Tanzaniaaaaaaa Tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee NCHI yangu tanzaniaaaaaaa jina lako ni tamu sanaaaaa nilalaapooooo nakuotaaaaa weeeeeeweeeeeeeee niamkapo ni KHERI mamama weeeeeee mwingine aendeleee verse ya pili mwingine aingizie korasi mwingine atafute location ya video mwingine awe director wa video mwingine awe produces
Shabiby unaongea vizuri sana hoja zako, Ila unapotuambia miradi mikbwa ya awamu ya kwanza serikali ilikopa, tunamashaka na kauli yako maana alipokua hai chuma mwenyewe hamkuwai kuongea hizo kauli.🤔🤔 nafikili mnatuzuga ili tuwaelewe uongo weu wa kuliingiza Taifa ktk madeni makubwa. R.I.P JPM😭😭
Hii nchi ina watu wenye dharau sana,hata tuongee vipi wala hata hawatoshiki,wala hata hawaogopi kabisa. Hao watu hawana uchungu na wananchi hata kidogo,wamekinai kabisa,wanawadharau wananchi sana!
Halafu shabby nilikuwa nakuheshimu ila biashara za kuhamasisha vibaka wakope pesa naunajuwa vizuri hata wakikopa hawajengi chochote bhana kazi nikusafili tuu kutafuta wanaume na kujenga zanziba acha a napenda za mkopo hawazifanyii kitu bhana
Si walipitishwa tuu hawakupewa kura na wananchi ni wachache sana walipewa kura sasa nchi imekuwa ya giza umeme imekuwa balaa na huko mlima nyoka km kuna ajali kila ck si mbadilishe hilo jina? Ni la mapepo pia nchi hii ina vitu vingi vinaenda tofauti kabisa pia viongonzi wengi hawafanyi kazi walinzopewa na rais pia kuna wabunge wako bungeni hatujasikia wakiongea chochote sasa wamefuata nini? Ndiyo shida ya kupitishwa haya mahindi yamekuwa juu sana tumeshindwa kufanya biashara mahindi yanakujakununuliwa na wakenya kwa bei kubwa sana watanzania tunabaki tunatesela gunia la mahindi kwa sasa kilo ni 1200 ni hayaonekani zuieni yasitoke tutakufa na njaa
Nchi inaendeshwa maono sio porojo za maneno na kulipana posho kufisi nchi na kuingia mikataba ya kuwauza watanzani utumwani mnakopa Hela mafisadi wanaweka mfukoni.
Tatizo mnawapa wakandarasi wachina Wana Jenga vitu chini ya viwango ambapo hii inasababishwa na corruption mjaribu kufatilia. Barbara hazifiki design life span yake.
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q8pjtadqt9I.html TABIA YA MTU ALIYE ZALIWA MWEZI WA KUMI NA MBILI *# ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q8pjtadqt9I.html
Mipango ya muda mrefu haifai lazima iwe ya muda mfupi ili waibe wanenepe raia tupo tuongezeeni tu maatozo wajinga wenu tupo tutalipa mpaka tozo za kwenda kulala na wake zetu
Nikweli wananchi tunaamini hivo magufuli hakukopa kama mnavyosema kwa kusaka vyeo awamu hii ya wapigaji, awamu hii ya sita ya kukojoa na kugawana fedha hatuoni miradi mpya ikianzishwa alioiacha hayati magufuli wanafiki wakubwa nyie walamba asali
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q8pjtadqt9I.html TABIA YA MTU ALIYE ZALIWA MWEZI WA KUMI NA MBILI *# ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q8pjtadqt9I.html