shida zangu na wakati mengne wakiniomba nakopa hawajui
@@MahubiriPrMmbaga, pastor, pray for me, also, ndoa ndoa Mchungaji mipango ya kando inatutesa sana, na tuombe aje kwanza, tuwasamehe au tuwabariki, au tuwalaani .
Nimimi kwakweli ila nina vita kubwa sana ya kiroho inayo fanya nishindwe kukomboa familia yangu Ktk familia nimepata neema ya kokoka ni mimi napigwa vita na familia nzima
sasa hawa maa bwana wakuwakupaga mopago ilikuuza sukari kwa kutumia mkowa mojja or kutia kuza sukari kwa wilaya mooja sasa watatumia idia yamgu kupuguza bei ya sukari kwa killa mkowa
Nashukuru sana majabu ya metendeka nilikua nawekwa mpaka Bond imekuwa cancelled just from nowhere a lawyer mwenye sijui akakuja na file wakati last ikisomwa niende sasa remand for 3months Lawyer akanitetea...kwa sasa nko free nimepewa date ya 25 September 2024...zidi kuniombea Pastor napitia magumu.. Nashukuru sana kwa miracle imefanyika leo ...kwa kweli nimeona mkono wa Bwana
Dear pastor MMBAGA, Ukweli unagusa maisha yangu najisikia kutiwa nguvu kwa masomo haya ninayojifunza, kupitia wewe, nilitamani kupotezea, na kukubali kushindwa ila Sasa nitasimama, na MUNGU.
Mchungaji kwakweli mim hua naandamwa sana nimekua nasingiziwa vitu nawatu wangu wakaribu hata mume wangu je hilinalo no agano au nitatizo lingine nisaidie mungu akubariki
Amen 🙏asante sana muhubiri mahubiri yako,mafundisho yako yamenigusa katika maisha ninayo pitia kwa sasa na ninaamini mungu ameshughulika si mzaliwa wa kwanza laki katika kibali cha mungu nikama wa kwanza